Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu ambaye nafahamiana naye sana, ambaye nilishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndio ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua.
Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na kwake pia. Nandy alikua na ukaribu mwingi na Ruge, alishawahi kumtembelea hospitali mara kadhaa na pia alikua na mawasiliano ya moja kwa moja na watu wa karibu wa familia kipindi kile ambacho Ruge alikua hana tena mawasiliano naye moja kwa moja. Siku ambayo Ruge alitangulia mbele za haki, muda si mrefu kabla ya hilo kutokea Nandy ananiambia alizungumza na nesi wa zamu siku hiyo na pia alimuekea simu kwa ukaribu na alimsikia akiwa anapumua. Wapi alikua wakati anapata habari hii iko kwenye maongezi yetu haya, humu pia utaelewa connection ambayo sisi binadamu tunayo na watu ambao tunawapenda na wanao tupenda.
Najua siku hazigandi kama ambavyo Lady Jd alishawahi kuimba na ndio nikawaza, hivi ushawahi kuwaza Nandy amekua kiasi gani toka msiba wa Ruge utokee? Unakumbuka baadhi ya maneno yaliosemwa juu ya career yake baada ya msiba ule? Tunafahamu kwamba alipoteza rafiki, mentor, baba na kama tochi yake. Mimi huwaza haya sana, na hilo la yeye kujidhatiti na kukaza mwendo ndio ambalo lilifanya mimi binafsi niseme you know what, it’s time.
Nandy ni MPAMBANAJI, anaupenda muziki na kama mtu mwengine yeyote mwenye jitihada basi Mungu humfungulia milango ya Kheri. Kaniambia humu kwenye maongezi yetu kwamba safari yake ya kwanza kwenda nchini Nigeria kwenye mashindano ya kuimba alimuambia Mama yake wakati yumo ndani ya ndege, alipomaliza hotuba yake fupi alizima simu na wheels up, to Lagos ambako alihakikisha anapigana mpaka fainali na kumaliza nafasi ya tatu. Si kitu kidogo kwa binti ambaye aliamua kuweka shule pembeni ili atimize ndoto yake, ndoto ambayo hata Mama yake mzazi hakua na taarifa nayo.
Siku zinakwenda, maisha yanasonga na yeye ameendelea kukimbiza ndoto yake na mpaka tunaenda mitamboni, Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wakubwa sana hapa nyumbani na barani Afrika na hata Ulaya na Marekani na ukitizama vizuri utajua kwamba huu ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yatatokea katika maisha yake. Mimi na yeye tulizungumzia mahusiano hayo pamoja na kukimbiza ndoto zetu. Tuliongelea Bill Nas na kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Tuliongelea muziki wake na collabo ambazo amewahi kufanya. Hapo hapo nilitaka kujua pia yeye ni mtu wa aina gani na ni vitu gani vinamsukuma kutaka atake zaidi na sehemu ambayo anajiona huko mbeleni In Shaa Allah.
