NILITENDWA NUSURA NIPOTEZE MAISHA|NILIACHIWA URITHI NA BIBI WA KIZUNGU|NILIFELI FORM 4 SASA NINA PHD

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 вер 2024
  • Safari ya Dr. Beatrice kuanzia maisha yake kutoka Musoma mpaka kufika Dar e salaam
    Hakupata matokeo mazuri kidato cha nne lakini aliweza kujifikisha UK kwaajili ya masomo na sasa ana PHD.
    Nia yake ya kuanzisha NGO kwa lengo la kusaidia watoto Tanzania iligeuka kua kizungumkuti kilichompa maumivu mengi na kushtakiwa mahakamani.
    Kesi iliunguruma takribani miaka 2 ambapo aliowaamini kufanya nao kazi walikua wanawaza kupiga pesa tu.
    Mahusiano yake na mtanzania mwenzie aliewachanganya na kufikia kupata msongo wa mawazo na kuharibu afya yake na kupelekea kuishia kwenye coma nusura apoteze maisha.
    Bill Gates alimuandikia email wafanye wote kazi na mpaka sasa anafanya kazi na Bill Gates foundation
    Instagram yake angelstwinstz
    Thank you Beatrice for allowing this to be online
    www.oda.international

КОМЕНТАРІ • 304