Mbunge amshauri Mpina kujiuzulu ubunge
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Mbunge wa Kasulu Vijijini, Augustine Vuma amelishauri Bunge kumshawishi mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kujiuzulu kutokana tuhuma za kudharau mamlaka ya Spika na Bunge.
Vuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia mjadala wa kujadili taarifa ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge iliyowasilishwa bungeni leo Jumatatu Juni 24, 2024 kuhusu tuhuma za Mpina kudharau mamlaka ya Spika na Bunge.
Wewe ni mjinga sana
Akili ndogo
Hatufuatiriii bunge tena mpaka mpina atakapo rudi tena bungeni ...
Hapo mwenyeakil yupo nyuma apo kushoto wew pumba tupu
Ngoja tuwaambie hapo mmewekwa kutusemea wananchi , hamjawekwa na huyo tulia mjinga wewe mxiiiuuu
15 days au vikao 15 ??? ... hata hujui unacho kichangia
Heunda shinda ni ngozi nyeusi
Tumekusubiria kasulu vijijini tuko na meshaki wewe tutakupga kama ngoma
Vumahole huna akili kigoma vijij hamna ktu unaleta ujnga bungen
Yaani hayo mambo yanachosha akili sana sana hao wenye hekima wa kizazi chetu ni changamoto