Mwanamke ni mtu muhimu sana ktk maisha ya family lakini simameni ktk nafasi zenu MUNGU atawainua sana ingawa mnapitia magumu lakini MUNGU yupo upande wenu.
Nakupenda Mke Wangu christina Michael. Haijalishi nini tunapitia nitakupenda daima milele Na ujumbe huu itaishi milele Na kuwa kama kumbukumbu yetu ❤ bila kusahau watoto Wangu nawapenda sana na Mungu atusmamie maisha Yetu yote 🙏🏻
Tatizo huwa tunasikiliza kwa mihemiko. Mengi ni ya kutunga. 1. Kumsaliti mke sio lazima kwa Mwislam hata kwa Mkristo mwenzako. 2. Huyo mwanamme angetaka kumwoa huyo Rukia angemwolea huko huko Marekani. 3. Wakati wa kurudi Tz haikuwa na lazima ya kumwarifu mke aliye msaliti. Angekukuja kimya kimya. 4. SWALI, hivi MSOMI wa Masters asijue kanuni za kurudi Marekani tena. Mchungaji mwogope Mwenyeezi Mungu SWT ACHA kuchapia!
😂😂🙌🏾 hatamimi nimeliona hi ilo apa timepigwa na kitu kizito, sema nini yeye mchungaji alitufikishia ujembe tuwe wa aminifu katika ndoa zetu sema namna ya kutufikishia kidogo katereza kwa msomi wa masta asijue prosese za kulud malekani niishie hapo
Umewah safiri ndugu, ukijikanyaga kwenye maelezo tena marekani Visa hupati mzee kumbka before alienda kwa ticket ya kusoma this tym around itakua alizngua kwenye maelezo visa unakosa kwa marekani iyo kukosa ni simple saana rafiki
Hapo Mchungaji hajamaanisha kuusema uislam hapo anaongelea USALITI siyo udini. Tuwe tunaelewa mifano, hata wakristo ni wasaliti vile vile huo ni mfano.
Baba huyo dada ni Mimi kabisa,,Mimi mumewangu nimetoka naye mbal san nimepoteza kila kitu kisa yeye nimepoteza mtaji wangu wote kisa yeye,,nimezaa naye watoto 3 ,,,Ila Alichonifanyia Mungu Anawaona nimeondoka haijaisha miez 2 kashaowa tena kaolea palepale ndan kwangu,, Roho inaniuma Sana yaaan Akil bado hazijanikaa Sawa Nakwambia Mungu anilipie kila siku , kwasababu Ameniumiza Sana moyo wangu nikiangalia watoto bado wadogo wote,,,Kanifanya nimekosa Aman ya kuendelea kuish hapa duniani niombee Baba Tafadhal.
Mungu Akuzidishiye karama mchungaji unayo fundisha ni mimi kabisa nikama Mbingu zilikuzungumuziya ingawa majina nitofauti kiliyo cha myaka tatu baada ya myaka ishirini na mitatu Mbingu Ndizo ziliniokowa nilipo taka kunyongwa na mume niliye jitoleya ili awe kama wanaume wengine.
Poleni Sana wa Mama mlio patwa na hizo changamoto ya ndoa MUNGU atawafuta machozi yenu kwani yeye ni mwaminifu cku zote hata waacha kamwe, ombeni kwa Bidii
Hii haipo kwa upande mmoja tu,ni vile likitokea kwa wanawake huwa dunia nzima inaomboleza.Wanaume wangapi wamefilisika kwa kuwawezesha wanawake na wanapopanda viwango huwaacha ushagoo?
Wanaume tunatakiwa tuishi nao kwa akili yaani mimi huwa najiuliza hawa watu kwani wameumbwaje Mungu alisahau kuwaekea huruma ndani ya mioyo yao maana Wanaume wengine mnyama ana afadhali
Nitabia mbaya sijapenda kwa sababu waikristo pia ni wasaliti kuwa msaliti sio dini Bali ni tabia yamtu sivyema kuikashifu dini ya mwengine jifunze Hilo
Hapana hata wana wake wana tabia hiyo akifanikiwa kipesa au kielimu atakuacha wewe ambaye uliye msomesha na kwenda kwa mwanaume aliye kuwa na pesa au Elimu na Atakudhalau sana wewe uliye msaidia kufika hapo alipo
Napenda mahubiri yako sana yatanibadilisha amen
Waaaa ,hii nikama yangu ,, tuu ,but I thank God niko kazi ,watoto wangu Wana soma
Mimi nimekuwa mwananafunzi wako Asante umeniinua kihuduma Sana ubarikiwe mno Mungu akutunze
Nakupenda sana Mke wangu Heavenlight Mungu akubariki sana kwa unavyotujali ,Mungu awabariki na watoto wetu
Hongera kwa kumpenda mkeo kaka,nakusihi mpendwa Zaid na zaid
Dr..Eliona yaan duuh..mm namshukuru mungu nimekua sugu gafla... Yan mwanaume haniumizi kabisa...
