Diet ya mayai ( egg 🥚 diet) kupunguza uzito kwa haraka // Bariki Karoli
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2024
- Kwenye hii video nimejaribu diet ya mayai kwa siku 7
Na nimeipenda ni rahisi kuifatilia.
Ni nzuri kwasababu unashiba mayai yana protein.
Video iliyopita 👇🏽👇🏽
• Weekly vlog| chapati z...
Diet ya supu ya kabichi 👇🏽👇🏽
• Punguza KG 5 ndani ya ...
🌸instagram: bariki.k
#eggdiet
#kupunguzauzito
#bariki
#karoli
Nashukuru mungu amenipa mwili mwembamba maana kula mayai na apple na green tea tu uwiiiii nisingewezana..... Ila nakupongeza sana Bariki mwili wako sio rahisi kupungua ila hukati tamaa bado unakula healthy na kujaribu kufanya diet apa na pale.. Hongera sanaa
Yaani wewe huo mwili nautaka 😀 asante 💕
Wew lyne unamwili mzurii kwel aisee unakula lakn ataa mwenyew unatamba tuu nautaman kwel aisee nakutaman😉
We dada nimekupenda bure❤️😅
Nimekumiss jamani rudi UA-cam 🥺
Tim tok unatumia jina gan dada nataka nikifollow nakupendaga sana
Asante sana nimeipenda video
Wacha jalibu leo
Nitajalibu na mie kufanya hiyo diet ila siku nikija huko tufanye video ya pamoja jamanii best 🙏🏽
Sawa dear 💕💕
❤️💕
Bariki unapendeza ukipungua jitahidi mpzi
Nzur sana nilitoa kilo 7 kwa sku 10
Wow hongera sana
Dada km auna gren tea je inakuaje jamani nimekosa green tea mimi ila vifaa vingine nimepata
Asante my dear
😘
ebu jaribu pia mapapai+na parachichi kila siku
Asante nitajaribu
Nshawai fny ilnsaidia kwel.
Dada neema kwer ulipuguwa mi adi kuzaa naangaika mpenz
Mamiy mim nina kilo 64 lakini ninatumbo na manyamauzembe
Safi
Uyu ni mimi kabisa tena nikifanya na mazoezi ndo nastuck yaani kupungua kazi ila sipungui na nikicheat kidogo tuu nanepepe balaa
Du barki umekua kibonge
But nw nmenenepa san inabd nfanye tna ihi ahsaante kwa video muzuuri
💕
Na mimi naanza aiseee huu mwaka lazima tukonde
Sawa dear nambie tuendelee kupeana moyo
Hongera sana aisee👍
Asante 💕
❤❤
Tack så mycket
😘😘
Lazima upete appol na mbadala wa appol
Machugwa unaweza kutumia au tango karoti
Je vipi kuhusu mazoezi unafanya ao ni diet tuu
Nilikuwa sifanyi mazoezi makali
Ila natembea hata kazini natembea sana
Hii diet ukifanya usifanye mazoezi makali tembea kama dakika 20-30 kwa siku kama unataka
Nilivyokimbia
Jamani upo fasta 👏🏽😂
Mh yani apa ukijampa🤣🤣🤣
😂😂😂 ndo ubane ukiwa na watu au usiende kwa watu😂😂
Huwek sukar mmy
Hapana hauweki sukari wala asali
@@barikikaroli6088 nitajarbu nitaleta feedback jmn kupungua kilo2 kw cku7 sio mchezo nimevutiwa
Jaribu hata kwa siku tano alafu ukimaliza unaendelea ku balance vyakula😘
Stackars mayai 🤣
😂😂
Namm kuanzia Leo nafanya dayat
Sawa dear utanipa mlejesho 😘