DIAMOND ATOA AHADI KUMSOMESHA MTOTO WA DIDA MPAKA AMALIZE MASOMO/MAULID KITENGE AWASILISHA KAULI
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- DIAMOND ATOA AHADI KUMSOMESHA MTOTO WA DIDA MPAKA AMALIZE MASOMO
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Ktk uisilamu haipaswi kuzungumzwa mtu kwa ubaya pindi tu anapofariki . 😢 innalillahi wa Inna ilaihi RAAJEOUN 😢
Shekh mazinge mwenye zimungu akulinde kwa kila jambo kwa elimu unayotoa kwa jamii na sisi mwenyezimungu atusaidia hata robo ya maisha yetu kuwasaidia wengine ishaalah.
Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amina
Omba ufe upokelewe Kwa mungu muumba kuzikwa nawatu maarufu au wengi Wala haisaidii chochote
maneno yako ni kweli ndugu
Exactly
Kwa hiyo ulitaka asizikwe! Acha roho mbaya huko kwa Mungu anajua Mungu mwenyewe lkn pia hiyo ni picha kwamba aliishi vipi na watu wakati wa uhai wake.
Nikweli ulivyo sema ndugu ila kuna kitu muhimu nikuambie mungu ame tusisitiza tuishi na binadamu wenzetu vizuri na kupata watu wengi ni moja ya kujua uliishi vipi hapa duniani. Na kwa dua za hao watu wengi ndio msamaha wake waeza pitia hapo mungu akampokea kwa wema.
Kweri kabisa hata sala hazisaidii ukifa mwili unabaki roho inatoka
Wewe unaesema katolewa kafara,nahisi hauna akili timamu! Kiufupi hujielewi
Pole kumbi la moto umefiwa japokuwa mliachana ila msamehe mwenziyo kama alikukwaza
MUNGU 🙏 AENDELEE KUWAFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU 😢 HASA BINTI YAKE. AMUWEZESHE ASOME HADI PHD
DIDA KAFA KAMA WATU WENGINE. MWACHE APUMZIKE. MLELEENI MTOTO WAKE😢😢😢
Yeyemwendo ameumaliza,swali limebaki kwetu tutamalizaje mwendo?kwa maana nguzo 4 zote za kikafiri zimetuzunguka.
Nikuomba Mungu atupe mwisho mwema katika safari hiii.
Kila aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache, tusijisahau tuishi maisha ya toba tu.mana hakuna mkamilifu
Wew umemuona Kama kamtoa kafala achen maneno hayo nduguzangu unaweza toa ushahidi Kama kamtoa punguzen maneno
Mungu akusaidie mondi
Jamani msimkufulu mungu mnasema daymond kamtowa kafara mlimuona hiyo ni sili ya mungu yeye ndye anayejuwa mja wake kafa Kwa tatizo Gani msipate dhambi kusema mondi
Inna lillah waina ilayh rajoon Allah mpe
Kauli thabit.
Acheni kuongea mambo msio ya jua amtoe kafara kwalipi msibishane na ahad ya mungu
Kuna watu watachomwa moto kwa kujitakia kwani dida hawezi kufa?
Innalillah wa innalillah rajiuni 😢
Mwili wetu roho ya MUNGU,atulaze mahali pema peponi
mbele yako nyuma yet mwenyezi mungu.akuwondolee na azabu za kabulini.amena
Mungu awe subra familia
Mmhhhh mtaeleewa Tu badae. Sahv hamuez kuelewa usanii una Mambo mengi nyuma ya pazia
True
Kumbe umeelewa
Kafala ya nyoko ko KENYA ile meli nayo nikafala
Mlipieni deni lake in Sha Allah
Mi nashangaa eti diamondi kamtua kafara amekua mtoto wake tuache kuhukumu
Kaka yake alisema alifariki coz aliacha kumeza dawa
Alikuwa mgonjwa wapi@@ElizabethNafula-kd1qn
Mbele yetu nyuma yake Mungu nimwema 🙏
Ivi kumbe kweli nilikuwa siamini lakini ebu tumjue Mungu
Sasa hpo Zimbabwe kunaumbali gan angekwea pipa akawahi kuzika😢😢😢
Kwani ye akija ndo atasaidia nn sio mama yake huyo alikuwa mfanyakazi wake tu so walokuwepo karibu wanamuwakilisha tu maisha lazima yaendelee
Dida angekuwa mama yake mzazi angekwea pipa lazimaaa aje kumzika mama yake dida si mama yake
Haijalishi bhn angefika to msibani kazi zipo to lakini atambue hiyo ilikuwa safari ya mwisho ya mwenzetu angefika to sijapenda kwakweliiiiiii