Mimi hivyo hivyo.
Duuuh,, Ahsante Mtumishi kiukweli wanawake tunapitia mengi na tulio wengi tumeshaumizwa sana na wanaume tuliowaamini,, ahsante kwa kututia moyo 🙏🙏
Nimejifunza kitu kikubwa , God Bless You Pastor for this sermon
Mwanamke ni mtu muhimu sana ktk maisha ya family lakini simameni ktk nafasi zenu MUNGU atawainua sana ingawa mnapitia magumu lakini MUNGU yupo upande wenu.
Watu husahau fadhilaa....Lakini Mungu halaliii.. Amen halleluyaa Amen...
Mungu nirehemu mimi n wote tulio duniani tuepushe na yule mwovu ubarikiwe baba kimaro
mchungaji napenda Sana mahubiri yako Mungu akubariki Sana
Ukifanya ubaya lazima ulipe gharama. Mungu Huwa hakosei. Upandacho, utavuna
Nakupenda Mke Wangu christina Michael. Haijalishi nini tunapitia nitakupenda daima milele Na ujumbe huu itaishi milele Na kuwa kama kumbukumbu yetu ❤ bila kusahau watoto Wangu nawapenda sana na Mungu atusmamie maisha Yetu yote 🙏🏻
Hongera kwa kumpenda mkeo,mpendwa Zaid na zaid
Kazi kwelikweli jamani
Somo zuri pastor MUNGU ATUREHEMU SANA JAMAN
😭😭😭😭
Ila mumewangu Samwel ,Kwa ulichonifanyia kwenye maisha yangu,kila chozi langu na kila jasholangu Atanilipia Mungu.
Pole sanaa dada Mungu atakusaidia tuu
Pole saana
@@trophywilson7211 asant dr
@@siakiwelu3007 Amen
Pole sana dear muombe sana Mungu amini hajakuacha yupo upande wako, tupo wengi tunapitia hayo,, lakini yote kwa yote tumuombe Mungu bila kukoma 🙏🙏
Tatizo huwa tunasikiliza kwa mihemiko. Mengi ni ya kutunga. 1. Kumsaliti mke sio lazima kwa Mwislam hata kwa Mkristo mwenzako. 2. Huyo mwanamme angetaka kumwoa huyo Rukia angemwolea huko huko Marekani. 3. Wakati wa kurudi Tz haikuwa na lazima ya kumwarifu mke aliye msaliti. Angekukuja kimya kimya. 4. SWALI, hivi MSOMI wa Masters asijue kanuni za kurudi Marekani tena. Mchungaji mwogope Mwenyeezi Mungu SWT ACHA kuchapia!
Hadithi ya kutunga, miaka 15 iliyopita? Kwa Gharama za Chuo ulaya hiyo mke alikua na kazi ipi yenye uwezo wa kulipia Chuo Ulaya?
😂😂🙌🏾 hatamimi nimeliona hi ilo apa timepigwa na kitu kizito, sema nini yeye mchungaji alitufikishia ujembe tuwe wa aminifu katika ndoa zetu sema namna ya kutufikishia kidogo katereza kwa msomi wa masta asijue prosese za kulud malekani niishie hapo
Tumepigwa na chuma cha pua,,🤣🤣
Umewah safiri ndugu, ukijikanyaga kwenye maelezo tena marekani Visa hupati mzee kumbka before alienda kwa ticket ya kusoma this tym around itakua alizngua kwenye maelezo visa unakosa kwa marekani iyo kukosa ni simple saana rafiki
Hapo Mchungaji hajamaanisha kuusema uislam hapo anaongelea USALITI siyo udini. Tuwe tunaelewa mifano, hata wakristo ni wasaliti vile vile huo ni mfano.
