SIMULIZI MPYA - X - PART 01
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- “Haya sasa bwana harusi una weza kumbusu bibi harusi”
Mchungaji wa kanisa hili la KKKT alizungumza huku akitutazama mimi na mke wangu halali kwa sasa katika nyuso zetu. Taratibu nika mgeukia mke wangu huku sote tukiwa tumejawa na tabasamu kwenye nyuso zetu. Nikamshika mashavu yake malaini kisha nikaanza kumnyonya denda, lililo wafanya watu wote kanisani hapa kushangilia kwa furaha, huku matarumbeta yakijumuika nao katika shangwe hizo. “Ina tosha sasa”
Mchungaji alizungumza kwa sauti ya
chini na kutufanya mimi na mke wangu kuachiana kwa maana tume tumia zaidi ya dakika mbili kumyonyana denda hilo. Tukamaliza hatua ya mwisho ambayo ni kutia sahihi katika vyeti vyetu vya ndoa sisi na wasimamizi wetu kisha tukatoka kanisani hapa.
Part 02 Bonyeza Hapa ua-cam.com/video/lYyPdPGa__0/v-deo.htmlsi=l6GRnq3vQeRSUng7
Ndipo kuingia jamani mko poa nyote like 2 tu mami nifurahi😊❤❤
Leo msipo nipa like nitalia sana ila anko j unajua sana mpaka unaboa khaaaa simulizi nzuri sana
Hello wapendwa wote pamoja na anko jy leo nami nimewahi na nataka like zenu
😂😂😂jmn
Thanks for good story and some more time with you
Ongera kwa kuwahi Neema ila icho kipini cha pua kimekupenddeza daa
Asante kipenzi
Good for further brother has gellman
Jamn jamn jamn anko Jay nipe mauwa yang jmn wakwanza leo nimewahiiii san sana♥️♥️♥️
Hi guys leo nimekuwa wa mwisho 🙆 like zangu basi❤❤❤❤🙏😅
Hi duguzangu? Leo wa 1 naomba like Zen ata 5
Ahsante Ankojay acha ni 🪑🎧 jameni 🌹
Si like tu hata maua twaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😅
Like zangu jomon nimewah Leo Anko J,😜🔥🔥
Kwanza leo weweeeeeeeeeeeee nipeni lakii zangu jaman❤❤❤
TUNAO IRUDIA X TUJUANE APA MAANA SO SIMULIZI NI BONGE LA MOVIE 🔥🔥🔥🔥🔥❤
Wow mzigo umefika 😊 polen uliochelewa 😅 munatuungwa na waraabu maana.asant ankoj na mwandishi wetu eddazaria g.msulwa❤❤❤❤
kazi kwanza mpenzi sahii ndipo kushika simu
Thanks
Anko bana from anapigana ngumi kama jetlee to anapigana kama anko jay waah🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
Asente Sana ANKO JAY. Mungu Hana watu wake wenye akili za mungu
My Crasmate na X ni bonge la Simulizi nimeipenda Mmnoo!!!naongea kwa kumaanisha!!Hongera m2nzi na Msimuliaji nikimaanisha ni Anko Jay 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤💕💕💕💕💕💕
Marshall 🎉 nmemiss sauti yako wewe ankol jay siku mbili bila wewe
Jmn hata 3 like naomben😊
Wa 200 Leo nipeni like zang 😅😅😅😅😅
Oyooo😊 ankojay walisha part 2
Wow ❤❤❤❤
Jaman Wa mwisho leo🙆Ila asante Anko j🙏❤❤❤
Amazing story ❤❤❤❤❤tenkc anco jay
Very stor so much ❤❤
tu me manque anko jay je t'aime ❤ et surtout j'aime votre voix,burundi tunakupata 100%turagukunda cane
Izondimi zose wanditse😂😂😂
Hewe iyi voive yuyu mu anko iramara nukuri
Me nawapenda Sana pia najifunza mengi Sana
Asante sana kaka yetu anko Jay mapesa 4 a wonderful story mungu akubariki sana twashukuru sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🌷🌹♥️💖❤️❤️❤️🌷 nzuri sana anko jey ❤❤❤❤
❤❤❤❤❤ simulizi zimeninogea mpaka kuangalia tv nimesahau jaman
Mi pia nshaacha
pacha
Jamani habari Leo Nami nime wayi
We Anko Jay ww unapenda sifa ww ety anapigina kama anko Jay 😅😅😅😅😅 ❤❤❤ Sana
Mmmh kumbe kuna kibao kipya ,😂😂😂asante Anko j nimechelewa but twende nalooo😊
Soph mimi nimechelewa ndio naianza kuisikiliza
❤❤❤❤❤❤ from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🥰👌🙌
simulizi safi Kabsa utupe nyingi kutoka kwa eddy maana ni mtunzi na nusu
Woow Bona tuna kumiss sana😂😂😂😂😂 Anko Jay mapesa 😂😂😂
Hii story nlishawah kuisoma kitaaambo iliandikwa na eddyzaria msulwa nlikua mdau sana wa sroty zake na leo naiskiliza tena nkiichanganya na sauti tamu ya anko Jay Big up sana❤❤❤❤❤
Umeisoma wapi?
