Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
    Waziri wa Katiba na sheria Prof. Palamagamba Kabudi leo katika makabidhiano ya pesa pamoja na madini ambayo yaliibiwa Tanzania na Kukamatwa Kenya amesema Tanzania na Kenya ni ndugu akabisa hivyo tuendelee kudumisha upendo na mshikamano...
    Pia ametoa shukrani kwa Rais wa kenya Uhuru Kenyatta kwa kuamua kurejesha mali za Tanzania , hivyo amefanya maamuzi mazuri na anastahili kuwa mfano wa kuigwa , na amelipa jambo hili uzito mkubwa sana..
    Kabudi ametoa rai kwa wananchi wote wa Kenya na Tanzania kutokuwa wahalifu na kuzilinda mali za nchi zote mbili kwa umakini wa hali ya juu..
    #MAWAZIRI
    www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Insta

КОМЕНТАРІ • 271

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 5 років тому +85

    Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 5 років тому +151

    I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 5 років тому +53

    Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.

  • @petermartin7181
    @petermartin7181 5 років тому +23

    Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 5 років тому +24

    Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 років тому +54

    Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana

    • @ezmworld
      @ezmworld 4 роки тому +3

      Kweli Kabisa.

  • @kingj9346
    @kingj9346 5 років тому +22

    I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region

  • @kahibiraphael2902
    @kahibiraphael2902 5 років тому +29

    your brain is so smart Prof Kabudi

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 5 років тому +46

    Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa.
    Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno.
    Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro .
    Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 років тому +1

      Jumbe Ojaso amen

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 5 років тому

      @@MsAggie5 .AMEEN

    • @sapduke8691
      @sapduke8691 4 роки тому +1

      Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)

    • @williamlumbasia7110
      @williamlumbasia7110 4 роки тому

      Ameen!

    • @lennyalega1559
      @lennyalega1559 4 роки тому

      Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 5 років тому +33

    Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.

  • @isayamwidete6420
    @isayamwidete6420 5 років тому +23

    The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕

  • @husseinnkenja8149
    @husseinnkenja8149 5 років тому +24

    Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.

  • @science_fact93
    @science_fact93 5 років тому +30

    This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country

  • @maryjohn8785
    @maryjohn8785 5 років тому +24

    Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 5 років тому +53

    Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana

    • @abdulatifmoxamed8047
      @abdulatifmoxamed8047 5 років тому +2

      Absolutely

    • @kiatu
      @kiatu 4 роки тому +1

      4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him

  • @clementkithinji7091
    @clementkithinji7091 5 років тому +17

    Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have

  • @josephinemitamba3399
    @josephinemitamba3399 5 років тому +16

    Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 5 років тому +27

    Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana

  • @abdallahhassan6055
    @abdallahhassan6055 5 років тому +91

    Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 4 роки тому +1

      Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!

    • @ambrosemilinga1395
      @ambrosemilinga1395 3 роки тому

      (99999999999)99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999)999999999999999999999999999999999999))9999999999999999999999999999999999)99999)9999999)99999999999999999999999999999999999999999

    • @deusrobert1343
      @deusrobert1343 3 роки тому

      @@andreajeremia436 wambie

    • @devotawaitara2333
      @devotawaitara2333 3 роки тому

      Ananivutia huyu baba, Yuko vizuri

  • @jamhuricity
    @jamhuricity 4 роки тому +2

    Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge

  • @robertmwakavi1266
    @robertmwakavi1266 4 роки тому +4

    This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.

  • @allykivike7228
    @allykivike7228 5 років тому +47

    Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.

    • @prospermakela7791
      @prospermakela7791 5 років тому +2

      Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 4 роки тому +1

      Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.

  • @omarykaita43
    @omarykaita43 5 років тому +13

    Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.

  • @ntibanahum8113
    @ntibanahum8113 5 років тому +5

    Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania

  • @remmychuma1313
    @remmychuma1313 5 років тому +11

    It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.

  • @fediruben5009
    @fediruben5009 5 років тому +10

    Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 5 років тому +17

    I always lean some when Prof. Kabudi chant
    One love Itinualy

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 років тому +56

    Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 5 років тому +51

    Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P
    Magufuli.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 років тому

      Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 5 років тому +9

    Profesaaa!!! I do appreciate you.

  • @Kushpoll
    @Kushpoll 4 роки тому +57

    Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.

    • @lennyalega1559
      @lennyalega1559 4 роки тому +2

      Remember when he talked of magniloquence?

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 5 років тому +75

    Watu wanakula lecture kwa ikulu.
    Take notes......
    Free academic input.

