Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
In Shaa Allah utaenda kaka!
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
Kabisa even 💚💚
I second you brother
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
💚💚💚💛💛💛
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
And
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga BINGWA
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
Naikubali sana yanga
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
Jamani njooni tuangalie bongo data
nimesubscribe
nimesubscribe..kazi nzuri
bongo data kazi nzuriiii
vizuri data za uhakika
noma sana
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
Amina 🙏🙏
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
Hawa vitaloo watakula 5-0
Watakufa jumla home and away
7-1
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
Yanga ya moto 🔥🔥
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Injinia uish miaka mia😊
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha.
Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
Wewe ni KOLO WAHID
BACCA ANA DHARURA
KAUZWA WAPI??😢
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
Hahah
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
Yanga oyeeeeee
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
naipenda sana yanga
Naipenda sana yanga
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
🎉🎉🎉 finally yetu
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
mungu ibariki yanga daim❤
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
Yanga 🎉🎉🎉🎉
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
Wananchiii🎉🎉🎉🎉
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
Dream team
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
aiseee yanga rahaaa sana
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
Yanga Daima Mbele
Chama langu 🙏
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
Burundi tunaenda wote
Innshahrah
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
Kama waipenda yanga weka like 👍
Daima mbele nyuma mwiko
Yanga yangu naipenda sana
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
😂😂😂Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Kaz kaz
Mambo ni fire 🔥
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
Safi sana utatu mtakatifu
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
Allah atufanyie wpc
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
Safi sana
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
❤
💚💚💛💛
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
Yanga Bingwa ✅
Hatuji tenaa