I think this guy ego inamsumbua...ego yake inamfanya aonekane anakiburi. He should stop talking too much, bado ni mchanga kwenye mziki. Kujisifu sana kunaweza sababisha hata wasanii wakubwa kutotoa ushirikiano kwake.. my opinion.
hawa wasanii kinachowasumbua ego. We unafanya video na Harmonize yupo kwenye pick then unaanza usumbufu wa verse sijui🤔. Ile video ingekuingizia hela na nyimbo inge trend vilevile na sio verse yako hiyo
Hakukosea , nikweli Loi Hauko serious ... Unamambo mengi sana Mdogo angu...
Umetoboa wapi watu hatukujui...
Unajikweza Sana.
Uyu jamaa bado underground than wana mdanganya kawa msanii hennecy no kwel hit kaimba nini ajitafute kwanza bado
I think this guy ego inamsumbua...ego yake inamfanya aonekane anakiburi. He should stop talking too much, bado ni mchanga kwenye mziki. Kujisifu sana kunaweza sababisha hata wasanii wakubwa kutotoa ushirikiano kwake.. my opinion.
Ni loi
hawa wasanii kinachowasumbua ego. We unafanya video na Harmonize yupo kwenye pick then unaanza usumbufu wa verse sijui🤔. Ile video ingekuingizia hela na nyimbo inge trend vilevile na sio verse yako hiyo
Unachokisema sio kweli..siku izi sio lazima ueke tumaini kwa msanii mkubwa akutoe
Uyu jamaa ni hatareee kwenye afrobeat
Mshamba wewe