Mambo 10 Muhimu Ambayo Lazima Uyaache Ili Ufanikiwe SEHEMU YA PILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 100

  • @luciewajesus731
    @luciewajesus731 5 років тому +4

    Mimi niko Oman kwa kazi ninayo fanya, ninaamini kuwa mfanyi biashara mkubwa nahisi niko katika majira ya mpito mimi ni tai ninafika mbali. kwa kidogo ninacho nina imani sana Asante kaka nione juu sana, kupitia mafunzo yako ya kila siku ❤❤❣❣

  • @gidbway1200
    @gidbway1200 6 років тому +2

    Katika watu wa muhimu kuwahi kutokea ni wale wanaokuelezea namna ulivyo na hawapendi ubaki vile ulivyo keep in touch kaka your such a wonder full personate person god bless you

  • @nakembetwaemanuel8846
    @nakembetwaemanuel8846 3 роки тому +1

    Naitwa Nakembetwa Emanuel napatikana sikonge tabora nitakipataje kitabu cha timiza malengo

  • @jafarilupimo656
    @jafarilupimo656 6 років тому +1

    Mungu akupe maisha marefu broo kwn ni muda mfupi tangu nianze kufuatilia mafundsho yko kuna vtu vingi sn vimenifariji naamin kupitia masomo haya hakika nakuahdi nakwenda kufanikiwa Mungu akpe maisha marefu

  • @MSILUTV1994
    @MSILUTV1994 5 років тому

    Kama Unataka Video zenye Nguvu Ya Mungu Fuata Hii Link Then Usiache Kusubcribe hapa chini Ifuate uwe wakwanza.
    ua-cam.com/video/rxgd1IDmOJU/v-deo.html

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 6 років тому +2

    Du! Nilikuwa ninajidharau lakini kwasasa najiamini
    Barikiwa sana

  • @evanestory3711
    @evanestory3711 6 років тому

    Asante sana Joel kwa masomo mazuri ukweli visingizio vimefanya watu wengi tunashindwa kupata kibali cha kufanya mambo makubwa.Mungu akubariki sana.

  • @ashaally5883
    @ashaally5883 3 роки тому

    Umenigusa sana kaka

  • @yetenesnzogela561
    @yetenesnzogela561 6 років тому +1

    Happy to hear you my brother!! always I get new strength through your speech.

  • @joharijuma8667
    @joharijuma8667 6 років тому +3

    yani kila siku nazidi kuwa lijitu lenye ujasiri wa hali ya juu Mungu azidi kukupa uwezo zaidi uendelee kutuhekimisha zaidi nafurahi sana kukufahamu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Johari Juma Ahsante sana Johari,tuendelee kujifunza

  • @mudhirmussa3586
    @mudhirmussa3586 4 роки тому

    Ubarikiwe

  • @jorumzacharia352
    @jorumzacharia352 5 років тому +1

    hongera kiongozi kwa mafunzo mazuri

  • @berariminwilbert5136
    @berariminwilbert5136 6 років тому +1

    Kiukweli ninatatizo sana kwenye uchumi lakini kupitia masomo haya yatanisaidia Mungu akubariki sana

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa Місяць тому

    Uko Sahihi br barikiwa 🙏🙏🙏

  • @segolinetingo2916
    @segolinetingo2916 5 років тому

    Asante sana.nimejiamin sana kwan Niko nafas ya chin ofisin so ipo siku nitakuwa juu

  • @mubamdetele6055
    @mubamdetele6055 5 років тому

    Asande Sana kaka

  • @begumisaclavery9228
    @begumisaclavery9228 6 років тому

    Keep it up nimekuelewa sana Mungu akusaidie akupe maisha malefu uzidi kutusaidia and I admire to be like you ubarkiwe sana

  • @gibsonmasafa4426
    @gibsonmasafa4426 6 років тому +1

    Kaka hakika una itendea haki hoyo elimu yako god bless you

  • @ruthstephen2791
    @ruthstephen2791 4 роки тому

    Nafurahi huku naelimika. Ukiamua kutafuta kisingizio lazima utakipata

  • @amourali6057
    @amourali6057 6 років тому

    You are pretty ok. I really like your lessons because it is very useful to me

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    Powerful 🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨😥

  • @jaysballoh22
    @jaysballoh22 6 років тому

    Asante sana kaka Ubarikiwe

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 6 років тому

    Mungu akubark Kaka umenifunza ktu Ktk maisha

  • @salesiasambala4218
    @salesiasambala4218 6 років тому +2

    be blessed my brother

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 5 років тому

    Asante sana kaka

  • @davidandrewmarius3454
    @davidandrewmarius3454 6 років тому +1

    asante sana brother Joel..naitaj kitabu nitapataje

  • @millicentnaliaka7609
    @millicentnaliaka7609 6 років тому

    Aah hapo nimeridhika kabisa tena sana ubarikiwe kakangu

  • @muhsinyahaya3967
    @muhsinyahaya3967 5 років тому

    Thanks Brother

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 6 років тому +2

    Great..

