Amen, Mchungaji Mungu azidi kuwapa baraka zake na NEEMA na Wengine wanakuwa mawakala wa Uchawi kutoka nje,zidi na pambana kuwaombea hizo roho za kichawi zipate kushindwa katika jina lake yeye mwamba wa miamba yaani Mungu baba mwenyezi, Amen.
HATA BABRA NA YULE LETE MZUNGU UONDOKAJI WAO NI WA KIROGO KIROGO TU MATOPOLO MACHOGO FC MAHASIMU WA NA MAADUWI WA JADI NA SIO WATANI WA JADI MATOPOLO MACHOGO FC NI FITINA MAJUNGU NA WATOWA RUSHWA WANATUROGA MPAKA TUKICHEZA NA TIMU NYINGINE ASHURA CHEUPE ALIKUWA AKITANGULIA MIKOWANI MECHI ZOTE KWENDA KUTUVURUGIA TUSHINDWE SHENZISTAN KABISA
Usajili tunamaliza na mpanzu yaani Simba hii moo hatumdai kitu Chochote hata tukishuka daraja Mimi safali hii nasubili bweha yoyote atakaesema moo hatowi hela kunawajinga baada ya vyuma vinashuka wameanza ngwiii moo atapata hasara kwani hela za babaako pumbavu mkubwa weeee😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Kama msaidizi mgunda yuko wapi, jamani jamani nawahurumia hao makocha na matola sio kwani jakuna kwakwenda wewe Rage na wenzako mimi mtanikuta paleee kwa huyo matola hakuna mpya mtayakanyaga mavi muda sio mlefu,
Mchungaji mbali na wachezaji wao kwa wao kurogana, utopolo wamekuwa wakiturogea wachezaji na kuifunga timu nzima wawe Wazito. Kwahiyo kila utakapokuwa unawaombea kama timu wafunike kwa DAMU ya YESU. Fukuza majini na mapepo yote kutoka yanga. Ila Simba angalieni huyu Mchungaji anatia mashaka kama ni Simba kweli au ametumwa kwa kazi maalumu. Mbona alikuwa haonekani huko nyuma?
Siku zote viongozi wa simba hawawezi kushindana kwenye usajili yaani wanamtaka timu kubwa lazima washindwe hata huyo mpanzi msiweke matumaina ninachowapongeza wamekubali kuachana na wachezaji wasumbufu usajili tunaimani ni mzuri na age nzuri wamepungua wanaokata mpunzi haraka
Mchungaji mbona unaturudisha nyuma wanasimba. Unazungumzia ushirikina badala ya kuzungumzia Sayansi na kumuomba mungu. Ktk Karne ya 21 bado tunaadvocate Uchawi!!! Tubadilike
Mo Matola hafai kuhamia simba marafiki sana pia anakuwa na makundi
Amen, Mchungaji Mungu azidi kuwapa baraka zake na NEEMA na Wengine wanakuwa mawakala wa Uchawi kutoka nje,zidi na pambana kuwaombea hizo roho za kichawi zipate kushindwa katika jina lake yeye mwamba wa miamba yaani Mungu baba mwenyezi, Amen.
Hapo umesema mchungaji. Kweli uchawi upo sana. Yaan sisi simba tulikuwa tunarogwa sana.❤❤❤ 👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Majina hayo anayaweza sana kutaja Ahmadi Ali❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nakukubali saaaana mchungajiii
Ni kweli timu inarogwa xana wala co uwongo mchezaj kwao unafanya vizur akija tu bongo anafeli tunajiuliza "WHY,"
Mimi naungana na wewe Stefano mange hawa viongozi simba wanamtia hasara MO ktk makocha wanapofukuzwa, matola matola ndiye anafamya mazingara makocha wasifanye vizuri, wakati yeye hana lolote, nyie wazee mlio kuja simba mtaoneka mnafeli kwa matola mzee Rage,magoli amkeni matola sio
Namimi naungamkono mchungaji🎉❤
Yanga ndo wanaturogea timu pale mo arena
Amina, Na ikawe hivyo kwa uwezo wa Mungu kinywa chema kinaumba
Mungu atatenda
Umenooga sana umekuja kupotea hapo kwa Mama yenu aisee. Huyo mama mchukue tu sisi hatumtaki
Kweli wachezaji wana logana sana omba baba
Simba ya mwaka huu kweli ni balsa:
Ulijuaje mwamba!?duuuu! Haya yapo kitambo tuu!
