TAZAMA AZIZ KI AJIBU KUHUSU KUONDOKA YANGA MSIMU HUU/MAMELODI WATAMSAJILI?/AMTAJA RAIS WA YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024
  • #yangaleo #azizki #msuva #yanga #yangatv #alikamwe #hersisaid #live_ #mayele #yangasc

КОМЕНТАРІ • 13

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 6 місяців тому +5

    YANGA tumejitahidi saaana.wachezaji wetu hongereni saaaana.🙏🙏🙏💚💚💚💛💛💛🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 6 місяців тому +3

    Asante kaka

  • @azizasoli
    @azizasoli 6 місяців тому +7

    Haki yamungu asiondoke mpk tuchukue medeli nyingne ya caf, tuko tayar kukuchangia mshahara unaotaka ki

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 6 місяців тому +5

    MUNGU NI MWEMA HONGERA SANA AZIZ KI KILA LA KHERI KWENU NYOTE BARIKIWA SANA YANGA

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 6 місяців тому +2

    Ki tunakupenda sana umetoa jasho jana na damu kwaajili ya team yetu ya yanga usiumie kiasi icho umefanya kubwa na ulishaamua mechi mapema kabla ya mipenat yao waliyoitaka kokosa kapenat kale sio bora kama ulichofanya afu wakatukatili ww ni bora ww ni muhim sanaa chukua mauwa yako yote ni kweli hatukudai kabisaaaaa we luv u siku zote❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 6 місяців тому

      Huyu Mwamba kweli anaipenda Yanga umeona alivyo Lia Kwa uchungu

  • @furahamoja6582
    @furahamoja6582 6 місяців тому +2

    😢😢😢😢😢 jamniiiiiiiiiiiiii kama kunahela yoyote anadai tucghange ss wanachama na mashabiki

  • @EutropiaMinja-rx8sv
    @EutropiaMinja-rx8sv 6 місяців тому +2

    Hii ni aibu kwa África. Goli lilikuwa halali lakini wametunyima kutokana na amani tuliyo nayo. Mungu atatulipia. Tutaona kama watachukua hilo kombe wezi watupu.

    • @Saidi-x4h
      @Saidi-x4h 6 місяців тому

      Hi nafas ni yetu lazima viongozi wetu waidai, na wakikaa kimya itakua na wao wamepanga hiwe hivyo, hapo kuna upangaji wa matokeo, lazima uchunguzi ufanyika na hauwezi kufanyika bila kudai

  • @BenjaminNgwenya
    @BenjaminNgwenya 6 місяців тому +2

    Hi all, no offence to anyone!. The rule says 'A goal is scored when the whole of the ball passes over the goal line'. Therefore you must look at the ball when it is on the goal line. Going by the VAR a portion of the ball was let over when it touched the goal line, yet I still feel that Yanga should have been awarded the goal without this VAR nonsense, that's how football was played in the past.

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 6 місяців тому +1

    Ki azizi tunaomba asiondoke tuchangisheni ata kwenye m pesa tutatuma jamani hatupendi presha sisi tunailpenda yangah

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 6 місяців тому

    KI UNABAKI KUWA KI HAKI YA NANI YANGA TUNAKUPENDA.