kazi nzuri sana clam ukiachana na comedy hii nayo ni nzuri inatuelimisha vijana wapambanaji wapi huwaga tunakosea ukiacha changamoto za ugumu wa life kitaa
Ni bonge la movie na ukituliza akili Ina bonge la ujumbe kwenye maisha halisi tunayo ishi na hapa ndo utagundua utajiri ni Siri ngumu na inahitaji kuwa na roho ngumu sana mfano Clam amepata utajiri ila anaweza kusaidia majirani lakini anashindwa kumsaidia mama yake Mzazi hivi familia inayokuzunguka itakuelewaje na wanajua ww ni tajiri
Leo ndio nimepata muda wa kuangalia mwanzo hadi mwisho, nime'enjoy, nimefurah, wote mmefanya vizuri sana asee sana sana, msela wake kipara nimemkubali sana 😂
Huyu bingwa mbona kama kanumba😢 Ndio maana utapata matajiri wako na roho katili wanasahau Hadi wazazi wao walio walea kumbe Kisha ni vyama😢 MOLA ANIPE HIKMA NISIISAHAU FAMILIA YANGU NA NILIPOTOKA🤲🇰🇪💞🇰🇪🇰🇪
Nimejifunza kitu kwa hii movie yani hiki chama ni bora usaidie watu wainje kuliko watu wako ghai heri nife hivo kuliko niwe tajiri na mamangu hana chakula😢😢
Clam na timu yako mmefanya kitu kizuri sana Quality, keepItUp inafurahisha, inafundisha na inaonya pia usikate tamaa kwa changamoto unazozipitia kuanzia production na team nzima , #BOSS ♥️🔥
movies zenu zote nimeziappreciate hongereni sana asei kila season ambayo mmetoa nyie naipenda asei me sio mpenzi wa bongo movies lakin zakwenu nimezipenda sana mpo vizuri jamn
My family my life, that's my lesson learned , thanks clam and the team, tamaa ya pesa iniishe in Jesus name 🙏🏾,❤❤❤ from kenyaaaaaaaaaaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
dackar ameshangaa sana ni kweli haingii akilini mtumishi wa namna ile duu hongera dackari pia kwa waliocheza wote maana tumewazoea kwenye comed lakini hii ni lubwa kuliko na nitam mnoo bigup bongo movie
wakwanza leo jamani from drc Congo 🇨🇩🇨🇩 naombeni like zangu musiwe wa choyo
Mwakatobe ana vaibu sana kwenye hii move😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂ako na experience
😂😂😂😂😂nimecheka pale makabulini
anaviaibu halafu anakuchana ukwel mkavumkavu😆😆😆😆😆😆
Zuchuuuu tu😂
Mwakatobe ananifanya nirudie Mara 2 2 hii movie
Hii movie imenifundisha vitu vingi sana, HONGERA KWENU WOOTE MRIO SHIRIKI.💯💯💯
KUTOKEA 🇹🇿.
Asante san
Mwakatobe: mkuu mwenzio sijisikii vzr najisikia kufakufa yani kama nina UTI 😂
😅😅😅
Clam Hana kaazi mbovu nani anabisha❤😂
Wee neng'enekaaa tuu...utauponza, mwakatobe shikamoo 😂😂😂
😂
Binafsi nilikua simuelew clam ila hii movie imefanya niwe miongon mwa fans wake good job🔥
Ni kweli amekuja kitofauti sana kwa hii move
Hii ndio bongo Sasa 😂😂😂 safi kabisa angalau mnaturudisha kwenye ubora wa zamani l love bongo movie, mzidi kutuboreshea kazi hizi, Martin nikiwa Kenya.
