PROF JAY, FEROOZ Walivyowasha MOTO WASAFI FESTIVAL DSM
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- PROF JAY, FEROOZ Walivyowasha MOTO WASAFI FESTIVAL DSM
Tamasha la Wasafi Festival limefanyika Usiku wa NOVEMBA 09, katika viwanja vya posta jijini Dar es Salaam..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co...
Kama na wew umewaona wenye bongo flavor yao. Like
Kama umeona kuwa professa jay nyimbo katunga mwenyewe ndio maana anaziimba bila kusahau weka like hapa
Kweli kabisa duh
😂😂😂😂😂😂
J mkali kaka
Heshima kwa mbunge wa mikumi 🎺
Yoooo uuwimbo naupenda saana, kama na wewe mpaka leo una wa kubali gonga like 😍😍😍
Hakika
safiii sanaaaaa
Landrine Bagalwa by that time niko form 2 siambiliki
Kweli wakongwe wa zamani mnawafanya mashabiki wawe an momeries za zamani bila kujali zinawaumiza ama kuwafurahisha but just something to remember,,,,!!!!!!! Big up wasafi and keep up naangalia nikiwa 🇬🇧 UK😍😍😍😍😍
Hawa jamaa wawili hawajapata tu njia nzuri ya kuuza muziki wao vzuri.ila wana moto.HAWASHIKIKI
Zamani kulikuwa na music ndio maana utaona shangwe mwanzo mwisho.
Hakuna cha mondi,mbosso wala nani hii show imefunikwa na pro.jay+ferooz.
Old is gold wapi like zangu
Hawa ndio wazee wameinua mizuka Sana show yote ilikua mbovu we believe old is gold +254 outta Nairobi West
Ndo maana upo Nairobi utaonaje mizuka,sogea karibu sio unachungulia na CMU yako iko na mawingu wingu
Tatizo haukuwepo kwenye show
Big loving for. ferooz and prof. J
Yani mpaka najikuta natoa machozi ,Hawa wasanii ndio walitudhibitishia kuwa bongo fleva IPO vizurii
Asante diamond I kwa kuwakumbuka kaka zako,tunawakubali ingawa hatuna namna yakuwarudisha kwenye msitari,midea zetu ndo hivo tena ,bado znakuza vipaji vya mabifu,wasaf meadia nmewapa kazi tafadhaln tusaidien.tueaskie,naskia uchungu sana
yani Daimo ni mutu Muzri Sana siamini Jamani mungu akubariki sikutegemea nimefalai sana wanao kusema vbaya wewe muache mungu atawaukumu tuu safi sana nimekupenda Kwa
This was crayz mr muheshimewa wa mitaa wa mikuni
Profesa j Anajielewa sana Na ndio mana Anakaa kwenye gem Kwa muda mlefu
Ata uvaaji wake na aina ya nyimbo
Cha zaman ni chazamani full shangwe kama unamkubal ferooz gonga like hapa👌
Nampenda sana fr naombeni huujumbe muumpe nampenda kutoka moyoni yani nimefrahi sana kumsikia tena hapa
I love old bongo, achana na izi vitu huimbwa siku izi
Dah yani nimesikia poa mmenigusa ezi zangu global safi sana
Ndonyimbo hizo , hazipoteyi Mana hawakuhimba matusi henzi zao walikuwa wakitowa elimu.
Diodryck Mas Mijo yeeeeeees umeongea point adi nikasem nikupongez ulichosem.mimi sio mtu wakukomnt
Nakubaliana na ww nyimbo kama hizi zinakuingia akilini yani msg ukitaka kufanya Zina moyo unarudi nyuma ama unatuma Kinga. Kuliko hizi za kufanya mapepo ya ngono yanapanda mzuka Loooooo...
Milemo !! Hao ndo wenye Bongo Fleva yao wengine wanyakuzi tyuuuu, Nyimbo zenye ujumbe na tena mwaweza kaa Familia nzima Mkisikiza👏👏👏
Kuna watu wakisikiliza starehe ya ferooz ndio wanatambua jamaa alion mbali sana. Wanabaki na majuto.
Legends wameiba shoo. Nature kaingia stejini kibabe.
😥😥😥😥 jaman jaman jaman ule msemo wa uzee dawa nimemin kwa hawa wakongwe yaan wameponesha hii festival 😁😁😁
Feel the music......old is gold
😭😭😭 Nimelia kwa furaha zilipendwa ni dhahab
Njoo nikufute machozi
@@heristajabuni5521 🤣🤣🤣🤣
Ungeli kwa sababu ya kusikiza adhana sio nyimbo
Nmekuelewa m mwenyew nmesisimka ad nywele
Mambo amina
Nyie watu ni shidaaaaaa mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Much respect to Ferroz n JAY 🙏✌️👍🇺🇬🇺🇬
Bonge la show, na kubali sana ferrooz, prof j. Na mzee wa hip hop.
Ni kwereeeeeeh hawaa nima legendary
We don have this kind of talents now days
Japhet Barton So sad
we miss those songs proffessor💪💪big up bro
Iko poa
Love the show respect to diamond unafanya mziki wa nongo uunganishe watu...Wasanii wa bongo wamenyonywa sana na clouds.Waonyeshe how to brand yourself..Sio unakua msanii mwepesi mwepesi tuu kila mtu anakuingia.
