Huyu Baba Aliupenda sana Uislaam Allah Amsamehe tatizo lake huyu Baba Hakuwa Msomi wa Fani za Kidini hivyo Anakosa haki ya kuusemea Uislaam Maana Allah sub'haana wataala amekataza Kuusemea Uislaam bila Ya Elimu
Umeuliza Swali Zuri Sana Kaka nhv-; Kiislam tunaposema Elimu basi Neno hili hutafsiriwa kwa Matumizi ya Kilugha na Kidini -; Amma kidini imesemwa " Kujua haki Kwa dalili Zake nayo ni dhidi ya Ujinga " Na Elimu ni aina mbili 1- Elimu ya ibada Elimu Wanaifahamu Zaidi Wanachuoni 2- Elimu ya Fani za kidunia Ambayo Wanaifahamu Wanazuoni Sasa Sheikh Ilunga Si Muhitimu wa Chuo Chochote Cha Kidini ni Vipi Apate ujasili wa Kuusema Uislaam !!!!!!
@@ramadhanimtetu7246 hivi unaujua Elimu ya Ilunga au unajisemea tu pole sana nyinyi ndo mmegawanywa na mayaudi mnaona dhehebu ndo dini 😄😄 ww unaona aongei kiarabu ndo unaona ana elimu kwanza ana Elimu ya Chuo kikuu Dsm elimu ya dini kasomea Yemeni
@@zuheorsalim7759 kwani lazima asome usuli kitab chenu jahil ww....yaan mpak asome kitab chako ndo umuite jahil...kwanza mpaka hapo huna chochote una sifa ya kiyahud
Ya Allah mpunguzie Adhabu ya kaburuni amiin
Allahuma gfirlahu warhamhu waskin fil janat
Amiin
Mashaa Allah Mola akujalie janat fardoos
Allahuma igh'fillahu warahamhu wasakanahu firljannah
Ameen
Wazee wa falsafa hao hamna kitu fitna za kufanya watu wadharau viongozi
Allah amsamehe kwa kosa lake ( kupotosha umma)
Ameen
Allahuma ghufrilahu waskinahu fyl jannah
Swadakta ulioyasema ndio uliotwachanayo leo nayazid kutufunika. Allah akufanyiye wepesi ktk safariyako naakusamehe makosa yako. Ameen
Màa shaa Allah ukimuangalia unaona nuru hasa usoni mwake
اللهم اغفر له وارحمه واجعله من أهل الجنة الفردوس
Mwenyezi mungu amraham
Shida Mashekhe wa Tanzania kukufurishana kuitana makafiri wamekua Wasaniii kama waimbaji wao
Sahihi
Jaribu kuwa na lugha nzuri.hamna kabila la mayahudi bali wayahudi
صدقت ما نطقت يا شيخ
Allah amsamehe kwA maneno yake
Maneno tapi na alikua anaongea kweli tupu.
Madhehebu ni mpango wa Mayahudi?
Huyu Baba Aliupenda sana Uislaam Allah Amsamehe
tatizo lake huyu Baba Hakuwa Msomi
wa Fani za Kidini
hivyo Anakosa haki ya kuusemea Uislaam Maana Allah sub'haana wataala amekataza Kuusemea Uislaam bila Ya Elimu
Bado hujaelewa elimu katika Uislamu Ina maana gani. Wewe unafikiri Uislamu unaona elimu ni kusoma Qur-an na hadithi basi.
Bado unatawaliwa na fikra za kimadhebu ndoman huwez muelewa ilungu akili kubwa
Kaka kwani elimu ni nini?
Umeuliza Swali Zuri Sana Kaka
nhv-; Kiislam tunaposema Elimu basi Neno hili hutafsiriwa kwa Matumizi ya Kilugha na Kidini -;
Amma kidini imesemwa " Kujua haki Kwa dalili Zake nayo ni dhidi ya Ujinga "
Na Elimu ni aina mbili
1- Elimu ya ibada
Elimu Wanaifahamu Zaidi Wanachuoni
2- Elimu ya Fani za kidunia Ambayo Wanaifahamu Wanazuoni
Sasa Sheikh Ilunga Si Muhitimu wa
Chuo Chochote Cha Kidini
ni Vipi Apate ujasili wa Kuusema
Uislaam !!!!!!
@@ramadhanimtetu7246 hivi unaujua Elimu ya Ilunga au unajisemea tu pole sana nyinyi ndo mmegawanywa na mayaudi mnaona dhehebu ndo dini 😄😄 ww unaona aongei kiarabu ndo unaona ana elimu kwanza ana Elimu ya Chuo kikuu Dsm elimu ya dini kasomea Yemeni
Wewe ulikuwa mlezi
Elimu mpaka kiwangogani ndio uusemee uislam saidna Omar alikua na elimu kiasigani maana yeye aliusemea uislam kwaupanga
Sheikh Ilunga na Abdu Rogo Allah awarehemu hatutokaa tupate tena Masheikh kama hawa East Africa
@@subulus_salaam2023 wewe kacheze Maulid huwezi elewa
@@officialkamdudu
Mimi na maulid wapi kwa wapi????
@@subulus_salaam2023 sasa u a reply vitu gani hapo ?
@@officialkamdudu
Inadhihirisha namna gani huwafaham hao masheikh walivyo changia katika kuurudisha nyuma uislam,,,
@@subulus_salaam2023 ndio maana nikakwambia wewe zako ni Maulid huwezi kuwaelewa hao
Wewe mpumbavu uliyepost madhehebu yako ni mpango wa shetani
Ukristo ulianza kabla ya uislamu fundisheni mambo ya MUNGU
Kama ukiricto ulianza kabla ya uiclaam , Adam nae aliumbwa kabla ya yecu, kristo , em nielaweshe
Hakuna muyahudi anayewagawa waislamu bali nyinyi waislamu wenyewe ndio hamuielewi Qurani yenu
Embu nendeni mkadanganywe na wachungaji wenu huko 🤣🤣🤣
Mwanaharakat jahil huyu
Watu wa madhehebu mnashida saana wallah
@@imanimfuruki9040 sasa hiyu hata usuli hajasoma atazungumza nini zaidi ya utoporo
@@zuheorsalim7759 kk hujasoma huwez kashf kuku ww
@@zuheorsalim7759 kwani lazima asome usuli kitab chenu jahil ww....yaan mpak asome kitab chako ndo umuite jahil...kwanza mpaka hapo huna chochote una sifa ya kiyahud
@@bakaribakari6444 wewe ni khawarij jahil