Mimi mwaka huu kwa kweli namrudishia mungu sifa na utukufu vyote ni vyake. Amenitentea mengi mazuri na anazidi kunitoa hatua moja na kunipeleka hatua nyingine. Na familia yangu tuna amani na furaha 🙏🙏 pia wale wote mnao pitia magumu msijali mungu yupo na nyinyi msikate tamaa kwa imani yangu huu ni mwaka wa Matumaini, mbarikiwe sana, nakupenda sana Bariki mwanangu na wote wanakusaport 💖💝❤👍🙏
Mimi mwaka huu kwa kweli namrudishia mungu sifa na utukufu vyote ni vyake. Amenitentea mengi mazuri na anazidi kunitoa hatua moja na kunipeleka hatua nyingine. Na familia yangu tuna amani na furaha 🙏🙏 pia wale wote mnao pitia magumu msijali mungu yupo na nyinyi msikate tamaa kwa imani yangu huu ni mwaka wa Matumaini, mbarikiwe sana, nakupenda sana Bariki mwanangu na wote wanakusaport 💖💝❤👍🙏
Amina mama asante sana 😘😘😘💕
Pazuri jmn nimetaman hadi kufika huko
Umekuwa bonge
Hayo macontainer nimeyapenda...
Asante dear
Ni pembe 5 kabisa sio 4🤣🤣🤣ila umejaribu vizur kipenz 😘
😂 asante
Jamani pole na hekaheka za safari, mimi bado napigwa joto hapa but soon will be traveling back, hata mimi parachichi lazima nibebe jamani 🤣🤣🤣
Asante dear enjoy jua tu maana huku ni baridi ❄️❄️
🤣🤣wacha nicheke kdg my
Tunaomba recipe ya chapati. Yaani mwanzo mwisho please. Zangu sio laini. Hasa kwenye jiko la umeme uwiii
Sawa dear 💕
@@barikikaroli6088 pole sana
Nimezipenda hizo boots,winter ikiisha niwekee
Sawa 😀
🥰😍
Kata kwa kutumia sahan
Asante dear
Tunakuw tunakums pka bac et
Sawa dear 😘
Huko hakuna maparachichi?
Yapo ila siyo mazuri ni tudogo na mara nyingi yanakuwa yameharibika
Asante sana nipo na wewe.