Jambo lingine kwanini Serikali msibuni hata mavazi ya kujilinda na wanyama kama CHUI,MAMBA,SIMBA mavazi ambayo yafanya makucha ya mnyama au meno asiweze kumwathiri mtalii au askari wetu ???
@@aminatanzanya7475 SIYO CHUI TU KIUMBE CHOCHOTE AMBACHO KITA NIATTACK ILI KUTOA UHAI WANGU NAPAMBANA NITAKABILIANA NACHO IPASAVYO BILA UOGA WOWOTE, ALAFU TAMBUA SHUJAA HANA SIRI ZAIDI YA KUWA JASIRI KUKABILIANA NA TATIZO LINAPOTOKEA
Kuna kazi ngumu na mazingira magumu na hii ya kufanya kazi ktk hifadhi za wanyama pori ni ngumu na hatarishi mno..mfn nyoka kuingia ndani ni jambo la kawaida kabisa ,.kupishana na tembo au nyati nyoka nk ni kawaida...ki ukweli ni Mungu tuu anawalinda! Alitulindaga🙏 Huyu askari malipo ya kuumia kazini yanamuhusu
Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti. Chui kauliwa kwa silaha (bunduki) tena waliomuua ni askari wenzake. Kichwa cha habari kinasema askari apambana na chui mpaka kumuua. Karagabaho pyeeee!! 😅
NIi kweli kichwa cha habari ni tofauti kupambana na chui mpaka kumuua si rahisi tena mtu mmoja mnyama chui anaweza kupambana na watu zaidi ya 3 na akashinda pasipo watu hao kutumia silaha
Bila risasi usingepona bro,, Chui ni mnyama pekee kwenye taaluma za Martial arts,,, Riadha na Kuogelea,,,,, HAKUNA binadamu mwenye uwezo wa kumuua pekeake kwa mikono,, bila hata Kisu....
Nawashauri muongeze protective gears.....k.v helmet za kufunika vichwa, gloves ngumu n.k......by the way huyo jamaa anastahili heshima anayostahili, ni shujaa kama mashujaa wengine....salute kwako ngosha...
sasa mwamba alituma CV ya kuomba kazi ili awatumikie wananchi na sio kuongeza zero zero kwa namba inayo fuata mikataba mirefu mirefu tu mnao faidika wacheche tunao umia wengi pesa zetu mnaenda kuziweka geneva huko kichomi kingine jeshi la zima moto fanyeni kazi kiufanisi 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Siunaskia alimrukia kwanza wakapambana ndio wenzao wakampiga sasa risas wasingevamia kumpiga risas kwasabb hata ndugu yao wangemuuwa kwahio umakin lazima uwepo
Jambo lingine kwanini Serikali msibuni hata mavazi ya kujilinda na wanyama kama CHUI,MAMBA,SIMBA mavazi ambayo yafanya makucha ya mnyama au meno asiweze kumwathiri mtalii au askari wetu ???
Ushauri Bora Sanaa,,
Tena ndo vizuri hata wasipate hayo mavazi hili wanyama wawaue vizuri bila shida tena naomba na leo simba atokee kwenye kambi yao awalalue wotee
@@wemaMichael-fr4thkichwa box
@@wemaMichael-fr4thkichwa box
@@wemaMichael-fr4th kwa nn dadang kipenz? Mbona u mkatili hivyo?
GOLI MOJA MILIONI 5 SASA TUONE HUYU ITAKUWAJE😢😢
😅😅😅
Sio Hongera tu na pole apewe kitu ambacho kitamfanya Aishi maisha yenye nafuu na yeye ,ajengewe hata nyumba ,pamoja sana brother
Wanaume wa daa wanaogopa hadi mende😂😂😂
Sio wa Dar tuu hadi wanaume wa kiarabu hadi mende wanamuogopa
😂😂😂
😂😂
Ww maku ha ha ha
😁😁
Pole sana afande kwa uliyokutana nayo lakini hongera kwa ushindi,atiwe moyo kwa kupewa zawadi maalum maana kupambana na chui sio mchezo baba.
Pole brother na Hongera sana tunaitaji Askari kama awa Ungekua Mfanyakazi wangu Ningekupandisha Cheo kama Motisha zaidi
Katoe sadaka kwa yatima kumshukuru Mungu aliyekuokoa
Kwa kweli mtihan
Hongera sana Askari wetu..Mungu daimabakupe ulinzi..pia upone haraka.
Hongera kamanda,unastahili pongezi.na hao askari wenzako mliokuwa pamoja siku hiyo.
Hongera sana,Askari wangu,uongexewe vyeo kibao.
MWANAUME USIKUBALI KUFA KIZEMBE, PAMBANA MPAKA MWISHO.
