Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu ambaye nafahamiana naye sana, ambaye nilishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndio ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua.
    Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na kwake pia. Nandy alikua na ukaribu mwingi na Ruge, alishawahi kumtembelea hospitali mara kadhaa na pia alikua na mawasiliano ya moja kwa moja na watu wa karibu wa familia kipindi kile ambacho Ruge alikua hana tena mawasiliano naye moja kwa moja. Siku ambayo Ruge alitangulia mbele za haki, muda si mrefu kabla ya hilo kutokea Nandy ananiambia alizungumza na nesi wa zamu siku hiyo na pia alimuekea simu kwa ukaribu na alimsikia akiwa anapumua. Wapi alikua wakati anapata habari hii iko kwenye maongezi yetu haya, humu pia utaelewa connection ambayo sisi binadamu tunayo na watu ambao tunawapenda na wanao tupenda.
    Najua siku hazigandi kama ambavyo Lady Jd alishawahi kuimba na ndio nikawaza, hivi ushawahi kuwaza Nandy amekua kiasi gani toka msiba wa Ruge utokee? Unakumbuka baadhi ya maneno yaliosemwa juu ya career yake baada ya msiba ule? Tunafahamu kwamba alipoteza rafiki, mentor, baba na kama tochi yake. Mimi huwaza haya sana, na hilo la yeye kujidhatiti na kukaza mwendo ndio ambalo lilifanya mimi binafsi niseme you know what, it’s time.
    Nandy ni MPAMBANAJI, anaupenda muziki na kama mtu mwengine yeyote mwenye jitihada basi Mungu humfungulia milango ya Kheri. Kaniambia humu kwenye maongezi yetu kwamba safari yake ya kwanza kwenda nchini Nigeria kwenye mashindano ya kuimba alimuambia Mama yake wakati yumo ndani ya ndege, alipomaliza hotuba yake fupi alizima simu na wheels up, to Lagos ambako alihakikisha anapigana mpaka fainali na kumaliza nafasi ya tatu. Si kitu kidogo kwa binti ambaye aliamua kuweka shule pembeni ili atimize ndoto yake, ndoto ambayo hata Mama yake mzazi hakua na taarifa nayo.
    Siku zinakwenda, maisha yanasonga na yeye ameendelea kukimbiza ndoto yake na mpaka tunaenda mitamboni, Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wakubwa sana hapa nyumbani na barani Afrika na hata Ulaya na Marekani na ukitizama vizuri utajua kwamba huu ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yatatokea katika maisha yake. Mimi na yeye tulizungumzia mahusiano hayo pamoja na kukimbiza ndoto zetu. Tuliongelea Bill Nas na kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Tuliongelea muziki wake na collabo ambazo amewahi kufanya. Hapo hapo nilitaka kujua pia yeye ni mtu wa aina gani na ni vitu gani vinamsukuma kutaka atake zaidi na sehemu ambayo anajiona huko mbeleni In Shaa Allah.
    Yangu matumaini kama kawaida ni kwamba utajifunza mawili matatu ambayo yatakusaidia kupambana na mitihani ya maisha kwasababu tu umejifunza kutokana na sehemu wenzetu hupitia kwenye maisha yao.
    Tafadhali Enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 244

  • @pettiemao1540
    @pettiemao1540 3 роки тому +19

    Nandy is so natural kwakwel she is real to herself i love that ❤️

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Місяць тому +2

    Interview imetulia mpaka raha nandy anajua kuongea mpaka raha yaani kiufupi da salama na nandy mmehojiana vizuri 😊

  • @jacquelineniyo8177
    @jacquelineniyo8177 3 роки тому +27

    I’ve been waiting for part one... finally is here. Love you Nandy ❤️🥰

  • @gracertarimo1440
    @gracertarimo1440 3 роки тому +37

    I love how salama and Nandy get along nice one ...u look like best friends...I wish to meet salama and hug her

  • @norrykilamo5521
    @norrykilamo5521 3 роки тому +5

    All in all she is our African princess. Na hope apeperushe bendera ya taifa worldwide. Anajua perhaps very much as a solo artist

  • @Liz-2315
    @Liz-2315 3 роки тому +26

    Am addicted to this show ❤️❤️❤️❤️

  • @humayhafyak6184
    @humayhafyak6184 3 роки тому +21

    Can you do salama na jacob steven (jb) tafadhal😭

  • @monicaoscar7978
    @monicaoscar7978 3 роки тому +11

    Huyu dada anajielewa hana kujikweza , I appreciate your consciousness

  • @lisawanjiku1476
    @lisawanjiku1476 3 роки тому +12

    My favorite Artist.. Finally let hear more about u

  • @imanimangwala4563
    @imanimangwala4563 3 роки тому +15

    Maneno ya mama mazito xna yazingatie daima ili yakufikishe mbali ''umeamua kuchagua mziki najua kuwa hutosoma tena pambana sie hatuna cha kuwaachia''