  • @lidyampazi8167
    @lidyampazi8167 5 років тому

    God bless u

  • @elinaitambu9875
    @elinaitambu9875 6 років тому +1

    Asante, kaka Joel mungu aendelee kukupa maarifa

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 6 років тому

    Long life brother....nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @japhetmgini4710
    @japhetmgini4710 6 років тому

    Thanks much broh.....

  • @emmanuelhaule1023
    @emmanuelhaule1023 6 років тому +2

    Nimependa sana ujumbe na zaidi point ya kujizadharau na mfano wake. Ubarikiwe kaka Noel.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Emmanuel Haule Ameen nashukuru sana

  • @doreenprosper6424
    @doreenprosper6424 6 років тому

    kaka asante sana

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 6 років тому +1

    sometimes I used to call them diseases of the mind....tryin n tryin n tryin n tryin like a baby steps....'preciate bro much 'spect 2 ya....God bless yo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Kendrick Menson thanks a lot

  • @devothasteve2900
    @devothasteve2900 6 років тому +1

    See you at the top

  • @jacksonmwanyika5697
    @jacksonmwanyika5697 6 років тому +2

    ahsante mkuu

  • @edenpaul7621
    @edenpaul7621 6 років тому +1

    nce nce kaka nmekupata sana

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 6 років тому

    Thanks bro

  • @adolfkiwale6817
    @adolfkiwale6817 6 років тому

    Upo sahihi boss wangu

  • @francismangula2715
    @francismangula2715 6 років тому

    Nakubal kaka

  • @fundichaudele4090
    @fundichaudele4090 6 років тому

    Uko vizuri

  • @omarvukuya6312
    @omarvukuya6312 6 років тому +1

    Ahsante

  • @leoniaphilipo4351
    @leoniaphilipo4351 6 років тому

    Much thanks Joe, nakuelewaga sana...
    Pls kitabu nakipataje?

  • @tumainlaurent5115
    @tumainlaurent5115 6 років тому +3

    Unajua sana uko vizuri

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Tumain Laurent nashukuru sana

    • @jeremiamathias2747
      @jeremiamathias2747 5 років тому

      Habali napenda sana makali yako kitabu chako cha unauzaje

  • @florencemafie_official2238
    @florencemafie_official2238 6 років тому

    barikiwa bro

  • @eliasisaya9273
    @eliasisaya9273 6 років тому

    Nimeipenda sana hiyo ya Saudi na Goliath

  • @Cyper255
    @Cyper255 6 років тому +4

    USIJIDHARAU

  • @teclafulgence5316
    @teclafulgence5316 6 років тому

    blessed

  • @mkamamfungo3200
    @mkamamfungo3200 4 роки тому

    Kaka natamani sana Kumiliki compuni,saluti sana bro

  • @N_kali
    @N_kali 6 років тому

    Safi
    Brother unanifundisha kitu kikubwa sana

  • @ummlana9991
    @ummlana9991 6 років тому

    Nice

  • @benedictmasigo518
    @benedictmasigo518 6 років тому

    nyc

  • @focusngowi4371
    @focusngowi4371 6 років тому

    I really appreciate you bro! Keep it up

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 6 років тому +4

    Blessed kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому +1

      Eng.Muyengi Baraka ameen

    • @brhchannel6618
      @brhchannel6618 6 років тому +1

      Joel Nanauka umenifundisha sana hata Kujiona me ninaweza zaidi ya nilipo videos zako hakika zimebadilisha maisha yangu nilikuwa siweki akiba now nimeweka.

