Mungu akubariki muheshimiwa. Tanzania ni nchi ya amani lakini wafungwa wana teseka sana. Hawana haki kabisa. Bado wana kunya kwenye mtondoo. Mambo ya kizamaniiiii😢😢😅
Ukiwa mfungwa haikuondolea ukose haki zako za msingi ikiwemo kula kulala hata adhabu hv ww ndo wafungwa wanyee kwenye ndoo kuna magonjwa ya mlipuko ndo mana wenzetu wanaita department of correction
Hii imekaa vibaya sana aisee😳 yani mpaka leo wanatumia ndoo kama choo😢😢
Professional 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Yani mpaka leo 2024 wafungwa wanatumia ndoo! duuh😮
Mwenyewe nimeshangaa sana, siyo fair hata kidogo aisee😥😥
Viongozi tembeleeni magereza kilawakati ndio itakoma
Mungu akubariki muheshimiwa.
Tanzania ni nchi ya amani lakini wafungwa wana teseka sana.
Hawana haki kabisa.
Bado wana kunya kwenye mtondoo.
Mambo ya kizamaniiiii😢😢😅
Itakomaje
bejeti ipo wajengeni vyoo
Sawa
Wapelekwe jela ya p.didy ina choo cha kukaaa
Kp
Wafungwa tuanze kula Bata
😂😂😂😂sasa wafanyeje
Wawasindikize porini😃😃😃😃
Ukiwa mfungwa haikuondolea ukose haki zako za msingi ikiwemo kula kulala hata adhabu hv ww ndo wafungwa wanyee kwenye ndoo kuna magonjwa ya mlipuko ndo mana wenzetu wanaita department of correction