MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ? Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana . Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5) KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuwape na like basi tusiangalie tuuu tukapita tuwpe moyo
Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
Karibu sana
Mgeweka english subtitle ingekua bora zaid, ni bonge moja la movie❤❤❤
Hakika wewe ni mtunzi bora mwenyez Mungu azidi kukulinda leo na kesho ili watu wengine tuzid kujifunza kupitia wewe. 🔥🔥🔥🔥
Waooo jaman wa kwanza Leo like zangu plzzzz♥️♥️
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ?
Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana .
Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Unawazs nn rfk nambie, unashida gan rfk nambie 🎉🎉🎉👍👍
Kazi nzuri sana akili nyingiii kuna shots zimetuliaa sana so professional 🫡
Asante sana
Benroyal nawakubali mko vizuri sana kwenye finishing mnalizia movie vizur mno mmenirudisha kutazama bongo movie
Kwangu mko number one namisapoti kutokea drcongo❤❤❤🔥🔥🔥🔥
Iyi move imenifunza kitu chamuimu katika maisha ❤❤uzuri sio tu katika mavazi tu 🎉🎉🎉🎉🎉 nime jifunza vitu ongereni sana mwisha mzuri🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Really you are in the first position ❤❤❤, lkin naomb tu kichpo yaan ngumi 👊na kuzidish volume please kk
Yaani ilitakiwa kuendelea movie ni nzuri Sanaa hii 🎉 to Ben Royal wote.
Woow thank you so much.God bless this movie.kuna mafunzo kabisa.I love you all
Mkuu huna baya story nzuri sana😍
Ushauli wangu weka mwendelezo iendele maana mlipo ishia inawezekana kutunga story nyingine ya maisha yenu nyie wawili ❤❤❤
Safi sanee, mi niko msobiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🎉🎉🎉
Nitapata wapi mwanaume kma barnaba 😢 kam yupo kwa jina la yesu ajitokeze 😊
Wanawake dah 😅😅😅🎉
Mmetisha sana asee
Bunji limechukua vijana wa benroyal na APM ,,, good work tupeni kidogo kidogo kama hivi👊👊👊
KAZI nzuli❤
Sema wanangu mnajua nawakubali sana
Wow I really love this movie ❤❤❤🥰😘
Barnaba na Mona my favorites kwa movie zote nawapendaa ❤️🎉🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪 movie nzuri ila benroyal aiii nawaona sana
NAKUPENDA sana Mzee kwa Kusaliiiii hapoooo
🎉🎉🎉kaka Ben chukua maua yako 👏👏🙌🙌✅
Hii movie ni tamu sana🎉🎉🎉🎉🎉
Daah ebwanaee noma we jamaa mbona kichwa sana daah bigger up
Kazi nzuri sana nime Enjoy kuitizama hii movi❤️🔥🥰
Gooood, bonge la moveeeeee
Daaah kamenigusa aiseee hongereni san nimejifunza pia mung abariki kaz zenuuu🌹🌹🌹
Iko vzr sana nimejifunza kwamba subira ndio kila kitu daaah safi sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapenda,nice movie
Kazi kazi hakuna kuchokaaaa❤❤
Ben royal ni mmoja tu ❤❤ mko vizuri nawapenda
Kazi nzur sana
Me nawakubar sana hawa jamaa
Safi sana brother hunaga kazi mbovu umetisha sana hongereni kwa kazi nzuli
Kazi nzuri sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
Movie nzur sanaaaaaaa💯💯💯💯💯💯💯🥺I like it
Nawakubali sanaaa kwa kaziiii nzuri mungu awabariki sana🙏👊
Bennroyal mko vizuri sana , nimeipenda sana hii movie hongereni sana ..🎉🎉🎉🎉🎉.
Hakika move zenu zinaukonga moyo wangu nawapenda sana Bp❤❤❤❤
Nileteeni waigizaji wote duniani ila boni na Paula ndio first kwangu
Yani nampenda huyu kaka hatari❤❤🎉
hii movie nimejifunza meng sana ongern guys 🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
kamependeza sana kamovie,muandae na kengine❤❤❤❤❤❤❤❤uzuri hauko kwenye mavazi
MB zangu zimeenda kwa haki Asante sana nimejifunza kitu
Good work
Kaz nzuri nimeipenda
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
Nawapenda❤
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI
BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5)
KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
🔥🔥🔥 moto umewaka huku
54:41 hivi ndio imeisha Mungu aendelee kuwatunza wadada kama mna na kaka barnaba
Mwasomola ni big actor kinyama,na huyu Paula ni nyoko
Hongereni kwa kazi nzuri yenye mafundisho ndani yake
Mnajua Sana, HONGERENI SANA
Barinaba ni kama bunji jaman ❤❤❤
Hakuna kupoa Rafiki ni 🔥🔥
Ila ben uyu nikimkamata napigaaaa😂😂😂😂
Nisamehe bure🤣
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
Paula and peter also ben royal pictures i like you all guys ❤❤❤🇧🇮🇳🇦
Nawakubali sana mwana na Bana boy
Nimeipenda sn move Kali mno hongereni ❤🎉
good job broo, ila mona ni zaid ya rafki wa kwelii
Kazi nzuri kabisaaa
Kama ningekuw mbeya ningefaiti sana tukutane na mm nijiungee kweny iih cruel natokea morogoro nawakubalii sanaaaa
Ben Royal never disappoint 🙌🏾
Umeanza na kumaliza vizur
Kazi nzuri pambana brooo
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼chuma kabisa
Natakaaa namba yakooo😅😅😅ilaaa nyieee nikooo paleeeeeee rafikiii
@Benroyal pictures
Kwa wazo langu la harak harak nafikiri hii kitu inahitaji series na sio part 1 na 2 😂😂😂 try it
Nawakubari sana🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Woow kazi nzuri sana
Pokeen maua yenu love story ♥️ amazing thanks
Benroyal mnajua sana tena mnajua haswa bonge moja la muvi yani natamani isiishe 😂
Kazi nzuli sana🎉
Unyama🎉🎉🎉
Mmetisha sana
Next 🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri jaman 🙏🙏
Nzuri sana ❤❤🎉🎉
Amjawah alibu na mnatuwakilisha vyema ndugu zenu waapa mbeya tunajivunia nyie🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri sanaa
Mbona mwamba amekonda sana kulikoni jamani ((bavo))
Movie ninzur ❤❤
Apo barnabaa umetishaaaq monaaa mpokeee barnabaa😅😅😅😅😅nimepapendaa
❤big up barnaba much love ❤
Mmetisha sanaa MUNGU awazidishie maarifa👏👏👏👏
Hamja wai kuniangusha
Very interesting
Barnaba😅😊
Haya bhana,, mnajua🙌
Nice story nic acting nice voic kila kitu kiko perfect
Mewakubali sana
Utakomaaaa😅😅😅max au siooo😅