Kwakweli Maalim anakubalika saana,na mpenda Amani saana,angekua sio mpenda Amani zanzibari kungekua na machafuko tangia 2005,lakini kila likitaka kuanza vuguvugu la uvunjifu wa Amani huko visiwani,Maalim anawatuliza vijana wake Tumpe pongezi maalim 👇🏽kwa kugonga LIKE
Hawa wazanzibari ni watu wa aina yake. Wana umoja , na ndio nguvu zao. Na huyu Seif wanamuamini sana. Nadhani kwasababu ana maisha ya kawaida, hana utajiri juu ya kua alikua serikani nafasi nyingi kubwa za kuweza kumtajirisha kama engeamua kuiba kama wengine.
Cali Mahad Huyu ndiye mzalendo angechukuw pesa akajaza Tumbo lake kizanzibar chenyew kimepokonywa kila kitu ety 7bu muungano ungezan tungefikia wapi Maalim ndiy mkomboz wetu hili tunaliamin na ndio maan tunamuunga mkono
Nimeirudia hii na kusoma comment ila maneno yako yamenigusa na kunitowa machozi hakika tumeondokewa na maalim wetu mpenda amani na utulivu allah amughufirie na amrahamu
Haq siku zote haikai pamoja na batili .nawapongeza wafuasi halali wa CUf kuhamia ACT . Na waliosalia Cuf ,mungu atawapa miono nao wamwachie lipumba chama cha cuf
zito kwa heshima uliyopewa itabidi ufie ACT Hata waje na mabilion Usijaribu Migogoro jifungieni chumbani mmalizane msituletee migogoro kwenye midia Cuf imekufa kwasababu ya migogoro.
HAYA MAPUMBA NA WALIYO KUTUMA KU UWA CUF,SALAAM NDO HIZO,KAMA WATU WALIDANGANYWA KUWA CUF NIYA MAPUMBA,SASA WAMEJOONEA WENYEWE UKWELI ULIVYO KWAMBA CUF ILIKUWA YA WANA ZANZIBAR NA MAALIM SEIF.MAPUMBA NA WALIYO KUTUMA FANYA HIMA KUA NDAA JENEZA LA CUF HARAKA IWEZEKANAVYOO!!!
Mtume saw anasema Allah akishampenda mtu huwambia malaika wake na nyny mpendeni kisha huwambia wanadamu wote mpendeni na kweli wote wamempenda ama kwel Allah amejazia mahaba ya wazanzbar kwa maalim seif, sasa salamu kwa ww mjnga lipumba uliochukuwa heruf cuf tunakwambia chama cio jna bali ni wananxh sasa keshokutwa huna tena wabunge jee ruzuku utapata wap imekula kwako ss tuko na maalim wetu rais wa Zanzibar na kipenz xhetu pumbavu wa chezea seif ww, lipumba nakwambia ktu ukishndana na maalim seif utaumia kama huwamin muulizen baba wetu Nyerere
Ahmed unaniliza ndg yko sana nikiisoma hii mesej yako ni ukweli mtupu na in sha Allah atakaetupa mamlaka yetu wa zanzibar ni Allah na sio ccm madhaalim makaafir wakubwa
Hakuna dalili ya kuwa Zitto aweza kuhongwa.Ni mtu mwema na ana Ikhlas kubwa,Uso wake una nawiri.Allah amempa hini massive support ya Maalim na walikuwa cuf kama Nusra na Zawadi kutoka kwa Maulana Mwenye Enzi Mngu.. Sema wasikae kimya tena kwa maonevu ya Ccm kama hapo miaka ya awali. Wajitetee.Wala wasende kwa wazungu ambao waangalia maslaha yao tuu. Watahadhari na Cuf ya Lipumba kupewa serikali kiharamu baada ya election.
Hapa bunduki yangu moja nimeiona Bonifasia Mapunda lakini kuna ile rocket ron yangu sijaiona inaitwa Kulthum Mchuchuli iko wapi ile?hawa wawili nilikuwa napenda nionane nao inshaallwah katika maisha yangu niwape mikono ni waamkie lakini tatizo ni ulimwengu wa kwanza tena kwa muda mrefu,mimi politics it's ma food okay?all the best makamanda wangu hakuna kurudi nyuma sawa?
