Rebecca Magaba - Ebenezer (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #RebeccaMagaba #Ebenezer #RoseMhando #DirectorAbson #AnnointAmani #motivation #gospel #music #god #whatsappstatus #wasafi
For Booking
+255 713 147 183/ +255 797 957 191
Forbooking
msalabamedia@gmail.com
©2023 Administered By Msalaba MEDIA
Tumetoka mbali mungu nimwema skuzote ❤
Ngoma mmemuibia huyu dada nyimbo yake daa Yesu awahukumu
Nimeanza kuusikia huu wimbo 208
Wimbo huu unanikumbusha 208
Amenii nabarikiwa sana nahuu wimbo
Halléluyah aaaaaaaaaaaaaaaaaa! Il est mon Ebenezer. Yessaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Wimbo una nguvu ya Mungu sana shetani ashindwe na mawakala wake kutaka kuuwa huu wimbo kisa eti huzai piga kazi
Mtu hazai wimbo unakufaje
Hongera dada
Wewe ni Ebenezer ❤❤
Wewe ni Ebenezer .God continue blessing us pamoja na dada .best song 🙏🙏🙏
Kweli umenitoa mbali .nitaendelea kukuambudu.
Nyumbo hii imeponya watu wengi imeibiwa na watu wengi ila songa mbele
This song is so blessing
Ameen 🙏🙏
Glory to Jesus
Amen🙏🙏
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ngoma si ni mauwa wa nairobi oooh jamani mbingu ngumu sana ni vibaya sana kula pesa ya mtu wakati huo muimbaji hawezi tena kulipia nyimbo wala promo ya kazi zake ni mbaya sana
Ameen
Thank you God for standing with us all the time I will always be great full to you the almighty 🙏 🙏🙏❤❤
Namuona Mama Sarah
Ngoma nyinyi mnauza mziki au mnasambaza audio?mauwa utakufa vibaya kitendo cha kukatalia nyimbo hii na muzema ni yako ili hali mwenye wimbo anateseka wewe unakula pesa zake na familia yako laana kabisa umelaaniwa na ulaaniwe kabisa nani asiejua huu wimbo huyu dada maisha yake magumu sana wewe na ngomma yako unakula pesa xa wimbo huu jamani wakenya kemeeni hii tabia ya huyu mauwa rutto saidie hii muimbaji ipate haki yake huyu mama alaaniwe kabisa.
Sijaelewa kwani huu wimbo ni wa nani
Wewe Ni Ebenezer
❤
Ubarikiwe mpenzi
Mauwa keshashitakiwa kesi iko mahakamani mwizi na solomoni mkubwa wake majambazi
Wimbo huu ulibiwa na ngomma na miaka mingi lkn sasa wameuachia MUNGU mwema jitihada zote zilizofanyika ili kuuachia wimbo huu 🙏
Kumbe ndiomana nikawa sielewi namsearch jane miso
2018 nilianza kuisikia hii nyimbo
Hallelujah
Kuna kipindi sikuiona ila ilikuwa sipec kampuni chanel ya injili