Baba Martha umeongea kwa uchungu sana but very calm that’s why it hurts me deeply, I can tell mzee he loves his daughter, I can tell he knows a lot about his daughter. Mzee anaonekana was a Great Father . Which most of us missing . Mzee anasema niache niongee ni ventilate, I totally understand him . He is in so much pain, ila anajilaza sana . Pole sana sana familia nzima ,
Pole kwa familia ya mzee towo wote kwa ujumla MUNGU awatie nguvu najua Hali mnayopitia kwa sasa inaumaaa ila MUNGU awape Amani mungu ailaze roho ya marehemu mahalo pema peponi Amina
Poleni Sana Familia, imeniumiza sana. Martha alikuwa zaidi ya rafiki, hawezi kuja Geita bila kunitafuta. Above all alikuwa very strong na mpambanaji. Aliyefanya kitendo hiki afahamu tuu ya kwamba ameumiza nafsi nyingi, familia na sisi marafiki wa Martha tumeumia. Pumzika kwa Amani Martha.
Hivi Hawa watu wasio julikana wataacha kujulikana Hadi Lin? Mbona wanaondoa Aman kwenye Maisha ya familia hii, Roho ya unyama na ukatili, unakatisha Maisha na kuondoa uhai wa mtu, bila hata huruma, any way Mungu nihakimu wa haki hakika Damu ya mwanamke huyu haita waacha salama wale wote walio husika na tukio hili.😭😭😭 hii inaumiza sana
Nimekuelewa sana mzee. Watapatikana tu mcheki simu ya mwisho kupigiwa uchunguzi uanze kwa vyombo husika, tunaamin vyombo vyetu vya usalama viko vizuri sana vitasaidia katika hili
Pole sana Daktari na familia kwa ujumla ni kifo kibaya sana amepitia Martha, lakini yote ni kwa yote haki itendeke na wahusika wawajibishwe very soon. Hatuwezi kumrudisha lakini haki itarudisha imani japo kidogo.Apumzika kwa Amani Martha Amina
Daaah pumzika kwa amani Martha baba amenikumbusha mbali mimi ni mmoja ya tuliokuwa tunafanya discussion kwa kina Martha na tunashukuru baba vitabu ulivyokuwa unatununulia vilitufanya tukafaulu mtihani wetu ubarikiwe na pole sana inaumiza ila tumuachie Mungu
Nimelia sana kwa uchungu nikakumbuka babu zangu 2013 wqlipolia sana kwq machungu wakimzika baba yangu. Kumzika mwanao awe mzee au kijana inauma sana jamani Mungu akupe Nguvu baba Poleni sana wazazi wa Neema
Waliomchoma sindano ya sumu.nao wachomwe.shida nini???? Au wivu.jamani tutafute pesa haya yote yatakwisha.Mungu awalaaani wahusika wote.wakafe kifokama Cha martha.imeniuma Sana.Tanzania tumefikia huko???? Mungu awalaaani wote woteeeeee.wapumbavu wakubwa hao
Dah pumzika kwa amani Neema,Mungu wa haki ashughulike na wale wote,walioshiriki kitendo hiki kiovu cha kuutoa uhai wa mtu asiyekuwa na hatia yeyote,,,,
Pole sana wazazi ,Mungu awape subira. InshaAllah kifo chake itakuwa ndio kiingilio chake cha makazi mema peponi, sote tutarudi kwa Mungu Ila Mwenzetu Martha katutangulia, InshaAllah waliomdhulumu Martha Mungu atawalipa wanachostahili.Majirani na ,viongozi wa mitaa tuna jipangaje kupambana na wahalifu. usalama wa taifa taifa, polisi mnatimizaje viapo vyenu vya kulinda Raia na mali zao. Jamani kahama Mwanza kunahitajika juhudi za ziada za kuzuia uhalifu dini ianze kusomeshwa tokea chekechea. Hadi watu waZima. Inasikitisha hizo sehemu zina waKatili waliopindukia mipaka na wasioogopa vyombo vya sheria.
