Kwakweli Dunia hii,Wapo Ma professor wengi wanao randa kwasababu ya umaskini.Nataman ningekua na uwezo huyu bint ni genius,wenye uwezo kwasasa toeni sadaka kwa Mungu kumsaidia.
Uyu msichana anaakili sana jamni maana katanguliza kazi kuliko msaada yani anaakili sana na mchakalikaji mwenyewe pia anamsamini sana mama yake allh atakufanyia wepesi mdogo wangu inshallah 🙏🙏
Am super proud of this young lady.May God almighty see you through and fulfill your heart's desires.Her passion and determination will pay off oneday..and yeah, she's very wise👌
Maisha bila ya Mama mtihan 😭😭Wallah Mama ni mama Maskin Allah atakusimamia mdog wangu kwa kwel mim nimekuelewa wewe unahitaji kusoma Allah at akufungulie milango ya kher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Utimize ndoto zako😭😭😭😭🤲
Na ili apate pesa ni lazima awe na taluma huyu ni kulikowate unao wapataga wazo langu aunt yake ni mpinga maendeleo ni bora huyo mama alie mpa aidia ya kwenda shule muongeya nae ili aendelee kumpa hufazi anaweza kujipanga asome mchanakwa kuwa amemsapot na hajaongea ubawa wa huyo mama
Zahir uyo mtoto mungu amsimamie kumbuka umeisha ona watoto wengi walio letwa mjini wameishia kudanga lakini huyo anajielewa kwa hiyo anahitaji uangalizi wa hali ya juu ili afikie ndoto yake nimempenda kwa kweli ameona njiya ya kupa pesa ni kujituma
@@bintsalimalbimany287 Ndo hatukujua kutokana na habari yenyewe ilivyoandikwa hapo haijasema kwamba mjomba alikuwa akimtesa ipo tofaut kbs na msimuliaji alivyosimulia
Usilie jitahidi kua jasiri najua yote unayopitia .naguswa sana . Na maumivu ya huyu binti mungu mwingi wa Rehma atamfuta machozo mpaka kukutafuta zahir ana ndoto za baadae kibinti kizuri masha allaah.
Zahir Mungu Akubariki,Huyo mtoto niwapekee,Mungu ampe haja ya moyo wake,Ila asirudi kwa huyo shangaz kabisa,Mungu amponye Mama yake Mama ananafasi kubwa sana,Bos wake abarikiwe,🙏🙏
Wakurya sio wakatili jamani mimi binafsi nilikua nawaogopaa but are the nicest people I've ever meet! Kind, loving, concerned ni wazuri mno Vile vichapo vyao ni vile wako straight hawanaga chengachenga.
Wahaya wanapenda elimu hata serikalini wahaya hawakosekani pia hua ni sifa kubwa wakipata elimu huyu binti mdogo sana bora arudi shuleni akaongeza maarifa. Elimu ni ufunguo wa maisha. Mungu atatuhukumu kwa kunyanyasa .na kumhukumu afanye atakalo dhambi sana mtoto kama huyu anatafuta elimu .mtafanya la mana sana .ila wasitokee waharibifu kwa msaada. Wakamnyemelea mwsho wa siku .kumteekeza allah atamhafidhi ķwa nia yake safi
Dada nakuombea Mungu akufanyie wepesi katika maisha, akupe uwezo wa kusoma na akufungulie njia akuinue. Na yule bosi wako jamani mzuri Mungu ambariki pia
Binti mzuri sana . Anahitaji naendeleo hataki ujinga.mungu atamsaidia nia yake nzuri.pia kumtuza mamaake ni barka kubwa mungu atakubariki na kukuongoza
Mungu atafungua mlango wa masomo yako na mama yako akopelekwa kwa nabii mkuu geordavie Arusha kisongo kanisani(kanisa liitwalo "ngurumo la upako"ataombewa na atapona kabisa🌞🙏🇰🇪.