  • @williamray7751
    @williamray7751 3 роки тому +2

    Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 років тому +40

    sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake

  • @lucieserero7475
    @lucieserero7475 4 роки тому +1

    I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌

  • @shaffimwakz1413
    @shaffimwakz1413 4 роки тому +6

    This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 5 років тому +21

    Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 роки тому

    Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu.
    Asante kwa historia hii.
    Tku!!!

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 5 років тому +10

    Kabudi safii upo makini sanaaa

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 5 років тому +23

    My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli

  • @jacksonzakayo6759
    @jacksonzakayo6759 4 роки тому +6

    Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.

  • @TheB920
    @TheB920 4 роки тому +8

    Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔

  • @athumanomary1171
    @athumanomary1171 5 років тому +19

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @masanjemuyenjwa2434
    @masanjemuyenjwa2434 5 років тому +4

    u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako

  • @davidmatoka5203
    @davidmatoka5203 4 роки тому +1

    Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana

  • @davidgithiomi4021
    @davidgithiomi4021 4 роки тому +1

    I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.

  • @nichkakumbi7657
    @nichkakumbi7657 5 років тому +10

    Kabudi uko vzr uncle..

  • @williamlumbasia7110
    @williamlumbasia7110 4 роки тому +3

    Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 5 років тому +7

    Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 місяців тому

    Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania

  • @robertkipkoech008
    @robertkipkoech008 4 роки тому +2

    He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 років тому +29

    Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.

  • @jeremymakokha4797
    @jeremymakokha4797 4 роки тому +2

    Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254

  • @shadrackkwemoi5604
    @shadrackkwemoi5604 4 роки тому

    Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua

  • @johnjaphet9548
    @johnjaphet9548 5 років тому +15

    HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA

  • @hipu755
    @hipu755 4 роки тому +3

    This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.

  • @oslominiconcerts3538
    @oslominiconcerts3538 4 роки тому

    Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region.
    Hongera mtoto wa kasisi.

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 4 роки тому +1

    Indeed you are professor kabudi

  • @muhamoha5038
    @muhamoha5038 4 роки тому

    It's a joy always to listen to this great man talking

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 4 роки тому +10

    When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 4 роки тому +1

    Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 4 роки тому

    Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.

  • @moudymchemia6598
    @moudymchemia6598 4 роки тому

    Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya

  • @Djaiicool2012
    @Djaiicool2012 4 роки тому +8

    Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed2880 4 роки тому

    genius and intelgent man prof kabudi

  • @okothdido3827
    @okothdido3827 4 роки тому +1

    Great man. Kenyans honour you

  • @adeltusbashara9720
    @adeltusbashara9720 5 років тому +18

    Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!

    • @boniphacetabu2903
      @boniphacetabu2903 5 років тому +1

      Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu

  • @johnzephania8549
    @johnzephania8549 5 років тому +3

    historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua

  • @wbabu6155
    @wbabu6155 4 роки тому

    Prof Kabudi, what a great speech!

  • @rasnjogu
    @rasnjogu 4 роки тому +2

    I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 5 років тому +30

    Ila huyu mgogo anamiss kufundiasha hebu mpeni kipindi awe anaingia class UDSM siku moja moja...

    • @amanichanga3448
      @amanichanga3448 5 років тому +2

      Mbona alishawah kuwa mwalimu hapo, amemfundisha hadi lisu

    • @muktarmashukura950
      @muktarmashukura950 5 років тому +1

      Anvyojiamini nilijua bukoba moja

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 5 років тому

      @@muktarmashukura950 hahahaaaaaaaa, wahaya ndio wanaojiamini

    • @michaeljoseph6967
      @michaeljoseph6967 5 років тому +1

      @@amanichanga3448 wakati kabudi anakuja kufundisha ud lissu kashamaliza kitambo.kifupi lissu hajafundishwa na kabudi,lissu amefundishwa na prof Issa Shivji.
      Kabudi wanafunzi wake wakina dr Tulia na akina Halima Mdee.

    • @epafrangweshemi4014
      @epafrangweshemi4014 4 роки тому +1

      Sasa kufundisha UDSM na kutoa haya kwa taifa zima ipi faida zaidi?

  • @AliMvingira-ls2vm
    @AliMvingira-ls2vm Рік тому +1

    Jamani nchi yangu nikifikilianatoa machozi mungu atupe nini nchi hii viongozi wazuli ndo hawadumu duh. Mabaya yana ishi mzee, wewe unafaa kuwa rais, anaebisha nimnafiki

  • @kanyaugatiejagwo
    @kanyaugatiejagwo 4 роки тому +1

    This will be the next Tanzania president

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 3 роки тому

    Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 5 років тому +10

    Tunazidi kujifunza mengi ya kale

  • @kipkemoiisaac5326
    @kipkemoiisaac5326 4 роки тому +1

    Who's this guy. Brilliance galore

  • @josephkiliko7114
    @josephkiliko7114 4 роки тому +1

    Tanzania tumebarikiwa kuwa na viongozi mahiri sana Mungu awatunze msogeze taifa ili mbele

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 5 років тому +4

    Profesa Kabudi!!!