Leo me wakwanza jamani kwa hii season ya kwanza wap like zenu mnaompenda @clam vevo
Umenoga Leo kuiweka full , big up mwandaaji na washiriki wa BIG BOSS tunasubiri SEASON 2
kazi nzuri sana clam ukiachana na comedy hii nayo ni nzuri inatuelimisha vijana wapambanaji wapi huwaga tunakosea ukiacha changamoto za ugumu wa life kitaa
Fact
😢😢😢hii move ni fundisho kwa watu wote usiwe na roho nzur kupitiliza na usiwe na roho mbaya kupitiliza
fanyeni haraka mtuletee season 2 plz maana so kwaukali huuu daa asei bid up sana and good job
Wote tulioenjoy BIG BOSS seasson tujuane kwa likes hapa,mi nimeenjoy sanaa vp wew❤🙌🙌
😂Dude hili hapa full kddk
ua-cam.com/video/wMQV7d-Y2EU/v-deo.html
Respect bro gaga-bizzo frm burundiano❤❤❤
Jaman mm ndo wamwisho leo naomba likes zangu😄😄
Ni bonge la movie na ukituliza akili Ina bonge la ujumbe kwenye maisha halisi tunayo ishi na hapa ndo utagundua utajiri ni Siri ngumu na inahitaji kuwa na roho ngumu sana mfano Clam amepata utajiri ila anaweza kusaidia majirani lakini anashindwa kumsaidia mama yake Mzazi hivi familia inayokuzunguka itakuelewaje na wanajua ww ni tajiri
Unafatiliya Big Boss Ukiwa Wapiiii❤❤❤❤❤
Wa kwanza nipeni like zangu from 🇧🇮 😆😆😆😆
Mmeamua kutuwekea full 😂😂😂bado tunasubir season 2
Leo ndio nimepata muda wa kuangalia mwanzo hadi mwisho, nime'enjoy, nimefurah, wote mmefanya vizuri sana asee sana sana, msela wake kipara nimemkubali sana 😂
Kuna season 2 maana hii movie nzuri Sana unafanya kazi nzuri Sana clam
Kivumbi leo 🔥🔥🔥hii movie Kali sana 🔥💪 clam
Ongera sana kaka umepiga atua kubwa sana Kwa kuungalisha big boss kua single move
Future kanumba!!! Clam unaigiza vizuri jaman ❤😊
Huyu ni Kanumba mpya
Watanzania Kwa hii movie mmetisha sana❤❤❤, nipeni subscription angalau nifike 1k subscribers
Hivi Kanumba karud
Season nzuli
Unatokea nchi gani kaka?
@@Elizabeth-my2yx 😂😂😂
Wakwanza leo kutoka Tanzania kama unamkubali Clam vevo weka like apa tujuane ❤❤
Wa kwanza kwa BIG BOSS LEO HOPE NI 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💯💯💣💣
Hapo lazima niwepo Big boss sison 2 good job nipo Kenya sehem almarufu kama mtwapa kilifi county
❤
Waa ,, the best movie 😂wa TZ mnatubamba sana ... Kenya tuko na nyinyi unyo unyo
hahahah eti unyounyo tunawapenda pia ndugu zetu
Wakwanza wapi likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love Kwa clam vevooo kanumba wetu ❤❤
Wadau tujuane ambao tunaikubali BIG BOSS NAOMBA LIKE ZENU❤❤❤💯💯💯
Asante Sana kwa mafundisho sitokuja kutamani viatu alivyo vivaa mwenzangu kwani akinipa Mimi nivae avito nitosha
Nimejifunza kuwa watu hawahitaji wema tunao wafanyia.......😢
Kbs
Kweli kabisa
Kweli kabisa
❤🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇭🇲 kwanza Leo ni mimi naomba like zangu
ua-cam.com/video/upSIEbNVaLA/v-deo.html
🎉🎉🎉
Marrio
Good
Huyu bingwa mbona kama kanumba😢 Ndio maana utapata matajiri wako na roho katili wanasahau Hadi wazazi wao walio walea kumbe Kisha ni vyama😢
MOLA ANIPE HIKMA NISIISAHAU FAMILIA YANGU NA NILIPOTOKA🤲🇰🇪💞🇰🇪🇰🇪
Jamani hii movie naielewa sana zaidi ya sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kaka nimeifuatilia tangu awali mpaka sasa mmetoa season 1 hongereni 💪🔥 ,mungu azidi kuwapa maarifa zaidi katka kazi za mikono yenu .#clame vevo
SESSION MMEPIGA MASAA MAWILI MKIUNGANISHA DAKIKA KUMI NA TISA TISA,UNYAMA UO MNATISHA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani clam umecheza vizuri.mimi napenda Sana movies zako.mimi fan wako kutoka Kenya
Big up sana mmenifanya kidogo nifrahie move za kibongo maana mmezingatia Kila kipengele ongere sana Wana wote WA big boss
washabiki wa clam vevo tujuane mahali tunatoka mmi kutoka kenya cheza na sticker 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪
CLAM VEVO.... season 1 imekua moto w kuotea mbli... hope season 2 itakua zaidi
Barikiwa kwa kazi nzuri binafsi nimejifunza mengi
Wa mwisho kuiona Big boss full movie😢 clam unatisha sanaa blaza
Tupeni tena season 2 imepoa haiozi💪🔥👊.
