THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

КОМЕНТАРІ • 107

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 місяці тому +4

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @Yegon254
    @Yegon254 4 місяці тому +10

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 4 місяці тому +12

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 місяці тому +3

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @qserick7799
    @qserick7799 4 місяці тому +6

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @mutumbaroni7546
    @mutumbaroni7546 23 дні тому

    The best verse in bongo flava histry is from Jay moe on Jirushe

  • @thomasshello8138
    @thomasshello8138 4 місяці тому +3

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 4 місяці тому +1

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb 4 місяці тому +6

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

  • @kelvinkalangasa4454
    @kelvinkalangasa4454 4 дні тому

    Jay mo unajua sana 🎉🎉🎉

  • @Don_mountana
    @Don_mountana 4 місяці тому +1

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa 4 місяці тому +4

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

    • @jumazahoro3537
      @jumazahoro3537 4 місяці тому +1

      Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

    • @joelasu2984
      @joelasu2984 4 місяці тому +1

      D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

    • @amandusmark3060
      @amandusmark3060 3 місяці тому

      D tayari.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 3 місяці тому

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 4 місяці тому +4

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama1930 4 місяці тому +3

    return of supermen..!!

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 4 місяці тому +2

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 місяці тому +2

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 4 місяці тому +2

    My best story teller

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 місяці тому +1

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa 4 місяці тому +1

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @gnmbi
    @gnmbi 4 місяці тому +6

    Mchopanga azeeki

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 місяці тому

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts 4 місяці тому +3

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 4 місяці тому +2

    My role model mbakiaji

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 4 місяці тому

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 4 місяці тому +1

    Appreciation Kwa jay more

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 4 місяці тому +2

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe6943 4 місяці тому +1

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 4 місяці тому +3

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

    • @2116-n
      @2116-n 4 місяці тому +2

      Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 3 місяці тому

      Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 4 місяці тому +1

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 4 місяці тому +2

    SO FAMOUS

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 4 місяці тому +1

    J mo brain in the house

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb 4 місяці тому

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 місяці тому +1

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 4 місяці тому

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 3 місяці тому

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 4 місяці тому +1

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 3 місяці тому

    One of my idol

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 4 місяці тому

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

    • @mabudaissere2295
      @mabudaissere2295 4 місяці тому

      Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 4 місяці тому

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 місяці тому

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 4 місяці тому +4

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 4 місяці тому +1

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 4 місяці тому +1

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 4 місяці тому +1

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx 4 місяці тому

    The story teller himself mo the classic

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm 4 місяці тому +1

    Best interview,hongereni sana

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws 4 місяці тому +3

    Mo saluti xana kk

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 4 місяці тому

    LEGEND 🤟

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr 4 місяці тому +2

    Damme pind liko moto Sana

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 3 місяці тому

    Superman

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 4 місяці тому +2

    🔥🔥🔥👊

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 4 місяці тому

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 4 місяці тому

    Best Interview 2024

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 4 місяці тому

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
    Story 3

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo 4 місяці тому

    Big up sana Jay

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 4 місяці тому +2

    Anko MO

  • @Kitaautange
    @Kitaautange 4 місяці тому

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni 4 місяці тому +1

    one of the best MC in this industry

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 4 місяці тому

    Noma

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 4 місяці тому

    Tumemsubiri sana hyu

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 4 місяці тому

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 місяці тому

      Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 4 місяці тому

    Moe 🙏

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 4 місяці тому

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu7121 4 місяці тому +1

    💪

  • @astonchiba5037
    @astonchiba5037 4 місяці тому +1

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

  • @sokastreet
    @sokastreet 4 місяці тому

    So famous

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 4 місяці тому +1

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 місяці тому

      Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @marcowelano2245
    @marcowelano2245 3 місяці тому

    aisee sina deni

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 4 місяці тому

    Naaam 😅 moo technic

  • @iddbahati5245
    @iddbahati5245 4 місяці тому +3

    Guys who is evid??

  • @Chemba67
    @Chemba67 4 місяці тому +1

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 4 місяці тому +2

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 4 місяці тому

    Top 3 dead or alive

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 4 місяці тому

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @2116-n
    @2116-n 4 місяці тому

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 4 місяці тому +1

    Pop corn zije

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q 4 місяці тому

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 місяці тому +1

      Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

    • @2116-n
      @2116-n 4 місяці тому

      ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 4 місяці тому

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 місяці тому

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 місяці тому

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 місяці тому

      Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 4 місяці тому +2

      English haiepukiki punguza ushauri

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba7125 4 місяці тому

    Bonge ya madini