  • @cieremim7357
    @cieremim7357 2 роки тому +15

    Kama umetoka kwa millard, unganisha dot yoloooooo💃💃💃

  • @mahmoudnassor6964
    @mahmoudnassor6964 3 роки тому +15

    I LIKE THE WAY YOU INTERVIEW PEOPLES SALAMA :D

  • @emilianashayo5978
    @emilianashayo5978 3 роки тому +12

    It’s true ur humble Nandy ❤️

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas5128 3 роки тому +26

    Kote nimekuelewa ila apo kwenye kufight for the marriage ndo pamefanya wanawake wengo wapate changamoto adi za kutolewa chongo kwa kusema wanapigania ndoa but kwa upande wangu marriage ni kitu cha kuinjoy na sio kuvumilia
    Habar ya kulinda ndoa ni swala la wote wawil na sio mwanamke

    • @priscajubilate205
      @priscajubilate205 3 роки тому

      Wewe ndoa ni kuvumiliana binadam hatujakamilika pia ndoa ni ku enjoy

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 3 роки тому

      @@priscajubilate205 kuvumiliana na kupigania ni vtu viwil tofauti ndoa sio vita ni jambo la kheri na la furaha

    • @pascalwissi4805
      @pascalwissi4805 2 роки тому

      Saivi baada y kuolewa unasimamia maneno yako? Ku fight ni muhimu

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 2 роки тому

      @@pascalwissi4805 mie nimeolewa na mwanaume sio janaume ndo yanayovumiliwa ayo ila mwanaume ana kazi ya kunipenda na kuhakikisha nina furaha muda wote. Shida kwa wanaokutana na mijanaume ambayo inapaswa kupiganiwa ili ndoa idumu.

  • @halimaomarimangi9861
    @halimaomarimangi9861 3 роки тому +8

    Salama ameimprove sana interview zake! .....this one is great!

    • @NiraSaire
      @NiraSaire 2 роки тому +1

      Salama has never been small, she was definitely born for this

    • @zubedajuma763
      @zubedajuma763 2 роки тому

      @@NiraSaire yeah for real

  • @denisnzambimana5397
    @denisnzambimana5397 3 роки тому +11

    Ivikweli Nandi hatasaa hii huyo rafikiyako unamjali amekupa wazo nzuri na mafanikio ujue au unamuonesha zarau kwakua sikuhizi unapaa

  • @kikie_chyna
    @kikie_chyna 2 роки тому +3

    I just love nandy 😍 you cannot hate her yanii so humble

  • @agathasimon3159
    @agathasimon3159 3 роки тому +12

    Mbona imekuwa Fupi hivii ila ❤️ Interview

  • @sadanassor4992
    @sadanassor4992 3 роки тому +9

    Congrats nandy ❤❤

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 3 роки тому +6

    So nice interview Salama na Nandy

  • @evekiondo5828
    @evekiondo5828 3 роки тому +5

    Thanks kwa kutuletea huyu mrembo.Nilimsubiri kwa hamuu zotee😋

  • @allymkamba1054
    @allymkamba1054 3 роки тому +13

    CORONA IPO TUZIDI KUCHUKUA TAHADHARI.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 роки тому +10

    Nandy 🥰❤🇨🇭🇹🇿

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom2308 3 роки тому +7

    Salama your so perfect asee

  • @dajia4787
    @dajia4787 3 роки тому +10

    Kati ya interview zakinyamwez sn

  • @sadokigaston3550
    @sadokigaston3550 3 роки тому +5

    Ila nandy mrembo sana

  • @salmamussa5374
    @salmamussa5374 3 роки тому +7

    Love😙nandy naomba ule na mkono wa kulia 😂

  • @mwangazakatimba7726
    @mwangazakatimba7726 3 роки тому +5

    Salama uje umualike zuch basi nampenda

  • @exaveryjacob7810
    @exaveryjacob7810 3 роки тому +6

    Salama you're my no one star in tz

  • @khuzeimazubeir531
    @khuzeimazubeir531 3 роки тому +3

    Salamaa naomba umletee hamisa mobetto au uwoya pls

  • @immatheboytz5626
    @immatheboytz5626 3 роки тому +3

    Show love kwenu nyoteee sisters aminia sana

  • @josencollin2809
    @josencollin2809 2 роки тому +2

    Your songs here i Canada is great in everywhere baby .

