Mashabiki Simba wamkataa Mangungu & Try Again "Tuachieni Simba yetu inatosha" | Wamtamani Eng. Hersi
Вставка
- Опубліковано 8 лис 2023
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania
.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot
Tuko pamoja Simba oyeee apishe🎉
Pacome piga haooooo 😂😂. Yamefarakana😂😂
😂😂😂😂 makolo
😂😂😂😂😂😂Wallahy napenda kuona mimi haya mambo
Aki ya mungu hunishindi mimi🤣🤣🤣
@@user-yu9hn2cq3y 😂😂😂😂 hawa wanaweza kuuana asee
Mangungu shwain kweli
@@f.a6043 Mangungu kosa lake nini😂😂😂.. yeye kwenye bodi anaingia kama mjumbe tu ...hatoi hela ya usajili ...hatoi maamuzi ya kwenda uturuki...halipi mishahara ....yuko kama kama yupo tu...kosa lake nini?
Mangungu atakufaa . Ajihudhuruu ..hiz keleleee mmh
Mashabiki wasimba mkiamua jambo nawakubali sanaaa❤❤❤❤🔥🔥🔥viongozi nimidomo tu
Yani napenda hawa jamaa wakiteseka
Napenda simba wakilalamika
😂😂😂😂 hata mimi
Yaaniii nafurahiiii kuona Madunduka yanateseka 😅😅😅😅 wapigane tu 😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Hapo sawa wachezaji wabovu
Makolo nyie ni sawa na ngedere tu 😊😊😊😊😊😊
Naenjoy mnavovurugana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaani mtasema mengi sana na bado mtasokotana onana oyeee
Mashabiki dawa ya Hawa tukaeni nyumbani tusiende uwanjani Simba akiwa anacheza wanazingua sana wanatupa pulesha bure
Kabisa bro
Juma Mgunda mgosi wa Tanga ukisikia vilio vya mashabiki wa Simba wakikulilia Ujue unakitu ambacho unacho ndani yako wasikilize na Thawabu ya Mwenyezi Mungu itakuwa juu yako. Waonee huruma wanasimba wenzio.
Bado hamjasema!!! kumbe ilikuwa mfe ngao ya jamii mmebebwa jamani
Kolo kila akiteseka sisi ndo furaha yetu😂😂
Yanga kawavuluga sana watu
Kula chuma 😅😅😅😅msemaji anawadanganya eyi ukuta wa yeliko 😊😊😊😊
Yaani mwambieni Ahmed Ally muendelee na VIGOMA vyenu vya BAIKOKO , ndio kazi yenu, MPIRA sio fani yenu...MSITUPIGIE KELELE 🖐️
Tabulele rahaa 🖐️🤣🤣🤣
Mo ukitaka Simba ufanye vizuri kama yanga toa viongozi wote wa simba weka wapya,inauma kweli yaan.
Na mo mwenyewe ajiudhuru atuachie simba yetu
Yani mpaka msemeeeeeeeeee
Kunyeni barabarani toka taifa hd Mbezi mwisho.
Yanga tushikamane❤
Mtapata tabu mwaka huuu makolo
Yaani hamjasema mpaka mseme
Hadi raha ...
@allykamwe njoo uone😅😅😅😅😅
Yanga hawanaga jambo dogo mwaka huu mtafukuza mpaka mashabiki
Raha sana kuwaona makolo wanataabika na kuvurugana 😂😂😂😂😂😂
Turudi nyuma kdg tukumbuke kauli za Manara like zake hapa kinachoshangaza zaidi MO alionekana siku ya ufunguzi wa ligi ya Club Africain basi ili aonekane na Raisi wa FIFA anajipiga kifua et baada ya kufunga goli la pili yaan MO anapenda sifa sana
Unajua kwamba mo ana pigwa vita sana na wenye njaa 😂😂😂😂😂
Hawa vipngoz wa simba wametuona mashabiki hatuna akili sana yani walishia kumleta mazoki kwenye kula tu kudadek na mashabik tukaingia kwenye kumi na nane zao
Subra ipo siku haya yataisha inshallah!ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji
Safi sana wanaume,huyo ndio umoja,watoke mara moja wanang'ang'ania nini au wamwagiwe maji machafu,na mo mwenyewe ajiudhuru atuachie simba yetu mpk mtatoka labda sisi SI simba lzm muondoke mbwa nyie tunajitoa club bingwa hakuna tutachofuna
Msiingie uwanjani tim ikicheza wata jifunza
NINGEFARIJIKA SANA KAMA HUU UCHUNGU WA HAWA WATU UNGETUMIKA KUTETEA BANDARI NA RASILIMALI ZA NCHI.. HIII
Umenena vyema saaan bruhh
Daaah wewe umeongea neno yaan tunaogopa kutetea mambo ya msingi hatuogop kutetea mambo ya uwanjani 😢😢
Wapumbavu wote hawa! Hamtaki Kwani Mangungu si mlimchagua wenyewe?
