Me nataka viongozi wenye msimamo kama hawa na wafuatiliaji baba alianza na ninyi munapaswa kuiga na ndio sababu leo kila mtu anamkumbuka baba magu kwa upigaj wake kazi safi sana majaliwa rahisi mtarajiwa tunajua baba magu aloshatabir tayar.
Apa kazi tu, fanta ivo ivo baba MP tunahanza kuona Magufuli ndani yako. Asante kwakualhanza kututuliza roho zetu, Mungu akuongezee ujasiri huo. Once again Thank you.
Majaliwa wetu asante sn kwa kufatilia na kwenda kuhakikisha mwenyewe hii itasaidia watu kuchapa kazi. Sehemu zingine pia ukashitukize make wafayakzi wanaanza kulegalega kuchapa kazi na kuhusumia watu kwa haraka ni maendeleo ya nchi. Kazi uendelee tu kwa kishindo. Big up Mhe!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿
Wanaoamin mze kasim majaliwa atakuja kuipeperusha bendera ya taifa tanzania like hapa tunaitaji viongozi hawa wakali mno mwenye msimamo tutafika mbali.
@@ellyisidoli2192 no sio HVO unavofikila we mama mbn rahisi nzur tu ila magu alitabir atakuj kuwa rahis ata me napenda kuona siku moja kasim akijakuipeperusha bendera
@@sabrinaally2045 atamshinda nani sasa huyo hebu muulize alipokuja kanda ya ziwa kwenye kampen alikuwa anapata watu kias gani yani alikuwa hafikii hata mikutano ya madiwan wa chadema halafu kwa akili yako unafikir atashinda uchaguz labda mpare kama mlivyofanya mwaka jana
Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu 🇹🇿 Mungu mbariki Waziri Mkuu 🇹🇿 Msisahau R. I. P JPM 🇹🇿 alituonyesha kuwa inawezekana bila watu franii
PM uko vizuri yaaani utadhani Nchi haina Waziri wa uchukuzi na wengine hawana nia ya kuboresha mapato ili wakope kwa Wazungu na wengine pia hawana nia ya kukuza uchumi wanawaza Watanzania kuchomwa Chanjo tu
Mh.Majaliwa aliwauliza hao wanaokuja bandarini mara moja kwa mwezi hadi miwili,aje atuulize sisi ambao kila siku tunakua katika bandari tumweleze changamoto zetu,wasijifanye nafunika kombe...tunateseka na tunaumiaa!!!
Sasa kama unatseka mbona washindwa kumfata ofisini kwakee Dodoma wakt kuna uwezo wa kutoa mawazo huruu,wewe chukua video pelka then watfnyia kazi,mbona hii video ambyo PM kaona na kfnyia kazii !!
Waziri mkuu ndio mtendaji pia mfumo ni mgawano wa madaraka si kila jambo afanye rais, raisi ni mtu wa mwisho hivyo ni vikazi vya mawaziri na watendaji wengine
@Patrick & Juma sahihi wakuu, but it was just an assumption trying to reflect the whereabouts of the past, present and future of our leadership, In connection with the regular perspectives held by majority.
Kuna baadhi ya mambo waziri mkuu kalishwa matango pori ila ipo siku atakuja jua ukweli foleni mara nyingi zipo bandarini tunaomba waandishi wa habar mjitahidi kupaza sauti na mtembelee ma agent kuwahoji kuhusu changamoto za bandari yetu maana maagent wengi ndio wahusika wakuu wanaopambana na hizo changamoto madereva wameonyesha uoga wa kuongea ukweli
Mh. Waziri Mkuu tunataka mahojiano ya wazi na huyo dereva inawezekana kuna changamoto zimejificha na kama tunahitaji kutatua tatizo ni bora mambo yawe hadharani
Kwenye kukata siri hapo aminia kwenye maswala mengine ya bandari ningekuwa mimi hapo ningeongea mpaka ningepata nafasi ya kuwasimamia hao jamaa bandarini ni sehemu ya manyanyaso sana
He must be our future President Tanganyika yaan sitaman mama amalize muda Kama vp ajiuzuru tu maana anabomoa misingi iliyo achwa na JPM. Barabara ilisha chongwa but she go around the bush I don't know why! Our hope is only remaining to Majariwa. kassim.
