Mimi niko Oman kwa kazi ninayo fanya, ninaamini kuwa mfanyi biashara mkubwa nahisi niko katika majira ya mpito mimi ni tai ninafika mbali. kwa kidogo ninacho nina imani sana Asante kaka nione juu sana, kupitia mafunzo yako ya kila siku ❤❤❣❣
Katika watu wa muhimu kuwahi kutokea ni wale wanaokuelezea namna ulivyo na hawapendi ubaki vile ulivyo keep in touch kaka your such a wonder full personate person god bless you
Mungu akupe maisha marefu broo kwn ni muda mfupi tangu nianze kufuatilia mafundsho yko kuna vtu vingi sn vimenifariji naamin kupitia masomo haya hakika nakuahdi nakwenda kufanikiwa Mungu akpe maisha marefu
sometimes I used to call them diseases of the mind....tryin n tryin n tryin n tryin like a baby steps....'preciate bro much 'spect 2 ya....God bless yo
Joel Nanauka umenifundisha sana hata Kujiona me ninaweza zaidi ya nilipo videos zako hakika zimebadilisha maisha yangu nilikuwa siweki akiba now nimeweka.
Joel Nanauka asante sana mwalimu , huwezi kuamini kitabu cha TIMIZA MALENGO ,nimekisoma zaidi ya mara 5 hakiniishi hamu kila nikisoma naona nikama mara yangu ya kwanza, na kimenisaidia sana nimeweza kujiajiri na kampesa kangu,nahitaji zaidi vitabu vyako ikiwezekana tutolee kingine mwaka mwishoni, nshaallaa
Mimi niko Oman kwa kazi ninayo fanya, ninaamini kuwa mfanyi biashara mkubwa nahisi niko katika majira ya mpito mimi ni tai ninafika mbali. kwa kidogo ninacho nina imani sana Asante kaka nione juu sana, kupitia mafunzo yako ya kila siku ❤❤❣❣
Katika watu wa muhimu kuwahi kutokea ni wale wanaokuelezea namna ulivyo na hawapendi ubaki vile ulivyo keep in touch kaka your such a wonder full personate person god bless you
Naitwa Nakembetwa Emanuel napatikana sikonge tabora nitakipataje kitabu cha timiza malengo
Mungu akupe maisha marefu broo kwn ni muda mfupi tangu nianze kufuatilia mafundsho yko kuna vtu vingi sn vimenifariji naamin kupitia masomo haya hakika nakuahdi nakwenda kufanikiwa Mungu akpe maisha marefu
Kama Unataka Video zenye Nguvu Ya Mungu Fuata Hii Link Then Usiache Kusubcribe hapa chini Ifuate uwe wakwanza.
ua-cam.com/video/rxgd1IDmOJU/v-deo.html
Du! Nilikuwa ninajidharau lakini kwasasa najiamini
Barikiwa sana
Asante sana Joel kwa masomo mazuri ukweli visingizio vimefanya watu wengi tunashindwa kupata kibali cha kufanya mambo makubwa.Mungu akubariki sana.
Umenigusa sana kaka
Happy to hear you my brother!! always I get new strength through your speech.
yani kila siku nazidi kuwa lijitu lenye ujasiri wa hali ya juu Mungu azidi kukupa uwezo zaidi uendelee kutuhekimisha zaidi nafurahi sana kukufahamu
Johari Juma Ahsante sana Johari,tuendelee kujifunza
Ubarikiwe
hongera kiongozi kwa mafunzo mazuri
Kiukweli ninatatizo sana kwenye uchumi lakini kupitia masomo haya yatanisaidia Mungu akubariki sana
Uko Sahihi br barikiwa 🙏🙏🙏
Asante sana.nimejiamin sana kwan Niko nafas ya chin ofisin so ipo siku nitakuwa juu
Asande Sana kaka
Keep it up nimekuelewa sana Mungu akusaidie akupe maisha malefu uzidi kutusaidia and I admire to be like you ubarkiwe sana
Kaka hakika una itendea haki hoyo elimu yako god bless you
Nafurahi huku naelimika. Ukiamua kutafuta kisingizio lazima utakipata
You are pretty ok. I really like your lessons because it is very useful to me
Powerful 🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨😥
Asante sana kaka Ubarikiwe
Mungu akubark Kaka umenifunza ktu Ktk maisha
be blessed my brother
Asante sana kaka
asante sana brother Joel..naitaj kitabu nitapataje
Aah hapo nimeridhika kabisa tena sana ubarikiwe kakangu
Thanks Brother
Great..