Huyo binti anajitambua Sana asaidiwe späte elimu naona ndoto Yake kubwa Ni kusomea urembo.aendelee na hio english course kwanza Kisha huku akiwa anafuatia kusomea urembo.na huyo Mama bosi wake nampa big up
Huyu mtoto ana hitaji msaada wa kurudi shule ya kawaida hii English haita msaidia sana kabisa pili ana hitaji kupatiwa sehemu ya kuishi huo utakuwa msaada mkubwa sana 😭😭😭
Halafu Zahir bona swali la kuuza kuhusu huyu mtoto kama kuna family inaweza kumpa sehemu ya kuishi ili aweze kuishi sehemu salama kwa sababu kule shanngazi yake atamsumbua ni wazi tuu
Nilishakaaga kwa mjomba kilichonifanya nikimbie ni mke wake mjomba akirudi anamwambia vitu vya uwongo alafu anakaa chumbani mjomba anakuja ananigombeza kwa vitu vya uwongo yanii toka saiv kukaa kwa ndugu mwiko
@@hasnasaif1075 Ebu punguza ukali wa maneno unajisikiaje mtu akikutukania mama haijalishi kakosea ila kumtukania mzazi cyo vyema pia tofautisha aliyesoma na kutokusoma hajui kujieleza tu .
@@hasnasaif1075 wewe dada kuwa na busara kidogo matuc ya Nini bint wa kiislamu huo ni mtazamo wangu tu punguza jazba Mara zote ucpende kuhukumu bila kudadisi hivi mwanzon tulijua Hawa yule ni binti wa hovyooo??? Jamani hii kusaidia ni sawa lkn Kuna watu wengine wanatake advantage! Samahani hasna km nimekukwaza
@@hasnasaif1075 nimejikuta nacheka jamani kweli kuna watu wanafikla potofu🤣🤣🤣🙌🏻🤣maskini bint wawatu anafanya kazi kwaajili ya kujitafutia elmu sasa yeye analeta bangi tena ameomba asimeshwe sasa angekua muongo angeomba pesa lakini ana tamaa iyo 😓😓😓
Mwanangu nakupenda sana endelea na msimamo wako utazidi kuheshimika allah akufungulie rizki zako
Asante sana ndugu mtangazaji kwa kusimama kama baba kwa kutumia nafasi yako kumsaidia huyu binti
Pole sana binty mungu atakufanyia wepesi Inshallah
Kwa kweli huyo mtoto anauchungu wa elimu. Mungu mfungulie njia
Kwakweli Dunia hii,Wapo Ma professor wengi wanao randa kwasababu ya umaskini.Nataman ningekua na uwezo huyu bint ni genius,wenye uwezo kwasasa toeni sadaka kwa Mungu kumsaidia.
Uyu msichana anaakili sana jamni maana katanguliza kazi kuliko msaada yani anaakili sana na mchakalikaji mwenyewe pia anamsamini sana mama yake allh atakufanyia wepesi mdogo wangu inshallah 🙏🙏
Jamani huyu binti ni mzur mashaallah
Am super proud of this young lady.May God almighty see you through and fulfill your heart's desires.Her passion and determination will pay off oneday..and yeah, she's very wise👌
Kabisa...
Absolutely!
@@maximumtvonline saidien uyu binti arudi shuleni....mtafutieni msaada.......Jamani mrembo uyu......Sina uezo ninge mlipia masomo.......
Please saidieni uyu bado mtoto arudi shuleni
Amin
Kabisa
Jamani bado anataka kusoma yarabbi mfingulie njia arudi shuleni.😭😭😭
Subhanaallah mwenyezi mungu atakupa kila lakheli yaarabi ndugu jamani tupendane tusifanane tu
Kaka Zahir huyo asirudi kule kwa Aunty yake atamtesa tena na huenda aliweka hasira jinsi walipelekwa polisi yajayo yatakuwa magumu mno
Kweli kabisa mwenyewe mewaza ilo
@@princess.s.r7446 Nimekubaliana nawe, asirudi kwa aunty yake tena.