😂😂😂
Ata mm nilisoma
UNKLE jey kiukweli simulizi zimenifanya hata tv msikilizaji sitathami niwapo safarini nasililiza sana simulizi aise pongezi
Kwa kazi nzuri na kimuziki kinanogesha hatari sana😂😂
Asant sana Anko j ❤❤❤
Nzuriiiii❤🎉 iiii itanisaulisha lisaa😂😂😂😂 maan naipend Binti lisaaaa😢
Anko jaya umwnikosha sana kwa hii simulizi uwe unatuletea hizi ama zakichawi mm binafsi nimechoka na chombezo🤣🤣
Kumbe tupo wengi tunaozipenda😂😂😂, chukua maua yako🎉🎉🎉🎉
@@christopherernest2316 asante😘😘
asante sana my brother from another mother
Anko jy unatowavizuri
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow interesting 😍😍😍😍keep up Ankojay
Thanks a lot 😊
❤❤❤❤❤ na kukubar sana
❤❤mambo ayo sijachelewa
Jamaniii😂😂😂❤❤🎉🎉🎉 kwa ajili ya anko jay
Hello guys love you always anko jay thanks and God bless you
Ahsanteee sana Anko J kwa simulizi ❤❤❤🎉🎉🎉
Heeeeeh❤
Alhamdhullilah. Leo nimeipata hii simulizi kwa sauti.hongera kwa mtunzi na msimulizi na wanafamilia wa Anco.j simulizi.kudoos nyote❤❤
Anko j hiki kigongo x tamu sana ❤❤❤
Wa kuwahi tupo❤❤
Chonde chonde halahala dear ex😂😂😂haya ex ana yap tena jmn😊😊
Hapa tulishafikiria dear ex kumbe x jasusi kukalili huko jamani
@@pascalinaerasto9501 🤣🤣🤣banaae tulivyokua na chuki na ma ex wetu
Kweli kabisa
❤❤❤❤❤❤ moto sherehe ni watu na mashabiki kila kona
Here we a🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sana anko j unatuburudisha na kutufundisha sana
Nice from oman
Kama movie jamani tamu sana simulizi
Nimewai leo weweeeeeeeeeeee nli happy 😘😘😘
Jamn ankojay kwakujipa misifa ss jmn ila tuna kuku bali san asant sn kwa kutupa burudani🎉😊😊😊
Nakupenda sn uncle mungu akubariki sn
Kwa kumi❤❤❤
The 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We anko Jay umepigana ngumi na Nani nimecheka wallah 😂😂😂😂😂😂😂Anko Jay kwa kujisifu ni hatari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
AnkoJ kwakujitia kwenye simulizi ndio mwenyewe😂😂😂
Waow , MashaALLALH
💯👏👏👏👏
Nishamaliza aiseeeee 😊
Mmmwaaah❤😂😂 wacha nisikilize kwanza nitarudi kucomment baadae ..Ahsante Anko jay kwa kigongo kipya
Hii ngoma ni kali
Kupuyanga nimecheka jamani kahaaaa
Hizi simulizi za kipelelezi na za kichawi nazipendaga mno😂😂😂😂, hongera ankojey
😂😂😂ww na mm hisia zetu kumbe sawa..me pia nazipenda mno..ila mungu atusaidie tusiwe wachawi tuwe Wapelelezi.
@@femidayahaya4882😂😂 mnapenda uchawi😂😂
Anko jay kwa kweli upo juu❤❤❤
💐💐💐 👏👏👏
Napenda simuliz zako anko jay love ❤
❤anko jay unanikosh saut yako jomon ❤❤❤❤❤
Ankojey hongera saaaana simulizi x kwani sijuwi nikupongeze aje ❤
Simulizi mzuri sana
Ankoj we nikiboko wewe umezaliwa na nini wewe mimi siku moja ningejitoa kunu nuwa mafuta ya jenereta shida ni Niko mbali sana na ishi Uganda ila wewe kiboko ❤ nakuamini mno
Asante kaka nilikuwa nakusubiri
Nzur sana
🙏🙏🙏😍😍🔥🔥🔥
Nmefka Kwa wakati anko. J simulizi
Wa kwanza leo,naomba likes zanu wapendwa,asante Anko jay kwa kazi nzuri,mungu akupe nguvu.
Asnte anko jay
❤🎉 iko vizuri sana nimeipenda
Mashallah 🎉🎉🎉🎉❤
Hongera anko j kwa kusifiwa kwa kiarabu
Wow amazing story , Mr jay we want more of this ujasusi stories ❤❤❤❤
Mashallah ❤❤
Nilikuwa wapi jamani mbna tamu sanaaa ❤❤❤❤❤😮😊
Woooiii yaan kwa nilivyokua nimeipania alafu nimechelewa😢
Duu,😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza😂😂😂😂😂
asnte saana anko jay wetu kwa kuzidi kutufurahisha❤
❤❤❤❤❤❤ Asante San
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ 🔥🔥🔥🔥🔥🎉
❤❤❤❤
Ankojay wewe unavituko,eti ilipiga ngumi kama Ankojay😂😂😂😂
Anko jay Kwanin ukutupa raha kidog useme kiyaramu 😂😂
Ankojay unatisha huna mpinza asante sanaa kwa story nzuri🙏🙏
Asant Anko Jay ubarikiwe🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