Wimbo huu ni hatari. Zichanganywe nyimbo zote CCM zilizoimbiwa na Wanamuziki wote zikipigiwa kura zitaachwa mbali kama mbingu na Ardhi ......msiwafungie kwa sababu tumeupenda wimbo wao....ni wimbo tu.
Hii ya VIJANA wa Micheweni kuipa zawadi ACT nimeipenda mno kwakuwa wametuma ujumbe mahususi kwa maadui wa ACT na mzee Maalim Seif kwamba anakubalika zaidi ya mahasim wake
Wamicheweni si mliahidiwa kiwanda cha samaki na boti za uvuvi za kileo nyiee muulizeni sheni pengine kasahau msije mkamlaumu kapitikiwa labada mjukumu ya kaza
Juma Kapilima kwani tumekataaa cc? c nd nkakwambia atapata mamaako au na mamaako pia humpi? mana mtu hamtombi mamaake bdo akabakia kuwa mtu we ktk watu asa humo tna..
Nah nyie wa micheweni mbona hamja dai ahadi zenu kwa rais wenu au mme sahau alipokuja kuwaambiya msiwe na wasi wasi mambo mazuri yanakuja na ahadi ya kujenewa kiwanda cha kusindika samaki na boti za kileo na muda unamkimbiya yaani ana mwaka unusu sasa shuweni
@@allymahmoud9951 powa bora uwakumbushe maana wana tabia ya kusahau waliahidiwa kiwanda cha kusindika samaki na boti zauvuvi wa kileo kule micheweni mpaka sasa shuwain mda una mkimbiya bado jii wewe washituwe ukoo
Hongera sana Zanzibar very nice ewe allah tujalie kheri tufungulie nuru wazanzibari Zanzibar kwanza hongera malim seif kwa kwa msimamo mzuri hongera zito karibu sana Makunduchi
Hata mbuyu ulianza Kama mchicha. Kwa Mara ya Kwanza kuiona Act wazelendo ilikuwa Ni songea kwenye uzinduz wa chama hicho. Hakika hata mim mwana ccm mlinikonga moyo kwa Sera za chama. Hongera leo Zanzibar mmepata ukomboz na mtashika dola. Mapinduz ya kweli naamini ni kwa Act Zanzibar sasa.
@@suleimansuleiman5498 tushaipata hiyo story yake uongo mtupu,jumbe jumbe maalim hakumfanya chochote,mtu akitaka ileta haki juu anazushiwa majanga haya na haya,walianza Mitume,na tunajua historian zao,haki wkiileta juu basi anazushiwa kila aina ya balaa,kwa
Kwakweli Maalim anakubalika saana,na mpenda Amani saana,angekua sio mpenda Amani zanzibari kungekua na machafuko tangia 2005,lakini kila likitaka kuanza vuguvugu la uvunjifu wa Amani huko visiwani,Maalim anawatuliza vijana wake
Tumpe pongezi maalim
👇🏽kwa kugonga LIKE
👍👍👍
Anakubalika kwa sera zipi ? Ubaguzi hauwezi kukufungulia njia ya kuwa mtawala ...
Salum Mussa pole yako,kama unazijua sera wewe,ungeshikamana na Hayati Moringe kwa kutetea Ujamaa Na Kujitegemea🚶🏻♂️
eweeee mwenyezii munguu mpeee afiaaa njemaaa maalim seif
Daaah!!!! Mpaka raha jamani. Viva Maalim Seif Viva brother Zitto,Viva ACT.
Umetutoka kipenzi chetu😭😭Daima tutakumbuka💜💜
I am happy for them. Wameonyesha ukomavu wa hali ya juu. Bara tungekuwa kama wao nchi ingekuwa thabiti.
Hawa wazanzibari ni watu wa aina yake. Wana umoja , na ndio nguvu zao. Na huyu Seif wanamuamini sana. Nadhani kwasababu ana maisha ya kawaida, hana utajiri juu ya kua alikua serikani nafasi nyingi kubwa za kuweza kumtajirisha kama engeamua kuiba kama wengine.