  • @emmanueljoachim8782
    @emmanueljoachim8782 5 років тому

    Well true bro

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 6 років тому

    mimi ni tai.thanks bro

  • @sebaboniphace570
    @sebaboniphace570 6 років тому

    uko wa kipekee kabisa ushauli WK unanibariki sn

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 років тому

    Huwa narudia sana kuskiliza hapa kwa sababu ya akili kubwa ulioizungumza hapa

  • @sheylagikaro1362
    @sheylagikaro1362 4 роки тому

    🙏🙏🙏🤝🤝🤝

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 6 років тому

    bro maneno yko yananiokoa ktk wakat mgum sana

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 6 років тому +2

    Joel can u make a vidio
    Watu ambao wanadanganya ata bila kumchunguza unaona tu huyu mtu anadanganya

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 6 років тому

    Jamani ua kipinfi chako chanijenga sana na tamani siku moja tu ni we mngeni wewe ana kwa ana ni jue mbunu nyingi zahifi

  • @meryenzubery9945
    @meryenzubery9945 5 років тому

    Kaka nawezaje kupata kitabu chako "Timiza malengo "

  • @annymdg7647
    @annymdg7647 6 років тому +1

    👏👏👏👏

  • @gibsonmasafa4426
    @gibsonmasafa4426 6 років тому +1

    Bloo Yani ume nipa tumaini ya kupambana zaidi Kaka

  • @hagaijohn9597
    @hagaijohn9597 6 років тому

    nasogeaaaaa

  • @jangwaltv4663
    @jangwaltv4663 6 років тому

    Brother ntapataje kitabu chako

  • @zubedakaluli6638
    @zubedakaluli6638 5 років тому

    I'm tai

  • @titotheophilusmwaipaja6365
    @titotheophilusmwaipaja6365 6 років тому

    mimi ni Tai

  • @halawamalimi1777
    @halawamalimi1777 6 років тому +2

    nmeanza kukuelewa kama Jack ma

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 6 років тому +2

    Kuna ile ya mambo 4 yanayopelekea mtu kukuchukia na ukiwa hamjawai kugombana..naomba niipate tena

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      mariamu kajiru ipo bado uingalie

  • @damasmadeli7700
    @damasmadeli7700 6 років тому +2

    nashukuru najifunza vng kwenye chanel yako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      damas madeli Ahsante sana Damas,tuendelee kujifunza n'a kushare na wengine

  • @abdulrahmanhassan814
    @abdulrahmanhassan814 6 років тому +2

    Mwalimu mm nakuelewa sanaa mungu akubatiki, namba unielekeze na unipe number za simu ili niweze kukipata kitabu cha TABIA 12 ZINAZOLETA MAFANIKIO

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому +1

      Abdul Rahman Hassan karibu sana 0756094875

    • @abdulrahmanhassan814
      @abdulrahmanhassan814 6 років тому

      Joel Nanauka asante sana mwalimu , huwezi kuamini kitabu cha TIMIZA MALENGO ,nimekisoma zaidi ya mara 5 hakiniishi hamu kila nikisoma naona nikama mara yangu ya kwanza, na kimenisaidia sana nimeweza kujiajiri na kampesa kangu,nahitaji zaidi vitabu vyako ikiwezekana tutolee kingine mwaka mwishoni, nshaallaa

  • @jacksonygtboy7813
    @jacksonygtboy7813 6 років тому

    ninaomba unipeushauri kwenyebiasharayangu

  • @salumzengula6841
    @salumzengula6841 6 років тому

    lam employee but l have a lot of debt and l have no enough salary

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Salum Zengula pole salum,inawezekana kutoka kwenye madeni. Hivi karibuni nitaweka video ya njia za kutoka kwenye madeni

    • @mbishomrisho637
      @mbishomrisho637 6 років тому

      Joel nisaidie kitu kimoja Mimi ni doctor lakini nimejikuta napenda sana biashara na nimfanyabiashara classmates wananikatisha tamaa nifanyeje?

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 5 років тому +1

    kaka joel naomba uwe mentor wangu mafundisho yako yamenibariki sana nimechelewa kukufahamu ila ukiwa mentor wangu ntabarikiwa zaidi 0763 207124 nashukuru

  • @mohdyrajabu5450
    @mohdyrajabu5450 6 років тому +1

    Joel mi naomba namba yako ya kwangu ni 0621 269171

  • @fettyhance5387
    @fettyhance5387 5 років тому

    Bro Joel naomba namba yako plz ya kwangu ni 0769570571

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 6 років тому

    God bless you

  • @elishamkemwa8861
    @elishamkemwa8861 6 років тому +1

    ahsante

  • @hagaijohn9597
    @hagaijohn9597 6 років тому

    nasogeaaaaa