LAMECK LAWI ATAJIUNGA NA SIMBA? / KOCHA WA COASTAL UNION AZUNGUMZIA ISHU YA LAMECK LAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 8

  • @rajabukidendasaid7159
    @rajabukidendasaid7159 25 днів тому +3

    watanganyika wanajua sana kuongea kuliko kufukiriii ..hii hali iko hivyo jamaaa anatujua sana watanganyika 😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 23 дні тому +1

    Uko sahihi sisi huku Tanganyika ni talk talk sana.😂😂😂

  • @lawlencekalenga4212
    @lawlencekalenga4212 24 дні тому

    Hongera ww ulijariwa kuongea huku ukifkr bna!ila unapoongea kwenye media chunga mdomo wako

  • @homedevices-we3bn
    @homedevices-we3bn 25 днів тому

    "Watanganyika wanaongea sana kuliko kufikiri", bonge a dongo.

  • @lawlencekalenga4212
    @lawlencekalenga4212 24 дні тому

    Unamaanisha watanganyika wote tunaongea bila kufkr aisee !

    • @jumaseifally6337
      @jumaseifally6337 24 дні тому

      Hapa watanganyika ni wapi jamani? Hamna nchi inaitwa Tanganyika haipo enzi za mkoloni kila Kanda ilikuwa nchi

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 25 днів тому

    Ila ametukana...kuongea pasipo kufikiri...

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 25 днів тому

    Acheni kujichosha Viongozi wa Coastal, Simba imesajili kila mchezaji na mbadala wake mmemchelewesha Lawi kwenye neema mnamzushia Ubelijiji si mumwambie kuwa mnamtake shirikisho ili awasaidie angalau mzunguko wa kwanza wa shirikisho