NATAKA TENA ❤️ Love Story 💞❤️
Вставка
- Опубліковано 13 лип 2023
- #bongomovie #natakatena ni filamu inyomuelezea kijan Kado aliyewagombnisha dada n mdogo wake kaajili ya kutaka kuwa nao wote kwenye mahusiano.
Fuatilia kisa hiki chenye kufundisha na kusisimua, usiache ku Subscribe channel yetu kila tunapoachia kazi mpya. - Розваги
Wale wanao soma Comenti uku wanaangalia tujuane hapa
Enjoy
Adamu bwana,, wewe ni mwigozaji wa ukweli, napeda firamu zako, edelea hivyo hivyo,,, watching from Kenya,, adamu, congrats ✔️✔️✔️✔️✔️
Asante sanaa..!!
@@AdamLeoStudios karibu brother 👍👍
Ikopoa,jamaaa
Shukrani mno.
Adam uko vizur sana kaka hasa kwenye upande wa mapenz yaani unajua halafu unajua tena
Asante sana🙏
Umejuaje km anatumia mtandao gan
Mtandao wa taifa.🤣
Hahaha cardo aibuu😅..hana bahat yamemkuta
Hahahha yaani yamemkuta
Unyama mwingi kaka hongera ila acha kwenda kwa mademu kaka pigia nyumbani
Hahahah atakuja kufanyweje😂😂
Jaman nimewahiii naombeni like japo Tano tu wadau
Enjoy
Good job 💐💐💐💐💐
Many many thanks
Movie nzuri 🎉🎉🎉❤❤❤
Shukrani
Sema kuchelewa😢😢,, mm tuachane lkn simu sikurudishii n ukilazimisha napiga kelele za mwizi😅😅😂😂😂
Hahahaha jamani una roho mbaya.
😂
Nice one too people
Thanks a lot.
Mungu awabariki sana kazi nzuri sana
Asante
❤❤kaa ako swafti kabisa
Umeonaa eh.
,,,,, yeah,ofcourse - gd move
Thanks
Kazi nzuli
Asante
Movie tamu ❤❤
Asante
Wanaume bana...Kia mukiona sketi ety waipenda
Umeona eh, sijui tuna nini kwakweli
😂😂😂😂😂❤❤❤umetugonga KICHWAni wewe mbaya????😂😂
Fear men 😂😂😂...fear these son's of jezebel 😂😂
😂😂😂😂
Kazi mzuri 🎉
Shukrani mno
@@AdamLeoStudios Asante
Ayaaa sasa❤😂
Shukrani.
Nakukubali sana from kenya
Shukrani mno
Daaaah😂😂😂😂😂😂noma san kado mara frank😂😂😂
Kajichanganya😂😂
Hii filamu inafunza yale yanafanyika kwa maisha ya sai wallai❤❤❤❤it big up bro
Shukrani sana.
Nyie wanaume nyieeeeeee pepo mtaisikia kwa jilani
Kumbeee!!!
Hivyo ndivyo wanaume hufanye
Umeona eh.
Kazi nzuli nipeni like tafadhal
Asante kwa ku enjoy
Unaweza kumbe kutafunwa kisa vocha
Acha kabisa hahaha
Mimi ndo KadoFrank sasa 😂🤣😂
😂😂😂😂KadoFrank katisha.
Yani kaka upande wa mapenzi nakutii,,,,ila uyo dada mkubwa amening'ata Yani urefu mwili na hata urembo wa sura c mweusi sana c mweupe
Shukrani sanaaa
Epo so cute
🙏🙏
Move nzuri nimeipenda
Shukrani
Avina maana ongeza levo ila kazi simbaya sana
Sawa mkuu
Gd
Thanks
😂😂😂kwanza kado mwenyew anatembea na chanua ogopa xna wanaume km frek😅
Hahahaha jamanii wewee
Dah wanaume sisi bas tu 😢😢😢
Hatari sana
Fantastic❤ movie
Thanks
Unaimba mziki WA congo 😢😢😢 madilu systeme
Yahh, congo tunawapenda..!!
Cado broo umefanya kaz mzr bg up wanyooshe😂😂😂
Shukrani sana.
Ucwaze broo
Shukrani
Kazi nzuri
Asante
Adam upo vizur kaka
Shukrani sana
Safi xana👊
Asante sana
Ila kado😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kado kajichanganya
Ushajichanganya ana kipin huyo
😂😂😂jamani
Kawaida
Asante sana
Kado alivyo mpuuzi yeye anamiliki goroka ananunulia demu smati foni,Mbwa Kado, Pumbavu zake
Hahaha Kado miyeyusho.
Kado amekula nyama mbili leo😅
Hahahah umeona ehh
Na we mbwa ulienda kwao kufanya nn adi pici zote zimekuacha
Hahaha kakosa vyote
Good job 👏 ❤
Thank you so much 😀
Anģel
Naam
Kado kala nyama mbili😂😂
😂😂😂umeonae eh
Unapend wangapi huo niuongo😅😅😅😊
Hahaha muongo kweli
@@AdamLeoStudios kabisa yaani wee 😂😂😂
@@AdamLeoStudios Sehemu ya pili
kaka Adam kwa unavyopenda mapenzi kiasi hiki inaelekea umezaliwa February kama mimiii.......but imekaa poa sana napata kafeeling flan hiv ambako hata ukiniletea misumari naweza nkaitafuna😅😍🥰😜
Hahaha nimezaliwa october.
@@AdamLeoStudios hhahahha haufanani kabisa na matendo yako but hongera sana kazi tunazionaa kakaa
wabatikana wapi wazuri..
@@AdamLeoStudiosOctober tuko hapa❤
Wacha mungu mbona ni wengi
Wengi sana
Hili gheto mubadilishe jmani
Sawa tutabadilisha!!
❤❤❤
🙏🙏
😅❤❤🎉
🧡🧡🧡🧡🙏🙏🙏
😍🙏🙏
🙏🙏
😅😊
😂
Kado kaka hapo umenyumbaa fundi wangu
KADO KAKWAMA LEO😂😂
Hata mm naona jimsi anavo juwa kucheza na mabinti ila hapo hadi kofii
Ila ana jambo lake bila shaka.
Nkubal
Asante sana
It is sad thing ,of course these things happens
Very true
😂😢🎉
🙏🙏🙏
I don't beliivu
What you dont bealive?
Huyo jamaa wa dukani alijuaje line ya simu ya huyo dada mpaka ampe vocha inayofanana na line yake😂😂
Kama lengo ni kutokutangaza brand za mitandao ya simu. Ni bora angempa hela akanunue mwenyewe vocha dukani kuliko kumpa vocha mtu usiyejua anatumia mtandao gani.
Tuwe siriaz kidogo.
Sawa
Mtandao wa Daresalaam unajulikana kuwa ni Tigo yaani piga ua mtu yeyote wa dar hakosi hiyo line
Movie yenye mafunzo kweli.kado ndio Frank tena.
Umeona eh, alidanganya majina.