Afadhali Mheshimiwa ume enda kujionea mwenyewe na kujiridhisha. Niliona hiyo clip nikajua ni mbinu za kuchafuana na kuharibiana tuu. Huyo jamaa akamatwe aeleze nani kamtuma kuongea hivyo.
Kenya is doing better than our country TZ on GDP is we need to pull up our socks, tanzania we have more raw materials or resources than kenya why we drag behind them .
Huyo dereva aliongeya na muheshimiwa waziri mkuu hajamueleza kuwa Sisi madereva tunaka hadi Siku mbili mbandariri tiks ajili yafoleli aho kasahau aho ni uoga
TRA wame ua wafanya biashara wengi kwa presha hawafai hata bule wabaya sana angalieni contena hizo china zimekaa muda gan? Majini mudagani ? Nahapa kwetu Tz zina kaa tu myanyabiashara ana kaa tu storeji inasoma maperefu kujilimbikizia malitu
yani unadhan dereva atakubali kuaribu, kibarua chake, manake kampun yako itaweka bifu na watu wa bandari, na uyo dereva kaz hana , mfatilien baada ya mwez hapo ni uoga tu kero haziwez kukosekana, we camera, kabisa unamulikwa, adi gari alafi uchome watu
@@shijamakoye6544 maana ya jina lako ni laana tosha makoye gete yaani matatizo sana tu harafu siwezi tukanana na mwanamke wangu wa zamani eti kisa nimekuacha Shija wane mbona umebadilika hivyo nakumbuka Itabagumba nilikua na mchuchu wakuitwa Shija nazani utakua wewe nimeona mwandiko wako shijae oleheshii nakotolele kakiswela biye ha ha ha ha haaa Shija wane
Du!!! Asante baba umeachwa pekeyako mtumwenye msimamo na maamuzi ya haki
For sure, i really appreciate our PM. I see JPM philosophy in majaliwa....keep it up our PM!
So do I
Me nataka viongozi wenye msimamo kama hawa na wafuatiliaji baba alianza na ninyi munapaswa kuiga na ndio sababu leo kila mtu anamkumbuka baba magu kwa upigaj wake kazi safi sana majaliwa rahisi mtarajiwa tunajua baba magu aloshatabir tayar.
Apa kazi tu, fanta ivo ivo baba MP tunahanza kuona Magufuli ndani yako. Asante kwakualhanza kututuliza roho zetu, Mungu akuongezee ujasiri huo.
Once again Thank you.
Hongera Sana waziri mkuu mungu akipenda tunaomba uwe Rais wetu
Kassim Majaliwa Mtu wa Kaziii,Kazi iendeleee👊🇹🇿
Tumuombee Mungu huyu Waziri Mkuu.
Majaliwa wetu asante sn kwa kufatilia na kwenda kuhakikisha mwenyewe hii itasaidia watu kuchapa kazi. Sehemu zingine pia ukashitukize make wafayakzi wanaanza kulegalega kuchapa kazi na kuhusumia watu kwa haraka ni maendeleo ya nchi.
Kazi uendelee tu kwa kishindo. Big up Mhe!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿
Wanaoamin mze kasim majaliwa atakuja kuipeperusha bendera ya taifa tanzania like hapa tunaitaji viongozi hawa wakali mno mwenye msimamo tutafika mbali.
