MSIGWA ACHAFUKWA, AMVAA MBOWE, ADAI ANAIVURUGA CHADEMA, MNYIKA NA KIGAILA WAGAWANYIKA
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- #TANZANIA: Peter Msigwa achafukwa, amvaa Mbowe, adai Mnyika na Kigaila wamegawanyika kisa Mwenyekiti wao.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Njaaaa kalii
Wasaliti wa wananchi ni wengi mno,eti mchungaji,kula ulichopewa lakini hali ngumu ya maisha ya waTanzania itawahukumu sana tu,laana kubwa unaimwaga kwa kizazi chako tu.
Msigwa kwisha habari yako.
Siasa imesha kushinda
Nenda kalime nyanya
Msigwa mchungaji mnafiki, miaka hiyo yote umekuwa Chadema, uliposhindwa uchaguzi ukakurupuka. Umejiandaa kwenda kuuza mali zetu na mamako.
Pumbavu kabisa msingwa hata useme vipi hatuhami chadema
Aaah kumbe sababu huna kazi....njaaaa!!!
Ama kweli siasa ni unafiki mtupu,leo msigwa anaweza kuongea haya😅
Hiyo sasa inasaidia nini?😊
Msigwa ongelea hali ngumu ya maisha achana na chadema baba lao
Mbowe yuko vizuri tuna mpenda
Msigwa kuna jambo alituambia msukuma kuwa ulikuwa unalipwa na ccm.sasa nimeamini
Kumbe ilikuwa kweli makamanda alikuwa analipwa kweli
Brother tatizo Ni kukosa uenyekiti na Mbowe au Ni Chadema potea safari ndo imeanza....
Bandari wamasai na vikokotoo naomba uongelee mzee tupe kauli yako juu ya bandari zetu
Mangi tulia
Msigwa Huna aibu, utachukiwa sana, una uso wa kufa, haya ongea ya ukohamia achana na ulikotoka. Sahau ubunge hupati tena
Njaa mbaya
Msigwa unajiumbua, ndo hivyo umekwisha. Onyesha vyeti tuone km Samia atakupa Uwaziri. Njaa tu.
Huna points Msigwa, toa vyeti tuone kwanza
Haka kamepewa kazi ya kuitukana chadema nafikiri kanatetea ugali
Ndio badala aongee shida za watanzania kakazana kutukana alikotoka mpuuzi kweli
😂😂😂😂
Inamana wee Kazi uliyopewa ni kuitukana tu Chadema si ndo manake?
Nipeni kipaza msigwa asimame kulia mm kushoto nachukua jimbo LA iringa
Mch Kuwa makini, Mungu anakuona, wewe ni njaa tu hauna lolote pita hivi na FISIEMU Yako.
Umejimaliza kubali usikubali kwishaaaaa
Umeeleweka sana mchungaji
Authority ikishapotea, huwa hairudi. Kama jana ulisema vingine na leo ukasema vingine, sio rahisi ukaaminika tena.
Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.
Ooooooooyaaaa Msigwa
Nomekuelewa sana Mchungaji 😂😂😂
Ongea nini utatufanyia Watanzania hali mbaya ya nchi kila kona sio utembelee kik ya mipasho na kumchamba Mbowe wakati lamaana zaidi huna la kuongea
Mchungaji msigwa!!....what goes around comes around!..,unajisikiliza kweli?..kweli siasa mchezo mchafu...
Nivizuri utupe sera ya chama chako kweli lowasa atabaki kua mwanasiasa bora kwangu wa karne
Magari yametumika kusomba watu kuwaleta kwenye mkutano halafu hawawapi chakula watu wa watu
Hatutaweza kuijenga nchi kwa kuongozwa na akili ndogo kwa maneno ya Nape labda haiwezekani ila usije ukashangaa ukajikuta ukifunga mdomo
Maamuzi uliyoyachukua ni maamuzi magumu kweli umepewa pesa ameshindwa uchaguzi na sugu umehama
Njaa mbaya , imepanda kichwani huyu siyo Bure
Acha ujinga needs katubu Dhabi hiyo. Mungu akusamehe mjinga
Jamani msigwa ww ni mnafki mpk nimekupenda
We mjinga unatumiwa kupiga kampeni na uchaguzi ukiisha utarudi nyumbani kulima mihogo,hutaambulia hata ujumbe wa nyumba 10
Wapi?
Mwenzio kaandaliwa Mkoa ila ataanzia Wilaya mara baada ya kukamilisha kazi hii. 2025 atapewa Mkoa.