Hahaha wew unawez kupambn na Chui
@@aminatanzanya7475 SIYO CHUI TU KIUMBE CHOCHOTE AMBACHO KITA NIATTACK ILI KUTOA UHAI WANGU NAPAMBANA NITAKABILIANA NACHO IPASAVYO BILA UOGA WOWOTE, ALAFU TAMBUA SHUJAA HANA SIRI ZAIDI YA KUWA JASIRI KUKABILIANA NA TATIZO LINAPOTOKEA
Pole ndugu na hongera Sana na Happy New year 🎉
Pole sana kaka na ongera kwa mungu kukupa ujasili wa kupambana na chui mnyamba huyo hatari sana hawana masiara
Kuna kazi ngumu na mazingira magumu na hii ya kufanya kazi ktk hifadhi za wanyama pori ni ngumu na hatarishi mno..mfn nyoka kuingia ndani ni jambo la kawaida kabisa ,.kupishana na tembo au nyati nyoka nk ni kawaida...ki ukweli ni Mungu tuu anawalinda! Alitulindaga🙏
Huyu askari malipo ya kuumia kazini yanamuhusu
Pole sana kaka mungu akuponye halaka
Mwenye mume huyu akae Kwa adabu😢
Waja mnamambo😂😂
😂@@fettyrashid9042
@@fettyrashid9042
Wajamnamboooo nyimbo ya leila Rashid😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mama Samia mzawadie kama magoli ya timu zetu
Huyu ndo mwanaume sio hao walamba lips😅 hongera sana na pole sana afande wetu
Waaah pole sana chui 😢😢😢😢😢Nakimbuka hata kwetu kuna baba mmoja alinusurika na chui
Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti. Chui kauliwa kwa silaha (bunduki) tena waliomuua ni askari wenzake. Kichwa cha habari kinasema askari apambana na chui mpaka kumuua. Karagabaho pyeeee!! 😅
NIi kweli kichwa cha habari ni tofauti kupambana na chui mpaka kumuua si rahisi tena mtu mmoja mnyama chui anaweza kupambana na watu zaidi ya 3 na akashinda pasipo watu hao kutumia silaha
Samson wa Tanzania 🇹🇿😅
Tunamsubiri delila
Uyu angekuwa pekeyake asinge muweza mwamba yupo mtwara uyo alipambana nachuwi pekeyake
KWS jifunzeni, wanyama wakivamia wananchi wanastahili kuuliwa, hasa kama fisi huko Juja na Nyacaba
Pole sana kamanda
Bila risasi usingepona bro,, Chui ni mnyama pekee kwenye taaluma za Martial arts,,, Riadha na Kuogelea,,,,, HAKUNA binadamu mwenye uwezo wa kumuua pekeake kwa mikono,, bila hata Kisu....
Zipo mbn njoo nkufunze dgo😅😅
Yupo kija mmoja. Uko tunduru wilaya nyasa aliua kwa mikono alimkamdamiza. Kwa mikono na kumshambulia akamuuwa
Kwa maelezo yake kwakuwa alikuwa tayari memuamgusha chini na amemuwekea goti tumboni nauhakika Chui angekufa tu.
Baba wabeja detele ngosha
Dahhh pole sana ndugu. Jmn pole maana chui ni hatari sana!
Msukuma 1 tu,askari poli jasiri kabisa.Mungu akupe afya njema na uendelee kuipenda kazi yako.utafika mbali sana.
Honger Afande na pole kwa kukujeruhi
Bwana mdogo Mungu akuongezeeujasili
Hongera sana kamanda.nakuombea upandishwe cheo
Hongera sana afande kwa umahili huo
Duuh mungu awasimamie mapolisi wote wa wanyama poli ❤❤❤❤❤❤
Pole broo umepambana umeonyesha ujasiri
Mh rais muone huyu baba kwa jicho lako
Apewe zawadiii ambayo hatosahau
Nyinyi ndo asikali wa ukweli na sio askali polisi wazulumati wale nyinyi ni myamba bigap
Wewe ni shujaa unastahili kupandishwa cheo
Huyu ndiye Chui sugu.hongera askari
Utukufu Kwa Mungu 🙏 hongera sana Kwa ujasiril na atukuzwe Mungu kukulinda.
Pole sana na mungu ako na mpango juu yako sio raisi kumuua uyo chui
Mungu wangu! Bwana Yesu asifiwe sana kwa kukulokoa
Only God did 🙏
hongera mwamba
Duh...hatari sana...Ayo uturudishe siku moja TRC watuoneshe zile interiors za behewa za VIP, second na first walizoleta ...