Bro vp mama unamuonaje anaweza ama ndyo anatembea tu na kuomba misaada
@@ellyisidoli2192 no sio HVO unavofikila we mama mbn rahisi nzur tu ila magu alitabir atakuj kuwa rahis ata me napenda kuona siku moja kasim akijakuipeperusha bendera
@@sabrinaally2045 atamshinda nani sasa huyo hebu muulize alipokuja kanda ya ziwa kwenye kampen alikuwa anapata watu kias gani yani alikuwa hafikii hata mikutano ya madiwan wa chadema halafu kwa akili yako unafikir atashinda uchaguz labda mpare kama mlivyofanya mwaka jana
Hadi nimelia nimekumbuka JPM hii style ya kazi na ukaguzi
Pole sana ndugu yangu mtanzania mwenzangu
After jpm, i move on with majaliwa
So do I
Tuko pamoja kaka
Sio wewe tu tupo kama wote mkuu
Mh majaliwa Mungu akulinde yani ningependa uwe rais 2025
Jamaa ananipa matumain sana yaan
Madereva ni wanafiki juzi mnasema Kuna foreni Leo waziri mkuu anawauliza mnajikanyaga pumbavu sana
Kweli wanafk hawaelewek
Huyu ndo ana deserve sasa kua..!
Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿
Mungu mbariki Rais wetu 🇹🇿
Mungu mbariki Waziri Mkuu 🇹🇿
Msisahau R. I. P JPM 🇹🇿 alituonyesha kuwa inawezekana bila watu franii
Chapa kazi Mh Waziri Mkuu pia Kuhusu Mizani punguzeni Msongamano kw kuruhusu Mabasi yasipite kwenye Mizani ili gari z mizigo ziwahi kufika
Rais wangu Majaliwa piga kazi Watanzania wanakutazama wewe....😭😭😭 R.I.P JPM
Napenda sku moja uwe rais !
Uko juu ayo tv
Hongera raiis 2026
Raisi anaekuja mungu akuongoze maana lisemwalo lipo Kama halipo laja
Unatembea kwa mwenda zake,,hongera mzee
MSAPOTI MAMA YETU WAZIRI MWEMA.MUNGU ATAKULIPA
Mama yenu bure!! Ameishakamatwa na matajiri na majizi! Hana tena haja ya kuwafahamu watu wa chini.
@@machaggechacha3422 chuki na roho mbaya mtu ndokwanza anaweka sawa mambo
Mama mbanga
Mama yupi huyo?
PM uko vizuri yaaani utadhani Nchi haina Waziri wa uchukuzi na wengine hawana nia ya kuboresha mapato ili wakope kwa Wazungu na wengine pia hawana nia ya kukuza uchumi wanawaza Watanzania kuchomwa Chanjo tu
Mh.Majaliwa aliwauliza hao wanaokuja bandarini mara moja kwa mwezi hadi miwili,aje atuulize sisi ambao kila siku tunakua katika bandari tumweleze changamoto zetu,wasijifanye nafunika kombe...tunateseka na tunaumiaa!!!
Ni kweli kabsa dreva anaulizwaa anasema hakuna shidaa .walioulizwaa hawajui changamoto
Acha unafiki wewe
Sasa kama unatseka mbona washindwa kumfata ofisini kwakee Dodoma wakt kuna uwezo wa kutoa mawazo huruu,wewe chukua video pelka then watfnyia kazi,mbona hii video ambyo PM kaona na kfnyia kazii !!
Yaan majaliwa alistahili kua rahisi ila basi tu tuvumilie paka 2026
Tatizo moja tuu kwa nini hamkutangaza magu ni mgonjwa. Wewe angalau unafanya kazi mungu akulinde.
Safi Kassim
Wanasumbuliwa sana njiani kusimamishwa bila tahadhari. Majuzi gari ilisimamishwa sehemu mbaya karibu ianguke.
Jamani nimemuona mwanadada ananyuka gia mzigo Kama wote kutoka msumjiji
Hongera kwa kujua changamoto piga Kaz baba nakuamini Kati ya viongoz walio baki
Uchumi ni vita...
Safi....
Namkumbuka magu
This deserves to be a president by now
PM ucjali tuko pamoja.. piga Kaz Mungu atakulipa... You are the only hope at the top.
Piga kazi PM, Mungu atakulipa.