@@RukaiyaSultan-f3mNa kweli anagekuja tu kwani anapoteza nini kama pesa anayo bora angemzika mwenzake
Anaagalia 📺
Kwa hyo kila anae fariki katolewa kafara achane zana mbaya
Acheni uchochezi wa maneno niye mnotoa coment za ovyo kafara mnaijua nyiye nani ameshuhudiya hiyo kafara
Tujue kuwa hii dunia tunapita tujitahidi kufanya yanayompendeza Allah
Mjue mnajizoleya dhambi nyiye mnotowa comenty za ovyo
Kila nafsi itaonja mauti. Tujiandae na safari. TUACHE KIBRI. Tumtafute MUNGU wa kweli tutekeleze maamrisho yake na tuache makatazo yake
Yesu ninani bwegenn
Mdomo adui hayaaaa
Innalillah wainnalillah rajiun
A'alaykum ,, nawaomba wote wenye vdeo au pich za marehem ambaz hajajistiri zifutwe na zisisambazwe kwasbabu kumpunguzia dhiki uko alipo na kumuombea dua Allah amsameh madhambi yake ila vdeo na pic mhurumieni huko aliko zifutenk na musisambaze😭
Jamani tupendane tu atayekuzika hamjui,,
Sasa hapo mambo ya kusema wakristo hawana dini yametoka wapi?nyie wenzetu mnajionaga dini yenu ndo ya haki.kila mtu asimame kwy Imani yake mbinguni hakuna dini...acha hizo
Samahani sana ndugu yangu aliyekwaambia mbinguni hakuna dini kakudanganya, Yalaiti ingalikuwa hivyo basi manabii wasingetumwa kuja kuwalingania watu Karne baada ya Karne, tafuta ilimu na omba Allah akuongoze In Sha Allah 🤲🤲🤲
Yaishe jmn
Dada utafungwa
Wakristo hamna dini ndo mana kila anokufa katolewa kafara kwa hy watu wasife
Acha uboya ww una din
@@asyachetu2388 acha kutukana ukristo huyo aliyesema hayo ndio udili nae tafadhali sana
Poleni sn wafiwa
Amtie kafara yanin acha Iman za kishirikina wew mbona wew hajakutia kafara muda ukifika Kila mtu ataenda waliko tangulia wenzetu mwonbee Kwa mungu sio kuongea maneno ya ajabu watz mnatia aibu hivi vinaangaliwa mbali zaidi sio tz tu mpka Kwa wenzetu tuwe na maneno ya faraja
Angalia mauridi kitenge sio sehmu nzuri hp
kila nafsi itaonja mauti wewe na mimi hatujuwi lini ila kufa kuko kama ulivyokuja peke yako duniani utaondoka peke yako na utalala nyumba ya peke innalilah wainna rajiun
Akiondoka alijua mmh zibwabww mbali mmh
Msenge wewe unaesema dida katolewa kafara unawaza kwa kutumia mkundu au?
Kwa Sasa hueleew ipo siku utaeleewa
❤🤲🤲🤲
Hili naye ampeleke kwa didi
Yaan mwandishi WA habar anasema mama dangote diamond platinum kwenye maziko dah
Acha imani potovu dada huna imani wewe poleni
DAMU YA YESU INATOSHA,TUMKIMBILIE YESU KRISTO TU,NDO ATATUOKOA NA HII DUNIA ILIYOJAA URAFIKI WA KINAFIKI.
Wewe huyo yesu nayeye amefariki mufu atamuokowa mwenzie
YESU KRISTO YU HAI,JANA LEO NA HATA MILELE,NDIYE ALIYESHINDA KIFO KWA AJILI YA WANADAMU WOTE..AMEN
Kwako ni mfu ila kwetu ni ufufuo wa wafu mamlaki ya enzi yapo mabegani mweke
Hakika Damu ya Yesu inatosha na tunatamani kila mmoja angelijua hili
AMEN
Kumbi lamoto maskin
Dai hawezi kuwepo hapo anajuwa alolifanya ili aizime stori ya Pididi wafanya kazi wa wasafi amkeni kabla ya rip
Samahani ondoa neno mzigo mtoto cyo mzigo
Kwan diamond Yuko wap
Et kamtoa kafara huna dinni
Kamtoa kafara halafu kajitolea kusomesha mtoto wake,,😢😢😢😢😢wajinga ndio sisi
Huna akili mbwa wewe
Usiruhusu kinywa chako kinene maneno machafu Mwenyezi Mungu ndie mwenye kutoa hukumu
MBONA KAKA YAKE KASEMA POBE KALI NA VIDONDA VYA TUMBO NDIVYO VIMEMMALIZA NA ALIACHA DAWA? SASA WEWE UNASINGIZIZAJE WATU UTAPATA LAANA WEWE😏😏😏😏😏😏
Muogope mwenyezi mungu
Unaongelea ayo maneno ya kafala mdomon au mkunduni