Tukifungwa tukimbilie wapi mchungaji
Imani potafu nilitegemea uatakuwa na mwanga
Sawa mtumishi
Kuna uwezekano ht mo dewji alilogwa aikimbie tim
HATA BABRA NA YULE LETE MZUNGU UONDOKAJI WAO NI WA KIROGO KIROGO TU MATOPOLO MACHOGO FC MAHASIMU WA NA MAADUWI WA JADI NA SIO WATANI WA JADI MATOPOLO MACHOGO FC NI FITINA MAJUNGU NA WATOWA RUSHWA WANATUROGA MPAKA TUKICHEZA NA TIMU NYINGINE ASHURA CHEUPE ALIKUWA AKITANGULIA MIKOWANI MECHI ZOTE KWENDA KUTUVURUGIA TUSHINDWE SHENZISTAN KABISA
Kweli kabisa mchungaji
Usajili tunamaliza na mpanzu yaani Simba hii moo hatumdai kitu Chochote hata tukishuka daraja Mimi safali hii nasubili bweha yoyote atakaesema moo hatowi hela kunawajinga baada ya vyuma vinashuka wameanza ngwiii moo atapata hasara kwani hela za babaako pumbavu mkubwa weeee😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Ushirikina upo bhana usikatae au kwa sababu halijakukuta?
Amen Amen ila mchungaji mbn unatoa siri ya kambi 😂😂😂
Wewe uko sawa
Unaongea fact sana
Mchungaji na mpira wapi na wapi, au mchungaji wa ccm!
KISOMWE KISOMO KWA VIONGOZI NA WACHEZAJI. ILI MWENYE KULITAFURA MWENYE KULIPATA.
Na kweli pale viungo Kati Kati bado misimari ipo
Kama msaidizi mgunda yuko wapi, jamani jamani nawahurumia hao makocha na matola sio kwani jakuna kwakwenda wewe Rage na wenzako mimi mtanikuta paleee kwa huyo matola hakuna mpya mtayakanyaga mavi muda sio mlefu,
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tukimtoa selemani matola hapo alipo ndiomchawi wa simba
Ujinga mtupu huo
Bado mbinu moja ya kununua marefa km yanga
Mchungaji mbali na wachezaji wao kwa wao kurogana, utopolo wamekuwa wakiturogea wachezaji na kuifunga timu nzima wawe Wazito. Kwahiyo kila utakapokuwa unawaombea kama timu wafunike kwa DAMU ya YESU. Fukuza majini na mapepo yote kutoka yanga. Ila Simba angalieni huyu Mchungaji anatia mashaka kama ni Simba kweli au ametumwa kwa kazi maalumu. Mbona alikuwa haonekani huko nyuma?
panzu icjekuwa kma ya manzok tu,kilack deal done,mpaka avae jez ya cmba
Siku zote viongozi wa simba hawawezi kushindana kwenye usajili yaani wanamtaka timu kubwa lazima washindwe hata huyo mpanzi msiweke matumaina ninachowapongeza wamekubali kuachana na wachezaji wasumbufu usajili tunaimani ni mzuri na age nzuri wamepungua wanaokata mpunzi haraka
Acha ujingaaa ww
Huyu anavunja morali je anaweza mtaja anaye roga
Asipewe na fasi afukuzwe simba
Hafukuzwi shahidi ni mayele
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wacha ujinga katafute pakufanyia utapeli
Hamna utapeli tumeshawagundua tutajaa wachungaji wote mashabiki wa simba pamoja na mashekhe wote maxhabiki wa simba njooni vijana wakirudi
Uyu jamaa anafana na magori wana undugu Nini.?
Mchungaji mbona unaturudisha nyuma wanasimba. Unazungumzia ushirikina badala ya kuzungumzia Sayansi na kumuomba mungu. Ktk Karne ya 21 bado tunaadvocate Uchawi!!! Tubadilike
ALIE KUAMBIA NI NANI KARNE YA 21 UCHAWI UTAKUWA HAUPO??? FITINA NA UCHAWI NDIO SAYANSI YA MU AFRICA
Mayele alisemaje safari hakuna uchawi tumewagundua