VITUKO vya AGGREY MWANRI, WAZIRI MKUU HOI - "HARUDI MTU MISRI, KAMA MNATAKA KUJINYONGA, JINYONGENI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • VITUKO vya AGGREY MWANRI, WAZIRI MKUU HOI - "HARUDI MTU MISRI, KAMA MNATAKA KUJINYONGA, JINYONGENI"
    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, ametinga mkoani Kilimanjaro kupiga kampeni ya kunadi sera za chama chake cha CCM na kuwaombea kura wagombea wa CCM katika majimbo ya Kilimanjaro...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 144

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 4 роки тому +61

    Jamani maguful mahali uliko naomba umpe mwanri kz plz usimuache nje

    • @abdulramanhemed3749
      @abdulramanhemed3749 4 роки тому +2

      Hata kama hata kua na office awepo ndani ya sirikali tuu mzee wakazi ..... kwa hakika mungu azidi kuibariki tz mm kutoka +254 naamini tz kuna kiongozi mzee jpm na wafwasi wake

    • @ksmally1985
      @ksmally1985 4 роки тому +1

      Anafaa sana kuwa kiongozi

    • @bonifacemwakifwamba1545
      @bonifacemwakifwamba1545 4 роки тому +1

      Kabisakabisakabisakabisaaaaaaaaa

  • @emmanueldoay8987
    @emmanueldoay8987 4 роки тому +1

    Safi sana mh. Mwanri tunahitaji viongozi waadilifu na wenye uzalendo na nchi na tabasamu. Tunatambua mchango na umuhimu wako ,mungu akujalie maisha marefu .

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 роки тому +76

    KAMA UNAMKUBALI MWANRI KAMA NINAVYO MKUBALI MIMI BASI GONGA LIKE TWENDE SAWA

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga4761 4 роки тому +12

    Mwalimu wangu nimekumisi sana ulinipika vzr sana Mungu akujalie

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 4 роки тому +41

    Mzee wa Toronto yuko pw sana

  • @ZaksVillage
    @ZaksVillage 4 роки тому +9

    I love Tanzania.

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed3749 4 роки тому +20

    Wangapi wamesikia NITAPIJA MZIGO BABU KUBWA ANIPE LIKE YANGU HAPO..... JPM HOYEEEE CCM HOYEEE

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 4 роки тому +9

    Umesimama ktk kwel mungu hatokuacha milele

  • @esthermtey6634
    @esthermtey6634 4 роки тому +4

    Hekima yako imenifuza kitu baba.jamani Mungu atakupa cheo kikubwa zaidi ya hicho Magufuli ajapungukiwa na chochote mbelezako.asante baba

  • @catherinemraishe3264
    @catherinemraishe3264 4 роки тому +2

    Baba lao huyu mwangalie jicho la tatu
    Safi Sana
    Mago juuuui
    Namwita Daud Rais wetu
    Mungu Yehova maisha marefuuu

  • @franciscamhagama3281
    @franciscamhagama3281 4 роки тому +9

    Tumekumic Tabora
    Tutakukumbuka sana haswa katika mapinduzi ya kijani
    Viva Mwanry Aggrey

  • @johnsaid9525
    @johnsaid9525 4 роки тому +13

    Mzee wa Toronto 🙏🙏🙏

  • @francismigongwa6112
    @francismigongwa6112 4 роки тому

    Good Mzee wa Toronto uko vizuri Sana yajayo yanafurahisha

  • @francisrukeisa6299
    @francisrukeisa6299 4 роки тому +26

    Ninamwombea mzee Aggrey Mwanri kwa Rais Magufuli ampatie nafasi serkalini kwa sababu ni mzalendo barabara.

  • @davidmendrad4749
    @davidmendrad4749 4 роки тому +3

    Kweli hyu mzee yuko vzr sana angekuja kupewa hata ukuu Wa mkoa Wa DSM ingependeza

  • @godchuwa1064
    @godchuwa1064 4 роки тому +7

    Nakukubari sana mzee wang

  • @emmykimaro5118
    @emmykimaro5118 4 роки тому +1

    Umefanya jambo lakishujaaa kwakweli Watu wa Siha tunakukubali sanaaaa na maneno ya upako ndani yake🙋🙋

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 4 роки тому +23

    Sukuma Ndani Mweshimiwa Mzee Wetu atakuona uko vzr

  • @samwerdyantanye4615
    @samwerdyantanye4615 4 роки тому +56

    Mheshimiwa rais mwangalie kwa jicho laupendo mzee wtoronto yuko vizuri

    • @simongalahenga6858
      @simongalahenga6858 4 роки тому

      Wizara ya tamisemi jafo achukue nafasi ya waitara anasifa nyingi ni kingozi mwalimu atawasaidia wakuu wa mikoa na wilaya

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 4 роки тому +22

    Huyu Mzee ukiwa ulimfatia sana ktk uongozi wake basi hautojiskia vzr kumuona hatopata madaraka yeyote serikalin amejitahid.