Kwel watu wamekuwa wanyama Awana of ya mungu imepotea jaman tumuombe mwenyenz mungu atsamee Mambo ambayo tnayo yatenda dunia tnaenda mbio Sana. rest in peace 🙏
Baba anaongea kwa uchungu mkubwa ukimsikiliza hii kauli ya kusema watoto wawili hwajawahi kumshinda kimahitaji kauli ya kushujaa kuwaziba binaadamu ya sintofahamu
Awww baba pole sana Mungu akupe nguvu babaa dah watoto wetu wanatakiwa kutuzika sio vinginevyo jamani simjui huyu dada ila ameniuma kwa kweli dunia inaenda wapi hii
May her soul rest in eternal peace, Mwenyezi Mungu aiguse mioyo ya hao waliofanya ukatili huu wakatubu na waache uovu huu ,haraka😭😭😭😭,Roho mtakatifu awe faraja kwenu nyote Pole baba ,umeongea kwa busara sana
Whatever she may have done she did not deserve this cruel act. Poleni sana familia na marafiki!! She was an ambitious daughter. May God have mercy on this soil. Haya matukio ya kutoana roho yamezidi.
Huyue baba anaelimu ya kutosha, Mungu akubariki ,kwa kutupa angalizo nimejifunza kitu kikubwa mno Mungu akupe faraja baba
sana, baba ameumia sana, huu ukatili jamani, MUNGU awafariji mwenyewe.
Baba ata maboyfriend saivi wakuwanao makini tamaa imekithiri wamepatwa na ukichaa
kweli ndugu
Mzee seems so educated, wise and he know exactly what he is saying. You can tell he is in pain . ila mzee nimemuelewa sana . Pole sana baba
Mzee ni lecturer kcmc ushaur wake akikupa utakubali
facts una eza sema hajafiwa yeye daa Ina uma sana 😭😭
He is a Doctor...hujasikiliza?!
Ako na uchungu mwingi sana, pole sana kwa family
@@joycekisamo4896 l
I am so sorry Father for the loss of your daughter. May God give you strength during this difficult time
Very painful her father talking very bold and strong may God help you wipe away your inner tears Rip Neema from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
martha na sio neema
Baba Martha umeongea kwa uchungu sana but very calm that’s why it hurts me deeply, I can tell mzee he loves his daughter, I can tell he knows a lot about his daughter. Mzee anaonekana was a Great Father . Which most of us missing . Mzee anasema niache niongee ni ventilate, I totally understand him . He is in so much pain, ila anajilaza sana . Pole sana sana familia nzima ,
Yaani I am speechless! Siwajui, but it hit me at the core...POLENI SANA SANA 😢
Mungu amtie nguvu huyu baba ana uchungu sana😢
Familia ya Towo poleni sana jamani kwa msiba huo mkubwa.Mungu akawafariji na kuwapa wepesi kipindi hiki kigumu😭😭
Pole kwa familia ya mzee towo wote kwa ujumla MUNGU awatie nguvu najua Hali mnayopitia kwa sasa inaumaaa ila MUNGU awape Amani mungu ailaze roho ya marehemu mahalo pema peponi Amina
Inasikitisha sana !! Hyu mzee yupo strong , Mungu awape subira wafiwa wote , wahusika watafutwe wawajibishwe , huu ni ukatili wa kutisha
Mungu awape nguvu hii familia , huyu baba anaumia sana Mungu amfariji baba .
Wapelelezi wakikomaa kisawasawa wauaji wanakamatwa kama kuku. Subirini. Poleni Sana wafiwa. Imemiuma tumbo la uzazi kabisa.
Pole sana Mzee Mwenyezimungu akutie nguvu na familia yako ! Poleni Sana!
