Rais mst. Jakaya Kikwete anavyotekeleza kwa vitendo 'Kilimo Kwanza' (MAKALA YA SHAMBANI - AZAM TWO)
Вставка
- Опубліковано 18 січ 2018
- Rais mstaafu Jakaya Kikwete atekeleza kwa vitendo sera ya kilimo kwanza katika eneo la Kiwangwa Bagamoyo Mkoa wa Pwani kwa kulima Nanasi na Papai
- Спорт
Ongera raisi wangu
Upo vzr San rais msitaafu
safi sana raising wetu waukweli maisha safi hata Mimi nimekuiga
Hongera sana mstafu wetu
Safi sana mzee baba jakaya nakukubali sana
Ni nzuriii sana,,wengi wanatamani Sana Kuwa hivyo tatizo mtaji
Jonas Kabonda umeonae,aliwekeza
kilimo kwanza,inspires me than ever..lets fight Watanzania
raziah hassan ...Kilimo kwanza ilikuwa ya Maana sana sema tumeiweka kando tungekuwa na Akili Tungeshafika Mbali ila tukubali tukatae Viwanda bila kilimo ni sawa na Bure tuuu.. Mzee wee Piga Kazii
Kumbe!! Hongera sana Jakaya
Mzee uko vizuri.
hongera mh
Create juice factory jameni..
Kwann watu wanaujumu selekali wakati fursa ipo
Watu wana mapesa NABADO awaridhiki ww huna chochote alafu hutaki kujituma
Jamaa alijimilikisha sana mashamba ya mananasi hapo Kiwangwa duuu
hakili ya kuambiwa changanya na ya kwako
Mzee umeamua jambo jema sisi unaoamini katika kilimo tunasema kilimo ndio uti wa mgongo wa dunia
Tunaomba mtaji mheshimiwa JK
Kassim Ally pambana nahali yako nayeye anapambana nahali yake.hahahahahaha
jama
Mm najua hk 400 na co 200
bro ngamange
jaman mi hii kax naipeda san tupen no zenu tupate masomo
Kiwanda cha juice ya mananasi .
flxgreen haaaaaaaaaaa
mzee nakupongeza kwa hilo
big up mzee
Hongera mheshimiwa tupo pamoja.
deus stanslaus safi sana nimependa
Stanley Mfikwa haaaaaaaa nimecheka kwasauti,mpo pamoja nawakati analima kwanguvu zake nakula mavuno na familia yake
mtaji alioweka hapo si mchezo, kwanza maji tu hapo ni mamilioni tayari. Sisi maskini tulie tu.