Kwa kweli Dunia inayo mengi, ee yesu turehemu
Mungu naafanye njia kwa hiki kinachoendelea
Baba huyo dada ni Mimi kabisa,,Mimi mumewangu nimetoka naye mbal san nimepoteza kila kitu kisa yeye nimepoteza mtaji wangu wote kisa yeye,,nimezaa naye watoto 3 ,,,Ila Alichonifanyia Mungu Anawaona nimeondoka haijaisha miez 2 kashaowa tena kaolea palepale ndan kwangu,, Roho inaniuma Sana yaaan Akil bado hazijanikaa Sawa Nakwambia Mungu anilipie kila siku , kwasababu Ameniumiza Sana moyo wangu nikiangalia watoto bado wadogo wote,,,Kanifanya nimekosa Aman ya kuendelea kuish hapa duniani niombee Baba Tafadhal.
Sasa mwenzangu umeondoka ukaenda wapi kama unampenda mumeo?
Mungu Hajakuacha tangu Jana,, Leo, kesho., na hadi milele
@@messiasulleydidy2585 Amina
Mbaya nikuchepuka lakn kma ameoa hyo sio shda we muombe Mungu akupe subira uishi na Mumeo madamu hajakuacha
@@saidmadizi9152 asant dr Kwa kunitia moyo nimekupend Sana mpaka nimetabasam Kwa mara ya Kwanza.
Amen kwa kweli mafundisho yako Mungu akubarki sana
Pst. Uncle Mungu akutunze
Mungu atakuvusha my dia
Baba Asante kwa somo zuri sana Mungu akubariki
Ubarikiwe muchungaji
You did a great thing today
Daa mchugaji nakukubali sana barikiwa
Nilikua nakupenda sana Mimi ni muislam safi tu maranyingi huwa naangalia mawaiza Yako lakini kwa Hilo Sina mapenzi tena nawewe
It's very painful...
Dr kimaro upo vizuri mawaidha Yako yanaingia kichwani nakuombea kwa Mungu
Mungu atusaidie sanaa wanawake 🙏
Kweli mwanaume sio kiumbe cha kuamini hata kama mwanamke ana hela kuliko mwanaume usijichanganye ukamuandikisha mwanaume mali zako itakula kwako
💯
Pp
Ubarikiwe mtumish wa mungu
Mungu Akuzidishiye karama mchungaji unayo fundisha ni mimi kabisa nikama Mbingu zilikuzungumuziya ingawa majina nitofauti kiliyo cha myaka tatu baada ya myaka ishirini na mitatu Mbingu Ndizo ziliniokowa nilipo taka kunyongwa na mume niliye jitoleya ili awe kama wanaume wengine.
Poleni Sana wa Mama mlio patwa na hizo changamoto ya ndoa MUNGU atawafuta machozi yenu kwani yeye ni mwaminifu cku zote hata waacha kamwe, ombeni kwa Bidii
Mungu ww peke ako watosha Kila chozi ni mbengu chozi huwa linaandika 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Eee Mungu unikumbuke na mimi
Asante sana kwa kuwajua wanaume walivyo na roho mbaya
MUNGU akuinue zaid na zaidi mtumishi wa MUNGU namshukuru sana hii itaendelea kuniimarisha nawewe ni majibu ya wengin amen
Mungu tutetee tu maana duniani tunapitia mengi
Da! Mungu turehemu
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa ushuhuda
Mungu ututetee
I love you Kwa mafundisho
Stella wangu
I love my kids and my wife, thank you God.
Hongra Mungu akubarki akupe Afya njema uzidi kuwatunza watoto wako na mrembo wako
@@consolatamedard6593 Asante sana dada angu.Mungu akubariki pia wewe na familia yako.
@@godfreydavid6996 Amen 🙏
Dar yamenikuta mm mungu nitiee nguvu
akurudishe tunamisi ukweli aachana na wanaficha maukweli
Daaah inauma sana Ndyomana nampenda Baba angu sijawai muona akimfanyia unyama wowote Mama angu
Nampenda sana baba yangu Mungu akutunze jinsi ulivyomtunza mama yetu na sisi wanao
@@happynessmathayo3278 Hatuna sababu ya kumshukulu Mungu kwa kutzawadia Kina Baba wazur kiukweli Mm nampenda Baba
Mchungaji Mungu amekuleta kwa wakati mahubiri yako yamenijengea imani kubwa kwa Mungu anayetenda KWA WAKATI
KATIKA maisha HAYA USEMI WA TUMETOKA MBALI HAUNA Tija ikiwa mtu alikuwa na wewe kwa sababu ya shida tu. Hakuwahi kukupenda🥲🥲
Ndo wengine tunayopitia mungu utuvushe
Mm nisingemchukua Tena Ndugu Zake Walioniimbia Taarabu ndio wangeenda Kucheza na Singeli 😂
Tenda wema uende zako Mungu atakulipia
So sad
Uwiiiii Mungu wangu,
Eee Mungu tukumbuke wanawake, jibu maombi yetu wamama.