Mzee Towo namkumbuka mimi alikua facilitator wetu katika semina ya blood collection mwaka 2015 Dodoma general hospital. Pole kwa familia ya mzee Towo
Mzee cool Sana alitusimamia mtihan mwaka Jana kcmc he was soo cool dooh
Faraja ya Mungu isikupungukie Baba, Pole sana 😢
Pole mzee ni pigo kubwa lkn mungu ataleta hukumu kwa hao waliozulumu maisha ya binti yako hawako salama na mungu atawadhihishia
Poleni Sana Familia, imeniumiza sana. Martha alikuwa zaidi ya rafiki, hawezi kuja Geita bila kunitafuta. Above all alikuwa very strong na mpambanaji. Aliyefanya kitendo hiki afahamu tuu ya kwamba ameumiza nafsi nyingi, familia na sisi marafiki wa Martha tumeumia.
Pumzika kwa Amani Martha.
Poleni sana jamani
Hivi Hawa watu wasio julikana wataacha kujulikana Hadi Lin? Mbona wanaondoa Aman kwenye Maisha ya familia hii, Roho ya unyama na ukatili, unakatisha Maisha na kuondoa uhai wa mtu, bila hata huruma, any way Mungu nihakimu wa haki hakika Damu ya mwanamke huyu haita waacha salama wale wote walio husika na tukio hili.😭😭😭 hii inaumiza sana
Eemungu tusaidie jamani dunia imekaribia mwisho
Poleni sana Kaka Towo kwa msiba mzito hivyo. Mungu awape faraja.. May her soul RIP
Pole Sana Baba kwa tukio Hilo,Mungu akupe nguvu kwa msiba huo:!!
Hakika Mungu wetu Ni wa haki atafany kitu kwa hao waliyofanya hlo tukio.inaumiza Sana😭😭
Ooh my God...This is really heartbreaking 😢
Poleni sana baba. Inaumiza sana. Unamuchomaje mtu moto tumekuwa na roho za kinyama. MUNGU aiweke roho yake mahali pema.
Nimekuelewa sana mzee. Watapatikana tu mcheki simu ya mwisho kupigiwa uchunguzi uanze kwa vyombo husika, tunaamin vyombo vyetu vya usalama viko vizuri sana vitasaidia katika hili
Hii kiboko. Mhm kumwagiwa petrol na kuchomwa?? Tz tz tz??? Why🥺🥺🥺Rest in peace
Pole sana Daktari na familia kwa ujumla ni kifo kibaya sana amepitia Martha, lakini yote ni kwa yote haki itendeke na wahusika wawajibishwe very soon. Hatuwezi kumrudisha lakini haki itarudisha imani japo kidogo.Apumzika kwa Amani Martha Amina
Halafu hapo ukute Kuna lipumbavu limemuuwa sababu limekataliwa mahusiano. Binadamu shida sana hasa sisi wanaume.. na waliomuuwa Ni wanaume.
Poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu
Jamani binadam tumekuwa na roho mbaya sana jamani tumuogope Mungu😭😭😭😭😭
Pole sana mzee wangu Mzee Towo ... Mungu awafariji familia nzima ya Towo
Daaah pumzika kwa amani Martha baba amenikumbusha mbali mimi ni mmoja ya tuliokuwa tunafanya discussion kwa kina Martha na tunashukuru baba vitabu ulivyokuwa unatununulia vilitufanya tukafaulu mtihani wetu ubarikiwe na pole sana inaumiza ila tumuachie Mungu
Poleni sana
Poleni sana familia.
Ukatili wa hali ya juu.
Wanyama hawa wakamatwe
Pole sana familia mzima watu asaivi wamekua wana roho mbaya sana 😭😭
Nimelia sana kwa uchungu nikakumbuka babu zangu 2013 wqlipolia sana kwq machungu wakimzika baba yangu. Kumzika mwanao awe mzee au kijana inauma sana jamani
Mungu akupe Nguvu baba
Poleni sana wazazi wa Neema
Msiba katika familia usikie tu mtihani mkubwa
😭😭😭inaumiza.
