Huo ni wizi wa bando zetu brand ya yanga ni kubwa mno kufanya vitu kama hivyo. Wewe mtangazaji unashusha hadhi ya brand ya yanga. Mbinu mbovu kama hizi waachieni waandishi uchochoro. Mashabiki tunajisikia kudhalilishwa na huo upuuzi.Sina tatizo na msheri kuongeza mkataba,ila mbinu za kula air time yetu ndiyo za kishamba
Naitwa wilfred.huyo ni Jonathan sowa Nipo Congo kasumbalesa
😊Nikiwa Dodoma, wilayani Bahi Mchito, atambulishwaye ni Jonathan sowa
Huo ni wizi wa bando zetu brand ya yanga ni kubwa mno kufanya vitu kama hivyo. Wewe mtangazaji unashusha hadhi ya brand ya yanga. Mbinu mbovu kama hizi waachieni waandishi uchochoro. Mashabiki tunajisikia kudhalilishwa na huo upuuzi.Sina tatizo na msheri kuongeza mkataba,ila mbinu za kula air time yetu ndiyo za kishamba
Anatangaza usiku ni wanga na ishara ya giza in sha Allah
Umevaa suti lakini mwongo 😢😢
Naitwa geniti cavanga namimi pia muishi maisha mazuri
Napenda sowa
Hebu acheni mambo zenu.
Naitwa Godfrey mbilinyi kutoka iringa Tanzania huyo ni Jonathan sow
Ninaitwa said soud nikiwa Kabanga Ngara.Anaenda tambulishwa anaitwa Dube.
Nasubili mashine Nilo msumbiji
naitwa modu niko Pemba Tanzania mashine inayotangazwa ni Jonathan Sowa
Niko mbinguni nahisi ni emanueli okwi😅😮
Kafirwe.uko
Huyo ni dube niko shinyanga
Machimbo buza Dar😅
Charles from uroa Tanzania
Mambo vp kwa majina naitwa Mussa Mohamed mimi nazani ni Prince Dube
Huyu ni prince dube
Mashine gani na ni mzawa au ni mgeni
Nasubiri Kupokea ujio huo mpya ndani ya DAR YOUNG AFRICAN nikiwa kilosa morogoro.
Kwa majina naitwa garus mchezaji atakayetambulishwa atakuwa Jonathan sowa
Niko Arusha
Huyo ni mwamba ki Azizi
Huyo atakuwa ni sowa
Niko Dodoma nasubili nione hio
Naipokea kutoka Ndola zambia
Nikiwa masasi
Niko ujerumani, nahisi Aziz K.
PETRO ALFRED Athuman,kutoka sumbawanga Anaya tambulishwa ni prince dube.
Azizi kii ameongeza mkataba naitwa abuu rubaa nikiwa mbagara
Nikiwa jijini Dar
Nasubiri kifaa hicho nikiwa mkoa wa Geita
Huyo ni mwamba wa gadugu Azizi k
Haaaaaa Sasa watupotezea muda tuuu kuengeza mkataba hiyo sikawaida tu
Kamera
Nipo Tarime, mashine Azizi k
Nasubili nikiwa mara
Ni dube
Kibabage ndio anatagazwa makelele agustino mtembezi kutoka itigi mkwajuni
Naku pata kutoka Arusha Tanzania hogeleni sana
Bhana eee hiyo mashine itakuwa ni Mangungu.
Atakuwa dube
Brayson mbise ni soa mtangazaji
Huyo ni dube mtaalam WA kuzungusha boli
Naisubili nikiwa Kahama
nakupata vizuli nikiwa boda ya tunduma
Atakuwa azizi ki machine ya kazi
Jonathani sowaa Musa songwe vwawa
Macha from Tanga
Jonathan soa
mii nimepokea kwaflah nashangwe maan nimwana jangwan mwenyewe
PRINCE DUBE
Huyo ni Sowa
Naitwa. Katebe kutoka shinyanga
naitwa sadiki huni azizi k
Mmh acha ushamba mbwaa
Mimi naona ni Jonathan suwa
Uyo ni dube dube
6:56
Mwamba ni jonathani soa mtangazaji wangu
Nikiwa fumba Zanzibar
Kwangu mm naona kocha amifanha visur
Safi
Nakupata kutoka oman
Mim juma huyo niazizi
Huyo ata kuwa sowa
jonathan sowa
Atakuwa price dube
Jonathan sowa
Mashine gani ya kusaga au ya kukoboa
huo atakua ni azizik kaongeza mkataba
Jonathan
Aziz kli extension.
Nip pand za mkulupiro town ap yanga jonasan sowah tayali amesaini
Azizikii
Rabson from katoro Me naamin ni prince dube
Huyo ni sowa
Kumbe hata waandish hua ni mwezi mchanga!?
Naitwa nursery jr kutoka dar uyo ni dube
Ninyi mna maneno mengi bila maelezo mnaboa
Huyo ni dube mihayo wa khm
Nipo mtukula uganda
Jonathan sowry
Mozambique
Huyo jhonathan sowa
Jinathan
Nipo kahama
Atakuwa ki aziz
Nasubir kutoka nyarugusu geita
Jonathan sow
Nilo msumbiji
prince dube
Mie majaliwa nahis mtoto wa mfalume dube
Huyo atakua ni dube
Nipo dar ni dube huyo by Jenipher
Pamoja
Natoka katoro geita ,,jaman we ni dube
Naitwa maiko naona huy nidub
huyu hapa ni azizi k
Huyo mchezaji ni Shadrack boka toka kongo
Nipo singida
Atakuwa Dube
Acha ya hivyo, utapotea