#SamiaMotocrossChampionship2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • #SamiaMotocrossChampionship2024 | Tazama madereva wa bodaboda wanavyoruka viunzi kwenye mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship katika viwanja vya Laki Laki mkoani Arusha.
    Washindi watakwenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano mbalimbali ya kikanda na kimataifa, ikiwemo mashindano yatakayofanyika mwezi wa tisa nchini Morocco.
    #SamiaMotocrossChampionship2024 #RacingShow #Arusha
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 68

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu Місяць тому +5

    Makonda 👍 kiboko Nikiongozi Hajawai kufeli Anajuwa kuongoza na kujenga Maendelea Naiyona Arusha mpyaa Zaidi mbele👍👍👍Piga kazi

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Місяць тому +1

    Big up sana. Mwanzo mzuri na kwa mara yakwanza Tanzania tunatengeneza identity nyingine ya mchezo utaoweza kututambulisha duniani..
    Kazi nzuri Mh. Makonda

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Місяць тому +1

    Du! Niko Kigoma, hii tunasema imeenda. Kiufupi utadhani tuko Denmark. Big up Paul Makonga the Great RC ever seen.

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 20 днів тому +1

    Makonda is very bright person 🎉

  • @dannythegreat8017
    @dannythegreat8017 Місяць тому

    Waooohhh, very impressive.
    Cuddles team ya uchambuzi, your're very smart . Not boaring, your're encouraging, inspiring and appreciative to our vijana on their ride.
    Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa ubunifu, na uwekezaji kwa vijana wetu. Hii sasa itaaongeza dhamani ya mtu anaendesha pikipiki, lakini vijana sasa wataona umuhimu wa kazi yao.
    Kwa hao wachache wanataka kuharibu kazi ya vijana wetu, tutawashughulikia ipasavyo. Arusha oyeeeeeee!!!!!!!!!!!!!

  • @food24hrs78
    @food24hrs78 19 днів тому

    Big up makonda,Mwanza tupo nyumaa sana kumbe

  • @janethayo4967
    @janethayo4967 Місяць тому +1

    Waaaoooo Arusha yang pendwa ❤

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy Місяць тому +1

    Daaa mweli Arusha ni nchii hao maridder ni wanomaaaa ataaaariii sanaaa ni 🔥 🔥

  • @CimonMollel
    @CimonMollel Місяць тому +2

    Chuga kama mbele big up Paul makonda

  • @user-qx6mm2lp2b
    @user-qx6mm2lp2b Місяць тому +1

    Masuuuudd mtalam wetu wa misugu sugu nimemuona bog up bro

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Місяць тому +1

    Duuuh safi sana, nwapats vzr nikiwa boda ya msumbiji hapa.

  • @gladwellmassawe46
    @gladwellmassawe46 Місяць тому +3

    Olasit🥳🥳🥳🥳🥳

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому +1

    Hii tamu..hadi nimesisimka kwa ninavyopenda michezo hiyo ya bikes 🏍

  • @alphagroup9477
    @alphagroup9477 27 днів тому

    Arusha like America

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Місяць тому +2

    Ni mzuri sanaaa,wakati mwingine wamwage maji kuondoa vumbi

    • @prime_215beatz
      @prime_215beatz Місяць тому

      😂😂😂 wamwage maji afu boda ipite utaua watu.. utelezi kidogo tu watajikuta wapo chini

    • @DominicKizwalo
      @DominicKizwalo Місяць тому

      😂vumbi ni sehemu mojawapo ya vigezo na obstacles. Yaonyesha ujuzi wa rider uko vipi

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 Місяць тому +1

    Saf san makonda kula yangu chukuwa🎉

  • @franknnko4744
    @franknnko4744 Місяць тому +1

    Pamoja sana Arusha

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi Місяць тому +2

    RC wewe nimwamba unaweza, Mungu akurinde nasi tunazidi kukuombea.