Cali Mahad
Huyu ndiye mzalendo angechukuw pesa akajaza Tumbo lake kizanzibar chenyew kimepokonywa kila kitu ety 7bu muungano ungezan tungefikia wapi Maalim ndiy mkomboz wetu hili tunaliamin na ndio maan tunamuunga mkono
😎
Nimeirudia hii na kusoma comment ila maneno yako yamenigusa na kunitowa machozi hakika tumeondokewa na maalim wetu mpenda amani na utulivu allah amughufirie na amrahamu
Haq siku zote haikai pamoja na batili .nawapongeza wafuasi halali wa CUf kuhamia ACT . Na waliosalia Cuf ,mungu atawapa miono nao wamwachie lipumba chama cha cuf
HILI Bongeee la Gomaa Maalim Seif Oyeee Oyee ulipo tupooooo
Asante nimeipenda sana kaswida
Asanteeeeeee maalim, tuko pamoja....
Nusra inakaribia Zanzibar. Allah hawezi kuwapa mtihani msiouweza pigana mpaka nusra iwafikie
زقل جاء لحق وزحقالباطل.ان الباطل كان زحوق hakika kuondoka kwa maalim seif Cuf ni jambo kubwa .ni jema sana.
zito kwa heshima uliyopewa itabidi ufie ACT Hata waje na mabilion Usijaribu Migogoro jifungieni chumbani mmalizane msituletee migogoro kwenye midia Cuf imekufa kwasababu ya migogoro.
mungu awasaidiye vijana wa maalim
Gonga like kama hili goma halikwishi hamu kulisikiliza jamaa anatisha huyu
Machozi yananitoka kwa furaha jamani ulipo tupo haturudi nyuma
allah akulinde maalimu seif haasad na mabaya yote amn
Amiin YAARABIY
Tukopamoja.samahani.kamaitawezekana.nituminambayako.naitaj.nizungumze.naww
Hadi raha km ndio akashatangazwa vile yaani maalim nazito mungu awazidishe upendo yarabi walinde viongozi wetu
Yaan mwili unanisisimka Kwa furaha in Shaa allah munguuuu yupo pamoja nasi kila kitu ni mipango ya allah
RIP CUF ILA MIMI NI CHADEMA
😂
Dah hadi raha mpk mwili unaccmka love all
HAYA MAPUMBA NA WALIYO KUTUMA KU UWA CUF,SALAAM NDO HIZO,KAMA WATU WALIDANGANYWA KUWA CUF NIYA MAPUMBA,SASA WAMEJOONEA WENYEWE UKWELI ULIVYO KWAMBA CUF ILIKUWA YA WANA ZANZIBAR NA MAALIM SEIF.MAPUMBA NA WALIYO KUTUMA FANYA HIMA KUA NDAA JENEZA LA CUF HARAKA IWEZEKANAVYOO!!!
yani dah machoz yafuraha yananitok Kwa furaha Ilove Zanzibar very much hatunaga shida
sahim albatawy me too love zanzibar
safsana maaliim
Pamoja cn wa zalendo wenzangu
Niko tarime kata ya sirali swali langu wafuas wa lipumba wanaoonaje hiooooo
safiiii sana good question. watoe jibu sasa
Mtume saw anasema Allah akishampenda mtu huwambia malaika wake na nyny mpendeni kisha huwambia wanadamu wote mpendeni na kweli wote wamempenda ama kwel Allah amejazia mahaba ya wazanzbar kwa maalim seif, sasa salamu kwa ww mjnga lipumba uliochukuwa heruf cuf tunakwambia chama cio jna bali ni wananxh sasa keshokutwa huna tena wabunge jee ruzuku utapata wap imekula kwako ss tuko na maalim wetu rais wa Zanzibar na kipenz xhetu pumbavu wa chezea seif ww, lipumba nakwambia ktu ukishndana na maalim seif utaumia kama huwamin muulizen baba wetu Nyerere
Ahmed unaniliza ndg yko sana nikiisoma hii mesej yako ni ukweli mtupu na in sha Allah atakaetupa mamlaka yetu wa zanzibar ni Allah na sio ccm madhaalim makaafir wakubwa
Zito usije ukapewa mamilioni ukaja ukawasaliti wa zanzibari weka heshima yako
Hakuna dalili ya kuwa Zitto aweza kuhongwa.Ni mtu mwema na ana Ikhlas kubwa,Uso wake una nawiri.Allah amempa hini massive support ya Maalim na walikuwa cuf kama Nusra na Zawadi kutoka kwa Maulana Mwenye Enzi Mngu.. Sema wasikae kimya tena kwa maonevu ya Ccm kama hapo miaka ya awali. Wajitetee.Wala wasende kwa wazungu ambao waangalia maslaha yao tuu. Watahadhari na Cuf ya Lipumba kupewa serikali kiharamu baada ya election.
