MANENO MAZITO YA SHEIKH WALID MBELE YA JENEZA LA MAREHEM DIDA KABLA YA KUSWALIWA MASJID MAAMUR
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- • MANENO MAZITO YA SHEIK... #KHIDMATV #SheikhWalidAlhad #nasaha #msibawadida #mtangazajiwasafifm #dida #khadijashaibu
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
UA-cam: / @khidmaonlinetv350
Ma Shaa Allah Sheikh wetu Sheikh Walid Jazaka Llahu khayran.
Usimuhukumu mtu ukimnyooshea kidole kimoja mwenzio basi vitatu vinakurudia weye mwenyewe usimuhukum mtu hujui yasiri yake yeye na mola wake usimukuhukumu weye sio mungu hatujajuwa sie mwisho wetu na vizazi vyetu haifai huu ni ukumbisho kwa kila mtu jamani haifai tutazidi kumuombea kwa mungu tunakupenda marehem dida Allah akulaze pema peponi Amin . From uk 🇬🇧
Allahumma ghfirlaha warhamha waskinha filjannat Yaarabbi...amin
Ameen ya Allah 🤲🙏
Mwenyezi Mungu ni mjuzi wa amari za mwanadamu. Sio binadamu.
Hapana allah nasema fanyeni amali njema yeye ataona pamoja na mtume wake na wale waumini pia wataona...kwa iyo hata binadam wanaona mema ya mtu au mabaya yake cio mungu tu
ALLAHU Salamu"usimuhukumu mtu kwa matendo yke ..Allah ndoanaejua
Mtoa hukumu ni Allah hujui ndani yke pengine alikuwa akitoa sadaka pengine alijenga kisima vipo vitu vingi usimuone mtu kwa nje ujui ndani kafanya nn tusihukumiane
Innalillah wainnailah rajiun Mungu ampe makazi mazuri
Allah ndo mjuz kw watu, tusihukumiane, hakimu n Allah pekee, na ndo mana tunaomba mwisho mwema na Allah atupe pepo yke kw rehma zake na sio kw matendo yetu
Mbele yako nyuma yetu didaa..😭😭😭😭😭😭😭😭
INNA LILLAH WAINAA ILAYHI RAJIUN
Tusihukumu jamani Rehma ya Allah nikubwa sana kwa wajawake tumuombey mema Zaidi .
Tunamuomba Allah amusamee dada yetu makosa yote Alio ifanya apa duniani. Ni mengi tunayafanya kama wanadamu, Tunamuomba Allah atujalie toba mbele ya kufa.
Na sisi tulio Baki iwe Funzo kwetu , tusiipende dunia saana mpaka tunasaau kama kunasiku tutaviacha, nakurudi kwenye tumetoka. Tupendane, tusameane, kwa ajili ya Allah,
Na Tunamuomba Allah atujalie Mali ya halali, isio kuwa ya haram. Juu Mali nayo njoo inatufanya tupotee.
Kifo ni mawaiza kwa kweli , leo tupo kesho atupo. Kila mtu awe anajiuliza leo nikifa kitu gani tapeleka mbele ya Allah?
