Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23 Leo ndo kaongea point Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4 Kunbe ilikuwa hajahipata Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana U are wormly Wellcome
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@@user-pk1yl7zt8p isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
Alikiba❤❤❤❤
upo live sana kaka fredrick Bundala.. Tupo pamoja dl
Hiyo sio hatua huo ni msamba 😂😂😂 KING ni mmoja tu#long live the King
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤
Alikiba kakuaaa🎉🎉
siku zote team kiba wakubwa kiakila
HHHH NDIOOO_🤦🏿♀️
Diamond Platnumz harongwangi....Ujumbe kwa Harmonize😂😂😂😂
Kiba amekua sana.this is a kind of king
Saafi Kabisa blood 💥🔥💯⭐
Hizi ni strategies za media yake kwenda viral😂
D mbili☑️😅😅😅
Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
mimi wakwanza naomba liké zangu 🎉🎉🎉🎉
goog
😂😂WCB inanguvu kubwa tayar kiba kaingia kwenye mfumo Diamond ni kioo mpaka kiba anakitumia kujiangalia😂😂
Mtego uo
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23
Leo ndo kaongea point
Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4
Kunbe ilikuwa hajahipata
Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana
U are wormly Wellcome
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive
The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
Safi sana🎉❤
❤❤❤❤❤Diamond. Haters go to the back. Diamond is the king. 🇺🇸
There can never be two kings, only one King Kiba let that sink in
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
This is king of bongo flaver❤
Wa kwanza
kweli wabongo hawana jema😂. sifa katoa mmemaind, angekaa kimya mngesema ana kiburi😂
Appreciate King
wa kwanza mm na sitaki like mm
👏👏👏
Kwakeli Alikiba amekuwa
Atajua hajui😂😂😂😂😂😂😂
Kupost sio hatua nimsamba,😂😂😂😂
King is always a king 🤝🙌🙌
Safi sana kiba
Acha ushamba wako nawewe mwandishi sifagan arizomwaga zaiditu yakutafuta kiki nahuyo mtangazaji wake eti ange poxti angeonekanaje 😂😂 kwani angeongezann kwa mondi huyo kiba 😂😂😂😂😂😂😂
Tafuta hela acha makasiliko
King
Anaanza kumuelewa SIMBA. Amechelewa sana kumuelewa Simba ila sasa anaingia kwenye mfumo. Good one Ali Kiba
Wewe ndo imechelewa kuwaelewa wenzako NI wafanya biashara we endelea na ushabiki mandazi
😂😂😂 ndo alivyosema mfumo which where 😅😅😅
Acha uswahili
Ali kiba forever inakuuma eeh tafuta ndimu
@@shwaibukhatibu2838 Akili huna aliyekuambia sijui kama ni wafanyabiashara ni nani? Team Kibakuli mna mihemko ya misamba 🤣🤣🤣🤣🤣
Bado anammisi x wake maana story yote kamtaja yeye tu,sijaona motivation yoyote hapo
Safii snaaa Mfalme... Alikibaa
Hii n kubwa saanah King 🤴 ame appreciate
This is what we call maturity.
Safi sana sijawahikukubali Ila leo ❤❤❤❤
Wow good answer❤
Kikeke kwawekeza nguvu nyingi,,hongera sana kikeke na ally
We umebakiza taarabu tu lazma umwongere Ili jina lako liendelee kuwepo maana kama unapotea hv
King's bg up
Kiba ana hekima sana
Definition of positivity
Big up kiba
Alikiba xaxa naona umekuwa !! Nliwambia achana na bifu msonge mbele !! Kama Nigeria walivyo!
Simba ndoo Yale majiii
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥
Kiba is intelligent,
Nyinaye wana sns niwahovyo ama mumekosa habali sasa unazani alikiba angejibu nini
Kwani bila daimond hawezi fanya mambo yake paka ugomvi
Ilo swali kajibu basi tu atafanya je Sasa😂😂😂
Yeye huyo diamond ashawahi kupist wimbo woworecwa Alikiba?
Alikiba ni mtu sanaaa
Mtamuelewa polepole ❤️
nimekuelewa sana tutasonga mbele kimziki
Wameamua kuikuza radio
Natamani diamond na Alikiba watoe ngoma
Kizazi sana hata kuongea inatosha 🥰
Alikiba anazingua kwenye mavazi
kamvalishe
Kiba amekua safi sana
Kwan Jomba Nchumali anaxemaje huko?? Mamaeee 😅😅😂
Hawa waandishi wa habari nao wanapenda fitna sana
Sns naomba jina la huo wimbo hapo mwishon
Eti acheze fallen angel badilika ww imba kimataifa zaidi na sio bongo flava tu eti aimbe nhoma y Alikiba yan aje aimbe bongo flava kwl??
Nitajie chart Gani kubwa komasava imeingia? Mnapelekeshwa tu na upepo nyie, hakuna chart zozote kubwa komasava imeingia pamoja na kelele zote hizo
@@Oldskulgemini9991umejibu vizuri
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@@user-pk1yl7zt8p isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
Nimekuelewa
Jamaa anaongea kama kikwete
His father😂 umechelewa
Hii haitok moyon 😂😂 kiba
Ukishakua na media lazima ukubali yote
𝐊𝐢𝐧𝐠...
Amwagia?? 😂 Wapi Sasa nje au ndani
Tanzania jameni sasa Chris kucheza tu nyimbo nikitu yakuongelea kila mahali...sasa akipiga colabo itaongelewa aje
Acha mengine uongei Harmo tyu
Yamemshinda!!
Kiba umekua sana
Hypocrite 😅
You’re hypocrite
😂😂😂Sio hatua ni msaamba
Kiba achana na huyo domo tena hata ungekataa kujbu tu ni wapuuzi
Una makasiriko ndugu 😂
Hajaanza leo mond 😅 ua-cam.com/video/WC7AwvcsyN0/v-deo.htmlsi=uKzKtegUxbPKXPH-
Umefulia wewe
alikiba leo nimeamini kuwa wewe ni mkumbwa
Safi sana kiba
King
Safi sana kiba