Jinsi ya Kuwalisha Vifaranga vya KUKU CHOTARA Wakuwe Haraka Waanze KUTAGA MAPEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Ni ndoto ya Kila mfugaji wa kuku chotara kuwaona kuku alio walea mwenyewe kuanzia Vifaranga wanaanza kutaga Mapema.
    Video hii itakufundisha jinsi ya Kuwalisha vifaranga wa kuku chotara wakue haraka ili waanze kutaga Mapema.
    Kukamilisha zoezi hilo kupata vifaranga bora ndio kipaumbele kikubwa, kuwalisha chakula bora muda wote na maji safi na salama.
    PLAYLIST
    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
    bit.ly/2JlD0sl
    Ufugaji wa Kuku Chotara
    bit.ly/39r7FPD
    Magonjwa Tishio ya Kuku
    bit.ly/39oRfr1
    Ujenzi wa Banda Bora
    bit.ly/3bxQJs2
    Uleaji Bora wa Vifaranga
    bit.ly/2JjPH73
    SOCIAL MEDIA
    UA-cam; bit.ly/2vU8SBg
    Facebook; bit.ly/39ogwlb
    Instagram; bit.ly/3dA25xF
    Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
    What's app; 255 (0)752209073
    For Advertisements
    Email; changamkiafursa@gmail.com

КОМЕНТАРІ • 61

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  4 роки тому +3

    Wale wote wanaohitaji kujiunga na darasa la ufugaji wa kuku la changamkia fursa, dara litaanza tarehe 10/6/2020. Usajili utaanza tarehe 1 -10/6/2020, kujisajili tuma elfu5 tigo pesa 0656528455 kisha tuma meseji ya jina na namba yako ya what's app.
    Karibu sana

  • @adeybilal3503
    @adeybilal3503 4 роки тому +1

    Asante Sana mwalimu hamis..umeni encourage Sana kwa masomo unayotoa....mpk namm nimeanza ufugaji kupitia wewe....keep it up kaka

  • @delymeela1595
    @delymeela1595 2 роки тому

    Asante Kwa mafunzo

  • @benwaangetich3618
    @benwaangetich3618 Рік тому

    asante ndugu from kenya

  • @halimakadute156
    @halimakadute156 Рік тому

    Naomba msaada wako ivi kulisha kuku chakula cha start mash na growa mashi kuna tofauti na kile cha pillet

  • @SakinaFuad
    @SakinaFuad Рік тому +1

    Je? Hii kl 5 wakiwa wangapi

  • @uouo1466
    @uouo1466 4 роки тому

    very good

  • @mabugapiter636
    @mabugapiter636 3 роки тому +1

    Mm naomba kujiunga kwenye darasa la ufugaji

  • @BekaBoy-h4g
    @BekaBoy-h4g 7 місяців тому

    Mm n Mkenya tafadhal nijuz kuku chotar n w aina gan n kienyej approved or

  • @EsithaDeus
    @EsithaDeus Місяць тому

    Nawapataje kuku hao nawahitaji

  • @azizahusein8072
    @azizahusein8072 4 роки тому +2

    Ulishaji ni changamoto Sana Kwa wafugaji hasa wanaochanganya wenyewe

  • @rizickmombury7598
    @rizickmombury7598 Рік тому

    Kaka nawezaje kuipata fomula ya chakula cha kuku wa kwanzi wiki 5

  • @deogodi1655
    @deogodi1655 2 роки тому

    mwalimu mbona saivi kwenye grup sikuonitena au umeanzisha grup jingine

  • @thefashoonkiller7225
    @thefashoonkiller7225 3 роки тому

    Bro naomba kuuliza hivi izo wavu za chuma hazi sababish baridi kwa kuku na kuwaletea shida miguuni

  • @hassanabdallah7447
    @hassanabdallah7447 4 роки тому

    Habari za jioni.Nauliza kifaranga kunyongea na kugandia kinyesi huku nyuma na hatimae kifo.Nitumie dawa gani

  • @williamnguridada3734
    @williamnguridada3734 2 роки тому

    Bei ya vifaranga chotara ni sh ng?na ni chotara wa aina gn?saso,kroiler au

  • @muyegetv1067
    @muyegetv1067 4 роки тому

    Tuma link tujiunge

  • @rosenyimbi2099
    @rosenyimbi2099 4 роки тому

    Naomba uniunge kwenye group

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 3 роки тому

    Habari ,hapo kwenye banda naona kukuwako juu ya waya hii imekaaje?

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 10 місяців тому

    Samhani nikianza kuwalisha pillet start wakiwa na umri wa ck l kuna shida msaada tafadhali

  • @deomtitu4480
    @deomtitu4480 3 роки тому

    Huo wavu ni uliowatandikia unaitwaje?