Daah Kassimu waziri mkuu ndo Rais 2025 Tunakupenda sn Tz hd vijijini walitegemea ww ndiye badala ya Magufuri upo imara
Raisi Amekuwa waziri mkuu, waziri mkuu amekuwa raisi, "just trying to understand the current situation in a Buki nabe perspective "
Wazili mkuu ndo mtendaji mkuu wa serekali
Waziri mkuu ndio mtendaji pia mfumo ni mgawano wa madaraka si kila jambo afanye rais, raisi ni mtu wa mwisho hivyo ni vikazi vya mawaziri na watendaji wengine
@Patrick & Juma sahihi wakuu, but it was just an assumption trying to reflect the whereabouts of the past, present and future of our leadership, In connection with the regular perspectives held by majority.
Raisi kaenda Uganda kushuhudia kuapishwa kwa museveni
Hiyo ndo maan hakisi ya mgawanyo wa majukumu, sio manager kutak kufany kazi ya gateman
Mama tunakuomba Sana umpishe majaliwa 2025 hili ndio jembe lililobaki ana damu ya jpm
Majaliwa anataka kuwafuta machozi wa Tz "kazi iendelee.
Mwamba yuko vuzuli sana hongera wazili mkuu
Majaliwa Yuko vzr sana pia anafaa kuwa rais kbsa
Kuna baadhi ya mambo waziri mkuu kalishwa matango pori ila ipo siku atakuja jua ukweli foleni mara nyingi zipo bandarini tunaomba waandishi wa habar mjitahidi kupaza sauti na mtembelee ma agent kuwahoji kuhusu changamoto za bandari yetu maana maagent wengi ndio wahusika wakuu wanaopambana na hizo changamoto madereva wameonyesha uoga wa kuongea ukweli
Majaliwa for next president. I have hope
amalize mm mdawake uje ww majaliwa tunakukubali kama hayati magufuli tuuu uyuu mm mshike mkono anayumbishwa sana
Kiukweli ni kwamba waziri unatutia moyo Sana lakin angalia baba wanaweza kukunyamazisha
Tunamuombea Mungu amuepushe
hawamiwezi huyo mtu wa kusini ngende kwenyewe hata JPM alichemka kusini kaenda mara moja kapigwa moshi hajarudi tena😆😆😆
I see everything of JPM into my best Prime Minister ever since 1984 after the death of Sokoine ...Majaliwa Kassim Majaliwa
Huyu ndiye raisi was tz lakini hatuna namna tutafanyaje sasa
Mh. Waziri Mkuu tunataka mahojiano ya wazi na huyo dereva inawezekana kuna changamoto zimejificha na kama tunahitaji kutatua tatizo ni bora mambo yawe hadharani
Hongeeni ukwer msifiche hapo afu baadae munaaza kutoa lawama kwny mitandao
Huyu ndie Rais wangu aliebaki na nitasimama na hiki nachokiamini
Kwenye kukata siri hapo aminia kwenye maswala mengine ya bandari ningekuwa mimi hapo ningeongea mpaka ningepata nafasi ya kuwasimamia hao jamaa bandarini ni sehemu ya manyanyaso sana
My president later
Saf sana
Kazi inaendelea
He must be our future President Tanganyika yaan sitaman mama amalize muda Kama vp ajiuzuru tu maana anabomoa misingi iliyo achwa na JPM. Barabara ilisha chongwa but she go around the bush I don't know why! Our hope is only remaining to Majariwa. kassim.
Raisi mtarajiwa
tunaomba tukupe nchi baba
Labda ya nyumban kwenu
@@emmapaul1766 unambia nan ima
@@timothyusuph8800 wewe na yeyote mwenye mawazo kama yako
@@emmapaul1766 hata mimi pia nitampa nchi jinyonge basi
Naunga mkono hoja
Wewe ndio unafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Afadhali Mheshimiwa ume enda kujionea mwenyewe na kujiridhisha. Niliona hiyo clip nikajua ni mbinu za kuchafuana na kuharibiana tuu. Huyo jamaa akamatwe aeleze nani kamtuma kuongea hivyo.
Kabisa!
