Hahah ...Hata mkitaka kumuiba, hatukubali. Ila uzuri Profesa Ngowi hana shida, anaweza kujenga uwezo (to build the capacity) kwa yeyote na kokote ila akitokea Chuo Kikuu Mzumbe
Sisi kama Wanafunzi wake tunajivunia sana Prof. Ngowi. Hakuishia tu kwenye kutujengea uwezo, bali hata kuhakikisha tunafikia malengo yetu na kuwasaidia wengine.
Yani I wish Prof. Ngowi angekuwa katika chuo Chetu daaah.
Hahah ...Hata mkitaka kumuiba, hatukubali. Ila uzuri Profesa Ngowi hana shida, anaweza kujenga uwezo (to build the capacity) kwa yeyote na kokote ila akitokea Chuo Kikuu Mzumbe
Sisi kama Wanafunzi wake tunajivunia sana Prof. Ngowi. Hakuishia tu kwenye kutujengea uwezo, bali hata kuhakikisha tunafikia malengo yetu na kuwasaidia wengine.
R.I.P. Professor Ngowi! What a loss to Tanzania.