Yangu matumaini kama kawaida ni kwamba utajifunza mawili matatu ambayo yatakusaidia kupambana na mitihani ya maisha kwasababu tu umejifunza kutokana na sehemu wenzetu hupitia kwenye maisha yao.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Nandy is so natural kwakwel she is real to herself i love that ❤️
Interview imetulia mpaka raha nandy anajua kuongea mpaka raha yaani kiufupi da salama na nandy mmehojiana vizuri 😊
I’ve been waiting for part one... finally is here. Love you Nandy ❤️🥰
I love how salama and Nandy get along nice one ...u look like best friends...I wish to meet salama and hug her
All in all she is our African princess. Na hope apeperushe bendera ya taifa worldwide. Anajua perhaps very much as a solo artist
Am addicted to this show ❤️❤️❤️❤️
Can you do salama na jacob steven (jb) tafadhal😭
Huyu dada anajielewa hana kujikweza , I appreciate your consciousness
My favorite Artist.. Finally let hear more about u
Nice nandy
Nice nandy
@@gracemichael9774 somalia
Maneno ya mama mazito xna yazingatie daima ili yakufikishe mbali ''umeamua kuchagua mziki najua kuwa hutosoma tena pambana sie hatuna cha kuwaachia''
Kama umetoka kwa millard, unganisha dot yoloooooo💃💃💃
😂😂😂
😂😂😂😂
I LIKE THE WAY YOU INTERVIEW PEOPLES SALAMA :D
It’s true ur humble Nandy ❤️
Kote nimekuelewa ila apo kwenye kufight for the marriage ndo pamefanya wanawake wengo wapate changamoto adi za kutolewa chongo kwa kusema wanapigania ndoa but kwa upande wangu marriage ni kitu cha kuinjoy na sio kuvumilia
Habar ya kulinda ndoa ni swala la wote wawil na sio mwanamke
Wewe ndoa ni kuvumiliana binadam hatujakamilika pia ndoa ni ku enjoy
@@priscajubilate205 kuvumiliana na kupigania ni vtu viwil tofauti ndoa sio vita ni jambo la kheri na la furaha
Saivi baada y kuolewa unasimamia maneno yako? Ku fight ni muhimu
@@pascalwissi4805 mie nimeolewa na mwanaume sio janaume ndo yanayovumiliwa ayo ila mwanaume ana kazi ya kunipenda na kuhakikisha nina furaha muda wote. Shida kwa wanaokutana na mijanaume ambayo inapaswa kupiganiwa ili ndoa idumu.
Salama ameimprove sana interview zake! .....this one is great!
Salama has never been small, she was definitely born for this
@@NiraSaire yeah for real
Ivikweli Nandi hatasaa hii huyo rafikiyako unamjali amekupa wazo nzuri na mafanikio ujue au unamuonesha zarau kwakua sikuhizi unapaa
I just love nandy 😍 you cannot hate her yanii so humble
Mbona imekuwa Fupi hivii ila ❤️ Interview
Nashangaa zimekua fupi sanaaa
Ina part two
Congrats nandy ❤❤
So nice interview Salama na Nandy
Thanks kwa kutuletea huyu mrembo.Nilimsubiri kwa hamuu zotee😋
CORONA IPO TUZIDI KUCHUKUA TAHADHARI.
Nandy 🥰❤🇨🇭🇹🇿
Salama your so perfect asee
Kati ya interview zakinyamwez sn
Ila nandy mrembo sana
Love😙nandy naomba ule na mkono wa kulia 😂
N left hand
Huyu anatumia kushoto sio poa
Salama uje umualike zuch basi nampenda
Salama you're my no one star in tz
Salamaa naomba umletee hamisa mobetto au uwoya pls
Show love kwenu nyoteee sisters aminia sana
Your songs here i Canada is great in everywhere baby .
Salama tunaomba utuletee hamisa mobetto jmn
Kudadeki Nandy weweeeee nakupenda saana ani sijui nisemaje
I real lov u nandy
I love Nandy...
Nakupenda xna dada ang pambana mama
Bado namsubiri adamu mchomvu najua hv karibuni
Daah bomba sanaaa 👏👏👏
Nakukubali sana Nandy, kwanye interview uko right kabisa.
