EXCLUSIVE: BILNASS NA NANDY WASIMULIA WALIVYOANZA MAPENZI 'SIKU HIYO TULIACHA WAZI MLANGO WA CHUMBA'
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- #ONAIRWITHMILLARDAYO#NANDY#BILLNAS#BUGANA
HII NI PART ONE YA INTERVIEW YAO KWENYE ON AIR WITH MILLARD AYO, PART TWO INAKUJA....
Alie angalia hii baadaa ya harusi 💍💙 loves
Mimi pia
Mm pia😂
Haya tulio rudia kutazama hii interview baada ya ndoa🤣🤣🤣gonga like😝😝😝
🤣🤣deal done
Yaani🤣❤️
Done😂😂
Umetisha
Yaan😂😂😂😂
who is here to rewatch the interview after the wedding💚they vibe so well🎶💚happy marriage to them💚
Im here too ✅✅
Am here
Here too 😁
Niko hapaa a jamani nimefurahi hadi sijui najisikiyajeee
Nko hapa
kuna siku NAYA ataona hii interview atalia kwa furaha.😍😍😍😍
Powerful couple finally wedding imeisha 16/7/2022 congratulations guys
Millard nakukubali sana bro💕💕💕👏👏 alafu maswali yako yakiustarabu na adabu tele👌unastahili pongezi kubwa sana
asante sana Shadia, shukrani kwa kutazama na kuniandikia
🙏💕
Story about relationships should be kept secret for your respect should not expose to the public because it will not help even if people knows about your love affairs so how many interviews will you make if you will going to chenge another relationship sheme on you.
@@millardayoTZA nakutambuwa na nakufatilia sana kazi mzuri sana thumps up 👍from 254 ,Andy ni kama mimi vle nikipenda nimependa
Uwingeneye Shadia nimekubaliana na ww kabisa
True love never dies, now 2 days to your wedding.Wish you a happy married life
😂😂😂😂
Nimekuja kuangalia hii interview baada ya ndoa yao congrats to them😍
Here Iam
Hata mimi aisee.. True Love Never Die Wallah.
Nani yuko hapa baada ya engagement jamani... some likes tafadhali
Elizabeth Ndille haahahaa nimewahi iangalia interview wakati imetoka nimerudi hapa kuisikiliza upyaaaaa baada ya engagement
Tupoooooo
Good
Daaaa after engagement nimerud hapa wangap mmerud !! Nawapenda ❤️ wachaaa niedit after my powerful couple kufunga ndoa 16/7/2022 💃🏾❤️❤️🙌🏽
😁😁😁😁😁😁 mimi mmoja wao...!!!
Tupo wengi🤣🤣
Mimi pia nimerudi kwa kweli ,nawapenda
Tupo hapaaaa
Woyoooooooo relationship irejewe mnapendezana bahna kiukweli team Nandy na billnas tuugane bahna hawa watu warejeane km bado km unafurahia mahusiano ya Nandy na billnas like✔🙌🙌
The guy looks shy . But cool guy though... nady this is a good man wish you all the best. Beautiful
Tunaosubir ndoa ya billnas.....
Tujuanee🤗🤗🤗🤗
Me
Kyando Grace
Nawawi Online TV 😂😂😂
Ndoa tayari
Meeee
Hatimae ni Mr and Mrs 😭❤️
Masha allah mbn unalia
Nandy is adorable. I love Nandy! She is so beautiful 😍😍😍
Go to her😛😂
Billnas is blessed!Nandy anampenda sana huyu kichwa kama korosho 😆
Hii inaenda kuwa moja ya couple bomba sana hapa bongo!i wish them well
🤣🤣😂😂
Kichwa kama hahaaaa
😆😆😆
Ben Baden 😂😂😂😂😂😂mbona korosho
😂😂😄😄😄
Weka like kama unatamani kuona epsode no.2 ya kurudiana kwao! Af hawa bado wanakunjana.!
ha ha ha ha ha
😁😁😁
Josiah Charles hahahaha
⁰pp
Nawapenda sana hawa watu.... Ni couple ❤tamu sanaaaa❤❤❤❤
Kuna watu hawawezi kukutana na ma EX wao ni kweli au uongo 🤔😅 kama ni kweli.