... Ukiwa karibu na Ua Waridi, ...
@@pirminmatumizi5464 akipewa hata utendaji wa kijiji atanikuta ofisini
Ongea ya CCM umeshanunuliwa umejivua nguo
Sasa mbona unawapiga wenzako mawe acha unafki
Kaz unayo pol sana ukipitia comments utapata jibu
Huyu ni shetani hafai kuwa kiongozi kabisaaa
Bila shaka hata sili za mke sijui kama ziko salama!!? Pili waumini wako wanavyokuangalia na kukusikiliza wanajifunza nini kwako pumbavu sana
Weka hakiba nya maneno utakapo shindwa ulundi
Kama kulikuwa na uozo miaka yote ulisubiri kutoka huko sema njaa imekushinda ukaamua kuondoka chadema
Alafu akaondoka baada ya kushindwa uchaguzi
Huko south Africa anakotaja alienda kuuza mitumba hana vyeti hapo
Nonsense
Hauna lolote
Meno mchungaji uufute kuwa Jina lako.. Uko na njaa.
Msimgwa mpumbavu awe na heshima
>KAULI YA KUJENGA NYUMBA MOJA NI KINYUME KABISA NA HALI HALISI!
>TAASISI ZINAZOPAMBANIA MISINGI YA HAKI NI TOFAUTI KABISA NA ZINAZOKINZANA NA MISINGI YA HAKI.
Kumbuka ukitapika usiridie matapishi yako,vipo ungepata uenyekiti haya ungeropoka?
Magufuri angelikuwepo angelijionea nduguyake karudi nyumbani kumenoga
Kwa maisha haya mzee sizani kama vijana wenye akili timamu wanaweza kukusikiliza wewe Laurent Bagbo
Naona mauzauza...🙄🙄🙄🙄🙄
Malaya mkubwa usingeshindwa uchaguzi ungeomdoka
Haki oliyokua unapigania teyari umeipata?
Hivi huyu angeshinda uenyekiti wa Kanda angeyasema yote Haya kwa jazba?
Chama chenu??? ...
Msigwa sasa tunakunyangaya Uchungaji wewe ni mchumia tumbo tu, Unawaachia lahana kizazichako nakushauli Murudie Mungu wako na utubu kweli
Najiuliza kwanini hamtukani tundu lissu
Huo ni Moto hawezi
Kwanini usijiulize kwanini aongei shida za wananchi
Katumwa na master wake. Alietamani siku zote amchafue akashindwa akapatikana ile zamani inaitwa his masters voice
@@samuelmakara nachojua walikua marafiki
Hana ubavu wa kumtukana mwamba, Tundu A. Lisu..🤣🤣🤣🤣
Mtu mfupi na mawazo ya ovyo
Chadema mtulie 2 hio ndio siasa lzn msemwe tujue ambayo hatujawahi kusimuliwa....
Msukuma Alishatuambia Kila kitu juu yako tunajua Msigwa unalipa Hela za Ccm ulizokula, maana mpango uliotegemewa wakutumika Ukiwa Ndani ya Chadema umeshindikana
Huyu fala
Sema una agenda gani achana na chadema umeshatoka huko na wewe ulikuwa sehemu ya hayo unayosema je unadhani huko uliko utabadilisha lolote jibu ni hapana zaidi sana ni kulamba viatu saa hii huwezi tena umeshanunuliwa hivyo useme umelipwa bei gani
Daaah
Cccm wanatumianini mbona huyu alikua mtu kabisa Sasa hivi amekua fala kabisa
😢😢😢😢😢😅😅😅 hujuagi. Peleleza kila alieenda huko 😮😂😂😂
𝑈𝑗𝑖𝑡𝑎𝑡ℎ𝑖𝑛𝑖
Hivi kweli huyu ni mch, au,
usijifanye mfitinishaji wewe ya chadema yanakubusu nini
Hebu mwambie mwenyekiti wako wa chama taifa apunguze matumizi mabaya fedha za uma
Mwambie wewe au Msigwa ndiye msemaji wako?
Huna huja majungu to toa huja zako
Nadi sera ya chama walicho kuhonga na kukununua acha chuki hazita kusaidia, wewe ni tapeli kama matapeli wengine wa ccm, wewe huna hadhi ya kujibiwa na viongozi wa chadema cc wenyewe wananchi tutakujibu na kukupa fact, njaa yako imetoka tumboni ikahamia kichwani, hovyo kabisa.