  • @faithjoseph6641
    @faithjoseph6641 3 роки тому +10

    Salama tunaomba utuletee hamisa mobetto jmn

  • @francesmpangwa8801
    @francesmpangwa8801 2 роки тому +2

    Kudadeki Nandy weweeeee nakupenda saana ani sijui nisemaje

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 3 роки тому +3

    I real lov u nandy

  • @salimahnadiah6893
    @salimahnadiah6893 3 роки тому +2

    I love Nandy...

  • @omaryadam1442
    @omaryadam1442 3 роки тому +3

    Nakupenda xna dada ang pambana mama

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 3 роки тому +8

    Bado namsubiri adamu mchomvu najua hv karibuni

  • @vailethmdema2513
    @vailethmdema2513 3 роки тому +5

    Daah bomba sanaaa 👏👏👏

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +1

    Nakukubali sana Nandy, kwanye interview uko right kabisa.

  • @Marry-r7w
    @Marry-r7w 3 роки тому +2

    Naam 😒 Mashallah🥰 Mariam from Burundi 🇧🇮 Tz 🇹🇿 tupendane ❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇹🇿😌😌💞

  • @tumaahmed4430
    @tumaahmed4430 3 роки тому +18

    Tunamtaaakaaa diamond😭😭😭

    • @nooromar6233
      @nooromar6233 3 роки тому +3

      Diamond aje kusema nini maisha yake ni open book hakuna chakujuwa yote tunaya juwa

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 3 роки тому

      @@nooromar6233 😂😂😂I like OPEN BOOK

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 роки тому +2

      @@nooromar6233 😂😂😂😂umesahau kama yule ni mzee wa maajabu ghafla utasikia salama k ni baba ake esma ile familia ni firee

    • @alexkilumile1689
      @alexkilumile1689 3 роки тому

      Sa mpaka ujilize🙄🙄 wala hatumtak hakuna asiyejua Maisha yake😏😏

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 3 роки тому +5

    Show kali

  • @catherinemsemwa5611
    @catherinemsemwa5611 3 роки тому +3

    I like her

  • @a.856
    @a.856 3 роки тому +9

    Nandi km yeye🕊💌

  • @Mariam-z5e
    @Mariam-z5e 3 місяці тому

    Nakuenda nandy mama naya weweee u so good ❤

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 3 роки тому +5

    Nice

  • @witnessmoshi8667
    @witnessmoshi8667 3 роки тому +4

    mama nandy alimchana ukwel hahahha kwahy nandy alirithi jina la ukoo tuu

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 3 роки тому +4

    The African princess

  • @nazifanuru5306
    @nazifanuru5306 3 роки тому +2

    Nice big up salama love uuuuu

  • @rubenmkilima4681
    @rubenmkilima4681 3 роки тому +14

    Salama tunataka "salama na profesa Jay"

  • @rebeccaezekiel8828
    @rebeccaezekiel8828 3 роки тому +2

    See hki kiind Kiko bomba sanaaaaa, lkin Salam kumbe mkubwa

  • @neemaindalesio4663
    @neemaindalesio4663 2 роки тому +2

    Dah sina hata cha kusema Dada yangu nandy ila nakupenda sana

  • @mohamedabdirahmanomar9211
    @mohamedabdirahmanomar9211 3 роки тому +2

    Salama Assallam Allykum dadangu pongezi kwa kazi nzuri. Napenda kipindi chako.😀😃😂🙂

  • @annamatonange5632
    @annamatonange5632 3 роки тому +1

    Nakupenda sana Nandy wangu💓💓💓❤️❤️❤️❤️❤️💞

  • @bestscene5730
    @bestscene5730 3 роки тому +3

    Zuchu 😘😘kumbe ni ma friend

  • @shalimwile9278
    @shalimwile9278 2 роки тому +1

    Love u nandy

  • @ainnekeyshersospeter9398
    @ainnekeyshersospeter9398 3 роки тому +1

    I love you Nandy

  • @dripboy2026
    @dripboy2026 3 роки тому +8

    Kama nimesikia Nandy kmtaja zuchu

  • @Herieth-ou4lk
    @Herieth-ou4lk 3 роки тому +1

    Love you Nandera

  • @RaQuishA03
    @RaQuishA03 3 роки тому +7

    It’s about time Salama

  • @carolinemualuko5192
    @carolinemualuko5192 3 роки тому

    My best....my best in the world...I love you and would like to be like you ...#kenya