Naam 😒 Mashallah🥰 Mariam from Burundi 🇧🇮 Tz 🇹🇿 tupendane ❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇹🇿😌😌💞
Tunamtaaakaaa diamond😭😭😭
Diamond aje kusema nini maisha yake ni open book hakuna chakujuwa yote tunaya juwa
@@nooromar6233 😂😂😂I like OPEN BOOK
@@nooromar6233 😂😂😂😂umesahau kama yule ni mzee wa maajabu ghafla utasikia salama k ni baba ake esma ile familia ni firee
Sa mpaka ujilize🙄🙄 wala hatumtak hakuna asiyejua Maisha yake😏😏
Show kali
I like her
Nandi km yeye🕊💌
Nakuenda nandy mama naya weweee u so good ❤
Nice
mama nandy alimchana ukwel hahahha kwahy nandy alirithi jina la ukoo tuu
The African princess
Nice big up salama love uuuuu
Salama tunataka "salama na profesa Jay"
Leo
Sijaona@@nasoursaleh1662
See hki kiind Kiko bomba sanaaaaa, lkin Salam kumbe mkubwa
Dah sina hata cha kusema Dada yangu nandy ila nakupenda sana
Salama Assallam Allykum dadangu pongezi kwa kazi nzuri. Napenda kipindi chako.😀😃😂🙂
🙏🙏🙏
Nakupenda sana Nandy wangu💓💓💓❤️❤️❤️❤️❤️💞
Zuchu 😘😘kumbe ni ma friend
Love u nandy
I love you Nandy
Kama nimesikia Nandy kmtaja zuchu
Walikuwa wote kwenye mashindano
Love you Nandera
It’s about time Salama
My best....my best in the world...I love you and would like to be like you ...#kenya
Nandy ni mzur jamani 😍😍
Sanaaaaaaa
Sanaaaa
Kabisa
Si ndio maana boss akaamua kupita hapo..
Hapo wigy tu, muone akiwa hana wigy
Salama tunamtaka diamondplatnumz
Akimleta mondi itakuwa hot sanaa aiseee kwanza watazamaji tutakuwa wengi
Akimleta mondi itakuwa hot sanaa aiseee kwanza watazamaji tutakuwa wengi
Tuletee mond na harmonize
Hatokaa ampate, sababu ni eatv labda ingekua wasafi
Nandy nakupenda bureee
#salama Na Diamondplatnumz🙏🙏
I like nandy
Can we kiss....nandy utoto hutawai muisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The best interview ever. I love it 💚
Jamani Nandy na Dada Salama u look good
I can give you million dollas for your music baby .
Yan wanawake kwakucheka cheka et kusalimia tu wanacheka 🤣🤣🤣🤣
😃😃😃😃Ndioo tulivyo umbwa
Ni karama katupa mungu
Umejua kunichekesha. Nami nikacheka. Lol
Wanawake sisi ni watu wa furaha tu hata mimi nimecheka 😁
😂
Dah aisee nlikiuwa naisubir kwa ham sna yn
Nakupenda sana nandy na ninakukubali sana
Biutiful nandy
Nandy anacheka vizuri eti😂😂😂😂
Jealousy & envy comes from my enemies - 2Pac
Love u soumanch dadangu nand
Salamaaa💟💯💥💫👌exactly time
Nandy akikata nywele hapendez.
Hkun km @africanprinces xio kwa kuimb wal interview
Nampendaga sana nandy jamani
Haloo haloo hio kwio 😂😂
Love Mama Naya
Kwann mpka ipite sku mbili dada salama 🙄
Mbn umesahau kama we ni muigizaji?
Nandy anafaa kinoma😣
❤️❤️❤️❤️
Nampemda nandy jaman
🇧🇮❤️
Love you Nandy nakupendaga atari tena nahamu sana ona day nije nikuone
Dd Salama mimi Niko na talent ya kuimba Ila ninakosa MTU WA kunishika mkono,plz help me
Tunamsubiri king 👑 kiba
Amekula bila kunawa mikono 😂
Mbona inakuwa hivyo
AY
Haaaaaaaaaaa chief judge alikuboleshea kweli
Ukitaka kitu kila mtu ni mzuri ukipata watu hugawanyika👏🏾👏🏾👏🏾
It was jitambulishe not jielezee girl
So what's the problem
@@brigithadidas5128 Yaani!
Nandy nakupenda una akili lakini hapo kwa kupigania ndoa hapana kata hio kamba ya mila za utumwa mambo ya kuvumilia zilikua enzi za mama , nyanya zetu ila sio maisha ya sasa
Fupi sana jaman