@@vincej9275 ee mana ķama zamani hakumthamini ndo aje kumthamini sasa ☹️☹️
Kwel atamfanyia kitu sio
Asirudi huko kwa huyo ant mnyama saana bora akae kwa huyo boss wake wa sasa
Maisha bila ya Mama mtihan 😭😭Wallah Mama ni mama Maskin Allah atakusimamia mdog wangu kwa kwel mim nimekuelewa wewe unahitaji kusoma Allah at akufungulie milango ya kher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Utimize ndoto zako😭😭😭😭🤲
Zairi tunaomba mlejesho wa yule kaka aliye fungwa hela kisa alimpa mimba mwanafunzi
Na ili apate pesa ni lazima awe na taluma huyu ni kulikowate unao wapataga wazo langu aunt yake ni mpinga maendeleo ni bora huyo mama alie mpa aidia ya kwenda shule muongeya nae ili aendelee kumpa hufazi anaweza kujipanga asome mchanakwa kuwa amemsapot na hajaongea ubawa wa huyo mama
Zahir uyo mtoto mungu amsimamie kumbuka umeisha ona watoto wengi walio letwa mjini wameishia kudanga lakini huyo anajielewa kwa hiyo anahitaji uangalizi wa hali ya juu ili afikie ndoto yake nimempenda kwa kweli ameona njiya ya kupa pesa ni kujituma
aiseeeee mungu nimwema sana mungu awatangulie kwa kila Jambo sisi wadada
MashaAllah anaakili sana binti,,ila huyu bint asiende kwa Aunt yake kwan ataendelea kuteseka tu
Nimempenda Sana huyo binti. Hongera Sana mdogo angu, Mwenyezi Mungu akuongoze
Mungu akubariki kaka zahiri milele inshaallah
Duh pole mudgo wangu Yani history yako imeanza kama yangu ilivo azaga
Don't give her the money...take in charge of her...she is still young...but smart...God bless her
spot on
@@mrsliverpool4235 agree
Subhanallah yaarabby ndo maana mabosi wanauliwa na wafanyakazi kila kukicha sababu hawana ubinaadam kabisa yaan
Huyu boss wake ndo kama fikra ya kusoma English causes mjomba wake ndo alikua anamtesa jaman tuwache kusema kama mtu hajafaham askilize vizur
@@bintsalimalbimany287 Ndo hatukujua kutokana na habari yenyewe ilivyoandikwa hapo haijasema kwamba mjomba alikuwa akimtesa ipo tofaut kbs na msimuliaji alivyosimulia
Tz mauaji hakuna
@@bintsalimalbimany287 Oman au Saud hapo au wapi jamani duh mungu anawabainisha nyie
Mm naona akipata pesa apelekwe kwa flora nitetee ili akasomee urembo
Naomba kuuliza watu wa tim hii munalala humu dakika moja coment kibao ,mashallah
😂😂😀😀
Naona tuna lala hapo ofisini kwa zahir🤪🤪😁
😂 😂 😂 Tuna lala yoyo umu
🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻
🤣🤣🤣🤣🤣
Maashallah knowledge is Power
Maskin anauchungu sana na nduguzake ALLAH atamsaidia kila akimtaja mamake analia
inshaallah mungu yupo
Such a beautiful girl,,,mungu akuepushe na wabaya
Binti asome huyo jamani bora asome tuu🙄
Usilie jitahidi kua jasiri najua yote unayopitia .naguswa sana . Na maumivu ya huyu binti mungu mwingi wa Rehma atamfuta machozo mpaka kukutafuta zahir ana ndoto za baadae kibinti kizuri masha allaah.
SubhaAllah..pole mtt mzry
Zahir Mungu Akubariki,Huyo mtoto niwapekee,Mungu ampe haja ya moyo wake,Ila asirudi kwa huyo shangaz kabisa,Mungu amponye Mama yake Mama ananafasi kubwa sana,Bos wake abarikiwe,🙏🙏
Wakurya sio wakatili jamani mimi binafsi nilikua nawaogopaa but are the nicest people I've ever meet! Kind, loving, concerned ni wazuri mno
Vile vichapo vyao ni vile wako straight hawanaga chengachenga.
Kaka Zahir tukijaaliwa kuchanga tafadhari usimpe pesa mlipie shule ama chuo cha ufundi basi
Bado mdogo sana huyu Bora asifanye kazi za ndani Bora mradi mwengine.
