Kiongozi Nanauka nimefurahi sana kuipa hii. Ni kila siku ninakusikiliza na nimepiga hatua kubwa, tena nimewahamasisha wengi wakusikilize. Mungu akubariki sana.
Sir Joel,, nahis bado vijana wengi hawajui uwepo wako mkuu,Kiukweli Vijana wengi wanamawazo ya kutaka kufanikiwa,lakin elimu ya Ya jinsi kupalilia au kufikia hayo ndio Hawana kabisaaaaaaaaaa... Mungu atusaidie
Nimependa sana video zako hasa za biashara Ningependa muongozo juu ya kutumia pesa za biashara kwa mahitaji ya nyumbani yote kabla biashara haijanawiri sana.Ni lini zaweza kutumika hivyo? Grandma from Mombasa Kenya.
Kaka mm nna shida kubwa na nahitaji ushauri wa kila siku kila siku maana hali yangu ni mbaya ya msongo wa mawazo nahisi km sina thamani duniani tatizo sina mtu wa kumuamini isipokua nimekuona wewe kaka .naomba namba ya sim kaka
Tunaomungalia nanauka 2019 tujuane
Somo limefundishwa Mwaka 2019 na sasa ni Mwaka 2022 Mungu nisaidie niyatendee kazi haya masomó
Kiongozi Nanauka nimefurahi sana kuipa hii. Ni kila siku ninakusikiliza na nimepiga hatua kubwa, tena nimewahamasisha wengi wakusikilize. Mungu akubariki sana.
Uko good sana keep on educating
Wow thank you so much. Br
Sir Joel,, nahis bado vijana wengi hawajui uwepo wako mkuu,Kiukweli Vijana wengi wanamawazo ya kutaka kufanikiwa,lakin elimu ya Ya jinsi kupalilia au kufikia hayo ndio Hawana kabisaaaaaaaaaa... Mungu atusaidie
Baba Lois nashukuru sana,tuendelee kushare na wengi ili wafuatilie zaidi
Kaka habari naomba mawasiliano yako ili niweze kupata kitabu chako linachohusu nguvu ya mwanamke nitashukuru sana Be blessed
Shukrani sana kaka Joel Mungu akubariki sana tunategemea video zenye mafunzo za kama hizi.#Uishi maisha marefu......
upo vizuri kaka mungu akubariki unatutoa gizani
Mawazo hasi, malalamiko, kutokujali mda na kutokusema hapana!!!,, asee nimetoka na kitu, barikiwa bro☺
Asante sana ndugu
Asante ndugu. Nimejifunza kitu
daah hivi ulianzaje nw ulpataje hii taaluma ya kuekezea jamii ktk nyanja zote
Asante sana kaka joel nimekuwa nikifuatilia video zako kwa kwel zinafundisha
Ahsante sana Kaka.
MUNGU akubariki sana sana!!.
Duh!
Nimekukubali.
Kweli Mkuu mafundisho yako yamenipa hatua mpya
Good sana mkuu nakukubali kwa saikolojia unayo tupa
see u at the top....daaaah nakaelewa sana hako ka sentensi
barikiwa sana kaka unatubadilisha
Hongera sana kunielimisha
From Kenya
Nashukuru kwa funzo lako asante sana.
Good sana kaka Mungu azidi kukuinua
Kaka nilipoteza cm yangu ila kila nikiomba cm ya mtu wa kwanza kukutazama ni ww kk Joel, napenda sana kazi zako, by sweetbert mbowe,arusha
asante sana brother nimekupata sana ila mm nataka utufundishe namna yakuweka pesa mm sitakikuweka pesa bank wala ktka
Iko safi sana bro
Live long brother... Once I watch and listen your video clips I desire more and more to learn 4rom you, dah!
Mungu awe nawekwabusalayaki
Nimeoenda
Huyu jamaa anajua sana
Nimependa sana video zako hasa za biashara Ningependa muongozo juu ya kutumia pesa za biashara kwa mahitaji ya nyumbani yote kabla biashara haijanawiri sana.Ni lini zaweza kutumika hivyo? Grandma from Mombasa Kenya.
asante saana kaka joel
Habari ya leo ndugu,naomba kujua taratibu za kujiunga kwenye group ya whatsup
Bro unatema madini sana Man
Thanks
Nakubali
ipo poa sana
Nmempenda sanaa juyu kaka
Husna Shariff bro inaonekana uko deep sana
He!!!!
Nakukubali Sana kaka
Nimekuelewa kaka
Pamoja sana
we jamaa nakuelewa sana
uko vizuri sana kaka
uko vizuri sana kaka nakuelewa
OFA STATIONERY Napataje vitabu vyako?
Hahahaha maneno sumu kweli bana wapo kama jama moja nimekutana nae sio kabisa yeye hana jema kabisa dah yeye shida tuuu duh
kwann watu wanachukia bila tatizo ukiuliza nalinga ,najisikia .nikijitaza najiona wachini sana kuliko hats wao
nice
Thanks broo
True!
Kaka mm naomba mawasiliano yako
Ahsante
Hasante
WW NI ROLE MODO WANGU
Nahisi nachelewa kukipata kitabu cha timiza malengo npo tegeta nielekeze bro
Namba yako plz
Nimekueiewa k
ndio
🖒🖒
Thanks bro. Kama una magroup ya watsap plz tunaomba link tujiunge tujifunze zaid
Good
Kweli
Kaka mm nna shida kubwa na nahitaji ushauri wa kila siku kila siku maana hali yangu ni mbaya ya msongo wa mawazo nahisi km sina thamani duniani tatizo sina mtu wa kumuamini isipokua nimekuona wewe kaka .naomba namba ya sim kaka
ipo poa sana
Nakufuatiria sana kaka
nakubali
Nice