Pole sana baba najua unaumia sanaa Mungu awatie nguvu hii inasikitisha sanaaa
Waliomchoma sindano ya sumu.nao wachomwe.shida nini???? Au wivu.jamani tutafute pesa haya yote yatakwisha.Mungu awalaaani wahusika wote.wakafe kifokama Cha martha.imeniuma Sana.Tanzania tumefikia huko???? Mungu awalaaani wote woteeeeee.wapumbavu wakubwa hao
Kuna binadamu wabaya sana pole sana kwa familia
Huyu mzee ana shule xana, pole sana baba na mwalimu wangu wa medical lab
She was Dadies Girl😭😭😭Mungu ampumzishe Kwa Amani
Pole sana Mzee Towo. Mungu awashike Kwa mkono wake wenye nguvu. Rest easy Martha😭😭
Dah very painfull..rest in peace Martha...Baba na familia Mungu awafanyie wepesi
Pole sana baba angu.... Mungu pekee ndio wa kukufariji 😢
ALLAH awaadhibu wote walio mfanyi unyama huo...
Dah wamemfanyia unyama mkubwa Sana huyu dada jmn wamemchoma sindano y sumu kuharibu Figo jmn 😭 hata angepona Moto angekuwa mbovu wa figo
Baba said it all😥
Mungu awape nguvu na faraja ya kweli itokayo kwake.
Pole sana baba Mungu akupe faraja 🙏🙏🙏
Pole sana familia , baba umeumia umejitahidi kujikaza pole sana 😢
Pole sana, Mungu akupe nguvu uyashinde majaribu
Mwenyenzi mungu mwingi wa huruma awavushe familia na baba mzazi wa neema katika kipindi hichi kigumu🤲🙏
So sad and painful. May God grant them comfort.
Mungu Apumzishe Kwa Amani dada Matha
Mungu akutie nguvu Mzee Towo, pole sana 🙏🙏🙏
Pole sana Mzee mungu akutie nguvu
Dah pumzika kwa amani Neema,Mungu wa haki ashughulike na wale wote,walioshiriki kitendo hiki kiovu cha kuutoa uhai wa mtu asiyekuwa na hatia yeyote,,,,
Poleni sana wazazi na ndugu wote wa marehemu mwenyezi Mungu ampuzishe mahali pema. Amen
Jamanii So sad. Pole sana Baba na Familia Ee Mungu uwe faraja Kwa Familia hii inaumiza sanaa.
Masikini!😭 mbona ameuliwa kikatili sanaaaa..😥dah..
Pole sana kwa familia, Mungu awafichue wote waliohusika na unyama huu
am speechless 😭😭Ee Mungu Baba ulie juu mpe nguvu huyu baba
Poleni sana 😭😭 every soul will test death 🙏
Pole sana baba , mungu awatie nguvu and may she rest in peace
Poleni sana familia.Mungu atawafichua waliofanya hivo.....Rest in peace Ney
So painful. Pia malezi mazuri ya misingi ya kiimani Familia imejenga. RIP Dada & Mungu awape faraja Familia ya Towo, Amen.
Familia poleni sana Ila mumuachie Mungu atoe adhabu mwenyewe ndio itakuwa size Yao aiseee Sindano moto walimpa hard time sana
Poleni sana jamani Mungu awatie nguvu.Atawatia adui zetu mikononi mwetu.
Pole sana wazazi ,Mungu awape subira. InshaAllah kifo chake itakuwa ndio kiingilio chake cha makazi mema peponi, sote tutarudi kwa Mungu Ila Mwenzetu Martha katutangulia, InshaAllah waliomdhulumu Martha Mungu atawalipa wanachostahili.Majirani na ,viongozi wa mitaa tuna jipangaje kupambana na wahalifu. usalama wa taifa taifa, polisi mnatimizaje viapo vyenu vya kulinda Raia na mali zao. Jamani kahama Mwanza kunahitajika juhudi za ziada za kuzuia uhalifu dini ianze kusomeshwa tokea chekechea. Hadi watu waZima. Inasikitisha hizo sehemu zina waKatili waliopindukia mipaka na wasioogopa vyombo vya sheria.
I can't explain how family feel 😭,super sad jamani 💔😭
Pole sana baba...Kwa mungu hakifichiki kitu wataumbuka tu
Kama unaamini uyuu mzee ahekima na nimsomi gonga like
Pole dady wangu Pole sana umeongea kwa utulivu mkubwa lakin kwa hekima kubwa zaidi ukituwasa vijana kuwa makin thank you again dady
Hapo ni ishu ya mapenzi au ofisini watrace call zake watampata muuaji.