Kwa maisha haya mzee sizani kama vijana wenye akili timamu wanaweza kukusikiliza wewe Laurent Bagbo tuambie ile misitu yetu na bandari itakuaje? Bado utazipigania au na wewe uko na hisa huko
Poyoyo ndio watafanyia kazi hayo maneno
Tulia foundation vipi kuhusu hii
Umewaza kama mimi
Taahiraa
Utasifia sana theni ukalale
Mbona unatumia nguvu sana kujitetea kwa kuhama kwako.Hivi huko CCM hakuna mapungufu unayoyazungumza dhidi ya mbowe? Subiri ila.omba tu wakupe nafasi fulani ya upendeleo la sivyo kesho utayarudia hayohayo tena dhidi ya ccm.
Uroho wa kukosa uongoz
Kama kuna makundi wewe si umeshaondoka
Jamani uongozi wa Kanda umekushinda huna lolote
Ungepata uwenyekiti wa kanda ya Nyasa ungetoka chadema?
Acha kutudanganya njaa inakusumbua
Msigwa tumejitambua wadanganye wajinga wenzako
Chadema hatuwezi kuwapa hii nchi wapumbav sana hao chadema
Ccm ndo wapumbavu wanaotumia Kodi zetu kuwahonga akina Msigwa wakikosa Vyeo Chadema wahamie Ccm
Matako yako huna lolote pita hivi Pumba Mwanzo Mwisho...
Wale watu walipofika Kisimani, wakakutana na Yesu, walisema tumeamini siyo kwasababu wewe ulisema ila sababu sisi wenyewe tumemuona tumeamini.
Sisi tunaujua uovu na tunaujua lipi jema.
Ukatafakari baada ya kupewa gari na mshiko
Mwenyekit wako akikosea ndiyo unahama? Mageuzi makubwa ya Nchi hii yatafanywa na nani kama umeungana na wanaohitaji kuoingwa?
Njaa msigwa
Acha kutaja biblia wewe ni tapeli tu mnafiki
Were ni mpumbavu sana mbwa wa kuchinjwa. Taamaa imekupeleka huko, hupati cheo hata upige kelele mj9nga sana hufai hata kuitwa mchungaji. Mjinga sana.
Huyu Kwa sasa hatumi akili
Umeisha wewe huna jipya
Wanaohamia cdm sio Malaya ,sio wajinga,sio wapumbavu nyinyi mnaomtukana msigwa kutoka cdm hamjuiyanayofanyika ndani ya cdm siku mkigundua mtampiga mawe huyo mbowe wenu
Huyu Msigwa Mla Rushwa mkubwa Nani hajui? Amekosa Cheo kisa Rushwa aliopewa na Ccm, Msukuma alishasema Mchungaji Msigwa mpenda vyeo ameamua kutumia Nguvu kubwa saana kuhalalisha Rushwa aliopewa na Ccm anajisumbua Bure kutuaminisha hayo, amshauri Rais basi arudishe Bandari zetu, Hataivo hakuna mwenye akili Timamu atamuelewa Msigwa mpenda vyeo huyu amekosa Uenyekiti anajifanya kuhama Hana lolote, Anamuonea tu Mbowe Mstaaarabu hajui kujibu vijembe
Ungeshindaa usinge nuni liwa
Yote hayo kushindwa
Kuna.mbwa.wana.kuliko.msigwa
Hii yote njaa, imewasaliti wenzake kwa kiwango kikubwa mnooooooooo. Usaliti huo sio kwa Chadema tu bali ni kwa wa Tanzania wote wanaoteseka na maisha. Ila wewe subiri upate unaibu waziri ili mkundu wako ufunge maana kwa sasa mkundu unatoa.mavi tu.
Huyu ni jibwa tena Koko la mtaani
Bee ludesi bee! Msigwa umefilisika, wewe ni mchungaji feki uliyepoteza maadili na dira kwa tamaa huku na kule sawa na wale wanasiasa malaya malaya tu! Historia yake ya kuingia TLP,NCCR,hatimaye CDM ni njaa tupu! Ulingoja nini cdm miaka yote?! Hizo unazoongea ni uongo,na pumba tupu hata utoke povu tutakupuuza....
Amekazana kumshambulia Mbowe wawatu hajui kujibu Vijembe
Njaaaambwa ww
Mtoto cliziki msigwa unatamaaa ya madaraka mbowe ananyota ya kupendwa wewe vizia kuteuliwa lakini kuchaguliwa haukubaliki