Anachambua kama Mimi binafsi mtu akiniambia Ronaldo anajua kuliko Messi nakataa kwasababu ukisoma takwimu za Messi na Ronaldo Kwa maana ya magoli utakuwa Ronaldo kamzidi Messi lakin kamzidi pia ma mechezo, ikienda uwanjani au kwenye tv kuwaangalia Hawa wawili Messi anakupa vitu vingi Sana uwanjani, na Kwa mashabiki wa chelsea wote kama mmemuelewa jamaa vizur ndo mtajua kuwa Jackson ni bonge la mchezaji
Ngoja msimu uanze tuwaoneee,
Simba nguvu mojaa🦁🦁🦁
Ambangile ni mwalimu wa wachamuzi wa michezo wote Tanzania,akili mingiii
Nawapenda san
Simba yass yanga ajiyandaye kura Saba tunanziya kwenye ngao yajami kufanya shoh
Mm
Nimewapitiawote
Tunatengeneza
Jenz
Ya
Africa
Mm
Mtanitafta
Simba
Wenzangu
Mletemrejesho
Nsss
Hawatoleta
Tm
Uwanjani
Anachambua kama Mimi binafsi mtu akiniambia Ronaldo anajua kuliko Messi nakataa kwasababu ukisoma takwimu za Messi na Ronaldo Kwa maana ya magoli utakuwa Ronaldo kamzidi Messi lakin kamzidi pia ma mechezo, ikienda uwanjani au kwenye tv kuwaangalia Hawa wawili Messi anakupa vitu vingi Sana uwanjani, na Kwa mashabiki wa chelsea wote kama mmemuelewa jamaa vizur ndo mtajua kuwa Jackson ni bonge la mchezaji
Kaka wewe unajua kuchambua mpira wengine wajifunze kwako
Hao ni wachezaji wetu tuachieni sisi watan wetu yanga tuku tane uwanjan teacher maneno
Teacha ambangir
Wavuta bangi angalia suma😊
Mimi nikiangaliaaa. Clips. Naona hamnaa kitu
Clip zenye kitu si kama zile za skudu mwakalabela sio?
@@muksinimbaruku1233hahahahahaha
Dasfmn