Dondosha like yako hapa
Moja wapo mm
Kama mnakutana means bado mnakulana kinoma
Kwanza mm wala sitamni hata nikutane naye maana aliniumiza sanaaaa
Mmoja wapo mie
Mara nyingi EX wangu Wote ni marafiki na napiga nao story fresh
Nimeona interview nyingi ila sijawahi ikubali interview kiroho safi kama hii....safi sana watu wapo huru bila kukatishwa maongezi yao.👍👍👍
Kabsa mzee hujakkosea Interview za medea za wasafi unakuta kuna makelelee sipendi kuwaangalia wanakera ila hap unakuwa huru hadi raaha
@@issanaseeb7699 yani wanamakelele wale me mwenyewe wananitibua yani hawawap watu wanaowahoji nafasi yakujielezea
Nasser Abdal
@@issanaseeb7699 huo wivu
Nandy na Bilnass kweli mpo Romantic sana😍😍
Me and u
Hawa bado Wanapendana.. You were alwayz the best couple... Much love from 🇶🇦 🇶🇦
Millard anastahil Grammy za utangazaj bora among presenter wa east Africa... Utangazaj unahitaj ustarabu na ueledi mwing san na kujipang vizur kabla ya kusema na hich ndo anacho Millard na weng weng katika clouds media kam kak yang masoud kipanya,🔥🔥 na dad yang babra nawaheshim sna
Unajua maana ya Grammy? 😂😂
Bb
Nawapenda sana hawa watu tena upendo umezidi baada ya ndoa. Mungu awarangulie❤❤❤❤❤❤
Nandy Umeshibaaaa hahaahaah i cant stop loughin yaani Millardayo nawapenda na interview zenu u guys are amazing i love Nandy she is too open 💖💖💖🥰🥰 keep it up @ Nandy @Millardayo
Kiukweli nimependa haya mahojiano
Nyie watu mpo real sana hakiii nime enjoy
Nimekupenda Zaidi Nandy uko So Really 💗
Kama umeipenda kofia ya Millard gonga like hapa ❤️
Finally you made it. Congratulations guys
Nakupenda sana #MILLARDAYO ILA NMECHEKA SANA😂😂🤣ila nmejifunza kila mwanamke lazima awe na wivu
Millard Big 👆 love you. Nakukubali sana kwa Interview mungu akukuzishie manjonjo
kwa maringo haya hawa wanagongana bado hawa km unakubaliana na mimi gonga like nyingi kwangu
Jamani ninyi wasanii mna laana kabisa, mnacheza na akili zetu
Arafu Nandy kamzidi jamaa ujanja Kama una Amini ilo gonga like apaa
Kabisaaaaaaaaaaaaaa nimeno like haitoshiiiz😆😆😆😆haswa huyu toz boy uwiii maringo hadii kwenye kucha akatii wakawaida tuuh
mme damshii
Umeonaee
Mmenifurahisha sana story zenu halafu nandy kumbe mcheshi fulani
This two are still in love.... The looks tells its all. Nandy bado anampenda xana billnass
True
Anaonekn sana anampenda anajichekesha tuu
Bilnass sema ukweli tu .....unampenda nandy she is cute ❤❤❤❤❤..mutahaba alikupenda sana nandy ila mungu akampenda zaidi.....
NANCY RUO RUO
The gerl is so composed..the chemistry btn bill and nandy is so😙😙 inteview is on point big up millard....nandy anampenda billinas mara 👇👇👇
Yaani kama waandishi wa habari wangekuwa wanapewa tuzo basi Millard Ayo angewakimbiza sana tz
Alishawahi pewa tuzo huyu chalii 2015
Interview Mzuli Akuna Mazogo Kama Brok89
ELISHA KYAMBA na lilomy
ELISHA KYAMBA huyu sio muandish ni mtangazaji nawew
@@salummpala9256 we ndo unasema lkn block89 ndo pindi bora bongo tz
Hey hii interview poa sana nimekubali, keep it up billnas na nandy. Much respect to u two
Bonge moja LA ngoma B U G A N A
My Nandy keep fire burningggggg
Bonge moja la couple
Mahusiano ya Aina hii huwa hayana mwisho "believe me"
Beautiful interview. The real power couple. Forever William and Faustina.
Hawa wameziga tu ila maana yao sio pesa ni penzi sema wamehofia isije ikaonekana kama ni dis kwa ruge ila inavyoonekana ruge alilingilia hili penzi kupitia wadhfa wake ndomana bugana lao likavunjika japo walikiwa wawili hawa wanapendana bt today bugana(penzi) limerudi kwao kilichobaki ni vikao tu gonga like kama tuko pamoja
Kumbe umeona
Hahahahaha
Aujapita mbali mzee , ivo ivoo🙉🙉
Fadhili Kigwama ndio maana hata lady kaamua kurudi kwa gadna G kweli yule jamaa alivuruga mapenzi ya watu
Fadhili Kigwama hawa madem tatzo c malaya
Billnas if you love Nandy go for it, why this hesitation?