Wanawake wanawake Mungu anatuona
Huyo shangazi yake ni mbaya Sana kama Kuna mtu anaweza kukaa naye bora a mchukue Mungu at ambaliki akienda Tena anaweza kumtesa Tena
Mr Zahari kazi yako Mungu atakulipa umebarikiwa sana. Keep it up.
mungu_ akulipe_ kakazahiri_na kakafabi_kwakumsikiliza_uyu_binti_huyu_mungu_awape_maisha_marefu_naamani_nabaraka_naamani_ namdada_ naamini_sasaivi_mungu_ndio_kashaaznza_kukuokowa_mpaka_umefika_hapa
Zahir Allah akujalie kher Inshaallah
Yaani malipo ni hapa hapa duniani unapomnyanyasa mtoto wa.mwenzako .watoto wako watafanyiwa hivyo hivyo.
Kabsa
Wahaya wanapenda elimu hata serikalini wahaya hawakosekani pia hua ni sifa kubwa wakipata elimu huyu binti mdogo sana bora arudi shuleni akaongeza maarifa. Elimu ni ufunguo wa maisha. Mungu atatuhukumu kwa kunyanyasa .na kumhukumu afanye atakalo dhambi sana mtoto kama huyu anatafuta elimu .mtafanya la mana sana .ila wasitokee waharibifu kwa msaada. Wakamnyemelea mwsho wa siku .kumteekeza allah atamhafidhi ķwa nia yake safi
In shaa allah mwenyezi mungu akufungulie milango yako ya kheir mwanangu.
Subhannallah walah tunapata mitihan kweli yarabi tulinde waja wakoo sio
Msaidie dada arudi shule asome Mungu awabariki
Jamani wa nyumbani kabisa mungu akuhfadh
Akasome QT au urembo tumchangieni jmn
Huyu kwavile anajuhudi ya kusoma QT inamfaa na atafaulu vzr
Dada nakuombea Mungu akufanyie wepesi katika maisha, akupe uwezo wa kusoma na akufungulie njia akuinue. Na yule bosi wako jamani mzuri Mungu ambariki pia
Binti mzuri sana . Anahitaji naendeleo hataki ujinga.mungu atamsaidia nia yake nzuri.pia kumtuza mamaake ni barka kubwa mungu atakubariki na kukuongoza
Mungu akutie nguvu mwanangu
Hongera ka zahir
Pole Sana mwanangu
Mungu atafungua mlango wa masomo yako na mama yako akopelekwa kwa nabii mkuu geordavie Arusha kisongo kanisani(kanisa liitwalo "ngurumo la upako"ataombewa na atapona kabisa🌞🙏🇰🇪.
Pole mdogo wangu huyo Dada yako Hana akili kweli
Daaaaa jaman mbk nimetoka na machoz I wallah pole sn Mwanangu
Pole sana bint,Mungu atakusaidia
Pole sana my sister
Inshaallha mungu atakusimamiya shida zako. Utafanikiwa kwa uwezo wa llaa
Subhana Allaah
Subhanallah, jamani binti bado mdogo hlf anapitia magumu mno 😭😭😭😭.