God bless u
Asante, kaka Joel mungu aendelee kukupa maarifa
elina itambu amina
Long life brother....nimejifunza mengi kutoka kwako
Thanks much broh.....
Nimependa sana ujumbe na zaidi point ya kujizadharau na mfano wake. Ubarikiwe kaka Noel.
Emmanuel Haule Ameen nashukuru sana
kaka asante sana
sometimes I used to call them diseases of the mind....tryin n tryin n tryin n tryin like a baby steps....'preciate bro much 'spect 2 ya....God bless yo
Kendrick Menson thanks a lot
See you at the top
ahsante mkuu
nce nce kaka nmekupata sana
Thanks bro
Upo sahihi boss wangu
Nakubal kaka
Uko vizuri
Ahsante
Much thanks Joe, nakuelewaga sana...
Pls kitabu nakipataje?
Unajua sana uko vizuri
Tumain Laurent nashukuru sana
Habali napenda sana makali yako kitabu chako cha unauzaje
barikiwa bro
Nimeipenda sana hiyo ya Saudi na Goliath
USIJIDHARAU
blessed
Kaka natamani sana Kumiliki compuni,saluti sana bro
Safi
Brother unanifundisha kitu kikubwa sana
Nice
nyc
I really appreciate you bro! Keep it up
Blessed kaka
Eng.Muyengi Baraka ameen
Joel Nanauka umenifundisha sana hata Kujiona me ninaweza zaidi ya nilipo videos zako hakika zimebadilisha maisha yangu nilikuwa siweki akiba now nimeweka.
Well true bro
Kaka uko sawa nikukubal tu
mimi ni tai.thanks bro
uko wa kipekee kabisa ushauli WK unanibariki sn
Huwa narudia sana kuskiliza hapa kwa sababu ya akili kubwa ulioizungumza hapa
🙏🙏🙏🤝🤝🤝
bro maneno yko yananiokoa ktk wakat mgum sana
Joel can u make a vidio
Watu ambao wanadanganya ata bila kumchunguza unaona tu huyu mtu anadanganya
Jamani ua kipinfi chako chanijenga sana na tamani siku moja tu ni we mngeni wewe ana kwa ana ni jue mbunu nyingi zahifi
Kaka nawezaje kupata kitabu chako "Timiza malengo "
👏👏👏👏
Bloo Yani ume nipa tumaini ya kupambana zaidi Kaka
nasogeaaaaa
Brother ntapataje kitabu chako
I'm tai
mimi ni Tai
nmeanza kukuelewa kama Jack ma
Halawa Malimi pamoja sana
Kuna ile ya mambo 4 yanayopelekea mtu kukuchukia na ukiwa hamjawai kugombana..naomba niipate tena
mariamu kajiru ipo bado uingalie
nashukuru najifunza vng kwenye chanel yako
damas madeli Ahsante sana Damas,tuendelee kujifunza n'a kushare na wengine
Mwalimu mm nakuelewa sanaa mungu akubatiki, namba unielekeze na unipe number za simu ili niweze kukipata kitabu cha TABIA 12 ZINAZOLETA MAFANIKIO
Abdul Rahman Hassan karibu sana 0756094875
Joel Nanauka asante sana mwalimu , huwezi kuamini kitabu cha TIMIZA MALENGO ,nimekisoma zaidi ya mara 5 hakiniishi hamu kila nikisoma naona nikama mara yangu ya kwanza, na kimenisaidia sana nimeweza kujiajiri na kampesa kangu,nahitaji zaidi vitabu vyako ikiwezekana tutolee kingine mwaka mwishoni, nshaallaa
ninaomba unipeushauri kwenyebiasharayangu
lam employee but l have a lot of debt and l have no enough salary
Salum Zengula pole salum,inawezekana kutoka kwenye madeni. Hivi karibuni nitaweka video ya njia za kutoka kwenye madeni
Joel nisaidie kitu kimoja Mimi ni doctor lakini nimejikuta napenda sana biashara na nimfanyabiashara classmates wananikatisha tamaa nifanyeje?
kaka joel naomba uwe mentor wangu mafundisho yako yamenibariki sana nimechelewa kukufahamu ila ukiwa mentor wangu ntabarikiwa zaidi 0763 207124 nashukuru
Joel mi naomba namba yako ya kwangu ni 0621 269171
Bro Joel naomba namba yako plz ya kwangu ni 0769570571
God bless you
ahsante
nasogeaaaaa