Acheni unafiki hamuoni t.i.d na chid fiesta!? Semeni mond anafanya vizur ,et kunyonywa kwan wana maziwa
Professor Jay hakunaga mzee wewe tu🙏
Legend ndiye huyu sasa
wakongwe wa bongo wakiimba ni raha mtupu original bongo flavor
Mumeweza Sana combination hii si mchezo
Aliyemuona Zimwi akiruka mapanga shaa Agonge like hpa
This part never gets old🔥🔥🔥🔥❤️
Aaaaaaa!!!! Profesa j na feruz mmenikumbusha mbali kinomaaaaa, na mkofiti kwenye gem bado GUHOKA mbovuuuuû
Mmetukumbusha mbali...old schoool..pro jay katisha
Wasafi kuleni mb zangu zote
Yaani kama wimbo wa Taifa watu wote wanaujua
Nice show professor jay👊👊
Wasafi festival ni habari nyingine Hakuna
Kweli jamaa alikua na ukame wa show anatmani abaki uchi 😂😂😂
😃😃😃😃😃
Hoyi umeniacha.
Kwel nimecheka kifala😂😂😂😂
Penda sana nyie watuuu big up sanaaaa kwako prof j
Nakubali prof..big up wcb festivals ..
🇰🇪 Representing kambi nyege 2023
Bado kama kawa
Kama unamkubali arudi kwenye game, gonga like hapa
Hii suruali ya ferooz ni swag au aliperfom mpka ikashuka🤤🤤🤤...
😂😂😂😂😂😂
Ndio uvaji wake uyooo
Hawa ndo walikill show Bana wasanii wagongwe mambo mbaya nyimbo nikama hizi mob love from kenya
Big up nawakubali sanaa 💪💪
Jay atari gonga like
This is wat we cal living legacy💯💯
DJ kazingua kinoma, sijui walimuokotea wapi?!!!
Hii historia iloandikwa haitakuja kuvunjwa kamweeeeee
Haaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa safiiiiiii sanaaaa. Mliamsha powaaaa
Sanaaaaa
Fantastic rapper
Looh hawa wakongwe ninoma wamefunika ase, mziki wazamani ilikuwa rahisi kuuelewa tofauti na sasa
Naona ferooz anataka kuvua
i love ferooz to death 💀💯🇰🇪
Nimeielewa sana hii show
Ferooz huo mlegezo wa 2pac au lil Wayne du!!!!!!!!!
😂😂😂😂😂
Kuna show moja tu tz nayo ni wasafi festival
Kwa akil yako
@@shukurumgaya5950 🤣🤣🤣🤣Bora umemjibu
Fiesta ndio ipo broo nayo ndio inafahamika duniani kote.
PHILIPO MBOGO wasafi baba lao watakubali hao wachumba
Sio show dingi n tamasha mzee nenda kasome utofautish kati ya show na tamasha
Wapi Mr Nice
Watching 2024
Hatar sana feroz vs profesee j
Wimbo mzur, show nzur,lkn ferooz kweny hiyo Nguo ya ndani ndio kaboa,,
Hawa ndooo wachawi wa bongo fleva wenyewe
Ilukuwa safiiiiiii sanaaaa. Mlituoa Radha zoteeee eti
Kipindihico ndichochenye muziki muziri kbs
Feruzi umetisha
nawakubali sana professor na ferouz
Prof jay bado anawashabik weng sana nchi hii
Dar mond umefanya kitu poa sana nimekubal waso wannchi hii
😀😀😀awa jamaa wamevunja sana record
Umetisha sana ferooz
Nyimbo nzuri lkn ferooz umezingua, maana huimbi unakimbia tuu au huna zoezi
Noma
Mlitisha sana tena sana
Really bongo fleva 🇹🇿
Old is Gold
Naona feruz amechoka haraka but inapendezaaa sana kukumbuka tulipotoka
Mambo ya kirobotoooo
Lasivyoo mgelala n viattuuuu muwashukuru hawa vikongwe
Papeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jay heshima yako
Feruz hakuna kitu hata haimbi anategemea tu Back sound
Prof j ni nomaaa
Pro Jay
Sio kama za diamond azina kicwa wa miguu
baba lao noma san
Big up 🔝
Nyimbo za kitambo hazichuji
Hawa ndio waliokua wanaiweza Bangi bwana
Hahaaaahaaa
Wakongwe noma
Ma Legendary
Kwanini conso
woyoooooooooo..... sipo apo lakini sio kwa vibe hiliii
Duh..😂😂😂😂😂 kweli ferooz karudi kwenye chart jaman... Sasa hapo asitumie tena madawa
Mambo ni motoooo
Yatapita mbona hatujaisikia au kuondoka wcb mume nuna MA dj
Wanaozungumzia eti kuna ushindani kati ya Simba na Kiba'ka au Pombe na walio'dema ni watu masikini zaidi wa akili duniani.
Ushabiki wa simba na yanga ndio unaowaumiza.
Huku sisi hatushabikii tu ilimradi... Tunataka maujanja...hit songs na kadhalika.
Kama unajua kuimba na hauna hit song kila Leo kamuimbie bibi yako yako
Kwanza jukwaa sijaonaoga nyie wafiii nyie mtaacha watu wavimbi mpaka wapasuke
hii festival kweli baba lao
Mutakubali kianina
Hakuna cha nani wala nani hio Show imeshikwa na wakongwe mbaya
Old is gold
double y mkuu kweli kabisaa