Jaman navyotafuta mdada kwa shida kuna watu wanapata na kumtesa jamani. Pole mdogo wangu
Mim asma nije pls nipe no yako
Pole mdogo wangu achanisikilize kwanza
Huyo binti anajitambua Sana asaidiwe späte elimu naona ndoto Yake kubwa Ni kusomea urembo.aendelee na hio english course kwanza Kisha huku akiwa anafuatia kusomea urembo.na huyo Mama bosi wake nampa big up
Huyu mtoto ana hitaji msaada wa kurudi shule ya kawaida hii English haita msaidia sana kabisa pili ana hitaji kupatiwa sehemu ya kuishi huo utakuwa msaada mkubwa sana 😭😭😭
Halafu Zahir bona swali la kuuza kuhusu huyu mtoto kama kuna family inaweza kumpa sehemu ya kuishi ili aweze kuishi sehemu salama kwa sababu kule shanngazi yake atamsumbua ni wazi tuu
Zahiri tuomba mlejesho wa Karim yule aliye fiwa na mamake kigoma
Hata mimi nilitakuulizia jamn
WOW WOW WOW......👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Mtoto mrembo Mashaa Allah
Lovely gal Angel
Mtoto anaakili sana
Pole sana mdg wangu mungu atakusimamia 😭🙏
Pole sana dear
Pole sana bint Mungu atakunyanyua
Jamani mtoto bado mdogo sana maisha magumu sana
Pole.mdongo.wangu.mungu.atakufany.upesi
Pole Sana binty Allah atakufanyia wepesi insha allah🙏🤲
Inauma sana mschana mdogo akitesheka hivi ,mungu akujalie
Pole sana Mwanangu
Subhanallah inaniuma sana mungu atakusaidia inshaallah
Agood job.my.bro
Arudi shule haraka tena secondary form two boarding school age Bado inaruhusu sana
Unajuwa kupanga kumbe uja changia hata mbuni
🤣🤣hadi raha ulivotoa maamuzi haraka haraka
Jamani hawa ndio wa kusaidiwa sio kina zabibu na happy
Maskini Msaidie kaka Zahir
Subhanaallah 😭😭😭
😭😭😭😭😭
Duuuh pole sana
Inauma Sana
Mungu awabariki kwa msaada mnaoutoa kwa jamii
Tumchangieni jamani asome tena
Pole sana mdogo wangu😢😢😢wanawake tuachenii roho mbaya jamn😭😭😭😭uyu mwanamke mungu atamlnii...ivi km n mtoto wake ndio yuafnya km mtumwa😭😭😭😭😭
Mungu/MUNGU nasio mungu
Sw bro
Mtoto ana akili sana pia tabia ya mtu Sia kabila
Pole sana my
Khadija
Pole mdogo wangu
Pole sana mng
Mwenyezi mungu Akupe subira
Pole sn ndogo upo wangu
Huyo dada ameniumiza maana mapito anayopita nimewahi kupita
Pole
Nilishakaaga kwa mjomba kilichonifanya nikimbie ni mke wake mjomba akirudi anamwambia vitu vya uwongo alafu anakaa chumbani mjomba anakuja ananigombeza kwa vitu vya uwongo yanii toka saiv kukaa kwa ndugu mwiko
Dada yangu wa kihaya, pole
Mm naona akasomehe urembo
😭😭😭imeniliza sana nimekumbuka Yale maisha nimepitia na ndugu zangu Hila mungu atakusaidia
Kaka zahir msaidieni binti asipotee na mambo mabaya
Very smart girl
🇴🇲🇴🇲Mungu amwongoze jmn 🙆
Sauda nitafute mm mwanamke mwenzio niko south
Nipigie Sauda
✈️🇴🇲 inshallah kher
😭😭😭😭pole mdogo wangu mungu akupiganiee upate hitaji lako la moyo
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi dadangu
Imenibid nifate comment za mwanzo
Kaka zahir please chunguza huyo binti jaribu kutafuta ndg zake uwackilize please please Kuna jambo chini ya kapeti
Kabisa
@@hasnasaif1075 Ebu punguza ukali wa maneno unajisikiaje mtu akikutukania mama haijalishi kakosea ila kumtukania mzazi cyo vyema pia tofautisha aliyesoma na kutokusoma hajui kujieleza tu .
@@hasnasaif1075 wewe dada kuwa na busara kidogo matuc ya Nini bint wa kiislamu huo ni mtazamo wangu tu punguza jazba Mara zote ucpende kuhukumu bila kudadisi hivi mwanzon tulijua Hawa yule ni binti wa hovyooo??? Jamani hii kusaidia ni sawa lkn Kuna watu wengine wanatake advantage! Samahani hasna km nimekukwaza
@@hasnasaif1075 nimejikuta nacheka jamani kweli kuna watu wanafikla potofu🤣🤣🤣🙌🏻🤣maskini bint wawatu anafanya kazi kwaajili ya kujitafutia elmu sasa yeye analeta bangi tena ameomba asimeshwe sasa angekua muongo angeomba pesa lakini ana tamaa iyo 😓😓😓
@@nasramohamedi4095 Sasa hawa unamfananisha na toto wa wawatu akati unaona yele bangi kabisa🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻
Hakika dunian kuna watu wanapata shida nyie acheni tuu.!