Ni kweli ila oen aliomba msamaha pia alisema simulizi ya gobole la urithi na watatu wa mwisho zitakuwa zinachelewa sana kutokana na changamoto zilizojitokeza
😅😅😅haya bhana ushauri wangu qwa kaudhal ni kumuombea sana maana amesha dakwa huko nje na wajanja maana km unajua kumhudumia mmeo kwa njia zote hapo ndo ujiongeze
Mm Kuna siku nilipongwa Hadi mbavu zikaniuma nikaenda siptal kisa napika chapati mtoto yuwalia sasa yy amekaa alafu aniuliza huoni mtoto yuwalia nikamuliza kwani ww huoni napika heee kumbe alikuwa ashatoka Kwa Malaya wake sasa yuwatafuta sababu Wacha tu hizi ndoa zimeficha Mambo mengi
@@FatumaRamadan.Mwalim 😂😂😂😂pole mwaya tatizo ni vile ulimjibu eti huoni mm napika, nashukuru Mungu hapo kwa kujibizana na mwanaume mm huwa siwezi kwanza nikichezwa na machali ana Jambo lake hata km nilikuwa napika huku mtt analia nilikuwa namchukua zangu na kumbeba mgongoni nikiendelea na kz zangu,enzi hizo lkn kwa sasa ndoa ilinishinda jmn mie nipo zangu kulea wtt wacha niparangane na stress za wanangu maana hao ndo najua uchungu wao lkn jitu zima tumekutana hawezi kujua uchungu wangu kamwe, hivyo dear km upo kwa ndoa omba sana Mungu akupe uvumilivu maana kwa kweli ni ngumu sana
Wa kwanza leo , from USA 🇺🇸 hapa , nipeni likes guys pls.
Tupe connection tuje jamani
Jamani mi ikifika saa kumi nikiona notification ya UA-cam natap haraka nikidhani ni gobole la urithi yaa hi somulizi🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Imagine simulizi mpya zaja zikiisha lakin gobole haliji😢
Si pek yko voo
Ni kweli ila oen aliomba msamaha pia alisema simulizi ya gobole la urithi na watatu wa mwisho zitakuwa zinachelewa sana kutokana na changamoto zilizojitokeza
@@NeemaSamson-ti8pc Lakin alisema ikija inakuja mpaka mwisho ila episode mbili twasubiri labda kesho inshaAllah
Bana ata mm nimechoka had nikaimalizia kichwan basiii😂😂😂
Wakwanza jamani nipeni like yangu 🎉🎉🎉🎉
No.3 thanks Smix 🎉🎉🎉
Wakwanza jamani kwa simulizi hii mpyaa 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao Felix
Saut vp
😂😂🎉🎉yooo bunju tena..
𝑻𝒘𝒆𝒏𝒅𝒆 𝒏𝒂𝒍𝒐🎉🎉🎉❤❤❤𝒉𝒂𝒅𝒊 𝒌𝒊𝒑𝒊𝒎𝒐😂😂
Huyoo dada kwani hakuagaa kwao jamani kipigo nauko hapo huyu jamaa laana anaitafuta kwa mamake sio kwakumpigaa huko
Heee jamani hii ni ndoa au ni ndoana😢😢😢😢Yaani Majid hata mama yako pia 🙆🙆🙆🙆dunia itakufunza mana mama yako hakukufunza jiandae🫵
Kweli hamlali wadau😂, shukrani sana wana simulizi mix kwa mzigo huu mpya🥰🥰
Wapendwa jooni huku Felix ametuletea kitu kipya makofi kwake 👏👏👏
Mwanaume aseme unanuka Alf wewe mwanamke una nguvu ya kuongea naye kwangu mbona angenikoma
Lkn shukrani Kaka Felix
Waooooo Felix ❤❤❤❤❤❤❤
Shukuran Felix..
Yani ndoa bwana😂😂unaweza jikuta umeolewa lakini nikama haujaolewa😂😂yani mpaka ukajuta kwanini umeolewa
😂😂😂😂
Jamani gobore la urithi mbona hatuelewi
❤❤❤
Dah yaani wanaume aisee😢😢
kauthar jaman pole😢😢😢
Nice
Mwanamke bwege kweli pole sana
❤❤🎉🎉
Yaan mwanaume sjui wanaakili gani yaan sasa ukiwa na mchepuko yanini kujikasirisha kipuuz kwa mkeo??? Unazan huyo mchepuko atakua mzur kwako milele???yaan mke kila atakachoongea ni kosa ht iweje washenzi kweli
To be continued
🥰🥰🥰🥰
Mwanaume akianza kuhanya anakua katili magd utajutia
Ngesa deliki
Shukran ❤❤
😅😅😅haya bhana ushauri wangu qwa kaudhal ni kumuombea sana maana amesha dakwa huko nje na wajanja maana km unajua kumhudumia mmeo kwa njia zote hapo ndo ujiongeze
Mmmh Hawa viumbe wakpgwa limbwata au wakiamua kukudharau n mthan 🤦♀️
@@user-yk8em1bh8gsana
Weuweeeeee❤❤❤❤
Em tumaliziy kwnz gobol la uridhii jaman😢😢
Mi kiukweli sina uvumilivu kama kauthal ata kidogo kwanza ndoa siwezi
😂😂🎉
Masikini husna mtoto mdogo amekosea nn
😭😭😭😭😭🎉🎉🎉🎉🎉
Ila Fells story zake zote uwaza uck tu tena uck wa manane kongole brother
Kwani yy ndo mtunzi??c analetewa tu kazi ikiwa tayar
Shukran Sanaa kit ki mpya ❤ ❤ 🎉🎉
Aki wanaume wengine jamanii 😢😢😢
Mpe mauwa yake hayo 🎉🎉🎉❤
Gobole la urithi limepotea wapi
Nashangaa
Kitu kipya
Ila gobole la urithi please
🥲🥲🥲🥲hivi mwanaume kumpiga mwanamke kiasi hiki 🥴🥴 huu c upuuzi tu mbona asimwache aende zake tu?mm ndo maana siwezi ngoja mkono wa mwanaume uniangukie
Mm Kuna siku nilipongwa Hadi mbavu zikaniuma nikaenda siptal kisa napika chapati mtoto yuwalia sasa yy amekaa alafu aniuliza huoni mtoto yuwalia nikamuliza kwani ww huoni napika heee kumbe alikuwa ashatoka Kwa Malaya wake sasa yuwatafuta sababu Wacha tu hizi ndoa zimeficha Mambo mengi
@@FatumaRamadan.Mwalim 😂😂😂😂pole mwaya tatizo ni vile ulimjibu eti huoni mm napika, nashukuru Mungu hapo kwa kujibizana na mwanaume mm huwa siwezi kwanza nikichezwa na machali ana Jambo lake hata km nilikuwa napika huku mtt analia nilikuwa namchukua zangu na kumbeba mgongoni nikiendelea na kz zangu,enzi hizo lkn kwa sasa ndoa ilinishinda jmn mie nipo zangu kulea wtt wacha niparangane na stress za wanangu maana hao ndo najua uchungu wao lkn jitu zima tumekutana hawezi kujua uchungu wangu kamwe, hivyo dear km upo kwa ndoa omba sana Mungu akupe uvumilivu maana kwa kweli ni ngumu sana
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