HOUSE GIRL EP 40 || love story💞💕

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 871

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 24 дні тому +217

    Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲

    • @busatitv
      @busatitv  24 дні тому +6

      ❤❤❤

    • @user-hf7pk2lx4v
      @user-hf7pk2lx4v 24 дні тому +4

      Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 24 дні тому

      Tunawashukuru sana kwa Move nzuri ​@@busatitv

    • @user-uz7uq5lj5w
      @user-uz7uq5lj5w 24 дні тому +2

      🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 24 дні тому +1

      🇴🇲

  • @CarolineMurugi-bt5dz
    @CarolineMurugi-bt5dz 24 дні тому +48

    From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 24 дні тому +95

    Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊

  • @lovnell6462
    @lovnell6462 24 дні тому +73

    Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤

  • @YohanaKagundo
    @YohanaKagundo 24 дні тому +41

    Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s 24 дні тому +33

    Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t 24 дні тому +32

    ❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls 24 дні тому +35

    Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty 23 дні тому

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty 23 дні тому

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂

    • @Mwanamvua-ze5ls
      @Mwanamvua-ze5ls 22 дні тому

      @@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂

  • @brendakhasiala7343
    @brendakhasiala7343 24 дні тому +7

    Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 24 дні тому +98

    Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤

  • @JoselyneMutama
    @JoselyneMutama 24 дні тому +3

    Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 24 дні тому +3

    Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t 24 дні тому +7

    Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 24 дні тому +9

    Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 24 дні тому +9

    Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if 24 дні тому +4

    Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana

  • @kalambonews
    @kalambonews 24 дні тому +7

    Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔

  • @MizeMatano-nb9pj
    @MizeMatano-nb9pj 24 дні тому +21

    Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 24 дні тому +28

    Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi 24 дні тому +10

    Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤

  • @UpendoHussein-k7t
    @UpendoHussein-k7t 24 дні тому +6

    Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana

  • @user-dn3sn2fk9v
    @user-dn3sn2fk9v 24 дні тому +8

    40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂

    • @juma3473
      @juma3473 24 дні тому +1

      Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-os3tt6ru7k
      @user-os3tt6ru7k 24 дні тому

      Hahahaha

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir 24 дні тому +9

    Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 24 дні тому +33

    Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k 24 дні тому +4

    Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 24 дні тому +10

    Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy

  • @RehemaSospeter-vu4ms
    @RehemaSospeter-vu4ms 24 дні тому +9

    Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni

  • @user-mq3zd9vk2p
    @user-mq3zd9vk2p 24 дні тому +3

    Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-xn7ru6fl6q
    @user-xn7ru6fl6q 24 дні тому +16

    Wa tatu leo like zenu

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t 24 дні тому +10

    Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj 23 дні тому +2

    Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa

  • @user-ti5mt6cr7v
    @user-ti5mt6cr7v 24 дні тому +3

    Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like

  • @AdelaLudovick
    @AdelaLudovick 24 дні тому +4

    Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali

  • @user-or7bm5ui5f
    @user-or7bm5ui5f 24 дні тому +9

    Wa kwanza jaman naomba like 2

  • @christine7744
    @christine7744 24 дні тому +4

    Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤

  • @AjathSwaibu
    @AjathSwaibu 24 дні тому +23

    Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai

  • @VioletGerald-dl9wr
    @VioletGerald-dl9wr 24 дні тому +23

    Nimewah leo jaman wap like

  • @MR_RAMSABOYTZ
    @MR_RAMSABOYTZ 24 дні тому +26

    Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 24 дні тому +1

    Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc 24 дні тому +1

    Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 24 дні тому +3

    Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 24 дні тому +1

    Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e 24 дні тому +3

    Safi sana kay, like tu jamani

  • @ShakilaHussein
    @ShakilaHussein 24 дні тому +1

    Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo 24 дні тому +5

    hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha

  • @MR_RAMSABOYTZ
    @MR_RAMSABOYTZ 24 дні тому +79

    Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 24 дні тому +2

    Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani

  • @aishaqassim1777
    @aishaqassim1777 24 дні тому +4

    Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤

  • @ElizabethOuma-j4s
    @ElizabethOuma-j4s 24 дні тому +2

    Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 24 дні тому +2

    Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉

  • @sussymtunga3673
    @sussymtunga3673 24 дні тому +1

    Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mariamsalehabdulla6825
    @mariamsalehabdulla6825 24 дні тому +5

    Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq 24 дні тому +8

    nilisubiria kwa hamu na ghamu hii

  • @VaneGesare-wf7oq
    @VaneGesare-wf7oq 24 дні тому +3

    Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa

  • @LovenessValentine-nn7wm
    @LovenessValentine-nn7wm 24 дні тому +2

    Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh 24 дні тому +2

    🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha

  • @user-bg3it2pf6r
    @user-bg3it2pf6r 24 дні тому +3

    Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j 24 дні тому +5

    Nmewahi jmn hata like 20 ntashkuru

  • @BahatiNjemo-of9lx
    @BahatiNjemo-of9lx 24 дні тому +2

    Kwani na nyie mnaoomba like mbona ivo sasa, ama munkua km ao wanaotumia hii move kwa ajili yakujiendeleza

  • @dottonangemo2166
    @dottonangemo2166 24 дні тому +2

    Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂

  • @SunGod-i4b
    @SunGod-i4b 24 дні тому +3

    Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 24 дні тому +2

    Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 24 дні тому +4

    Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana

  • @JasminiSabun
    @JasminiSabun 24 дні тому +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 24 дні тому

      Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi

  • @user-gy1tu7wv8d
    @user-gy1tu7wv8d 24 дні тому +2

    Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA 24 дні тому

    Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 24 дні тому +3

    Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu

  • @annwanalo7813
    @annwanalo7813 24 дні тому +2

    Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 22 дні тому +2

    😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤

  • @Igra254
    @Igra254 23 дні тому +2

    Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika 24 дні тому +3

    Much love from kenya🇰🇪

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 24 дні тому +2

    Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna

  • @Dayana-o4z
    @Dayana-o4z 24 дні тому +3

    😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida

  • @Nailah736
    @Nailah736 24 дні тому +2

    Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 24 дні тому +4

    Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @marynabwile4086
      @marynabwile4086 24 дні тому

      Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo

    • @LINDAKARANI-jx3dr
      @LINDAKARANI-jx3dr 24 дні тому

      ​@@marynabwile4086mwambie

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 24 дні тому

    Shinda ana ujeuri kweli, Anyway hongera sana busati tv, Nimekua wa mwisho kutoka kenya 🇰🇪 Wale wa kwanza rudi mnipe likes kwanza❤❤❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 24 дні тому +3

    Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 24 дні тому +4

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 24 дні тому +1

    Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai

  • @MupaMumbo-fi4gu
    @MupaMumbo-fi4gu 24 дні тому +7

    Nimekuawa Kwanza Leo nipee like

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 24 дні тому +1

    Aya Aya Tena kumekucha Tena Jiji amuogopi Aya wale wif zake zuu kutoka 🇴🇲🇴🇲 kwenda tz tujuwane bas ukiwa na waif za Bure za warabu raha busat tv akiweka nimooooo Hila pole sana mama cend

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s 24 дні тому +2

    Kazi nzuri Mr. Kai

  • @joamerjohnproduction271
    @joamerjohnproduction271 24 дні тому +2

    Joamerjohn from Moçambique os the first One 🇲🇿

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 24 дні тому +6

    Heee washajaa kila mahali

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 24 дні тому +3

    😂😂😂kaeni kwa kutulia

  • @MariaEmmanuel-nu4ld
    @MariaEmmanuel-nu4ld 24 дні тому +3

    Hii move nzr San jmn daah

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 24 дні тому +3

    Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......

  • @nelphonechepngetich
    @nelphonechepngetich 24 дні тому +2

    Much love from kenya

  • @nasmaramdhan-bf3bm
    @nasmaramdhan-bf3bm 24 дні тому +6

    Naomben like jaman

  • @user-lz1qv1xe4w
    @user-lz1qv1xe4w 24 дні тому +2

    😂😂😂😂😂leteni next episode nataka kujuwa shida ambaye ni candy atafanya nn hii kipindi emenifunza mengi sana

  • @AnicethaLaurent
    @AnicethaLaurent 24 дні тому +1

    Aaaah nanyie mnatuma tusehemu tufupi sana ongezeeni dk kidogo bas...tunasublia sehemu ya 41 msitucheleweshee jamani

  • @LeahMussagagi
    @LeahMussagagi 24 дні тому +2

    Naomb like nimewah Kaz nzr San kwa momiiii🎉

  • @Jumambogo123
    @Jumambogo123 24 дні тому +3

    Mimi sitaki like zenu

  • @GivenessJamal
    @GivenessJamal 24 дні тому +1

    Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d 24 дні тому +2

    Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 24 дні тому

    Nawapenda san inamafuzo mengi sana ala awabariki sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v 24 дні тому +1

    Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana

  • @jofumwakalambo1097
    @jofumwakalambo1097 24 дні тому +3

    Kwanza mm jaman toka sumbawanga

  • @jannetkarisa1749
    @jannetkarisa1749 24 дні тому +1

    Congratulations ❤❤

  • @HalimaBakari-hg5py
    @HalimaBakari-hg5py 24 дні тому +2

    Shida nae 😅😅😅😅😅