That is the true definition RELATIONSHIP 💞💕
Nawakubali sana Nandy na billinas sema nimependa interview yenu maana haichoshi me nimejifunza kitu kwao jamani kuachana siyo vita oneni wanavyo furahi hapo ingekuwa kina mwajuma chokonoti hapo pangekuwa hapatoshi hongera yenu japo ninawasisi mtakuwa mmerudiana maana majibu yenu siyaelewi elewi 😂jamani ni me mwenyewe ambaye siwalewi au topo wengi like tujuane
Mudy Hamza hahahahahahaha
Nami siwa elewi awa asee kuna mapicha picha instar wenda wameludiana
@@antybabybintrashid2333 😂😂😂hawaeleweki hawa watakuwa wamechemsha kipolo chao
@@Bongo1Media me mwenyewe nimeona ila hata majibu yao hapa yanaonyesha dhahiri dalili za kurudiana
Mudy Hamza hahahhaahha bifu miaka mia na kila tukionana tunaanza upya hahha
SERIES YA MANENO YAKUAMBIWA IMEZIDI KUNOGA EPISODE YA 66 SASA OUT, SUBSCRIBE HAPA>>>>>> ua-cam.com/channels/PuocSo30my05A-UhStz0rg.html , ILI UWE WAKWANZA KUPATA SERIES HII
Nakukubali kitale mungu azidi kukubariki🙏
Like Kama umependa heren za Nandy 😍😍
Domina Samwel kaaa jamn ww hahhhhh
@@dswaytz6145 nzur et
Ni nzuri mno
Hey
Milard nimependa studio yako, sio studio zengine kila mtangszaji ataka kuongea na mic zabembea kama crane za port....big up milard
😂😂😂😂😂😂Wasafi
Nenga ni kama Whozu tu,mnafunguka sana, story nzuri
This interview its so awesome . nandy the way u fall in love and jealous like me 🤗
Billy amesema anatamani kuowa badae ya mwaka 10 ilaa leo 2022 kaowa uwiii Mungu ni fundi sanaa😍🥰
Yan hapa unaon Kbxa nandy kapenda zaidi kuliko mwenzieee mweeee
ila baada ya ndoa Nenga kakolea zaidiiii
Millard Please I remember this was one of the best interview ever.As now they have accepted I would like to see you with them again.Because they refused and pretend.Now they have acted and the ring went to Nandy's hand.
like kama umependa this conversation am all the way from congo
Nandy una mambo. ..kumbe ulikua unatafuta pesa kwa ruge ujifuraishe na Bilnass. ..mausiano yako na ruge ulikua unakataa lakini Bilnass unaitikia haraka kweli.
Hi
Millard Ayo na Nandy ni perfekt Match 👍👍👍👍👍👍👍 Ama Willy Paul Willy Poze 👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hawa watakuwa wanakulana bado kama unaikubali hii gonga like
Waaachane weeeeee!!!!!!!!!!!
@@zullaicamatola3431 kweli bn ila hawataki kuwa waz
Chris Mnicko mavi ya kale hayanuki
Chris Mnicko hahaha
@@chrismnicko9430 mkunaji😂😂😂😂😂
Nimerud kutizam interview baada ya harusi ya hawa ndugu wawili…..mapenzi bana hongeren Nandy na bill
Millard Ayo...nakupa hongera za dhati kwa uthubutu wako kama kjana ulo amua kujiwekeza ktk tasinia muhimu sana ya kimaendeleo ktk jamiii ya kdunia...
Billnas bana una bahati kapendwa na Nandy Sana Sana....!!! *(Blessed Billnas)*
When I grow up I want to be a celebrity then millard ayo unifanyie interview sababu he sooo professional 😍😍😍😍😍😍
Hapokwenye “block” 😂 there are so many of us doing it thinking dat we are protecting ourselves while on the contrary we destruct! Billnas learn man as u have made us learn the effects of blocking in relationships... Shout-out to Millard Ayo for the good interview as i am loving it and learn through it! Keep up the good spirit
I loved this couple so much 😍 and i wish you guys mrudianee..