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Місяць тому +1

    Pamoja sana POUL MAKONDA

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 Місяць тому +1

    Kuanzia leo me shabik wa olasiti elisante

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Місяць тому

    Mh 💪💪💪💪💪🙌🙌🙌 kweli ww noma 🎉🎉🎉🎉

  • @AllyKadege-on8zb
    @AllyKadege-on8zb Місяць тому +2

    Makonda anajua kuwafurahisha watu wake

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Місяць тому +3

    Chuga kama mambele yani

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 Місяць тому +1

    Makonda safi sana

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN Місяць тому

    Safi sana mama. Makonda usitoke alusha tutakupa urais aki l love you chuga yangu

  • @ElibarikiElibarikimrema
    @ElibarikiElibarikimrema 26 днів тому

    ❤❤

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Місяць тому

    Yani makonda hapana wewe nikiongozi bwana unaweza kiivusha hii nchi Kwa kipndi kifupi Sana . Maana umeangalia mbali mno mungu akubariki Sana brother.

  • @FREDDYJuma-gk6lp
    @FREDDYJuma-gk6lp Місяць тому +3

    Chuga kama ulaya😁

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Місяць тому

    Safi sana

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp Місяць тому

    Nice things

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Місяць тому

    Chuga iyooooo..😊😊

  • @JosephMoleni
    @JosephMoleni Місяць тому

    Nakupenda makonda

  • @johngitau6995
    @johngitau6995 25 днів тому

    Katika vumbi ajali inaweza tokea rahisi,mbona wenye kuanda hawaweki Lori la kunyumyuiza maji na kuondoa hio hatari.

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Місяць тому +7

    Hapa dar labda mashindano ya pombe na majungu vitu kama hivi tutaishia kutozama kwa TV tu

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Місяць тому +1

    Mmh huyo anweza kuwa mwiz huyo

  • @MsafiriRichard-c1i
    @MsafiriRichard-c1i Місяць тому +1

    Wapo viruri sana tunaonba tanga pia iwepo kama hii. Au kila mkoa .

  • @user-eu5tj7yg8c
    @user-eu5tj7yg8c Місяць тому

    yes makonda

  • @LeonardJumanne-p2q
    @LeonardJumanne-p2q Місяць тому +2

    Kama mbele iyo ndio arusha

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 25 днів тому

    Hyo Elisante mamaeee watu wana balaa

  • @shuaybuMalonga
    @shuaybuMalonga Місяць тому +1

    Hawez linganiaha Chuga na mikoa ningne asee Kwa cc 2liowahi zunguka Tz Chunga n Jiji Lina Kila sfa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Місяць тому +1

    Ubaya Wa Tanzania kila kitu kinakua na kumbembeleza Rais. Kwakua wameweka mamulaka kama yote kwa Rais. Rais hana control power nyuma yake. Hakuna utofauti Wa kipindi cha tawala za wazungu na rais Wa Sasa.

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 Місяць тому

      Unamaanisha nini hapo,hili ni wazo la makonda,na kaamua kuingiza jina la samia hapo kuna shida gani

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Місяць тому +1

    Makonda ni raisi ajae

  • @allyzubery1768
    @allyzubery1768 Місяць тому

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Місяць тому

    Duuh izo vumbi 😅😅jamn

  • @SadikiSaid-cp1pt
    @SadikiSaid-cp1pt Місяць тому

    piki piki ndio atuna ira wapo vizuli ira biki piki sio izi sasa

  • @HusnaSimbila-ig7ks
    @HusnaSimbila-ig7ks Місяць тому

    Olasitiii

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Місяць тому

    Dah! ilo vimbu lisije kusababisha ajali

  • @DanielMaksiro
    @DanielMaksiro Місяць тому

    NIMEIKOSA HII DAAH😢

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Місяць тому

    Makonda hajawahi kufeli

  • @AthumanyMvula
    @AthumanyMvula Місяць тому +1

    Wangemwaga ata maji kupunguza vumbi

    • @fahadsalim3000
      @fahadsalim3000 Місяць тому

      Ukimwaga maji njia😂itateleza kwa bike sio salama❤

    • @JumaDezombie-cn3yu
      @JumaDezombie-cn3yu Місяць тому +1

      𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙖𝙮𝙖𝙢𝙬𝙖𝙜𝙬𝙖𝙜 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚

  • @ShimbaChilemeji
    @ShimbaChilemeji Місяць тому

    Olasit anakiwasha haswa

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis9814 Місяць тому +1

    A town kama mambele