Sikuzote jilaniyako akivamiwa na maadui na wewe ukikakimya basijua wakimalazakwake anaefwata Ni wewe kwaiyo ni lazima kupambana kwapamoja kuonyesha umojawenu safi Sana Korea na Russia uraaaa
Hii vita haiishii leo wala kesho tumebaki kuwa mashabiki wa urusi na nato ila sio mashabiki wa wale wanaokufa hapa katikati bila hatia, ukraine aliyevamiwa anaomba msaada marekani na aliyeanzisha vita nae anaomba msaada,
Kama katuma ndio vip sasa Korea pekeake ametuma jeshi wanajinyea mbona wao mashetani NATO zaidi ya nchi 30 zinatuma jeshi na siraa na bado urusi inawalambisha mchanga. NATO waache ushenzi wakae mkao wa kuliwa dawa iwaingie shenzi
Marekani watulie dawa ifanye kazi vizuri,marafiki kusaidiana ni kitu kizuri,sawa na wao wanapoisaidia Israeli
Naomba mulete hao wanajeshi na uku chadema wana tutesa sana
Sikuzote jilaniyako akivamiwa na maadui na wewe ukikakimya basijua wakimalazakwake anaefwata Ni wewe kwaiyo ni lazima kupambana kwapamoja kuonyesha umojawenu safi Sana Korea na Russia uraaaa
Inafurahisha sana Tena sana
Habari njema hizi,God bless russia 🇷🇺 ❤
Kwani Kuna kosa gan mbona NATO mnapeleka jeshi lenu kule Ukraine ubaya ubwela TU 😂
Urusi hari mbaya
Ni nani aliye kudanganya?@@GeorgeElias-p5o
@@GeorgeElias-p5oMashoga na wafuasi wao ndio hali mbaya,
Kama ni kweli marekani na NATO watakinyea
wao ndo wanaona ajbu ee
Noma na iwe noma tu
Weather niweke uongo 😂😂😂😂😂
Wanajichekesha wenyewe bhana... Wapo Kwa mafunzo!!!!😂😂😂😂
Hii vita haiishii leo wala kesho tumebaki kuwa mashabiki wa urusi na nato ila sio mashabiki wa wale wanaokufa hapa katikati bila hatia, ukraine aliyevamiwa anaomba msaada marekani na aliyeanzisha vita nae anaomba msaada,
Kama katuma ndio vip sasa Korea pekeake ametuma jeshi wanajinyea mbona wao mashetani NATO zaidi ya nchi 30 zinatuma jeshi na siraa na bado urusi inawalambisha mchanga. NATO waache ushenzi wakae mkao wa kuliwa dawa iwaingie shenzi
Nyie nao acheni upuuzi na propaganda za uongo marekani asinitishe vip kitu kisichomuhusu
Mbona nato mmepeleka wanajeshi
Mbona wao wamejaza wanajeshi ukreine sema putini anawanyoosha huko, ama kweli mkuki kwa nguluwe Ila kwa binadamu mchungu
Haya wacha tuonee,prooo Russian team, pamoja na London, Berlin,na Washington itafahamikaaa muda sii mrefuu😂😂😂
Aaaaa .wanaenda kufuzana tu nawao km hv mnavofuza.nyy.wahuni .wezenu.😂😂😂😂
Mbona hamjaripoti wanajeshi kutoka nchi za magharibi wanaopigana upande wa Ukraine?!!?
U
Sass Marekani mbona yupo Ukraine na Ulaya majeshi yao yanappinga na Urusi a wakumuachia Ukraine apigane Marekani ni wapumbavu tu
Sasa shida iko wapi yaaan marekani yeye anapeleka vikosi vingapi na washirika wake huko Ukraine acha wapigane tumjue nani mbabe
Hata Mato hawafichi
Urusi hari tete
Kama ni kweli marekani na NATO watakinyea