Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu
Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA
Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?
TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA
Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu
Deal done, Stephen ni Mwananchi
Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale
Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa
Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,
Mmezidi umbea
Waongo nyinyi
katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka
Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU
Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka
Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?
WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA
Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu
Ende tu mpiran n biashara
Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote
NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI
Acheni akatsfute maisha
Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah
Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA
Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?
Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers
Je akisajiliwa Simba utasemaje,