Dada angu mambo mm uso wangu unamafuta sasa nirikua nahitaji kupaka hiyo shea bada ila uso wangu unamafuta sasa mm nipo tazania naipataje maaana huku sijawahi kuona kwaiyo naomba msaada
Hayo magauni ni mazuri nimependa hilo jekundu ambalo halijakutosha. Mimi nikiwa na safari silali hata nikijitahidi vipi huwa nashtuka shtuka tu naogopa nisichelewe
ahahaha yeah yani me kitu kinacho umiza kichwa pia ni covid test results 😅 maana ata kukata ticket nayo unakua kama umerisk maana refunding process inaweza kua complicated, but happy for you things zimeenda poa
am enjoying aisee
💕💕
yeesss vloggg please
💕
gauni nzuri, nimelipenda ilo la pink, yani online shopping tuna baatishaga sometimes, me wamenitumiaga nguo mara zina bigijii au inanuka kwapani lol
Karibu sana dada Tanzania
Asante
Dada angu mambo mm uso wangu unamafuta sasa nirikua nahitaji kupaka hiyo shea bada ila uso wangu unamafuta sasa mm nipo tazania naipataje maaana huku sijawahi kuona kwaiyo naomba msaada
Jinsi ya kuoda bariki
Video nzuri bariki
Asante dear 💕
Nimeipenda ya pink 💓
💕💕
Uzivaage kabsa tuzione bac😍😎
Nitazivaa dear
Hayo magauni ni mazuri nimependa hilo jekundu ambalo halijakutosha. Mimi nikiwa na safari silali hata nikijitahidi vipi huwa nashtuka shtuka tu naogopa nisichelewe
Asante dear mimi huwa nalala yani nisipo kuwa makini napitiliza 😂
jamani unaenda home again, enjoyyy aisee
Nakimbia baridi 😂
@@barikikaroli6088 🤣 nicee, enjoy on our behalf
ahahaha yeah yani me kitu kinacho umiza kichwa pia ni covid test results 😅 maana ata kukata ticket nayo unakua kama umerisk maana refunding process inaweza kua complicated, but happy for you things zimeenda poa
Inasumbua sana yaani mimi kama isingekuwa ni kitu cha muhimu nisingekuja
@@barikikaroli6088 I feel you
Sister ake ivi yale mafuta ya vitamin e ama vidonge vyake vinapatikana kwenye maduka gani kweli
Maduka ya vipodozi na madawa
Home sweet home …
💕💕 home unakusubiri wewe tu 😀
Unakuuja tna bongo eh🙂
Ndiyo dear nakimbia baridi 😀
Vp ushaondoka Tz?
Ndiyo