Uliporudi tupo ila sisiemu sipoo
Kabisa
@@ahmedrashid6629 umeiyona hio uko vizuri
Kwakweli akijafanya hivyo hatutamsamehe milele
Beautiful nduguzagu wa Zanzibar. Popote.together. wa.Zanzibar. tupendane
Mimi sina chama lakini ACT naikubali mara elfu ulela ulela kuliko chama katili CCM. Tz inalia😭😭😭😭
Msajili akisikia wimbo huu si utamtia hasira zaidi na anaweza kuifutilia mbali A.....
Zanzibar dah Machozi yananitoka nikiona inavyodidimizwa
Wanaume zanzibar siwaoni nahuku bara wana wake htuwaoni ktk mapinduzi zenji mkojuu
Maalim seif baba allah akueke ukae uwe dawa utufae amin
Ningejua ningelioa zbr
Duhhh kwel Act wameokota dodo chini ya mnazi
hilo kweli dodo chini ya m'nazi sawa?
Nelson Ngemera hahahahaha
Lipumba ukowapi sikiliza hilo taarabu maalimmaalim waooooo
Mola amlinde kiongoz wetu na kumpa anachostahiki ammin
Raha ilioje popote pale ulipo nasisi tupooooo ACT oyeeeeeee
Oyeeeee.samahan.dadayangu.kamaitawezekana.naitajinambayako.naitaj.nizungumze.naww
mimi si mana siasi ila hapa nimepitia hiii kweli nyumbani hadi nimelia kwa kwa furaha hingereni sana wadogo zangu.muko vizurii
Dah yani Hadi raha maalim tuna kupenda sanaaa WA Zanzibar
Baba dìmani nakubali sana nakumbuka sana kwa ali mpemba pamoja sana
Allah atatupa furaha daima na Maalim wetu pamoja na Zito
JAMANI JAMANI JAMANI DAH YAANI MACHOZI YA FURAHA YANA BUBUJIKA QKWELI UYU MAALIM SEIF AME KUBALIKA DAH
Umenikubusha.balisana.bubujiko.nduguzagu good water only freedom Tanzania Zanzibar people beautiful salam dhagu. Tupendaneni.wa.ugunja.nawa.pemba
Yani ni kweli
Hila za kumuangusha sefu hazitafanikiwa katika siasa
Awajamaa noma lipumba ww nenda mahakanani utapewa kama ulivyopewa wenyekiti ila mungu atakuona ujiuzulu mwenyewe kisha unaludi kibabe utataka tena wenyekini namini mungu atakulani umeiuwa CUF
Amiin Mwenyezi MUNGU AKUHUKUMU HAPA HAPA DUNIANI AKHERA IYENDE HISABU KM ULIVYO SEMA MWENYEWE ATAKAE WASALITI WAZANZIBAR LAANA TULLAH ALEY NDO HIYO LAANA TULLAH
ACT ulipo na sisi TUPO 👍👍👍💜
Mm mwenzenu nafs inaniuuma kma Maalim Seifu tuna mpenda natunamfuata analotuambia kwann asiachane naujinga watu wazima kucheza magoma wakat wazee wetu mashekhe wetu wazanzibar wenzetu wateseka jela tusiwakumbuke hata kwadua jmani wazanzibar tukowap au tunaenda wapi naumia nahudhunika mpaka machoz yananitoka dah mtihani yaan siasa siasa tuu dini ya Allah imetupwa
Tatiz haito ruhusiw
Ni kwel dada angu lkn kwa serikali hii ili masheikh wetu waachiwe wanahitaji mtu shupavu kama maalim seif akiingia madarakan
Halafu kumbe huwa unacheka na kucheza? Hongera
Duh muko poa sanaaa mzur sana Iyi kaswida
Jamani naomba mnifahamishe mana mie niko nje ya Tanzania eti ni kweli maalim seif kahamia Chama cha act wazalendo au vipi
Kweli kabisa ila alikua han bud ten
Ahsante Sana
Nimeipenda hatari
Mashalaah
Ubalikiwe tutafika tuuu
Mziki moto!!!