  • @samuelotura5883
    @samuelotura5883 4 роки тому +1

    I compare this man just with Amollo Raila,I wish we have this like person in Kenya

  • @peteg9921
    @peteg9921 3 роки тому

    Palamalamba Kabudi...what a name?
    I like this guy, he's a lawyer with oratory skills, a historian per excellence, has a commanding voice and presence 👌..I don't know much about Tanzania CCM politics but his star is shining so bright I think he should be the next big thing in Tz politically.
    Now that Magu is gone, he is the man to watch.

    • @peteg9921
      @peteg9921 3 роки тому

      I hope some day he ascends to the highest office in Tz...the foreign ministry is a too small office for such a potential guy.
      For us in Kenya, the political landscape is heavily polluted, saturated, full,mixed,chocked by the same same people for the last 25 years.
      They don't want to leave the political stage yet they stifle,strangle and shove aside new promising political voices who they view as enemies.
      The Kenyan curse in one stanza!

  • @sallykalya9023
    @sallykalya9023 4 роки тому +5

    Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪

    • @kingnicky2568
      @kingnicky2568 3 роки тому

      Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂

  • @samjohn583
    @samjohn583 4 роки тому +1

    Pround to be East Africana.

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 3 роки тому

    Good History very Interestive

  • @eutychusthiongo1335
    @eutychusthiongo1335 3 роки тому

    Profesa Kabudi is all tym best foreign affairs minister in TZ

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 3 роки тому

    Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu

  • @samgesaka4203
    @samgesaka4203 4 роки тому +1

    Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 5 років тому +7

    prf.Kabudi ni hazina kubwa na ninahamini atamsaidia Mh.Rais

  • @issamsomba7219
    @issamsomba7219 5 років тому +3

    big up

  • @AliMvingira-ls2vm
    @AliMvingira-ls2vm Рік тому

    Mungu akutangulie mzee wangu

  • @cosmasmapesa
    @cosmasmapesa 4 роки тому

    Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa

  • @TheMrisho
    @TheMrisho 4 роки тому

    Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.

  • @alexfrancis2278
    @alexfrancis2278 4 роки тому

    Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo

  • @robertngwagala5939
    @robertngwagala5939 Рік тому

    Namkubali sana hyu mwmba

  • @jamesohayo5329
    @jamesohayo5329 4 роки тому +1

    This man IS brilliant.

  • @joycenahimana6079
    @joycenahimana6079 5 років тому +11

    Akimaliza kipindi chake mzee mangu kabudi ndio Rais 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @ernestsamson2761
      @ernestsamson2761 5 років тому

      Hawez tena,ameshavuka umri wa miaka 60 jwa sasa ukiwa ccm ni lazma uongoze taifa ukiwa under60 ili kila kizazi kipate kuongoza .....

    • @joycenahimana6079
      @joycenahimana6079 5 років тому

      @@ernestsamson2761 ooh ok tutakupa wewe😃

    • @ernestsamson2761
      @ernestsamson2761 5 років тому

      @@joycenahimana6079 hah.......mii cna dgree mam

    • @joycenahimana6079
      @joycenahimana6079 5 років тому

      @@ernestsamson2761 weeh kweli soma basi mdogo wangu.usikate tamaa unaweza kuwa tu kwani wao si ni binadamu km wewe.huu utani unaweza ukashangaa imekuwa kweli

    • @ernestsamson2761
      @ernestsamson2761 5 років тому

      @@joycenahimana6079 haha ....kama urais ndo hv ngoja tu niwe la saba mwenzako

  • @davidmatoka5203
    @davidmatoka5203 4 роки тому +1

    Please make trips to Kenya, educate kenyan ministers to stop tribalism and corruption

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 5 років тому +8

    😂😂😂😂😂😂😂 Unaijua mipaka na historia vzr

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 4 роки тому +1

    We kabudi ni prof Ur real ticha

  • @franopybest3107
    @franopybest3107 4 роки тому +2

    This guy shouldn't have left teaching at the university...that was a big loss to academia.though I see him becoming the next president of tanzania

  • @enocklugora4331
    @enocklugora4331 3 місяці тому

    Gud gud sana