  • @magrethmbwiga6098
    @magrethmbwiga6098 3 роки тому +14

    Nandy ni mzur jamani 😍😍

  • @inocentibojo8204
    @inocentibojo8204 3 роки тому +7

    Salama tunamtaka diamondplatnumz

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 роки тому

      Akimleta mondi itakuwa hot sanaa aiseee kwanza watazamaji tutakuwa wengi

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 роки тому

      Akimleta mondi itakuwa hot sanaa aiseee kwanza watazamaji tutakuwa wengi

    • @shijasalyungu9589
      @shijasalyungu9589 3 роки тому +1

      Tuletee mond na harmonize

    • @Mzayanine
      @Mzayanine 3 роки тому

      Hatokaa ampate, sababu ni eatv labda ingekua wasafi

  • @cecychua7478
    @cecychua7478 3 роки тому +2

    Nandy nakupenda bureee

  • @crazydeejay_manyi8520
    @crazydeejay_manyi8520 3 роки тому +3

    #salama Na Diamondplatnumz🙏🙏

  • @godgiftfrancis321
    @godgiftfrancis321 3 роки тому +2

    I like nandy

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 3 роки тому +4

    Can we kiss....nandy utoto hutawai muisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeanyves8934
    @jeanyves8934 3 роки тому +3

    The best interview ever. I love it 💚

  • @lilianamon2289
    @lilianamon2289 Рік тому

    Jamani Nandy na Dada Salama u look good

  • @josencollin2809
    @josencollin2809 2 роки тому +2

    I can give you million dollas for your music baby .

  • @dripboy2026
    @dripboy2026 3 роки тому +19

    Yan wanawake kwakucheka cheka et kusalimia tu wanacheka 🤣🤣🤣🤣

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 3 роки тому +2

    Dah aisee nlikiuwa naisubir kwa ham sna yn

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 3 роки тому +4

    Nakupenda sana nandy na ninakukubali sana

  • @hawaally7974
    @hawaally7974 3 роки тому +2

    Biutiful nandy

  • @shijasalyungu9589
    @shijasalyungu9589 3 роки тому +3

    Nandy anacheka vizuri eti😂😂😂😂

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 3 роки тому +2

    Jealousy & envy comes from my enemies - 2Pac

  • @neemazacharia1644
    @neemazacharia1644 2 роки тому +1

    Love u soumanch dadangu nand

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 роки тому +3

    Salamaaa💟💯💥💫👌exactly time
    Nandy akikata nywele hapendez.

  • @l0ycemp0chele72
    @l0ycemp0chele72 3 роки тому +2

    Hkun km @africanprinces xio kwa kuimb wal interview

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 3 роки тому +1

    Nampendaga sana nandy jamani

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 3 роки тому +4

    Haloo haloo hio kwio 😂😂

  • @FARISYUSUPH
    @FARISYUSUPH 2 місяці тому

    Love Mama Naya

  • @balegadaffi4472
    @balegadaffi4472 3 роки тому +3

    Kwann mpka ipite sku mbili dada salama 🙄

  • @agnessherman2926
    @agnessherman2926 3 роки тому +2

    Mbn umesahau kama we ni muigizaji?

  • @Johnbida7559
    @Johnbida7559 3 роки тому +8

    Nandy anafaa kinoma😣

  • @jamilahassan6432
    @jamilahassan6432 3 роки тому +4

    ❤️❤️❤️❤️

  • @zainabjames7769
    @zainabjames7769 3 роки тому +1

    Nampemda nandy jaman

  • @owlbig
    @owlbig 3 роки тому +7

    🇧🇮❤️

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 3 роки тому +1

    Love you Nandy nakupendaga atari tena nahamu sana ona day nije nikuone

  • @lilianamon2289
    @lilianamon2289 Рік тому

    Dd Salama mimi Niko na talent ya kuimba Ila ninakosa MTU WA kunishika mkono,plz help me

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 3 роки тому +2

    Tunamsubiri king 👑 kiba

  • @teddyinbloom
    @teddyinbloom 3 роки тому +2

    Amekula bila kunawa mikono 😂

  • @salmakisokola245
    @salmakisokola245 3 роки тому +1

    Mbona inakuwa hivyo

  • @nalliekessy4902
    @nalliekessy4902 3 роки тому +2

    AY

  • @shijasalyungu9589
    @shijasalyungu9589 3 роки тому +2

    Haaaaaaaaaaa chief judge alikuboleshea kweli

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 роки тому +1

    Ukitaka kitu kila mtu ni mzuri ukipata watu hugawanyika👏🏾👏🏾👏🏾

  • @annamariamarcel9268
    @annamariamarcel9268 3 роки тому +3

    It was jitambulishe not jielezee girl

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 3 роки тому +4

    Nandy nakupenda una akili lakini hapo kwa kupigania ndoa hapana kata hio kamba ya mila za utumwa mambo ya kuvumilia zilikua enzi za mama , nyanya zetu ila sio maisha ya sasa

  • @happyswai8299
    @happyswai8299 3 роки тому +1

    Fupi sana jaman