Hongera sana Jarimu na Mwalimu wangu seminari kuu ya Mt.Augustino Peramiho. Umenifundisha Theology (Biblicum) na Greek language ( Kiyunani). Yupo vizuri sana Rev.Dr.Fr.Titus Amigu (Gamaliel).
uju ni padre wa kanisa kathoriki na nimemjua muda kidogo alikuwa anajibu maswali redio maria yausio himani ya kanisa kathoriki akiwa mwalimu wa seminali ya peramiho aliamishwa saizi yupo jimbo la lindi
Ahsanteee saaaan nmekuelewa vilivyo vyema hakika🙏
Hongera sana Jarimu na Mwalimu wangu seminari kuu ya Mt.Augustino Peramiho. Umenifundisha Theology (Biblicum) na Greek language ( Kiyunani). Yupo vizuri sana Rev.Dr.Fr.Titus Amigu (Gamaliel).
Ahsante Jalimu na rector Wang peramiho major seminary
Mungu akubariki kwa maelezo yako ya kueleweka
Asante sana
Mungu akubariki sana Padri Titus.
Asante sana Father kwa mahubiri mazuri
mafundisho mazuri na sahihi kwa kutijenga katika imani
Father Amigu amenifunza mengi sana
naomba muweke video zingine za mafundisho yake.
Mungu awabariki sana
Barikiwa
Nimebarikiwa sana baba Padre titus
parde Titus amigu
Safi sana fr Amigu
Nimekuelewa FATHER
Tunawashukuru sana TEC kwa kuanzisha channel hii ktk, waamini tunazidi kubarikiwa sana na mafundisho yatolewayo hapa
Charles Mtingwa Maziku Amina
Gifted
hawa ndio wachungaji safi,na wanaeleweka.sio wengine kupinga kila kitu wanachosema wenzao
Mahubiri safi sana
mafundisho ya baba Amigu ni ya ukweli
Damian Mbunda tumsifu yesu kristu
mungu akupe maisha marefu baba
Thanks so much padre nice and elaborated preaching.
Asante fr,kukumbusha kutenda haki,
Ulikuwa wapi sk zote kufanya jambo hili?
uju ni padre wa kanisa kathoriki na nimemjua muda kidogo alikuwa anajibu maswali redio maria yausio himani ya kanisa kathoriki akiwa mwalimu wa seminali ya peramiho aliamishwa saizi yupo jimbo la lindi
huyo ni jalimu wa kanisa