Ni rahisi sana kupata ushahidi
kama anatumia namba za kuchonga wanazosajili watu wa tigoooo au voda za kununua mtaaani kwa mafreee lensa unadhani watampata
Pole sana kwa familia. Allah awafanyie wepesi wakati huu mgumu.
Wajikaza sana baba ila waumia sana ,, pole sana babangu
Pole baba ni wivu tu wawatu wamemuonea bure na kuamua kumpoteza,Mungu awape nguvu na iimani.
Pole Sana baba! Mungu awape faraja na Hakika Mungu atawaweka peupe waliotenda ubaya huu!😢😢
Pole sana baba duu maumivu uliyonayoo hakuna atakaye weza kuyaondoa ila Mungu akufariji tu.
Kwel watu wamekuwa wanyama Awana of ya mungu imepotea jaman tumuombe mwenyenz mungu atsamee Mambo ambayo tnayo yatenda dunia tnaenda mbio Sana. rest in peace 🙏
Baba anaongea kwa uchungu mkubwa ukimsikiliza hii kauli ya kusema watoto wawili hwajawahi kumshinda kimahitaji kauli ya kushujaa kuwaziba binaadamu ya sintofahamu
Awww baba pole sana Mungu akupe nguvu babaa dah watoto wetu wanatakiwa kutuzika sio vinginevyo jamani simjui huyu dada ila ameniuma kwa kweli dunia inaenda wapi hii
Baba yuko strong sana
Huyu mzee ni mtu wa Imani
Nimepata uchungu sn jmn ila Mungu atawahukum wote walio fanya tukio hilo😭😭
Poleni sana Mungu awatie nguvu
Hii Tanzania sio ile tuliyosoma na kukua, sijawahi ishi huko tena tangu nipo 22yrs old but sikuacha Tanzania hii, this is something else. Scary.
Allah plz fix this ht kwa ajil ya baba yake tu.. Yaraby 😭😭😭🙌anaumia Sana hy mzee
Respect to this dad
Mdogo sana, RIP dada..
Pole baba mungu akutie nguvu
Mungu awape ujasiri zaidi kwenye kipindi hichi kigumu Ameen na mungu ailaze roho ya kipenzi Martha peponi 😭😭😭😭
Poleni sana! Ndugu zangu mungu awape nguvu wafiwa wote na imani
May her soul rest in eternal peace, Mwenyezi Mungu aiguse mioyo ya hao waliofanya ukatili huu wakatubu na waache uovu huu ,haraka😭😭😭😭,Roho mtakatifu awe faraja kwenu nyote Pole baba ,umeongea kwa busara sana
Kitu ambacho sikiwez katik maisha yangu ni lifti jmn siviwez kbs
Maskini jamn, eeh Mungu awapefaraja familia na marafiki katika wakati huu mgumu..poleni sana
😭😭😭😭😭😭😭Pole baba mana hata kuelewa unashindwaa Pole familia
Poleni sana jirani zangu Towo Mungu awafariji sana na awape nguvu
Dah inauma jaman baba amenitoa machozi huyu😭
So sad, but our grand pa is emotional enough, may our almighty God give Martha family courage.
Whatever she may have done she did not deserve this cruel act. Poleni sana familia na marafiki!! She was an ambitious daughter. May God have mercy on this soil. Haya matukio ya kutoana roho yamezidi.
✊🏽✊🏽
Wana wake. Acheni. Kula. Vya Watu Mtaisha. Maana. Mmezidi
Kwanini @mara watu wasiojulikana na kumchoma madawa kwanini😭😭😭😭😭😭😭😭
Mzee never give up 😢
Sote ni wa mungu na sote tutarudi kwake
this father seem to be very educated
Amina baba pole na msiba jamani umetufundisha elimu nzuri Sana mungu akubariki Sana duuh
Pole sana Kwa Familia. Mambo ya Mapezi itakua nilivyo msikiliza Mzee Kwa umakini.