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 роки тому +10

    Huyu Mzee alikuwa anajibu maswali bungeni bila kutafuna tafuna..kiufupi yuko vizuri..SOMA HIYOOO

  • @noeltheson2750
    @noeltheson2750 4 роки тому +13

    Mzee wa Toronto sasa sijui unataka siha iwe kama Jerusalem 😂😂 uko vizur sana

  • @costamshanga7801
    @costamshanga7801 4 роки тому +3

    Huyu mzee bado anatufaa sana kwenye ujenzi wa taifa letu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 роки тому +6

    Maneno ya hekima na umoja na mshikamano uliojengwa na Ccm ni mfano kwa mataifa mengine sio wengine wakikosa wanahama chama!
    Siha hoyeeeee....barabara ya fuka mpk Kibongoto lamiiiiii😍😍 madukani mpk Mae juu lamiiiiiii

  • @lucykilonzo2749
    @lucykilonzo2749 4 роки тому +3

    😂😂😂😂😂😂mchaga ni mchaga tu big up

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 4 роки тому +13

    Nakukumbuka sana kwa mazuri yako tunakuombea barikiwa sana. Nimaombi yetu Magufuli akukumbuke tena

  • @abiniyerdmnyaga5352
    @abiniyerdmnyaga5352 4 роки тому +28

    Duuuuuuuuuh mheshimiwa mpe nyadhifa huyu mtu

  • @stevendeogratius7207
    @stevendeogratius7207 4 роки тому +8

    Agrey Mwanri ni mtu safi sana??

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud6097 4 роки тому +1

    Nampenda sana mwanri kwa maongezi yke.ucjali Magufuki atakupa kazi tu

  • @sebastianjuma8386
    @sebastianjuma8386 4 роки тому +8

    Huyu mzee nampenda sana kaifanya tabora kuwa nzuri

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 роки тому +18

    🤣🤣🤣🤣🤣 nampenda huyu baba jamani so funny

  • @frantonmwasemu1455
    @frantonmwasemu1455 4 роки тому

    Aggrey Mwanri you are the great and Dr, john pombe magufuli please give him a job..

  • @winfridmsuha1303
    @winfridmsuha1303 4 роки тому +5

    Kumbe uyu Mzee tosha kuwa mchungajiiiiiiiii aiseee

  • @jonathannzagamba5253
    @jonathannzagamba5253 4 роки тому +1

    saf sana Aggrey

  • @shilindelushinge6309
    @shilindelushinge6309 4 роки тому +11

    Mpe viti maalumu huyu awepo bungeni nitaanza kufatilia bunge kwa ukaribu sana ukilinganisha na mwanzo

  • @babastaronline2660
    @babastaronline2660 4 роки тому +2

    Nampenda sana huyu baba sjui wajumbe walifeli wap

  • @richardkalubu4435
    @richardkalubu4435 4 роки тому

    Mh JPM, tafadhali sana turudishie mkuu wetu wa mkoa TABORA

  • @vann.momburi
    @vann.momburi 4 роки тому

    Huyu baba Mungu amuweke miaka mingi.

  • @hamisimlaki2934
    @hamisimlaki2934 4 роки тому +13

    Agri Mwari umekomaa kisiasa BG-UP mkuu

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 роки тому +15

    Saafii mno hii ndo ccm niipendayo na Tanzania niipendayo... Jpm oyeee

  • @issayalaizery7890
    @issayalaizery7890 4 роки тому +1

    Safi sana tena sana

  • @ponciopaul4405
    @ponciopaul4405 4 роки тому +5

    Mzee bado yupo fit sana angekuja dar akawa mkuu wa mkoa

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 4 роки тому +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 Watu kama mzee mwanri ni wachache..yan he is serious ila anachekesha

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934 4 роки тому +9

    Huyu mzee kama comedy ila point sana anaongea

  • @crewsonchacha8959
    @crewsonchacha8959 4 роки тому +2

    Mzee mwaniri yupo vz

  • @godsonlaizer1988
    @godsonlaizer1988 4 роки тому +16

    Sukuma nje chadema

  • @princejerryson7427
    @princejerryson7427 4 роки тому +3

    Huyu ni moja waviongoz bora... namqubali.. san...