Dah nlijuwa seson2😢mbona unatutesa clam kila ck tunaeka bando kw ajili yko
😂😂😂
Hakuna movie iliyonitoa machozi Kama hii oyaa nmejifunza vingi sana oiii CLAM VEVO keep up bro
Kutoka Kenya 🇰🇪 nimeiangalia nikiwa Saudi Arabia good 👍 job clam Vevo Allah azidi kuku bariki na akutangulie kwenye kazi nzuri zaidi ❤❤❤❤❤
Number one ku angaliya big boss ❤
Wapi likes za mwakatobe
Kwa hii filamu nimejifunza kama mungu hajanipa utajiri Bora niwe maskin mpaka mwisho wangu
Kanumba is back kupitia clam..sasa naweza keti nikatazame bongo movie kwa umakinifu.
wakwanza leo mim nipen likes
Haya bwana
Unakula like au
Yaani nimefunguwa kwa haraka nafkir tunaendelea na episod ya 2😢
Mimi pia😂😂
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Nimejifunza kitu kwa hii movie yani hiki chama ni bora usaidie watu wainje kuliko watu wako ghai heri nife hivo kuliko niwe tajiri na mamangu hana chakula😢😢
Mwanangu nna ugwadu mwakatobe ovyooo chefuuu unawashwa wewe😂😂😂😂
Leo wa Kwanza naombeni like zenu hata kumi tu
Nakubali hii filamu am from Kenya
Dah mwamba umetsha sana namuona kanumba upya hivyo basi naimani nitamuona magu pia mda utaongea tu
Great job umenifanya nirudi kwa bongo movie waiting for season 2 🇰🇪🇰🇪 bongo movie is back
Kama unamkubali clam gonga like hapa
Hivi ndio nilitaka asante kwa kuskiza ombi letu movie hatari kwakweli...
From kenya...plz prepare the second season earlier you can....among them you deserve to be included and congratulated 👍👍👍
Clam na timu yako mmefanya kitu kizuri sana Quality, keepItUp inafurahisha, inafundisha na inaonya pia usikate tamaa kwa changamoto unazozipitia kuanzia production na team nzima , #BOSS ♥️🔥
Jaman mtu anisaidie jina la huyo doctor... Natafta movie yake ingine hapo siijui jina mybe Niki search na jina lake kamili naeza ipata please
Big Boss mmetisha sana na nmeipenda kazi yenu hongera sana❤❤🎉
Movie nzuri sana tena yenye mafunzo mengi haswaa kw vijana❤❤🇰🇪
Naona mmeonganisha episode zote kuwa moja me nilijua mtaanzia pale mlipoishia sijaenjoy hata kidogo
THIS IS LEGENDARY,,,THE TANZANIAN FILM KING RIGHT NOW,,KENYA LOVES YOU❤,,,I CAN SEE AND TELL THE WORK PUT ON HERE,,PURE GRACE BRO CLAM 🔥
Right now this guy is doing very well in the film industry we're proud for having him in our nation
I'm Big fan for you Big Brother... Always from Burundian boy 🇧🇮
🇧🇮🇧🇮😜🌹🌹👇👇👇🌹🌹www.youtube.com/@guenstoryhero
We are waiting for a season 2 of big boss.
