Nisomo zuri mimi mimi hapa nina makoo kumi namja na jogoo 2 shida inakuja wanapo taga wanpenda kutagia sehemu moja wanapigana na yule analalia mwngine anakuja palepaele mwisho wanaharbu mayai
Dah!!nimepnda sana somo hili,ila mi kuku wangu anatatizo la ugonjwa wa kuzungusha shingo je naomba kuuliza uwo ni ugonjwa gani na tiba yake ni dawa gn,msaada wenu wanandugu nauitaji sana
Pole sana, swala la kuzungusha kichwa ni pana sana kwa sababu ni ugonjwa zaidi ya mmoja unaomfanya kuku kuzungusha kichwa. 1. Ugonjwa wa mdomoni 2. Upungufu wa vitamin
Mkuu kwanza mm nimefurahi Sana kwa hii elimu hivyo ss ikibidi nipo na sehem ndogo Sana hapa nybani lkn nataka nifanye jitihada zangu zoote japo kku mia nimiliki acha niandae mazingira ilhali huku nafatilia hizi darsa zenu Asanteni Sana
Vipindi vyenu vimekuwa mchango mkubwa sana kwa ufugaji wangu wa kuku, nashukuru kwa masomo mnayotoa, natoka Kenya tafadhali naomba katika somo litakalofuata kupitia WhatsApp nijiunge nanyi, tafadhali nipe namba nitakayolipia pesa za kujiunga. Asanteni.
@@changamkiafursa # Mimi Niko navifanga ambavyo nimeviandaa maalmu kwakanuni yauleaji wavifaranga, siku 4 baadaye wataeneza siku 7 nawaza hapo naeza wapa chanjo ya new castle ndaitumiya piya kwa wale wakubwa? Na mulisemaka kama kuna yakutiya machoni nihii ya new castle ama VIP?
Asante kutufundisha Mimi ndo naanza ufugaji naomba ushilikiano wako sana nashukul
Nimejifunza, hongera nami nitafuga , nahitaji darasa lenu.
Mimi napenda sana
akhsanteni sana Mungu awabariki kwa elimu munayotupa
Mafunzo nimeyapenda
Yan we kaka asante kwanifunza ufugaji
Kazi nzuri sana
yan we kaka Mungu akubariki sana...Umenifunza ufugajiiiii aisee 🙏🙏🙏
Asante sana kwa comment yako
@@changamkiafursa soon ntajiunga huko darasan
Karibu, usikubali kupitwa na darasa la mwezi huu
Somo zuri sana
Ni somo zurii sanaa
Napendasan, kufuga
Nisomo zuri mimi mimi hapa nina makoo kumi namja na jogoo 2 shida inakuja wanapo taga wanpenda kutagia sehemu moja wanapigana na yule analalia mwngine anakuja palepaele mwisho wanaharbu mayai
Elim n zur
nashukuru kwa elimu uliyonipa
Napenda sana ufugaji wa wanyama
Nimefla sana
Jamani kuku ni wengi hadi raha
Naomba uniunge ili ninifunze zaidi hongera sana kwa Nazi nzuri
Karibu Sanaa ndugu
Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 9
Tunashukuru kwa elimu hii nimependa naomba kujua pumba yakuweka kwenye banda la kuku in dawa gani nipulizie na baada ya kuitandaza au kabla
Nimependa mradi
Ahsante sana
Jamani umeni inspire mno. Napenda hii kitu
Karibu Sanaa.
Nafasi bado ipo na soko ni kubwa
Ğyyygyy
Nice one
THANKS
Asante
Nimeipenda kazi yako
Asante dada Vicky
Tunashkuru kwa elimu
i also will like to learn this method to improve
So when I need knew every information what can do
Jamani naomba msaada kuku wangu wanataga mayai hayajakomaa kuku wa kienyeji
Ahsanteni
Tuko pamoja sana
Hayo matetea mbona makubwa sana nahitaji hyo mbegu
Interesting.....
Kufuga.
Sio kuishi na kuku
Niunge kwa darasa lako man npo tayari kujifunza kabla ya kufuga
Ahsante kwa darasa,,
Naipenda sana hii Channel
Napenda kupata elimu ya kufuga na ujenzi wa banda
Je darasa hili bado lipo?
Inapendeza sana
Niko kenya mji wa kilifi naomba muniuzie hio mbegu ya kuku mbilikimo wanauzwajee na nitatuma pesa ili nijiunge nanyi asante
Nimeipendaaa sana
Asante sana kwa mrejesho wako
Great job
THANKS Bro
Nimependa sana hii kazi
Tuko pamoja
Napatikana Congo alafu na pena kufata iyo masomo yakuku namba yangu ni+243 811832069,ni eleweshe sehemu munapatikana nikuje
Naomba kujua dawa ya VIFARANGA vina vidonda kwenye macho na baaye macho huwa yanaziba na wanashindwa kuona
Samahani Banda lazama like juu??