Nafikiri Nia aonekane samia hatufai nilimsikia manara eti amesomea elimu ya propoganda
Wako wale wasiompenda mama samia walikuwa karibu na msosi enzi zile sasa hawaamini kama ameondoka
woyooooh
Tutamkumbuka Sana Engineer kakoko
Rais mtarajiwa
Hapo madereva wanaogopa foleni ndio kikwazo hapo
Nyinyi madereva msiogope semeni ukweli folen bandarini uwa kubwa huyo mzee afanye kazi yake
Magufli alie bakia ni majaliwa
Emungu tusimamie na nchi yetu ya tazania
Hapo ni kurekebisha maushuru tu na makodi makubwa . Biashara zifanyike mambo hayaendi biashara zimekuwa ngum watu wanashauri hamsikii tatizo ni nn ?
Rais amesema warekebishe kodi na ushuru na wasiwabambikie kodi
Njiani shiida
Kuwa makini kumsikiliza mt kama Magufuli
yaaani MAJALIWA ndio anafaa kuvaa viatu vya JPM
Kenya is doing better than our country TZ on GDP is we need to pull up our socks, tanzania we have more raw materials or resources than kenya why we drag behind them .
Ccm msimuue na huyu maana ndio tumaini la watanzania
Mm nahisi watu wanamuhahooo wanaogopa kuwa wakweli hahaahahahaa
Huyo dereva aliongeya na muheshimiwa waziri mkuu hajamueleza kuwa Sisi madereva tunaka hadi Siku mbili mbandariri tiks ajili yafoleli aho kasahau aho ni uoga
Wewe unafaa kuwa prezidaaaa
13.05.2021
Jifunze kuhusu Historia Tamaduni na Vivutio vya Tanzania 🇹🇿 kwenye UA-cam channel yangu
Mbona madereva mnakuwa waoga kusema ukweli!!! Mnakaaa kwenye foleni hata siku tatu!!!.
wa kwanza
Kunya
🙋
Kasimu majariwa tunategemea wewe utatufariji kuchapa kazi kwa ukalibu Kama magufuli
Show show 🇺🇸
TRA wame ua wafanya biashara wengi kwa presha hawafai hata bule wabaya sana angalieni contena hizo china zimekaa muda gan? Majini mudagani ? Nahapa kwetu Tz zina kaa tu myanyabiashara ana kaa tu storeji inasoma maperefu kujilimbikizia malitu
Tumbua tu nahao wameua biashara bila huruma kamatakamata wateja wote wameondoka mmefukuza had wawekezaji Tra.badiliken
Majaliwa ananikumbusha baba magufuli
Uyu jamaa alikua anaogopa
yani unadhan dereva atakubali kuaribu, kibarua chake, manake kampun yako itaweka bifu na watu wa bandari, na uyo dereva kaz hana , mfatilien baada ya mwez hapo ni uoga tu kero haziwez kukosekana, we camera, kabisa unamulikwa, adi gari alafi uchome watu
Ni kweli ilaa ningekuwaa mimi ningefungukaa tuu
Hawa madereva niwajinga hawa unaulizwa wanafichaficha mambo
Kawajibijie wewe
@@mosimba467 hata mama yako anaweza kwenda kwa niaba yangu maana Mimi si ndio namwinamishaga kumpiga paipu mwambie aniwakilishe
@@shijamakoye6544 maana ya jina lako ni laana tosha makoye gete yaani matatizo sana tu harafu siwezi tukanana na mwanamke wangu wa zamani eti kisa nimekuacha Shija wane mbona umebadilika hivyo nakumbuka Itabagumba nilikua na mchuchu wakuitwa Shija nazani utakua wewe nimeona mwandiko wako shijae oleheshii nakotolele kakiswela biye ha ha ha ha haaa Shija wane
Tunakuombea chapa kazi
Wameweka mikono mbele akiondoka wazili mikono mfukoni
Nina iman na ww mkalimu san
Kassim Majaliwa Mtu wa Kaziii,Kazi iendeleee👊🇹🇿
Huyu ndo ana deserve sasa kua..!