Warudiane mala ngap😅
Mapenzi nyie acheni yaitwe mapenzi
Nandy,
You are so cute in many ways. I hope you make the right decision please... . 🙏
You can see love on there eyes my nandi love is a beautiful thing
Gonga like kama billnasi alishukuru ruge alivyofariki
Bado wanapendana and they can make a great couple
Kweli kabisa hawa bado wanapendana
Hawa hawajaachana
Nahisi wamesharudiana ila wanajiuliza watangazeje kurudiana kwao?????????.
Kuna kitu ruge alimzidi billnas ila nandy alimpenda bill
Coulpe leo imeweza! Imeweza tena
Kama umeskia nandy akisema chizi kweli weka like yako hapa
I love u Bill & Nandy .... Millard I do the same good work . I appreciate u gyz
Millard Ayo mm Nakupenda sana kaka angu lakn katika Kristo YESU,,I wish nikuone live cku moja!
Congratulations Mr Millardayo 💕
Nyie mnao omba omba like kuna nn jmn kwan ni sadaka 😒😒😒😫🤗🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahahaha hawa wasenge wananiuzi kinyama wallah
😂😂😂😂😂😂hawanaga kazi
Wehu
Amiri Ramadhan umeona ee 😂😂😂😂😂😂🤤🤤🤤
Azza Mahamdu kweli wanabore 😫😫🥵🥵🤣🤣🤣
Mkiachana achaneni kabisakabisa jamni tunapata tabu sana sisi wambea wa mjini😆😆😆😆Bugana♨️♨️💥💥 Mashaallah Nandy umependeza mamy
Hahaha we hangaika na umbea we Nzako bugana
😅😅😅
Hahahaha wambea wa mjini
I had to come back to this interview….may God bless you 💕
Gonga like kama umeikubali bugana..
Nandy is in love with billnass kama unakubali gonga like hapa twende Sawa.
Bugana iko njema sana...
couple nzuri sana iko huru sana sana
Yani kuna watu wanatakiwa kujifunza hapa mond jifunze kuachana na mtu sio vita
Debora Mrema safi
Kweli
maana angeanza kumponda mtu yule
We umeona Mond tu
Wow i love the honesty on both parts
Interview 😙😙Millad part 2 basiiiiiii...usitufanyie km ya Zari mpk leo haijaisha..!
I love Millard so much,Gosh!!!
Dah nimecheka thn nimelia hakuna kitu kizuri Kama mahusiano mazuri nakupenda my sister nandy
Hawa watu toka zaman walikuwa wanapendana jamaniii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🧡🧡
Walah nime enjoy balaa interviews yakibabe sana milard😍
Niujinga na Upuuzi Mwanamke avae heleni wew mwanaume uvae Kama unaamni hilo gonga like.
Neco Star_Tz choko huyu
Unafeli wap si msanii asee
Nawapenda sana...Bill na Nandy...Mungu aliandika muowane...mnapendana...mnaendana...Mungu awafikishe salama..
My best couple..my best interview ever
Mapenzi y kwel yanakujaga mojakwamoja hta mkiachana mtajishtukia mpo pamoja
Kweli
Daaah kweli kabisa
Millard hakikisha Kuna part 2😋
"Nilitaka huyu" wow wow. Th is guy is simply a player. Hamna kitu hapa, hana uwezo wa kuconnect na mwanamke emotionally
Nimeipenda sana hii interview mpk nimeamua kuisikiliza nyimbo ya kivuruge
Nandy ana faa kutafuta mwanaume mature mwenye ame muzidi Miaka 3. wakirudiana na bilnas hawata fikishana mahali popote. 🤔🤔🤔🤔🤔 kama Mimi Nandi natongoza Millard Ayo. 👍👍👍👍👍👍👍 wanaendana 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
😂😂😂😂😂😂😂
@@bettymwigune3110 🤣🤣😂😂😂😂 nae atakua n mtu wake
😅leoo hujasom hpa
Wangapi waliangalia akihojiwa bilnass akasema hawezi kuowa atasubiria sn.
Kweli!
i really like the interview ..... it was too participator .... both the interviewer (Millard Ayo ) and the interviewees ........much respect.
Napenda inteview yako Millard but apo kwa mbwa wameniuliza mungenipea izo pesa🤣🤣🤣🤣
Nimeipenda hiyooo exclusive but both of them are in a deep love
Tunaecheki intaviu huku tunasoma comment tujuane tupowangapi
Here
Nancy you really look fine with billnass
I love this interview....
This guys are so humble kweli.
And they are married❤️True love
Kabsaa true love never die
Imagine 😥 amm here just now Nandi always my favorite all way from wasikudanganye❤❤❤n billnass ❣️❣️❣️