Kweli tumebebwwa kule tangaa sio kwa simba bii
Bado hujasema na utasema yani mpaka mseeeeemeee🤓🤓🤓 hongera dada kwa kutambua ukwel
Bado amjasema simulisema simba kubwa mumesajili kuliko yanga aya sasa munandamana 😂😂😂😂 bado amjasema mpaka museme yanga kubwa kuliko simba acheni kumtaja injinia tajeni viongozi wenu simulisema nyinyi bora
Leo mmekubali kwamba ngao ya jamii mliipata kimagumashi😆😆😆😆
Mwambieni injinia aje awasajilie
Mimi ni mpenzi wa soka ...Nyie viongozi mnaosemwa mnajisikiaje ? Si mwachie ngazi ?
Magungu na TRA na CEO waodoke wote na wachezaji 8 waodoke Mara Moja
Yeto hayo yanga wamesababisha nahaya yasinge tokkea
Jamani raha hii ni sababu tumepiga boom mochwari😅😅😅😅😅😅
Wamevurugwa😮😮😮
waondoke inatosha tunamaumivu kwakweli
Mnawafaidisha vyura
Leo ndiyo mnakiri timu mbovu.... Angalau sasa mmefumbua macho!
Nafurahiiiii😂😂
Bado mjasema
Ni kweli kabisa kocha hana kosa
Hatar
Rais wa yanga unasikia haya xa na w jichanganye uone yaan oficin hapatakalika😂😂😂😂😂
Punguza akili za kitoto, upuuzi mtupu!
We ni dunduka ......malizeni hasira zenu uko uko
Wachezaji 8 waodoke Mara Moja. Shemaron , Saidoo , Onana , Kanute ,Shabarara Kaombe Bocco, Bareke
Che malon jmn anajitahid jmn
leo wanasema wenyewe kwamba saido age go 😀😃😄
😢😢😢😢
Chemalone leo kwa mpaka mekapu.
😅😅
Onana ni sawa dogo 😅😅😅
Hahaha mpaka mseme onana ni sawadogo aliyeendelea
Haaaaahaaaaa
😂😂😂😂
Kumbe kwenye ngao madu mlibebwaa??
🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiii mpaka mseme yote
Tulikuwa tunawaacha muiseme yanga mbovu leo wenyewe mnasema yanga nzuri simba mbovu tulisubili muda utaongea,mayele atakuja kupiga kura kama manzoki
yaaaani bado hamjathemaaaaaa mpka mthemeeeee jmn thimbaaaaa😅😅😅😅
Mangungu FC au fukuza fukuza FC poleni sana kwa kupata vijora vya sare kwa namungo Mangungu Fc oyeeee😂😂😂😂😂😂😂
Kwa mwenye akili haambiwi tazama uongozi wote wa simba wanatakiwa wajiuzulu
Bado hamjasema mpaka msemeeeeeeeeee
kweli huna hata ya kuangalia simba ikicheza hunaimana nayo
Hamjasema
Naona raha 😂😂😂😂
Yan hap wanatakiwa viongz wote wasep hata uyo mo
Mpaka msemeeeeeee
Hayo yote yamesababishwa na. Matokeo y 1-5👋😂😂
Nyinyi tulikwambieni hamna beki, beki kila mechi inaruhusu goli.
Beki majukwaa.
Embu Tuanzie hapa Kama Kuna mtu wa mpira Naomba unieleweshe
Kwani mangungu ndo anaesajiri🤔 Mangungu anatoa pesa ya usajiri🤔Mangungu anaenda kufanya skauti🤔 Au Mangungu anatoa bajeti ya usajiri? Naomba majibu please
Yote haya kasababisha YANGA😅
Yanga kivibi?, please ni kujituma na Guality please
@@naliakafatuma9870 kipigo cha gori 5 mashabiki hawaelewi🤣
😂kufenii
Hamieni yanga mikundu nyieeee
Tunewachoka jamani
Yupo wapi manzok
Wamepoteana😂
Mpaka mthemeeee!!!
Jamaa anaongea kwel kabisa,timu inacheza haina muungqniko inacheza kama mazoezi tu
Bado hamjasema
Me simba ila napenda fujo viongoz watoke
Naona raha😂😂😂
Bora cc kwa taarifa yenu Gsm kanunua timu ile kaweka watu wake sasa yanga inafanya vzr amin maneno yangu yanga ikifanya vibaya tutawaona wala mihogo wakilia
Mo pia aachie pianae aeleweki
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️, mungu ibariki simba
Viongizi wa simba kama wajinga mangungu na jalibutena wapigaji wasengetu
Tuli waambia toka tanga tukikutana tena kipgo ham kusikia hona sasa
Kkkkkkkk
Mangungu FC au fukuza fukuza FC hhhhhhh😂😂😂😂😂😂😂😂😂5G🗼🗼🗼🗼🗼
Wewe kimangungu kumamaezako uondoke kumanyoko
Hiv ndo vitu napend kuviona
😂😂😂😢
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi hizo pesa za MO zipo kweli au swaga tu?
Mm nahis swag tu😂
Mtakuja kufa
Aaah team yenu mbovu 😂😂
Bado hamjasema mpk mseme
Tatzo mudi
Onana ni sawadogo aliyechangamka
😂😂😂😂😂