THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK
Вставка
- Опубліковано 6 вер 2024
- Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.
Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥
Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller
Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️
Agreed 💯%
Hakika...utamsikiliza penda usipende
Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿
Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother
The best verse in bongo flava histry is from Jay moe on Jirushe
Bonge moja la show, Mo is the best
Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!
Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku
Jumamosi inaanza saa 8 mchana mkuu hadi 11 jioni
mr kuvi
Jay mo unajua sana 🎉🎉🎉
Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo
Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....
Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man
D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢
D tayari.
BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE
Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.
return of supermen..!!
J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅
Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂
My best story teller
Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥
More technics, more flavour, hatari fire 🔥
Mchopanga azeeki
Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo
Super Men.... Hii nimeisubir sana
My role model mbakiaji
Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.
Appreciation Kwa jay more
My brother my cousin Jay Moe ✊🏾
Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤
Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk
Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia
Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️
Top 5 dead or alive, mo technix
SO FAMOUS
J mo brain in the house
Eh Jay moe ni story teller mzuri sana
Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉
#Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌
Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary
One of my idol
Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai
Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.
Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿
Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤
Yaap man ✌
J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,
Umeiweka kikubwa sana hii 😊
Juma mchopanga, nakukubali brother
Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.
Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records
The story teller himself mo the classic
Best interview,hongereni sana
Shukran sana
Mo saluti xana kk
LEGEND 🤟
Damme pind liko moto Sana
Mzuka sana kaka
Superman
🔥🔥🔥👊
Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange
Best Interview 2024
Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
Story 3
Big up sana Jay
Anko MO
Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali
one of the best MC in this industry
Noma
Tumemsubiri sana hyu
Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.
Haha mzee umepambana sana 🙌🏾
Moe 🙏
Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.
💪
Moho mbakiaji🔥🔥💪
moe mbakiaji😊😊
So famous
Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua
Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa
aisee sina deni
Naaam 😅 moo technic
Guys who is evid??
Ni Heavy D
Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣
Hahaha noma bro
Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.
Top 3 dead or alive
Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅
Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂
Pop corn zije
Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??
Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio
@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu
Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.
interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.
🙏🏾
Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi
Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀
English haiepukiki punguza ushauri
Bonge ya madini