RAJA from D.R.Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wale wapenzi wa full season ya Big Boss tayari hukuu Mambo yametik. Kama unasoma comment huku ukiangalia weka like 😂😂😂
Mi naishiya apa nasubiri season 2
😂😂😂😂🤣🤣
Orally
@@AsAs-lj4ob aclam umetisha mwan
@@AsAs-lj4obcbsgey
Eti nani anaweza kulicheza sagarumba 🤣🤣🤣
Watu hamjui tu ila huyu clam the man is genius a hundred percent nimejifunza kitu life is valuable than everything
IMAGINE I VAVE SPENT TWO HRS ONLINE BECAUSE OF YOU CLAM VEVO KEEP IT UP THE GOOD WORK
Waiting for season 2, nzuri kabisa sijawahi ona clam vevo akiwa serious ivo
Wangapi tumeanza upya BIG BOSS season 1 huku tumeshaangalia mpaka sehem ya 11 gonga like tujuane😊😊
Wanatufuruga 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
movies zenu zote nimeziappreciate hongereni sana asei kila season ambayo mmetoa nyie naipenda asei me sio mpenzi wa bongo movies lakin zakwenu nimezipenda sana mpo vizuri jamn
😂😂😂Tupo baba
Mbn hataki kusaidia watu wakwao hats mamake hamwonei hurumaaa hapa kunamaana fichee kweny juu utajiri wakeee
I like it ,,,its good combination of all the episode,,good work.
Waiting season 2,please
A very nice and educational movie waiting for season 2
But guys you need to add subtitles in your movies cz some people don't know kiswahili
At shirika la msaada limehamia kwetu😂😂😂
RIP dada mwenye comwe pis yabkichawi 😂😂😂 mwakatobe analiona jeneza nyuma yako 😂😂😂😂🎉❤
😂😂😂😂😂
😅😅😅
Better late than never clam vevo the big boss ...going far mnyama watishaaaa💥💥💥💥💥↗️💗💗 one love to clam vevo wadau wangu....
Big love from Kenya vevo to the world
Clam hawezi ziba pengo la kanumba lakini bigUP kwa kazi poa 👍 achunge asi ingine huko☠️😈
Akikaza anaweza kuliziba na kufanya makubwa zaid kuliko hata huyo Kanumba
Big boss ni bonge ya move na inamafundisho mazuri sana big up clam🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like kwenu jamni
Wa kwanz 😂❤❤ big up Clam Vevo 🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna mchawi mmoja uyo anayemwita mwenzie Zuchu kajua kunivunja mbavu 😂😂
😂😂😂
Ninzur sanaa😊 tunaomba mwendelez jaman😊😊😊😊
Big up clam, I'm proud of you all. from DRC
😂😂😂makatobe uko vizuri my bratha😂😂🎉
We are waiting for the Season 2🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩WE love you ✌️
Hongera kwa wahusika wote hii movie ina mafunzo mengi muno,Clemvevo pongezi kwako,much love from Kenya 💖💖💖
My family my life, that's my lesson learned , thanks clam and the team, tamaa ya pesa iniishe in Jesus name 🙏🏾,❤❤❤ from kenyaaaaaaaaaaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
We can't wait season 2 aki
Am still waiting for seson 2,,,,hongera saana kwa mafunzo yenu👏👏👏
Mamaweeee komwe kama school bus😂😂😂😂😂
Nasemaje Nnasemajee Kama umemkubali CLAM nipe like zangu
Much love from kenya🇰🇪
We love u our good neighbor
Tuletee moto 🔥🔥🔥zaid ya hii jmn clam mob love 😘❤
Aisee hii movie nlkuwa naisubria sana big up
dackar ameshangaa sana ni kweli haingii akilini mtumishi wa namna ile duu hongera dackari pia kwa waliocheza wote maana tumewazoea kwenye comed lakini hii ni lubwa kuliko na nitam mnoo bigup bongo movie