Nabii GeorDavie unatisha!!!!! Una upendo na huruma ya ajabu. Umetumika kusaidia watu wengi Sana. Nakupenda na kukuheshimu mno. Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako
Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi
Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me
Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho
Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini
Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia
Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.
Nabii GeorDavie unatisha!!!!!
Una upendo na huruma ya ajabu.
Umetumika kusaidia watu wengi Sana.
Nakupenda na kukuheshimu mno.
Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako
Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya
Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe
Amen
Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha
GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏
Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.
I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪
Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................
Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi
amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.
Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen
mungu akubariki kwa kufungua watu
Amen babangu
Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike
Asante nimeamini Kenya
Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya
Kanisa lipo sehemugani
Kwa kweeli flam Yao tumeijua
Amina sana mchungaji yodefi
This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue
Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba
amina wasaidie baba
Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako
Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me
Nabii naomba namba pleaz
Amina kubwa
Uko big up nabii mkuu wangu
Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu
God blessing you
Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....
Nabii mkuu.❤
Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu
I receive in Jesus name. Amen
Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya
Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe
Umeonae
Jamani redio ya ngurumo darslaam inapatkana masafa gani na je tv chaneli gani na king'amuz gani?
Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha
Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena
Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho
Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea
Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢
Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?
Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha
Mungu peke ndo wapekee.
Wakristo tuamke.
Ameen
Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho
Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??
Kweli kabisa
True
We unayeona elezea unachoona kwa usahihi
Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi
Amen
Dunia iko mwishoni, manabii wasioeleweka, miujiza ya kiusanii. YESU kaachwa kando.
Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa
Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..
Namba plis
Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,
Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮
Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi
😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama
Amen Amen 🙌🙋♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏
Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi
Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.
Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.
😢😢jamani dah.
Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli
Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔
🤣🤣🤣 swali la kibabe
Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there
Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!
Nivizuri sana
nakupenda jamani
Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona
Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana
Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni
amen
Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa
Ee mungu apigae ngurumo
Nifungue Mie pia nabii mkuu
Amazing prophecy,,,
Ni Yesu anafungua au wewe
@@beatricemangula1480 Yesu
Yesu yuko wapi Apo jaman...
Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?
😂😂😂😂
Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???
Naomba kuconet na nabii
Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini
Hata inashangaza wana tangaza usinzi
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba
Baba nakuaminia uongezeke
🙏🙏🙏
Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia
Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii
Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma
Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar
Wasaidieni baba
Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏
Ameni na Mimi pia napokea una bii
Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome
Kweli kabisa
Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA
Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana
Bwana mungu atu saidie.
Dunia ime fika mwisho wake
Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh
😂😂😂😂😂
Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu
Uje nikupeleke
🤲🙏
Where is the church located please am from Kenya
Tanzania mkoa wa Arusha sehemu inaitwa kisongo c mbali na Arusha mjini
Ameen nabii mkweli kabisa jamani ntatowa wapi namba yake nisaidiyeni namimi ninusurike
Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎
Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.
Nashangaa.
Tena mamilioni.
Mbona unadanganya wayu ivo
Daaaaa
Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii
Kaaa kwakutulia
Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳
Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??
Ok
Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ww baba ww
I believed
Aki nabii sinikufikie
🖐
Iyonjoo majina yangu ya fb
Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki
Hii ni biashara sio tena kanisa.
Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao
Kiboko haki ya nani
Inna lillah waina illah rajion
Naomba na mimi nifungue baba
Naumwa tangu 1999 mpaka leo
Naomba unisadie niponye magonjwa yote
mmmh huyu nmchungaji kwel mbona mm sielewi
Hata mimi nashindwa kuelewa😢
@@agapejosceline7683 apana