Mwamba apewe cheo 🏆
Utapona ila hiy kaz sio kaz tafut kaz nyngine watakukula hao wanyama
Nawashauri muongeze protective gears.....k.v helmet za kufunika vichwa, gloves ngumu n.k......by the way huyo jamaa anastahili heshima anayostahili, ni shujaa kama mashujaa wengine....salute kwako ngosha...
Hongera braza
Askari kamilifu apewe
Pole na ubarikiwe sana
sasa mwamba alituma CV ya kuomba kazi ili awatumikie wananchi na sio kuongeza zero zero kwa namba inayo fuata mikataba mirefu mirefu tu mnao faidika wacheche tunao umia wengi pesa zetu mnaenda kuziweka geneva huko kichomi kingine jeshi la zima moto fanyeni kazi kiufanisi 🏆💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Kwann hamuvai elmet?
Kuna mshua morogoro ali pambana nae chuku chuku hakuna panga Wala lisasi.... Hongera Police poli
Daah unavyobisha kama ulikuepo simulia wewe basi.
Milard vijana wako waache Mbwembwe, toa utangulizi acha habari iendelee wasikate kate habari
Pole sire na hongera ALLAH akupe afia yako kama kawaida INSHALLAH ❤
Apewe fidia ya kutosha kwa ushujaa wake hongera sana na pole kwa maumivu
Kuna malipo ya kuumia kazini
Hongera sana shujaa,Mungu akulinde na majanga
Hongera sana shujaa.umeonyesha uzalendo kweli. Umejihatarishia maisha Kwa ajili ya usalama wa wengine. Mungu akubariki sana
Pôle san kabia uko jesh kwakwel
Ameuua huyo, maana huyo chuwi ni mnhama anaeitunzwa katika mbuga, akamatwe afungwe ameua chuwi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole sana kaka
Wakipona huwa wanaonyeshwa kwenye TV, vipi wakiuwawa na majangili au wanyama? Sijawahi kuskia hata siku moja
Hongera sana kamanda kwa ujasiri
Waandishi mjifunze jinsi ya kuuliza maswali
Kwani? Baadhi ya maswali unayoyauliza hayaendani
Ujangiri
HONGERA SANA ASKARI WETU SHUJAA.
Pole sana kamanda jasiri. Unastahili upewe cheo wewe ni askari wa kweli
Pole kaka
Ngosha kamili 🔥🔥🔥
Mlitakiwa mseme askari aliyenusurika sio aliyemuua
Pole sama kamanda
Huyu ndio ngosha sasa nilidhani komandoo wa marekani kumbe ni komandoo wa kitanzania
Mungu akutunze kamanda wetu.
Sasa wazungu watakuja kuona nini tena huyu kaua wakati siku zote mnyama nibora kuliko binadamu
Kwahiyo umemuua rayvany
😂😂😂😂😂😂😂
Kwa sikuyoyote chui akiwa anataka kukujeruhi wahi kupiga magoti unamshika mikono halaf unapika ngumi yakichwa anakichwa kilaini sana
Pole sana
Pole xan kamanda na hawa ndo watu wa kupewa motisha kwenye kaz zao
Huyu ameua chui???? Mmmhhhh si kweli huyu ! Chui akuwahi utachomoka kweli??
Pole sana Kaka mkubwa pia mungu akulinde akuponye mapema
Huyu aongezwe mshahara uwe mkubwa hongera aisaidii kitu
😢😢😢
😂
😅
Apandishwe cheo haraka sana kafanyaka kitu kikubwa sana
Hakika ni kamanda shujaa. Binafsi nampa kongole yake/yaani pongezi yake.
safi
Watu washaua chui kibao tena kwa kisu maojiano kama ayo ni kutafuta views 2 ayana mashiko
Pole mkuu kwa kupambana na chui mshukuru mungu
Chui chui mm nilimpga teke moja tu akakatka shngo
Kwann amuuwe chui hajui ninyaraka za serikali
Duuh kumbe chui wa miaka kumi nambili ao kumi natano ni muzee yaani umepigana na chui muzee 😂
Aisee pole maana ulikua ukitetea uhai wako sio wale wa kutaka kick,mungu akulinde
Big up soldier
Huo Mmea hapo nyuma nime uwelewa
Bangi
Mmea wa sirikali 😅
Waja muna zoom
😂😂😂
Chui ua ni mzuri sana shida ni vita zake
Pole sana wenzako wasingekuwepo yangekuwa mengne
Mtoa taarifa ambeye ni Askari anasema walimpiga bunduki, baada ya kumrukia taarifa inasema Askari apambana na chui Hadi kumuua 😢 Pumbafffff "
Siunaskia alimrukia kwanza wakapambana ndio wenzao wakampiga sasa risas wasingevamia kumpiga risas kwasabb hata ndugu yao wangemuuwa kwahio umakin lazima uwepo
Hongera Sana blooo upewe najuwa yako