Tunaomba mawasiliano
Chanjo hizo ni sindano au marine machoni
Well seen facilitator
THANKS
Mnapatikana wapi
Elimu nzuri
Mimi nimechelewa jamn vip naomben msaad
Napenda kufuga, je mnatoa mafunzo kamili au mnagroup la Wattsup la kufundishia? Weka namba tukufate
GOOD JOB.. thank you
nimekuelewa sana
Real interested
Nataka njiunge Leo tarehe 19.07.2021
Karibu
Hello InshaAllah muko salama nafurahi kupata elimu kiasi
Kama mini nimkenya nahitlaji kujiunga kwa group ya WhatsApp ,nivipi naeza kujiung.shukran
Njoo what's app 0752209073
Pia Kuna sehem naifatilia hapo Tanga nikiipata tuh nahisi ndipo nitafungua mbawa ss shukra Sana mkuu
naomba kuuliza je? naweza kuchukua tetea wakinyeji na jogoo wachotara
Naimba niunganixhwe pia
Vifaranga navipataje?
Mm npo Msumbiji napitia sana masomo yenu,mpaka nas
Naitaji kuunganishwa na ilo darasa
Kuku wa kisasa na kienyeji chanjo zinafanana wakati wa kuwapatia
Naitaji mayai ya kutotolesha
Very educative and beneficial ideas
THANKS
Bravo
Simu yangu naitumia kuangalia audio yenu ya ufugaji
Ninaomba kujua namna yakujenga banda
Nimejifunza ipasavyoo
Dah!!nimepnda sana somo hili,ila mi kuku wangu anatatizo la ugonjwa wa kuzungusha shingo je naomba kuuliza uwo ni ugonjwa gani na tiba yake ni dawa gn,msaada wenu wanandugu nauitaji sana
Pole sana, swala la kuzungusha kichwa ni pana sana kwa sababu ni ugonjwa zaidi ya mmoja unaomfanya kuku kuzungusha kichwa.
1. Ugonjwa wa mdomoni
2. Upungufu wa vitamin
@@changamkiafursa Asante sana.
Tuko pamoja
Kaka ivi nikiwa na mtaj was lak tatu naweza Anza kufuga ushaur plz
Unaweza, japo itabidi uanze na wachache
Mm naitaji elimu zaidi ya ufugaji
Karibu Darasani
Mkuu kwanza mm nimefurahi Sana kwa hii elimu hivyo ss ikibidi nipo na sehem ndogo Sana hapa nybani lkn nataka nifanye jitihada zangu zoote japo kku mia nimiliki acha niandae mazingira ilhali huku nafatilia hizi darsa zenu Asanteni Sana
madarasa bado yanaendelea?
Kwanini kuku wangu wanakufa wakiwa vifaranga?
Sina mtaji ,Sina elimu, Nina eneo dogo ambalo ningeweza kulitumia kufugia,nifanyeje mtalaam.
Mimi ni mfugaji mchanga bado nahitaji mafunzo
Darasa litaanza tarehe 1 mwezi wa 10
good teachings. contacts p/se
Naomba niunge kwny kundi la wasap
O my God I love this
THANKS
Safiiii
Naomba kujua jinsi ya kutengeneza chakula mbadala cha vifaranga
Thanks
Niko kenya ningetaka namba yy nitatuma pesa ndio nijiuge nanyi
Nimeipenda
Tuko pamoja
Wakati wa kuatamisha chini niwatandikie nini
Duh ndio nakutana na hii video nikihitaji kujifunza inakuwaje
Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 9 na usajili utaanza tarehe 1 mwezi huo
Je! Nawezakupata mayai
Tafadhali mna weza kutuonesha namna ya kufuga vifaranga
Fatilia video zetu, tumeonyesha.
ua-cam.com/video/2ylukSfYAgU/v-deo.html
Safi
Hiyo dawa ya kideli inaitwaje boss
Naomba na mm niunganishwe nimependa hili somo
Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 9
Nataka kuulizia naweza kupAta mashine ya kutotolesha mayai 200
Vipindi vyenu vimekuwa mchango mkubwa sana kwa ufugaji wangu wa kuku, nashukuru kwa masomo mnayotoa, natoka Kenya tafadhali naomba katika somo litakalofuata kupitia WhatsApp nijiunge nanyi, tafadhali nipe namba nitakayolipia pesa za kujiunga. Asanteni.
Gt
🙌🥰
Nimependa sana masomo yenu naomba namba ili niweze kutuma pesa niunganishwe ili nipate Elimu kwa njia ya whasap.
Unawapa antibiotic ipi
Neoxychick formula, wakionyesha kuumwa nawapa trisulmycine
@@changamkiafursa asante Boss
Nilikuwa nauliza hawa ni aina gani wa kuku
Hapa munasema tukisha maliza darasa mutatuunganisha na group lengine?
Alafu Mimi nimepata elimu yakufugakuku wangu nikiwa nakukutayari, shida nikwamba kuku wangu hawakuwa napata chanzo ao dawa yoyote, kwasasa natamani kuwapa chanzo nianje VIP iliwasipate changamoto?
Kama ni kuku wakubwa wape Newcastle na baada ya siku 7 wape ndui
@@changamkiafursa # Mimi Niko navifanga ambavyo nimeviandaa maalmu kwakanuni yauleaji wavifaranga, siku 4 baadaye wataeneza siku 7 nawaza hapo naeza wapa chanjo ya new castle ndaitumiya piya kwa wale wakubwa?
Na mulisemaka kama kuna yakutiya machoni nihii ya new castle ama VIP?
Mafundisho ni mazuri yatanisaidia ktk ufugaji ninaotarajia kuuanza.
Ndio nataka kuanzaa,ufugaji
I like your teaching and I want the type of chicken
THANKS
Niko uganda.. How can you help me