ACT hoyeee
Zanzibar ILov tena mulipo tupo
Hiv nyimbo za namna hii zinaitwaje napenda kuziskiliza sana
Wewe mfuate Zitto Kabwe tuu utazifua hizo nyimbo zinaitwaje sawa?hizi ni tradtion za visiwani sawa?
Kumbe Zito anachekaga makubwa madogo yanawenyewe
Ndy.anachekaga.samahan.dadasharifa.naitajnambayako.ninamazungumzonaww
Hapa bunduki yangu moja nimeiona Bonifasia Mapunda lakini kuna ile rocket ron yangu sijaiona inaitwa Kulthum Mchuchuli iko wapi ile?hawa wawili nilikuwa napenda nionane nao inshaallwah katika maisha yangu niwape mikono ni waamkie lakini tatizo ni ulimwengu wa kwanza tena kwa muda mrefu,mimi politics it's ma food okay?all the best makamanda wangu hakuna kurudi nyuma sawa?
hio ndio tabia ya wazanzibar hawapendi dhulma
Masha Allah
Hongera sanaaa
Ahsante sana
Wimbo huu ni hatari.
Zichanganywe nyimbo zote CCM zilizoimbiwa na Wanamuziki wote zikipigiwa kura zitaachwa mbali kama mbingu na Ardhi ......msiwafungie kwa sababu tumeupenda wimbo wao....ni wimbo tu.
❤❤❤✌🏾
Zito umeokata mndu pandani
act kumenoga ukawa wa mwakahuu hatareeee
Wangewaita ACT wawachoree ndege zenu hahahh
Mimi niko pamoja na nyinyi lakini Zitto Kabwe baba jiandae vizuri ushawatia hasira hao sawa?sisi tusha ya zoea sawa?
ivi mansour hayupo au
Hii ya VIJANA wa Micheweni kuipa zawadi ACT nimeipenda mno kwakuwa wametuma ujumbe mahususi kwa maadui wa ACT na mzee Maalim Seif kwamba anakubalika zaidi ya mahasim wake
0
hahahaha munanifurahisha nyinyi
Maalim ulipo tupo
kilaa lenyeee mwanzoo halikoc kuwaaa naaa mwixhoo naaamini hivyooo mm
Huwezi kutafta nchi kwa njia ya kidemokrasia angalieni dini yasemaje
Mwaka huu tunamstaafisha siasa maalim!!
hamuna jipya naona mumegeuka samaki munakulana wenyew kwa wenyew
Rah rah
Hemed Maskar "wewe umedanganywa na musiba sio"
Wamicheweni si mliahidiwa kiwanda cha samaki na boti za uvuvi za kileo nyiee muulizeni sheni pengine kasahau msije mkamlaumu kapitikiwa labada mjukumu ya kaza
Nice
Ndio Kwanzaa Leo nione post iliokuwa na all positeve comment kama hii Asante sana wazanzibari kwa ushirikiano wenu
Hamia Zanzibar uwe mzanzibar
Cuf Zanzibar imezimika km kibatari
Eti wazanzibari,,,,,,,,,,,,,,,,, napita tuu apa
Ulipo tupo mwaaaaaaaa
WACHENI KUPANDISHIYA MAHIJABU YANAKUWA NI YA KIMALAYA SHIRKI MUNAPENDEZA KISHETANI INAVUTA 🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿🇹🇿🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹👹🇮🇱👹
Hijabu ndio madili ya uwislamu wetu sio vimodo venu mjinga ww
Mutaishia kuimba na kucheza ccm ni mwiba haitiliki mguu
Hata ccm wanaimba hauna masikio au
Zito kidole icho na jicho
Atausikia urais redioni!!!
Mashallah naomba nitumien 0655253725
Song zur sana
Hizi nyimbo wanazipenda wale wabana pua
Nendeni naye popote lkn hapati uraisi ng'oooo!!!?
Juma Kapilima Atapata mamaako mbwa we..
Abdul Mohd msenge wee kuma la maako!! Nendeni nae kokote lkn uraisi hapati mpaka kufa kwake!!?