  • @janekikoti2179
    @janekikoti2179 4 роки тому +5

    Halafu anakuwaga serious sana hachekicheki ovyooo akicheka tu Watu hoi Nampenda sana mzee huyu

  • @dianadaniel1369
    @dianadaniel1369 4 роки тому +6

    Jamani mzee wa Toronto sukuma ndani wajikune waone

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 4 роки тому +13

    Ww kiboko mkuu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 3 роки тому

    The new president should see into this man's political maturity and consider him along HER.

  • @frantonmwasemu1455
    @frantonmwasemu1455 4 роки тому +1

    Raisi john pombe magufuli mpatie tena Mwanri kazi.

  • @selemanimwendilemo9335
    @selemanimwendilemo9335 4 роки тому +3

    Mfano wa kuigwa, mi huwaga nakukubali sana..

  • @davidnicholaus5304
    @davidnicholaus5304 4 роки тому +17

    Magufuri naomba umpe wizara ya michezo naomba

    • @nashonikibuna9327
      @nashonikibuna9327 4 роки тому

      Safi sana mwinjilisti

    • @simongalahenga6858
      @simongalahenga6858 4 роки тому

      Huyo MZEE wizara inayomfaa ni tamisemi na jafo awe katibu Mkuu jafo achukue nafasi ya waitara mambo yatakuwa safi

    • @davidnicholaus5304
      @davidnicholaus5304 4 роки тому

      @@simongalahenga6858
      Kweli kaka yani waitara hamna kitu ...kwa huyu mzee tutaendelea kuongeza siku kwa kucheka na furaha.

    • @richardkalubu4435
      @richardkalubu4435 4 роки тому

      Apewe wizara ya ujenzi

  • @deniskkirindo3018
    @deniskkirindo3018 4 роки тому +2

    Nakuombea upewe ukuu Mkoa Wa Kilimanjaro tena

  • @mamapendo7290
    @mamapendo7290 4 роки тому

    jamani uyu baba apewe uongozi yupo vizuri

  • @sansisansi3686
    @sansisansi3686 4 роки тому +1

    hodari mkuu

  • @vann.momburi
    @vann.momburi 4 роки тому

    Kwa kwel hata mim namuomba rais wetu asimsahau huyu baba!!!! TUNAMPENDA SANA RAIS WETU NA HUYU AGREY MWANRI.

  • @beatussagalani1397
    @beatussagalani1397 4 роки тому

    Bro, Mwanri mimi na wanao huku tunakuombea

  • @gipsonmosha1857
    @gipsonmosha1857 4 роки тому +10

    Jamaaa afungue tu kanisaa🤣🤣🤣🤣

  • @ommybiggie4825
    @ommybiggie4825 4 роки тому +12

    Askofu wa ccm 😂😂😂🤣haki ya mungu huyu mzee ajielewa mbaya sana...majaliwa kaeni chini na rais magufuli mumueke pahali

  • @tulizosteven3193
    @tulizosteven3193 4 роки тому

    We ni mtumishi wa MUNGU

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 роки тому +7

    Mzee mimi najua 2 wewe lazima uwe waziri

  • @ndimesady7467
    @ndimesady7467 4 роки тому

    Sukuma ndani

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg 9 місяців тому

    Jaman siwezi kusikiliza hotuba za huyu baba bila kucheka😂😂

  • @bintialimchome3828
    @bintialimchome3828 4 роки тому

    😂😂i like you

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 роки тому +3

    Niliwahi kwenda ofisini kwake..2015....ni mkarimu na hana dharau, ni mtu wa watu kama yanavyoonekana hapo, hana kiburi cha madaraka!!
    Mungu azidi kukutangulia baba

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 роки тому +1

    Mukuuu unafaaaa sana

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 роки тому

    Huyu baba 😀😀😀mungu amuweke,,tuti tuti ni nini?

  • @joshuaboniphac5630
    @joshuaboniphac5630 4 роки тому +7

    tumekums toronto

  • @kanisalaukombozinauzima3713
    @kanisalaukombozinauzima3713 4 роки тому +4

    Mchungaji wangu huyo

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 роки тому

    Oyoooo oyooooo

  • @AhmedSaleh-rc1yj
    @AhmedSaleh-rc1yj 4 роки тому +4

    Huyu jamaaa hatar sana yupo vizru

  • @godsonlaizer1988
    @godsonlaizer1988 4 роки тому

    Oooh sukuma ndani tunakupenda Sana kweli rais akupe nafasi ututumikie tena

  • @mohamedrajabu5316
    @mohamedrajabu5316 4 роки тому +19

    Nini maana ya ngome na ujue uki inyima ccm jimbo moja yenyewe inachukua selikari ujaikomoa

  • @hamisikaliza9960
    @hamisikaliza9960 4 роки тому

    Mzee njoo na huku Kigoma kuna janjajanja huku.

