Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
One love ❤❤❤💯💯🇹🇿
SUPER GENIUS DIRECTOR leo ontime nipeni like 10 tuh
Snake boy mpaka lini director
szani kama itakua nzuri Aise wameanza kutuanhusha. Nenda kwa #Chado masta ujpatie Movie kwa Haraka zaid
Chado master, Chumvinyingi gang na Director Gozi ndio wanaongoza kwa uigizaji. Kila siku episode mpya.
Movie imekatakata sauti hata sehemu nyingi hatuajelewa wanasema nn. Mmetuboa kiukweli. Muc love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akupe nguvu na ujasiri wewe ni mtu mwema maishani,unatufunza mambo mengi tusio jua,#kenya❤
kazi nzuri sana!
Kakoso anavo like comments zetu anatupa nguvu Sana ya kumsaport❤❤❤
Kakoso seemu zigine hazina sauti
Umefeli sana kakoso kwenye sauti mpaka umeboa sana
Sijailewa Sana maana hamna sauti .
Saut inafer kwangu tu au maana kama sielewi
Jamani jimove liko more fire 🔥 ila mnaleli kwenye sound to
Mouvie ni nzuri sana kbs but nuko sehemu hazina sauti sehemu nyingi tuuu hata sehemu ya kwisho sauti haukuna
Haujawahi kutuangusha director wetu ❤❤❤
Kakosoooo kwanini hupendi kusikiliza ushauri wa mashabiki zako?
M❤
Jmn mbona me hii mov nimeielew vzr2 jmn
Najma wewe rariki mnafki hufai hata kidogo kuwa rafiki. Kumbe unamtaka mkango ndo maana ukamsingizia yote hayo Teresa .
Sauti mbona inakatakata
Hunaga kazi mbaya❤
KAKOSO NICE MOVIE ❤BUT WE ARE HAVING ISSUES WITH THE SOUND….SIJA PENDA😊
Teresa kaenda kwa mkango kuomba msamaha ndo sauti hakuna. Kila movie lazima iwe na kasoro kwanini lakini ? Mara ngapi unashauriwa ukitoka location kabla hujarusha vipande upitie kwanza uone wapi panahitaji marekebisho? Lakini wewe hufanyi hivyo
movie lakijinga sana hili .mnaamza kuboa
Nashukuru kwa comment yako maan imenibidi niache kwanza kuangalia nisimelize mb hadi umalizie uboya wake ni nini
One love ❤❤❤💯💯🇹🇿
SUPER GENIUS DIRECTOR leo ontime nipeni like 10 tuh
Snake boy mpaka lini director
szani kama itakua nzuri Aise wameanza kutuanhusha. Nenda kwa #Chado masta ujpatie Movie kwa Haraka zaid
Chado master, Chumvinyingi gang na Director Gozi ndio wanaongoza kwa uigizaji. Kila siku episode mpya.
Movie imekatakata sauti hata sehemu nyingi hatuajelewa wanasema nn. Mmetuboa kiukweli. Muc love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akupe nguvu na ujasiri wewe ni mtu mwema maishani,unatufunza mambo mengi tusio jua,#kenya❤
kazi nzuri sana!
Kakoso anavo like comments zetu anatupa nguvu Sana ya kumsaport❤❤❤
Kakoso seemu zigine hazina sauti
Umefeli sana kakoso kwenye sauti mpaka umeboa sana
Sijailewa Sana maana hamna sauti .
Saut inafer kwangu tu au maana kama sielewi
Jamani jimove liko more fire 🔥 ila mnaleli kwenye sound to
Mouvie ni nzuri sana kbs but nuko sehemu hazina sauti sehemu nyingi tuuu hata sehemu ya kwisho sauti haukuna
Haujawahi kutuangusha director wetu ❤❤❤
Kakosoooo kwanini hupendi kusikiliza ushauri wa mashabiki zako?
M❤
Jmn mbona me hii mov nimeielew vzr2 jmn
Najma wewe rariki mnafki hufai hata kidogo kuwa rafiki. Kumbe unamtaka mkango ndo maana ukamsingizia yote hayo Teresa .
Sauti mbona inakatakata
Hunaga kazi mbaya❤
KAKOSO NICE MOVIE ❤BUT WE ARE HAVING ISSUES WITH THE SOUND….SIJA PENDA😊
Teresa kaenda kwa mkango kuomba msamaha ndo sauti hakuna. Kila movie lazima iwe na kasoro kwanini lakini
? Mara ngapi unashauriwa ukitoka location kabla hujarusha vipande upitie kwanza uone wapi panahitaji marekebisho? Lakini wewe hufanyi hivyo
movie lakijinga sana hili .mnaamza kuboa
Nashukuru kwa comment yako maan imenibidi niache kwanza kuangalia nisimelize mb hadi umalizie uboya wake ni nini