Juma Kapilima kwani tumekataaa cc? c nd nkakwambia atapata mamaako au na mamaako pia humpi? mana mtu hamtombi mamaake bdo akabakia kuwa mtu we ktk watu asa humo tna..
Abdul Mohd kuma wewe!!!! Huyo msenge wenu hapati mpaka kufa na muende nae popote!
Juma Kapilima kafirane na wazazi wako uko mm cbishani na wasenge, mwakani raisi atakuwa mamaako na makamo utakuwa ww unaemfira..
Akiingia ubaniani mtamfuata
Kwa mziki wa zanzibar tafuteni kazi mfanye nchi mtaisikia kama ondinga
Nah nyie wa micheweni mbona hamja dai ahadi zenu kwa rais wenu au mme sahau alipokuja kuwaambiya msiwe na wasi wasi mambo mazuri yanakuja na ahadi ya kujenewa kiwanda cha kusindika samaki na boti za kileo na muda unamkimbiya yaani ana mwaka unusu sasa shuweni
Hongereri wanafunzi muko sawa
Nyinyi wapemba muulizeni sefu Ile ahadi ya uraisi imeishia wapi?
@@allymahmoud9951 powa bora uwakumbushe maana wana tabia ya kusahau waliahidiwa kiwanda cha kusindika samaki na boti zauvuvi wa kileo kule micheweni mpaka sasa shuwain mda una mkimbiya bado jii wewe washituwe ukoo
@@allymahmoud9951 unawashwa sehem ya haja kubwa wew
@@salehkhamis343 hiyo tabiya ya kuwasha umezoeya WW asilimia kubwa nyny ndio wenye tabia hiyo ya kisenge
Hma llt meeishiwa at bado
Hongera sana Zanzibar very nice ewe allah tujalie kheri tufungulie nuru wazanzibari Zanzibar kwanza hongera malim seif kwa kwa msimamo mzuri hongera zito karibu sana Makunduchi
tatizo ukiwa na elimu hata kama n PhD na ukawa unaamin ktk seif automatically unakuwa ni zero brain
phd ni elimu sio akili kamsome albert einsten
Hata mbuyu ulianza Kama mchicha.
Kwa Mara ya Kwanza kuiona Act wazelendo ilikuwa Ni songea kwenye uzinduz wa chama hicho. Hakika hata mim mwana ccm mlinikonga moyo kwa Sera za chama.
Hongera leo Zanzibar mmepata ukomboz na mtashika dola.
Mapinduz ya kweli naamini ni kwa Act Zanzibar sasa.
Hekoooo maalim, heko wazanzibar, heko act
yani dah machoz yafuraha yananitok Kwa furaha Ilove Zanzibar very much hatunaga shida
Zanzibar kwanza naipenda NCHI yangu naipenda daima
l love my country Zanzibar don't give up
Maalim Seif tunakupenda❤❤❤
Maalim Seif✌🏻
Pia Hashim rungwe mzee wa Chauma nae yupo mbona yeye hataji jina lake.
0752988657
ANAKUBALIKA KWA MAJUHA TUU. TAFUTENI HISTORIA YAKE MNAFIKI MKUBWA UYO BALAHAU. KAMA ALIVYOMFANYIA MZEE JUMBE NAE ANAFANYIWA SAIVI HA HA HA
Na ww pia una majuha wako unao wakubali. Km unaona wanaomkubali ni majuha waache na ujua wao na ww ukawakubali majuha wenzio.
@@annaenglibert1763 😃😃😃😃😃 Balahau kunkwisha ha ha ha WABURUZE KIZEE WABURUZE MAJUHA 😆😆😆😆
@@suleimansuleiman5498 tushaipata hiyo story yake uongo mtupu,jumbe jumbe maalim hakumfanya chochote,mtu akitaka ileta haki juu anazushiwa majanga haya na haya,walianza Mitume,na tunajua historian zao,haki wkiileta juu basi anazushiwa kila aina ya balaa,kwa
@@fatmahamad2156 😃😃😃😃 kweli ukipenda kipofu utasema chongo. BALAHAU ENDELEA KUWABURUZA.
@@suleimansuleiman5498 sasa cha ajabu unaumia nini maana imekuchoma km pasi hukuweza kujizuia kada..