  • @merylulinda8161
    @merylulinda8161 4 роки тому

    Mwinr asiachwe jaman

  • @jomgondwe5420
    @jomgondwe5420 4 роки тому

    Huyo ndiye Mwanri.Alitaka kukatwa pangs,.lakini Ccm ndiyo mtoto yake halisi.mrudisheni kwenye uhai wa utumishi bado zimo Huyo.

  • @twahirabasi9765
    @twahirabasi9765 4 роки тому

    Huyo ni mwanasiasa Jembe

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 4 роки тому +25

    kwa stahili chadema ya kuvizia kama fisi mfupa udondoke waokote imakula kwao magufuri anatisha

    • @simonbaro1092
      @simonbaro1092 4 роки тому

      Umezngua, aggrey anapendwa na watu wote

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 4 роки тому +1

    Mzeee anafaa kuwa mwnjilist

  • @frantonmwasemu1455
    @frantonmwasemu1455 4 роки тому

    Rais john pombe magufuli mpatie tena Mwanri kazi.

  • @elisanteshayo4103
    @elisanteshayo4103 4 роки тому

    Yaani wazee wanatumia siasa kujiajiri vijana mmelala

  • @tafmediaafrica6202
    @tafmediaafrica6202 4 роки тому +4

    😃😃😃😃😃😃👏👏👏👏👏👏👏

  • @mussajohn771
    @mussajohn771 4 роки тому +1

    Huyu mzee tunamhitaji

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 4 роки тому +2

    Mzee wetu umekunywa maji ya ccm skulaumu

  • @johnisrael1968
    @johnisrael1968 4 роки тому

    Lakini tusiwafanye wananchi madaraja ya kufikia ndoto zenu hii ni dhambi mkubwa.watu mnaongea kama chiriku mpate kura baada ya hapo wananchi hawatambuliwi.haya ni maisha tu dunia tunapita

  • @mkombozimjizu8931
    @mkombozimjizu8931 4 роки тому

    Simba na mtibwa

  • @melikielavelline6858
    @melikielavelline6858 4 роки тому

    Mwanri hawezi kuwa mkuu wa mkoa tena ameshastaafu

  • @khalimudodoma6045
    @khalimudodoma6045 4 роки тому +10

    kwanini usiwe mchungaji wewe

  • @schofieldodhiambo7957
    @schofieldodhiambo7957 4 роки тому

    Atasaidiana na Mchungaji mwenzake Gwajima. Aje Kawe ampigie debe.

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 роки тому +1

    Mwanri Jembe

  • @WivianRich
    @WivianRich 4 роки тому +1

    Loloo lelee ahaaa

  • @deusramson8794
    @deusramson8794 4 роки тому +2

    Duuh watu wamejaaaaaa, hakuna hata pa kukanyaga

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed3749 4 роки тому +1

    Weeeeh unaona kiongozi wa sukuma ndani anasema jpm kisha ww upoteze kura yako kwa uzembe haki tutasukuma ndani ww na familia yako kisha tutachajua huko huyu anafaa ama hafai ...... CCM HOYEEEE

  • @patrickandrea4829
    @patrickandrea4829 4 роки тому +1

    Hahaha kwa maneno mwandree yuko vizuri sana ila matendo ndani ya jimbo 0

  • @edensingers3711
    @edensingers3711 4 роки тому +1

    NABII WA KUSHI ++Andrew Mwambi Basi Sasa uwe Muhubiri mbona NAONA Kama utakuwa na upsko?

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 4 роки тому

    MH, RAIS MAGUFULI WA 2025 NK, KAMA HUTOJALI MWANRI NA MAKONDA USIWAACHE NJE YA ULINGO! HAYA NI MAJEMBE!! MAGUFULI HOYEEE.MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU MBARIKI RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI WA 2020 - 2025 NA LUTITU.

  • @faithsaulo4289
    @faithsaulo4289 4 роки тому

    Jifanye unajikunaa

  • @emmanuelmichael7856
    @emmanuelmichael7856 4 роки тому

    Mwanry saaafi