Hui
Hii haipo kwa upande mmoja tu,ni vile likitokea kwa wanawake huwa dunia nzima inaomboleza.Wanaume wangapi wamefilisika kwa kuwawezesha wanawake na wanapopanda viwango huwaacha ushagoo?
Dah!!!... Aisee
Amen
Wanaume tunatakiwa tuishi nao kwa akili yaani mimi huwa najiuliza hawa watu kwani wameumbwaje Mungu alisahau kuwaekea huruma ndani ya mioyo yao maana Wanaume wengine mnyama ana afadhali
Kweli mshahala wa dhambi ni mauti, Mungu uturehemu 😭😭🙏
Hii imenigusa sana kuachwa kubaya saana! Tumwangalie Mungu tu atatutetea
Lia kwa MUNGU funga kwa maombi utajibiwa
Amen 🙏
Munguataletaneema
Afu bado yanaambiana eti usisomeshe mwanamke haya huyo aliyesomeshwa ni mwanamke au
Ajabu
Wanaume Ni binadamu kama wewe siyo madudu pamoja na mapungufu tuliyonayo. Kwa hiyo nakuomba usitumie kauli ya " yanaambiana". Asante kama umenielewa.
Amina
Mbuta! Hamna rangi angeachaona
Mjukuu eliaichi scarlet. Kabatizwa
Ndio maisha ya kina mama siku hizi
Tushaa zoea
Ndio tabia za wangu wa siku hizi
Wapandacho watakihuna
Mungu analipa kwelikweli nyie
😭😭😭😭 Daaah yesuuuuh
😭😭😭😭😭
Ameni
kijitonyama evening class20.3.2023
Mchungaji hata wanawake wapo tena wanaumiza kuliko maelezo Mungu tusaidie
E mungu tusaidie wanawake tunayopitia ni magumu
😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔
Mh!!!!!!!!!!!! Apaaa ndenga😳🤔🙌
Wanyakusya Basi la Rungwe Mchungaji katoa ya mwaka 2022!
Nitabia mbaya sijapenda kwa sababu waikristo pia ni wasaliti kuwa msaliti sio dini Bali ni tabia yamtu sivyema kuikashifu dini ya mwengine jifunze Hilo
Mbona wamesaliti wengi tu??
Waambie Visa ni ya muhimu huko Marekani kwa kweli
Wala hajakashifu dini anaongelea jenero tu
Amekashfu vp,kwani km ni kweli ni muislamu kun shida gan!
Bora ukutane na ajali ya gari kuliko ya mahusiano au ya ndoa.
Hunger sana mchungaji kimariyo
Mawifi vigeugeu hatari. Hawafai hata bureee
Aseeee malipo Ni hapa hapa kaaaah,na huyo dada n mtumish wa Munguuu.... Ukingusaa masih wa bwan ndo malipo hayo
Ndio yaliyonikuta mimi kabisa hakuna tofauti
Pole angel
Duuuh 🙆🙆 wanawake tunapitia mengi jamaniiii 😥😥
Tatizo wadada wengi wanaolewa bila kupata mafundisho sahihi ya namna ya kuishi na mume
Nimejifunza mabo
Tulio Kuja hapa baada ya kuckia kasimamishwa like tujuanee,😅
AbrahamMaslow
Ni mhimu kukumbuka tulikotaka
Jifunze kutoa mawaiza Yako vizuri sio vyema kuikashifu dini ya mwengine
Hapana hata wana wake wana tabia hiyo akifanikiwa kipesa au kielimu atakuacha wewe ambaye uliye msomesha na kwenda kwa mwanaume aliye kuwa na pesa au Elimu na Atakudhalau sana wewe uliye msaidia kufika hapo alipo
MAWIFI NI CHANZO CHA KUCHOCHEA UGOMVI WA KUACHANA WANANDOA.
Mawifi wengine wanakuonea wivu utazani wanataka kulala na kaka yao
Mchungaji kwa Sadalaaa kule kwetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
Huyo mke alikuwa na moyo mkuuu
Wakati mwingine unajiuliza kama kuna haja ya kuhangaika na wanaume!!
Dada naye pumbavu
Eti kauza viwanja vyake😂😂
Duuuu kumpa mwanaume moyo upumbavu
Mshahara wa dhambi ni mauti
Ha ha ha wanyakyusa
NDY UPUMBAVU WA WANAUME HUWA WANASAHAU WALIKOTOKA.
Story ya kutunga huisha hivyo 🤣