Hukumu za Nini jaman wewe unajuaje mzuri kwa mungu we unaemuona chiz ndo Bora kwa mungu muhimu dua..tu yule anaeyona yy sahihi na sio sahihi
Unaminzani gani ulionayo ,yakupimia dhambi za viumbe wewe kiumbe ,mkamilifu ni Allah hatawewe unayako madhaifu ,usimhukumu mtu pekeyake nidhambi nduguyangu 😢
Unakijua kisa cha mlevi ss ajabu mlevi kaingia peponi kwa nn kaingia pepon alikufa watu wa mji wake wakasema mlevi huyu atazikwa na nani chaajab shekhe wa hpo anasema nimelala nimeoteshwa mlevi yuko pEpon anaenda muuliza mkewe huyu alikuwa na amali gn mbona nimeotedhwa yko pepon mkewe anawaambia alikuwa akitoa sn sadaka akisaidia yatima kwa hiyoo tusihukumiane tuombe mwisho mwm
Pumzika amani dida
Tajemi mema ya maiti zenu Kwa Nini useme hawezi samehewa ? Unajuaje khatma yake mlango wa Toba upo midhali roho haijafika tamati tumuombee na tutaje yale mema yake
Kwan hawez msameh ww NDO unaufunguo wamsamaha wamungu,au unajuwa ww utakufaje labda
Ewe mwenyezi tusamehe ss wajawako
acha kuhumu wewe sio mungu anayejua hukumu yake ni allah peke yake
Muhimu ni dua kwakwe musiwe mujirimuni taja mema yake tu
Iv nyie mbon mnakuwa kama hamnaakili jaman heb jalibunikuwa na subra na at sura yaaibu unajitamkia2 maneno yako je ww unajua umekanilik ama hujakamilik au unasema hivyo kwasababu jamb hili halipo kwako
Kwanza mujue waumini mtu yeyote anaekufa ijumaa huyo ni mtu mwema
Umeyatoa wapi hayo?
Dida hakufa ijumaa
Sikweli kuna mawaidha ya sheikh Nasor Bachu amefafanua vzr sana.
KUISHI NI YESU KRISTO ILI KUFA IWE FAIDA SI VINGINEVYO MAANA AMUAMINIYE YESU NA KUBATIZWA ATAOKOKA NA KUISHI MILELE SI VINGINEVYO KAMWE
Unamjua huyo Yesu na unamfuata? Au unamfuata Shetani Paulo?
We dishi limeyumba
Imeandikwa wapi hio
BWANA YESU KRISTO PEKEE NDIYE MWANZO/ ALPHA NA MWISHO/OMEGA HAKUNA MWINGINE
We naee
Anaweweseka@@anzerranisadiki2443
Asingekufa km hana mwisho na mwanzo wake tunaujua alizaliwa na Bi Maryam
Bwana wako peke yako
Kwa Yesu kila goti litapigwa, hilo halina mjadala
Lakini dida mungu hawezi msamehe hakuacha athari yoyote njema duniani watu wakanufaika nazo, zaidi ya maovu machafu mgombanishi mvurugaji , ndoa nyinyi zimevunjika zawatu kupitia yeye, hakuna mastaa wasanii muna lakujifunza hapo alitakiwa atubu be fore
Mwenyew nafasi Kwa m/mungu anajulikana na mungu sio mim n ww
Wewe ninan mpaka useme ivyo
Dah. Wewe ni tahira kabisa maskini ummu jauzan. Unampangia Mungu unayoyataka wewe. Wewe unajua kila alilofanya Dida
Kipenzi Mareham asemwi vibaya ndugu yangu hakimu ni mungu2 mpendwa😢😢😢sisi jukumu letu ni kuomba dua2 kwa marehemu wetu.wote waliyotangulia mbele ya haki
Ni kweli alionekana akiishi nje ya taratibu za Allah lakn tumuombee dua tu maana hatujui wakati anakata roho huenda alitubu palepale na hakuna aliyesikia zaid ya Allah. Wapo watu wanapata bahat maisha yao yote anasa lakn mwisho unakuwa mzuri! Inakera sn mtu akiwa hai hana haja na dini ila akifa ndio aimbewe lakn mm nashauri tuombeane tuu hatujui mwisho wetu pia🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Unaweza mkuta firaun peponi so usihukumu
Tuwache kidogo
Firauni tena hee umezidi
Io haiwezekan fir aun makaz yake tayr yesha ainishw ktamb
Firauni ni kafiri hajaamini utamkutaje peponi? Au ndio nyie mnaowaombea dua za pepo wasiokua waisilam hali yakua hawakuamini?
M2 atakua muislam lkn matend yake hayafqnan kbbissa na uislam huu n mtihan jamn 2ckubal matendoyet yakaw hayaendan na AKIDA ye2
acha kuhumu wewe sio mungu anayejua hukumu yake ni allah peke yake