  • @getrudemoshiro2581
    @getrudemoshiro2581 3 роки тому

    Hapo kuna idadi ya kuku wangapi?

  • @sephaniamwampashi2132
    @sephaniamwampashi2132 Рік тому

    Jani Mimi Nina kuku saizi Wana miezi saba Bado hawatagi naomba ushauli.

  • @mariamwaniwasa3005
    @mariamwaniwasa3005 2 роки тому

    Wakiwa wachanga huweki magazeti

  • @finiasezra1019
    @finiasezra1019 4 роки тому +1

    Mnapatikakana wapi

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Dar es salaam Mbezi beach au Buza

    • @finiasezra1019
      @finiasezra1019 4 роки тому

      Ninaitaji viranga aina ya saso box moja lenye viranga miamoja beigani niko chamazi

  • @amirykasanga2325
    @amirykasanga2325 3 роки тому

    Hawa kuku baada ya kuzalisha soko lake liko wapi?

  • @YonaEmanuli
    @YonaEmanuli 11 місяців тому

    Je kuku 40 nitawapa kiasi ngani chachakula chotala hao

  • @angelasudi710
    @angelasudi710 4 роки тому +3

    95%

  • @salumally1474
    @salumally1474 3 роки тому

    Kuku chotala kroila Kwan awezi kutotoa vifaranga mwenyew..?

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 роки тому +1

    Chakula cha starter unawalisha kwa miezi mingapi?

  • @catherinebayo4490
    @catherinebayo4490 2 роки тому

    Hao vifaranga ninao waona wako wangapi

  • @vendelinejacob479
    @vendelinejacob479 4 роки тому +3

    Vifaranga 50 wanatakiwa wapewe kilo ngapi?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Swali zuri.
      Ipo ratiba yao ya chakula njoo what's app nikuelekeze 0752209073

    • @marymwamfupe4937
      @marymwamfupe4937 4 роки тому

      Changamkia Fursa0752
      207083
      0752207093

    • @TurkanaMedia
      @TurkanaMedia 4 роки тому +2

      @@changamkiafursa asante kwa mafundisho

  • @hamisimusaa1698
    @hamisimusaa1698 4 роки тому

    Kuku wa kienyeji anatakiwa kupewa chakula cha aina ngan ili alete faida

  • @WambulaWambula
    @WambulaWambula Рік тому

    Mamb ynu mbn haiptikan naitji kujiung na glup yenu ya wasp

  • @nundabe
    @nundabe 4 роки тому

    Kunautofauti gani Kati ya kuku wa kienyeji na chotara???

  • @mosesedwardmagembe9657
    @mosesedwardmagembe9657 Рік тому

    Nahitaji kujiunga kwa group ya changamkia fursa. Nafanyaje.

  • @damaskisamalala9635
    @damaskisamalala9635 4 роки тому +1

    Kaka me naomba kujua kiasi cha pesa kinachoweza kukidhi mahitaji ya kuhudumia vifaranga 400/= vya chotara ikiwa banda na vyombo vyote vipo. Asante! Namba yangu ni 0757-589-831

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Njoo what's app 0752209073

    • @deo_gervas
      @deo_gervas Рік тому

      @@changamkiafursa haupatikani brother njo online

  • @abelraphael9746
    @abelraphael9746 4 роки тому +1

    Anko kifaranga 1unauzaje

  • @yussuftaimu986
    @yussuftaimu986 4 роки тому +1

    Nahitaji kujiunga
    Namba yangu ni 0748-01 5555

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Wale wote wanaohitaji kujiunga na darasa la ufugaji wa kuku la changamkia fursa, dara litaanza tarehe 10/6/2020. Usajili utaanza tarehe 1 -10/6/2020, kujisajili tuma elfu5 tigo pesa 0656528455 kisha tuma meseji ya jina na namba yako ya what's app.
      Karibu sana

    • @mohaisha
      @mohaisha 4 роки тому

      @@changamkiafursa Kama nipo Kenya nalipaje

  • @vendelinejacob479
    @vendelinejacob479 4 роки тому

    Naomba uniunge kwenye group namba yangu ni 0713783667

  • @hamzaibrahim2021
    @hamzaibrahim2021 4 роки тому +1

    Nawaomba muni add no yangu 0758008874

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Karibu Sanaa darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 9

  • @khamismussa1465
    @khamismussa1465 3 роки тому

    wadau mimi niliungwa katka grop ila kuna mtu alichonoa sim yangu akanifutia ili groop narudishwaje jina khamis mussa 0776188203